PRODUCER SHIRKO AFUNGUKA ALIVYOCHANGIA MZIKI WA BONGO FLAVA/ANA MPANGO GANI KWA WASANII WA KENYA?
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Please watch: "(96) ICE BOY: WEMA SEPETU Alikuwa Wangu/Ataja List/VERA SIDIKA?HUDDAH?VANESSA? "
• ICE BOY Kujiunga WCB/S... -~- WATCH YOUR FAVORITE SHOW IN EAST AND CENTRAL AFRICA , #MSETO_EAST_AFRICA NA #MZAZI_WILLY_M_TUVA
Shirko..wimbo mliofanya na 2 berry (kuwa na wewe) ni favorite kwangu mpaka sasa hivi.Wimbo strong sana,inazungumza na nafsi mpaka sasa hivi.Big up!!!...Najua-pia ya 2 berry niliipenda pia.
ndo leoo najua huyu jamaa ni mkenyaaaaaa nilijua ni Mzanzibar
Jamaa ni mkenya@hata mm mwanzoni sikumfahamu vema ila ni mtu mbunifu na sio mbinafsi.
Kwao mkenya kwao ni mambasa mtaa kaloleni
Kiukweli hakuna ubishi Mziki wetu kuna namna unapewa Heshima sana na Wakenya na ndio Funbase Area of Bongofleva inapokuwa jamaa wanatusupport bila kutenga wasanii wetu wao kila msanii wa Tanzania ni wao ili mradi Kazi ni nzuri@Produza shirko Big up sana Kazi ya mikono yko Idumu milele.
Ikubali ukatae Kenya is the back bone of bongo fleva
Huyu jama kabadilika Sana kwanza kawa mweusi kidogo kawa mnene saana na nimemzoea akiwa anaongea saan kiingereza nakumbuka alivyo ft na berry black alichana Sana ngeli alafu alikuwa mweupesana na mwembamba dah mungu akupe Long life
Wapi heshima kwa @mzazi🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Uko powa sana broo Shiriko kazi zako nazikubali sana.
Respect 2 kenyan producers
jamaa kawa mzee saivi ,,shiriko
Safi sana M.E.A
Dah jamaa mshua sana flan hivi. apriciate my producers #tz #love
wapi like za #mseto
Sweety sweetie 😘 my favorite tune by chege now that nmejua ww ndo ulobonyeza vinanda naikubali snaa
That's my producer001 @shirko we going far
Shirko was my eve best artsit and producer ever..share yo instagram acount maze
@shirkomedia
uko sawa sana nakukubali sanaaa🤗
N mmoja wa mapro wanoma EA
Hilo ji mic balaa Mzazi
Safi sana shirko nmekuelewa
Mambo
@@dukemoha8825 poa
I used to think he is Tanzanian
Shirko juu xna bro 🤝
Oya nivile tu wabongo wa nafki nafki sana et producer Shiriko hajulikana hata kwenye tunzo za heshima ya bongo freva. Sasa sijui mbosso hua anakukumbuka kweli mtengeneza njia.
Miye nahamini unene siyo mzuri jamani yaani uyu miye naona siyo yeye
MashaAllah
Pamoja sna Mzazi
Aaah kumbe ndio huyo jama
Nakubali kazi zake
Ukowap shirko mara ya mwisho nakuona muembe tayar
Nakubali mzee
Mimi ni msanii wa mziki nitapata vipi number za simu za producer shiriko ama contacts zake
Binafs nakuelewa sana bro!
Pamoja sana kaka
Muzadee
Shirko nimekufatilia tangu enzi za "kuwa nawe' unatalanta bro..ebu kuza talanza kenya maana tumchoka kuskiza mziki za nje wakati tunatalanta huku kwetu
Leo ndo nimejuwa ni mkenya.