DIAMOND Alivyomuomba ZUCHU MSAMAHA kwa UCHUNGU Akiri KUMSALITI na wanake wengine
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Haya ni maneno ya @diamondplatnumz akikiri kumuumiza mara kwa mara mpenzi wake @officialzuchu . Diamond ameomba radhi mbele za watu huku akimuahidi Zuchu kutomuuza tena
.
Diamond Platnumz anasema kuwa mahusiano yake ya nyuma yamemfanya asijitoe sana kwa Zuchu kwani ameumizwa sana na ilifika muda akawa anaogopa kuzama 100% kwenye mahusiano
.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Zuchu #Diamond
Umri inaenda na wakati, Sasa Nasibu ndo anaongea 👏👏👏Next put a ring on it❤❤❤❤❤❤❤❤❤Hongera sana both
Diamond you are a true man! Men apologies when they do something wrong,You are a real man!!
Kiki hizo
😂😂😂😂😂😂
He is the definition of a true pathological narcissist liar and Zuchu ako very weak kabisa atatumiwa mpaka afe
@@sponsalfathedj8177acha wivu
He is not done yet Zuchu wake up see musicians girls outside Tanzania they're doing good think big aim higher u have a very long way to go. Wake up
En tout cas vous aimez tellement commandé la vie des autres, vous voulez qu'elle fasse votre volonté sans connaître les tenants et les aboutissants hein 😂
Zuchu is the true lady of Tanzania am proud of her
Muoe zuchu mond anakupenda❤❤❤🎉
Msamehe zuu, tunawapenda sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Zuchu will break diamond until he will know that how it feels to be betrayed 💔 looks like
😂😂😂
Ni kweli anatukwana sana juu Yako wewe😢
My favourite couple 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Show ya jana iyo Kendwa nimeiyona ilikuwa pw sana zuchu kapiga sana shwoo mondi nae anampenda sana zuchu jamani
Diamond and Zuchu the undisputed Coyle of East Africa
Mondi badilika ety me napenda uhusiano wenu na zuuh❤
Kama movie la kihindi 😀
Zuchu ujaliwe na akili na nguvu za kuwacha huu mchezo. Unahitaji mwanamme mwenye heshima kabisa
When a man lovesssss
Love it ❤❤❤❤❤❤❤❤
Badilka daimond ❤❤❤❤❤❤
Mwanaume siku zote kuomba msamaha ni kawaida ila Zuchu angalia mbele acha kudhalilishwa
Lakin Simba wamuumiza mwenzio kwakwel ...lakin nawapenda Sana mukiwa pamoja
Muowe atoke midomoni mwa watu khaa😊
Uko sawar brooo
Zuchu utasameh leo,kesho,utalia,ulie na ulie tena diamond sio mwanaum wakupend ka mamy 😢ila pol
Et c'est toi qui l'aime certainement....
Zuchu achana na huyo malaya.ana kupotezeya muda wako bureee😢.Omba Mungu akutumiye Mume bora !!!
Kuna siku Zuchu ataolewa…..na kijana mwenye hikma kama Baba yake.
Ataolewa na Mondi tuu
Kabisa yn
@@BarbaraPatience-qt9cc Mungu ndiye anaye juwa zaidi sisi tunabahatisha tuu.
Baba yake hana hekma, alimtelekeza zuchu, unawezaje kuzaa mtoto halafu humtunzi?
@@BarbaraPatience-qt9ccHuo ndio ukweli ulio uchi zuchu atakuja kuolewa na mondi mchana kweupe wanafiki hawataamini macho yao niko paleeeeeee!
POLE ZUCHU NI KUTUMIKA KWA KWENDA MBELE
Zuchu.. Userudi.. Faiti. Maishayako😢
Ameenda kumshika shika ukweni ningekua baba zuu hapo jukwaani pangechimbika 😢😢😢
😅😅😅😅😅😅
Yaani ni dhaifu sana kuregea, tukio anapigwa hasikii, ndio mana ni king'nga mange hajakosea 😂😂😂
😂😂😂
Kuna siku hazitawafaa MALI zenu zitakuwa kama mavubi. FANYENI HARAKA SANA KURUDI KWA ALLAH S.W
Kweli kabisa
Ww tumekuzoe ni kuku wakawaida lakini zuchu atakuja choka siku moja
Wake up and smell the coffee Zuchu.
He'll step on you over and over again.
Haiyaeee
wahuni hawaelew eti buuuh mnatuzinguwa😂😂😂
Mond stop using her for ur own benefit pls.
And top of that kwanini wanazini na wazazi wao wanatazama tu au ndo maokoto dini pembeni
Nmependa jinsi simba alivyo omba msamaha na jinsi jinsi daa zuchu alivyo pokea msamaha mpk nmetoa machozi 😅 hebu pitisheni ndoa mudekezane
Watu wakoment punguzeni ushari muenjoye mziki mzuri maisha yao mengine hayawahusu.😂
Next time zuchu vaa hata dera mambo gani haya show nzima kupandisha longi
Acha kuongopea watu unampenda mbona huoi
❤❤❤
Kama kweli unampenda muoe
Hamna kitu… iz ni showbizz…
Altona zuchu anamkwepa mondi tujuane😂😂
I don’t understand the language but I know Diamond is lying!😁🙌🏾
😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂
Mamae, upo magomeni apo
Sisi wazanzibar ni wema sana tena sana popote tunachukua ushindi wa heshima na Busara na ukarimu na ustahmilivu hiyo ndio sifa yetu wazanzibar
Aaaah jamaa mnafiki kila corner
Ayo ni maneno baada sho
dah ogopa siku mwanamke akichafukwa wanakuaga na roho mbaya kwaiy sk mond imefika mwisho utakoma
Mmmmmh akiamung mapnz uchiziiii
❤❤❤❤❤❤❤❤
Amempenda vile alivyoo
Mm najua malaya ubadilika zucha anaeza fanya Mondi aache umalaya juu ata Mondi awez kua kijana kila siku muda unaisha
Polezuchu
😕😕😕😕😕😕😕😕
😕
Tuache utani huyu mwanamke anautamu sio rahisi mwanaume aropokwe ivo
😂😂😂😂😂😂
Hahaaa
MUOGOPENI ALLAH S.W
😢
Mwenyew hapo k yke yot imelowa hpo kuona rah anavozungumzia😂😂
Umemutchezea sana mtoto wawatu Bana sumuowe jamaniii
Zuchu kakazaa mara hii ht baada ya kuombwa msamaha hakumshobokea kumrukia kumkumbatia . Km kamshit flani anaona km anamlaghai tuni km mara hii kawekeza kwenye kazi yake
Wanya harusi 😂😂😂😂marry zuchu😂will know the truth
Zuu pole sn ila ww unampendo mondi sn hnazidish sikuu moja utakuj kufa jili ya mondi pol sn ntafuta mwengin zuu utapat so mondi mwenyew tuu tafut unapat pol apo na bado
Mondi mungu anakuona acha unafki bhana ww mapenzi wapi na wap ww kaz yako ni kunyandua na kuwabwaga
Munafki ni wewe! Hutaki waludiane!!! Kwenda kabisa
@@BarbaraPatience-qt9cc hivi mondi tokea lin akaweka kambi kwa mwanamke?
Boss kabaki kufanya kiki ila kumpromote msanii wake Lavalava hawezi ila angekua ndio konde anayafanya haya mbona vinuka midomo yangewatoka mengi ama ndio tuseme nyani haoni kundule 😅😅😅
Ww boya huyo mvuta bangi wako kawafikisha wapi wasanii wake
@@giztony2009 si uvute na wewe pumbavuu kwani kakushika mdomo,ngedere wewe chefuuuuu
Ukweli utakuweka huru simba anasimama kwenye ukweli mpaka
HahhHa eti unatuzungua yakawaida hayo
Mtu gani anaomba msamaha kavaa miwani, msamaha wa kinafiki.
Hao waume n viuno jamaniii 😂😂kwisha
🤝
Sijui chizi ww di
Unapenda kiki wewe kijana😂😂😂
Una mambo Zuhura
Wewe unalaumu wanawake ulioachana nao wewe mwenyewe umejiona una pesa ukawatumia na kuwaumiza na kuwaacha kama takataka lakini hujioni hizo pesa zitakwisha siku moja.
Zuchu alukie wap ww mwanaume star, mwenye Hera anakuomba msamaha utarukia wap😂😂😂
Yaani huyu Zuchu hawezi ku trend mpaka alete kiki alikuwa anajuwa show yake itabuma wakaleta usanii wa kiki yaani mmeishiwa nyie wajinga
Akikuzalisha utoamini kama niyeye wakuomba msamaa
Mapenzi ujinga tuuuu
Huyu mond kimuziki basi tena jua lishakua la jioni aendelee tu na hizi kiki za kijina
Mapenz yanaum boya ww,ach kuksrk fal ww
Zuchu kifua pia hamnaa😂😂😂
@ Drezzy radio please come and see how this game is played eeeehhhhhh!!!!
Drezzy ndio nini hana lake
mashabiki waliokuwepo kwenye show walikuwa hawataki mond asamehewe
😂😂😂 alooooohh
Zuchu aolewe buana
Uyu amerogwa
Ipo siku moja watajuta
wazinifu wakubwaa
Takia hata adui yako mazuri
Kumbe ilikuwa kiki ya kupush show😂😂
Kabisa
Kwasababu hiyo diamond kwanini amuoi na uwezo wa kukaa na mke anao shame on him
Nyinyi niwazinifu tu hakuna chochote hapo
Mondi anajua kucheza naakili za mabinti, Ila nazani pia pesa Inaongea
Nihatari
Aki mapnz yamekuathiri zuuuu au muamala ndio unakuzubaisha tuseme,,,,,jus try to move on and mind your pez darling 💕💕💕 ,,,anakuchukulia mjinga Kati ya wanawake wajinga duniani,,,,nipo pale mtakuja kunambia
MOND ACHA TABIA MBAYA
Simba ni muongo bana😂😂
Acheni kiki za ujinga weye Diamond ju ya show ya zanzibar unaunga buvitu bya watoto kimapenzi 😅
Bongo bana ..ujinga ujinga tu
Mbn tumbo la zuchu limetepeta hta mtoto mmoja hana au anatoaga?
Nilikuwa natafuta hii comment😂😂😂
Ata mm😂😂😂
UOGOPENI MOTO
Simba dwanzi sana nowadays
Acha drama ww
USIMTESE ZUCHU
Zuu umulig muongo
Domo bila kiki hatoboi alafu Zuchu anatumika tu maskini
They have one chemistry ata kama anatumika on the other hand anatengeneza hela
@@graceamadi1096kabisa yn
Hivi kuna anae amini kua eti wameachana hizo ni kiki zao tu za kijinga lao liende
Lier big time