DIAMOND Alivyomuomba ZUCHU MSAMAHA kwa UCHUNGU Akiri KUMSALITI na wanake wengine

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Haya ni maneno ya @diamondplatnumz akikiri kumuumiza mara kwa mara mpenzi wake @officialzuchu . Diamond ameomba radhi mbele za watu huku akimuahidi Zuchu kutomuuza tena
    .
    Diamond Platnumz anasema kuwa mahusiano yake ya nyuma yamemfanya asijitoe sana kwa Zuchu kwani ameumizwa sana na ilifika muda akawa anaogopa kuzama 100% kwenye mahusiano
    .
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Zuchu #Diamond

Комментарии • 162

  • @kimah9855
    @kimah9855 6 месяцев назад +18

    Umri inaenda na wakati, Sasa Nasibu ndo anaongea 👏👏👏Next put a ring on it❤❤❤❤❤❤❤❤❤Hongera sana both

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 6 месяцев назад +25

    Diamond you are a true man! Men apologies when they do something wrong,You are a real man!!

    • @sponsalfathedj8177
      @sponsalfathedj8177 6 месяцев назад +1

      Kiki hizo

    • @saidahj2543
      @saidahj2543 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @naimacax2457
      @naimacax2457 6 месяцев назад

      He is the definition of a true pathological narcissist liar and Zuchu ako very weak kabisa atatumiwa mpaka afe

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 6 месяцев назад

      ​@@sponsalfathedj8177acha wivu

  • @vidawillis1894
    @vidawillis1894 6 месяцев назад +7

    He is not done yet Zuchu wake up see musicians girls outside Tanzania they're doing good think big aim higher u have a very long way to go. Wake up

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h 4 месяца назад

      En tout cas vous aimez tellement commandé la vie des autres, vous voulez qu'elle fasse votre volonté sans connaître les tenants et les aboutissants hein 😂

  • @phebvlymo2068
    @phebvlymo2068 6 месяцев назад +11

    Zuchu is the true lady of Tanzania am proud of her

  • @Amina-ig3jw
    @Amina-ig3jw 6 месяцев назад +8

    Muoe zuchu mond anakupenda❤❤❤🎉

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 6 месяцев назад +11

    Msamehe zuu, tunawapenda sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @sharonahwilliams4481
    @sharonahwilliams4481 6 месяцев назад +10

    Zuchu will break diamond until he will know that how it feels to be betrayed 💔 looks like

  • @Tashie001
    @Tashie001 6 месяцев назад +13

    Ni kweli anatukwana sana juu Yako wewe😢

  • @jackywambua917
    @jackywambua917 6 месяцев назад +4

    My favourite couple 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-sc3wo3ol1k
    @user-sc3wo3ol1k 6 месяцев назад +5

    Show ya jana iyo Kendwa nimeiyona ilikuwa pw sana zuchu kapiga sana shwoo mondi nae anampenda sana zuchu jamani

  • @em_vee_josh
    @em_vee_josh 6 месяцев назад +2

    Diamond and Zuchu the undisputed Coyle of East Africa

  • @adamuchenchere5699
    @adamuchenchere5699 6 месяцев назад +5

    Mondi badilika ety me napenda uhusiano wenu na zuuh❤

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 6 месяцев назад +9

    Kama movie la kihindi 😀

  • @Caralina829
    @Caralina829 6 месяцев назад +14

    Zuchu ujaliwe na akili na nguvu za kuwacha huu mchezo. Unahitaji mwanamme mwenye heshima kabisa

  • @phebvlymo2068
    @phebvlymo2068 6 месяцев назад +5

    When a man lovesssss

  • @louloubika8603
    @louloubika8603 6 месяцев назад +6

    Love it ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @fitinakipita6813
    @fitinakipita6813 6 месяцев назад +3

    Badilka daimond ❤❤❤❤❤❤

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 6 месяцев назад +11

    Mwanaume siku zote kuomba msamaha ni kawaida ila Zuchu angalia mbele acha kudhalilishwa

  • @SofiaMwero
    @SofiaMwero 6 месяцев назад +4

    Lakin Simba wamuumiza mwenzio kwakwel ...lakin nawapenda Sana mukiwa pamoja

  • @fatumahamisi3781
    @fatumahamisi3781 6 месяцев назад +4

    Muowe atoke midomoni mwa watu khaa😊

  • @AbdiDUBA-wf4lq
    @AbdiDUBA-wf4lq 10 дней назад

    Uko sawar brooo

  • @user-ty5oc5xd5o
    @user-ty5oc5xd5o 6 месяцев назад +4

    Zuchu utasameh leo,kesho,utalia,ulie na ulie tena diamond sio mwanaum wakupend ka mamy 😢ila pol

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h 4 месяца назад

      Et c'est toi qui l'aime certainement....

  • @katsuvakamatedaniel7893
    @katsuvakamatedaniel7893 6 месяцев назад +1

    Zuchu achana na huyo malaya.ana kupotezeya muda wako bureee😢.Omba Mungu akutumiye Mume bora !!!

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 6 месяцев назад +34

    Kuna siku Zuchu ataolewa…..na kijana mwenye hikma kama Baba yake.

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 6 месяцев назад +5

      Ataolewa na Mondi tuu

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 6 месяцев назад

      Kabisa yn

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 6 месяцев назад

      @@BarbaraPatience-qt9cc Mungu ndiye anaye juwa zaidi sisi tunabahatisha tuu.

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 6 месяцев назад

      Baba yake hana hekma, alimtelekeza zuchu, unawezaje kuzaa mtoto halafu humtunzi?

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 5 месяцев назад +2

      ​@@BarbaraPatience-qt9ccHuo ndio ukweli ulio uchi zuchu atakuja kuolewa na mondi mchana kweupe wanafiki hawataamini macho yao niko paleeeeeee!

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 6 месяцев назад +9

    POLE ZUCHU NI KUTUMIKA KWA KWENDA MBELE

  • @user-by7jo6dk6r
    @user-by7jo6dk6r 6 месяцев назад +4

    Zuchu.. Userudi.. Faiti. Maishayako😢

  • @noorrajpar3928
    @noorrajpar3928 6 месяцев назад +4

    Ameenda kumshika shika ukweni ningekua baba zuu hapo jukwaani pangechimbika 😢😢😢

    • @jonesbaraka7506
      @jonesbaraka7506 6 месяцев назад

      😅😅😅😅😅😅

    • @jamilajamila9682
      @jamilajamila9682 6 месяцев назад

      Yaani ni dhaifu sana kuregea, tukio anapigwa hasikii, ndio mana ni king'nga mange hajakosea 😂😂😂

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 6 месяцев назад

      😂😂😂

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 6 месяцев назад +1

    Kuna siku hazitawafaa MALI zenu zitakuwa kama mavubi. FANYENI HARAKA SANA KURUDI KWA ALLAH S.W

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 6 месяцев назад +2

    Ww tumekuzoe ni kuku wakawaida lakini zuchu atakuja choka siku moja

  • @agnessirungu1623
    @agnessirungu1623 6 месяцев назад +1

    Wake up and smell the coffee Zuchu.
    He'll step on you over and over again.
    Haiyaeee

  • @ZalhathamohdSaid-qn4jj
    @ZalhathamohdSaid-qn4jj 6 месяцев назад +5

    wahuni hawaelew eti buuuh mnatuzinguwa😂😂😂

  • @lydiahmartinz925
    @lydiahmartinz925 6 месяцев назад +7

    Mond stop using her for ur own benefit pls.

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 6 месяцев назад +1

    And top of that kwanini wanazini na wazazi wao wanatazama tu au ndo maokoto dini pembeni

  • @user-bw8un9ds6t
    @user-bw8un9ds6t 6 месяцев назад +3

    Nmependa jinsi simba alivyo omba msamaha na jinsi jinsi daa zuchu alivyo pokea msamaha mpk nmetoa machozi 😅 hebu pitisheni ndoa mudekezane

  • @MwonekanoTv
    @MwonekanoTv 6 месяцев назад +4

    Watu wakoment punguzeni ushari muenjoye mziki mzuri maisha yao mengine hayawahusu.😂

  • @nohumanislimited703
    @nohumanislimited703 6 месяцев назад +1

    Next time zuchu vaa hata dera mambo gani haya show nzima kupandisha longi

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 6 месяцев назад +3

    Acha kuongopea watu unampenda mbona huoi

  • @kafilathsalami5314
    @kafilathsalami5314 6 месяцев назад +2

    ❤❤❤

  • @user-xb5fd1yf5w
    @user-xb5fd1yf5w 6 месяцев назад +5

    Kama kweli unampenda muoe

  • @abeidbhuzo520
    @abeidbhuzo520 6 месяцев назад +3

    Hamna kitu… iz ni showbizz…

  • @mumyomary1812
    @mumyomary1812 6 месяцев назад +1

    Altona zuchu anamkwepa mondi tujuane😂😂

  • @Cath844
    @Cath844 6 месяцев назад +8

    I don’t understand the language but I know Diamond is lying!😁🙌🏾

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 6 месяцев назад

    Sisi wazanzibar ni wema sana tena sana popote tunachukua ushindi wa heshima na Busara na ukarimu na ustahmilivu hiyo ndio sifa yetu wazanzibar

  • @jameskasololo8594
    @jameskasololo8594 6 месяцев назад +4

    Aaaah jamaa mnafiki kila corner

  • @user-yp3zf6cg7s
    @user-yp3zf6cg7s 6 месяцев назад +2

    Ayo ni maneno baada sho

  • @Michaelmwamba-fi2lq
    @Michaelmwamba-fi2lq 4 месяца назад

    dah ogopa siku mwanamke akichafukwa wanakuaga na roho mbaya kwaiy sk mond imefika mwisho utakoma

  • @user-tx9yp3rx9c
    @user-tx9yp3rx9c 6 месяцев назад +1

    Mmmmmh akiamung mapnz uchiziiii

  • @louloubika8603
    @louloubika8603 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @wholeheartedMotivations-dj6rr
    @wholeheartedMotivations-dj6rr 6 месяцев назад +1

    Amempenda vile alivyoo

  • @hellenrobi5775
    @hellenrobi5775 6 месяцев назад

    Mm najua malaya ubadilika zucha anaeza fanya Mondi aache umalaya juu ata Mondi awez kua kijana kila siku muda unaisha

  • @ChristinaKirangi
    @ChristinaKirangi 6 месяцев назад

    Polezuchu

  • @jonesbaraka7506
    @jonesbaraka7506 6 месяцев назад +2

    Tuache utani huyu mwanamke anautamu sio rahisi mwanaume aropokwe ivo

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 6 месяцев назад +1

    MUOGOPENI ALLAH S.W

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 6 месяцев назад

    Mwenyew hapo k yke yot imelowa hpo kuona rah anavozungumzia😂😂

  • @JosephMumuza
    @JosephMumuza 6 месяцев назад

    Umemutchezea sana mtoto wawatu Bana sumuowe jamaniii

  • @FaridaFaridaseif
    @FaridaFaridaseif 3 месяца назад

    Zuchu kakazaa mara hii ht baada ya kuombwa msamaha hakumshobokea kumrukia kumkumbatia . Km kamshit flani anaona km anamlaghai tuni km mara hii kawekeza kwenye kazi yake

  • @WinnieUmanzi
    @WinnieUmanzi 6 месяцев назад

    Wanya harusi 😂😂😂😂marry zuchu😂will know the truth

  • @ZubedaRadjabu
    @ZubedaRadjabu 4 месяца назад

    Zuu pole sn ila ww unampendo mondi sn hnazidish sikuu moja utakuj kufa jili ya mondi pol sn ntafuta mwengin zuu utapat so mondi mwenyew tuu tafut unapat pol apo na bado

  • @Kadebecomedy
    @Kadebecomedy 6 месяцев назад +2

    Mondi mungu anakuona acha unafki bhana ww mapenzi wapi na wap ww kaz yako ni kunyandua na kuwabwaga

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 6 месяцев назад

      Munafki ni wewe! Hutaki waludiane!!! Kwenda kabisa

    • @Kadebecomedy
      @Kadebecomedy 6 месяцев назад +1

      @@BarbaraPatience-qt9cc hivi mondi tokea lin akaweka kambi kwa mwanamke?

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ 6 месяцев назад +1

    Boss kabaki kufanya kiki ila kumpromote msanii wake Lavalava hawezi ila angekua ndio konde anayafanya haya mbona vinuka midomo yangewatoka mengi ama ndio tuseme nyani haoni kundule 😅😅😅

    • @giztony2009
      @giztony2009 6 месяцев назад

      Ww boya huyo mvuta bangi wako kawafikisha wapi wasanii wake

    • @مونيكمونيك-ع1غ
      @مونيكمونيك-ع1غ 6 месяцев назад

      @@giztony2009 si uvute na wewe pumbavuu kwani kakushika mdomo,ngedere wewe chefuuuuu

  • @aishaahmed269
    @aishaahmed269 2 месяца назад

    Ukweli utakuweka huru simba anasimama kwenye ukweli mpaka

  • @MwanashaZinga
    @MwanashaZinga 6 месяцев назад

    HahhHa eti unatuzungua yakawaida hayo

  • @Fauzia2090
    @Fauzia2090 6 месяцев назад +1

    Mtu gani anaomba msamaha kavaa miwani, msamaha wa kinafiki.

  • @fatumamnyenze9696
    @fatumamnyenze9696 6 месяцев назад

    Hao waume n viuno jamaniii 😂😂kwisha

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj 6 месяцев назад

    🤝

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 6 месяцев назад

    Sijui chizi ww di

  • @nelimakitindaa6358
    @nelimakitindaa6358 6 месяцев назад +1

    Unapenda kiki wewe kijana😂😂😂

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 6 месяцев назад +1

    Una mambo Zuhura

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 6 месяцев назад +5

    Wewe unalaumu wanawake ulioachana nao wewe mwenyewe umejiona una pesa ukawatumia na kuwaumiza na kuwaacha kama takataka lakini hujioni hizo pesa zitakwisha siku moja.

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 6 месяцев назад

    Zuchu alukie wap ww mwanaume star, mwenye Hera anakuomba msamaha utarukia wap😂😂😂

  • @user-yx3ic8zy9e
    @user-yx3ic8zy9e 6 месяцев назад +4

    Yaani huyu Zuchu hawezi ku trend mpaka alete kiki alikuwa anajuwa show yake itabuma wakaleta usanii wa kiki yaani mmeishiwa nyie wajinga

  • @samirakhan-h6p
    @samirakhan-h6p 6 месяцев назад

    Akikuzalisha utoamini kama niyeye wakuomba msamaa

  • @peninahmueni3256
    @peninahmueni3256 6 месяцев назад +2

    Mapenzi ujinga tuuuu

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z 6 месяцев назад +2

    Huyu mond kimuziki basi tena jua lishakua la jioni aendelee tu na hizi kiki za kijina

  • @fatumamnyenze9696
    @fatumamnyenze9696 6 месяцев назад

    Zuchu kifua pia hamnaa😂😂😂

  • @blessedlu8836
    @blessedlu8836 6 месяцев назад

    @ Drezzy radio please come and see how this game is played eeeehhhhhh!!!!

  • @emmanuelmathias1509
    @emmanuelmathias1509 6 месяцев назад

    mashabiki waliokuwepo kwenye show walikuwa hawataki mond asamehewe

  • @kelvinduper
    @kelvinduper 6 месяцев назад

    😂😂😂 alooooohh

  • @user-wc9xs6ww7w
    @user-wc9xs6ww7w 6 месяцев назад +1

    Zuchu aolewe buana

  • @TheBossOdhis
    @TheBossOdhis 6 месяцев назад +1

    Uyu amerogwa

  • @AbdillaahAbdillah
    @AbdillaahAbdillah 6 месяцев назад +3

    Ipo siku moja watajuta

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 6 месяцев назад +2

    Kumbe ilikuwa kiki ya kupush show😂😂

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 6 месяцев назад

    Kwasababu hiyo diamond kwanini amuoi na uwezo wa kukaa na mke anao shame on him

  • @IbraMputa
    @IbraMputa 6 месяцев назад +1

    Nyinyi niwazinifu tu hakuna chochote hapo

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 6 месяцев назад

    Mondi anajua kucheza naakili za mabinti, Ila nazani pia pesa Inaongea

  • @Lulu-rh4zy
    @Lulu-rh4zy 6 месяцев назад

    Nihatari

  • @mariammuslim2987
    @mariammuslim2987 6 месяцев назад

    Aki mapnz yamekuathiri zuuuu au muamala ndio unakuzubaisha tuseme,,,,,jus try to move on and mind your pez darling 💕💕💕 ,,,anakuchukulia mjinga Kati ya wanawake wajinga duniani,,,,nipo pale mtakuja kunambia

  • @tabiaramadhani2348
    @tabiaramadhani2348 6 месяцев назад

    MOND ACHA TABIA MBAYA

  • @user-uq3cn1jh6u
    @user-uq3cn1jh6u 6 месяцев назад +2

    Simba ni muongo bana😂😂

  • @ntabyoetienne2508
    @ntabyoetienne2508 6 месяцев назад +1

    Acheni kiki za ujinga weye Diamond ju ya show ya zanzibar unaunga buvitu bya watoto kimapenzi 😅

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 6 месяцев назад +2

    Bongo bana ..ujinga ujinga tu

  • @messiahfeatures3994
    @messiahfeatures3994 6 месяцев назад +1

    Mbn tumbo la zuchu limetepeta hta mtoto mmoja hana au anatoaga?

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 6 месяцев назад

    UOGOPENI MOTO

  • @lebelgross2656
    @lebelgross2656 6 месяцев назад +1

    Simba dwanzi sana nowadays

  • @lukacjackson3342
    @lukacjackson3342 6 месяцев назад

    Acha drama ww

  • @tabiaramadhani2348
    @tabiaramadhani2348 6 месяцев назад

    USIMTESE ZUCHU

  • @nicolerose5112
    @nicolerose5112 6 месяцев назад

    Zuu umulig muongo

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ 6 месяцев назад +1

    Domo bila kiki hatoboi alafu Zuchu anatumika tu maskini

    • @graceamadi1096
      @graceamadi1096 6 месяцев назад

      They have one chemistry ata kama anatumika on the other hand anatengeneza hela

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 6 месяцев назад

      ​@@graceamadi1096kabisa yn

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z 6 месяцев назад +1

    Hivi kuna anae amini kua eti wameachana hizo ni kiki zao tu za kijinga lao liende

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 6 месяцев назад

    Lier big time