NTEMI Swahili Movie || Bongo Movies Latest || African Latest Movies || Episode 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025
  • NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
    NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
    Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
    Hakika utajifunza kitu kikubwa.
    Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
    Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
    Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
    KAPAYA THE GREAT FILM
    Contact:
    0655 218 331/0753 318 331
    email. kapayamic75@gmail.com
    Instargram
    Kapayathegreat
    TANZANIA.

Комментарии • 222

  • @godwinkishiwa150
    @godwinkishiwa150 9 месяцев назад +3

    🔥🔥🔥🔥
    Ntemi

  • @rosemary3816
    @rosemary3816 2 года назад +5

    Nic movi inaonyesha uarisia wa kitz adi raha,, mpe Salam uyu baba mwenye panga nimempenda amejua kunichekesha,

  • @mzalendoonlinemedia7170
    @mzalendoonlinemedia7170 2 года назад +11

    Uzalendo kwanzaaaa! Geita Tanzania Na Afrika ni sasa! 🙏 tuamke kuwasapoti vijana wetu!

  • @ashurachenga8673
    @ashurachenga8673 2 года назад +8

    Wasukuma nawapenda sana jamani muvi nzuri sana ntemi

  • @ibrahimmartine9185
    @ibrahimmartine9185 2 года назад +4

    Movie nzur san nmeipenda, nakfaham san ksukuma maana ndo kabila letu hongera kwa washirk

  • @maliamgeorge7126
    @maliamgeorge7126 2 года назад +6

    Nzuri sana wasukuma oyeee

  • @khadijatanzania7817
    @khadijatanzania7817 Год назад +2

    😂😂😂Ahsanten sana kwa Filamu zenu nzur❤❤❤

  • @yusuphyasri4626
    @yusuphyasri4626 2 года назад +2

    Mko vizuri naomben namimi nafas Niko kagera Nina kipaji hicho

  • @emmajmmasuke1497
    @emmajmmasuke1497 2 года назад +6

    Asanteni saana waandaaji wa hii movie proud to be ngosha

  • @neylove7790
    @neylove7790 2 года назад +4

    Kazi nzuriiii Sana gheke Oleyombha luga ke

  • @rachelmartin516
    @rachelmartin516 2 года назад +11

    Nzuri Sana😘

  • @Nsemwabrand6665
    @Nsemwabrand6665 2 года назад +8

    Nakubari brother never give up

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 2 года назад +3

    Jamani movie hii nzuri kbsa shusha one more time

  • @marynasyieki3783
    @marynasyieki3783 11 месяцев назад +1

    Ndio nmewasili huku 😂😂kuchelewa c kukosa ntafuatilia hdi mwisho 🎉❤❤

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman3229 2 года назад +4

    Kapaya jamani penda sana my love

  • @MarcoNyanda-s7y
    @MarcoNyanda-s7y 2 месяца назад

    Jamani hii ntemi nimeipenda

  • @IgnasPius-g5d
    @IgnasPius-g5d 6 месяцев назад +1

    Safi sanaa

  • @sadajasonie7346
    @sadajasonie7346 2 года назад +2

    M/mungu akuongoze ufike mbliii zaidiiii pale unapotaka

  • @hojaerenest7543
    @hojaerenest7543 2 года назад +1

    Kiukweli mv zuli Sana nawaobea muedeleze

  • @tausisasi8252
    @tausisasi8252 2 года назад +1

    Nice kapaya na wengine wote

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Год назад +1

    Move nzr sana

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 2 года назад +12

    Hyo mpiga picha Ibrahim kitimbu jamn n rafiki yangu tumeish sana magomen dsm

  • @GuselaHangaya
    @GuselaHangaya Месяц назад

    Hongeren san

  • @SamweliCosmas
    @SamweliCosmas Год назад +1

    Movies kali kutoka Buhalahala geita 🎉

  • @alhajikipingu1661
    @alhajikipingu1661 2 года назад +1

    Kali sana

  • @husnaaliy1595
    @husnaaliy1595 2 года назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤😂😂naipendaje sana hii movie wasukuma tunajitahid sana

  • @JustineAloyce-g2k
    @JustineAloyce-g2k Год назад +1

    Wasukuma oyeee3eee

  • @sanaiyyaabdallah2874
    @sanaiyyaabdallah2874 2 года назад +3

    Punguzen kiluga wengne atuelewii tamthilia nzur sana🥰😍

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад

      sawa lakini kunamaadishi ya kiswahili hapo chini tazama vizuri

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 2 года назад

      @@kapaayathegreat wengine macho hayaoni vzur namba ndogondogo

    • @zou7470
      @zou7470 2 года назад +1

      @@kapaayathegreat mandishi hayaonekani vizur ongezeni kidogo mandishi mana wengine wabovu wa maco😔

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад

      @@zou7470 sawa ntafanya hivo

  • @gracerichard8145
    @gracerichard8145 2 года назад +1

    Ila Jeremia ananogeshaga muvi za kapaya the greet saf sana

  • @rechokizumbe7314
    @rechokizumbe7314 2 года назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @rahmaclaudine9984
    @rahmaclaudine9984 2 года назад +5

    Kuanzia leo nawafwatilia mkovizuri

  • @josephpatrick4450
    @josephpatrick4450 Год назад

    Nimependa kazi nzuri🎉 nawapa mauwa yenu

  • @jellynesssemu9406
    @jellynesssemu9406 2 года назад +4

    Waooh. Asante sana Wapendwa movie tamu sana ❤🔥😍

  • @gabrielbwai5422
    @gabrielbwai5422 2 года назад +3

    😄😄😄😂Ntemi anajua adii anaboa, bro umevaa uhusika vizur saf san👏👏👏

  • @ishatybeauty5254
    @ishatybeauty5254 2 года назад +1

    Kazi nzuri san ila wakurya tujuane. Mie ndo gati mwenyew sasa

  • @pendopascal1899
    @pendopascal1899 2 года назад +3

    Nimekuwa wakwanza nawapenda sna ila naitaji kuingiza Kaka angu

  • @zenahjoshua6301
    @zenahjoshua6301 2 года назад +1

    Tamu sana

  • @mussamashiku9278
    @mussamashiku9278 2 года назад +1

    Daaah kaka Safi sana nimemuona baba yangu mzazi ambaye ameigiza baba jeni daaaaah nashukuru sana hapo ndo nyumban kijiji cha mshinde

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад

      Hahahaaaa uko wapi wewe

    • @mussamashiku9278
      @mussamashiku9278 2 года назад

      Nipo Ifakara Morogoro ila nimejenga nyumba yangu ipo magogo geita kwenye tanki magogo senta

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 года назад +1

    Kapaya bana...unaniacha hoi....🤪😆Mungu akulinde kapaya wangu eee.🙏

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 2 года назад +1

    Wazee wenye busara ktk uposaji 💗

  • @rachelthomas5468
    @rachelthomas5468 2 года назад +1

    Naenjoy sana movie hizi nawtch nkiwa Kilimanjaro hapa lakin nafurahia sana location za kwetu gt pia nafurahi nkisikiliza lafudhi ya kokaya 🥰🥰🥰🥰🥰. Hongera sana kapayathe great film💪💪💪💪

    • @edinamalecha8157
      @edinamalecha8157 Год назад

      Eeh Bhana Geita Sehem Pendwaa naupenda Mkoa Wangu 💞💞Nipo Moshi Pia

  • @danrevelian
    @danrevelian 2 года назад +1

    Kazi nzuri sana hongereni sana....!!!! Ni suala la muda tu kuna mahali mnaelekea kwenye tasnia...!!!

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад

      Daaah, kaka ahsante sana kwa neno lako limenipa nguvu sana

  • @sharifaalazri5096
    @sharifaalazri5096 2 года назад +1

    baba jeni hayupo series

  • @neemakarisa4167
    @neemakarisa4167 2 года назад +1

    Movie kali ahk

  • @Christine-qq2gy
    @Christine-qq2gy 2 года назад +1

    Tamu sana❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏

  • @graceelneus3043
    @graceelneus3043 2 года назад +1

    Hongera sanaa hakika mnaelimisha jamii

  • @WilliamMMgila
    @WilliamMMgila 2 года назад +2

    Naombeni Na mm Nafasi humo kwenye kampun lenu jmn

  • @francismjuba8143
    @francismjuba8143 2 года назад +2

    Mwendelezo jaman

  • @aminaamina-xj6qs
    @aminaamina-xj6qs 2 года назад +1

    ♥️♥️🥰🥰🥰 movie nzur 💃💃💃🔥🔥❤️

  • @wevinawinston4821
    @wevinawinston4821 2 года назад +1

    Jamani nakupenda sana

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад +1

      Ahsante sana 🙏

    • @wevinawinston4821
      @wevinawinston4821 2 года назад +1

      @@kapaayathegreat naomba no yako

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад +1

      @@wevinawinston4821 angalia mwisho wa hiyo filamu utaziona kwenye kapayathegreat films

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 2 года назад +2

    Kazi nzuri Sana bro Allah awajalie kwa kazi yenu nzuri

  • @bahatiluck8640
    @bahatiluck8640 2 года назад +1

    Big up 👏👏👏

  • @zuhuzuli.5150
    @zuhuzuli.5150 2 года назад +1

    Wow movie nzuri saana sana 😘😘😘😘

  • @boytz202
    @boytz202 2 года назад +1

    Mnajitahid Sana nawakubali

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 2 года назад

    Wow 🥰 mm nimewapemda sana,,kwa kua kazi yenyu ni nzuri muno,,muendelee hivyo

  • @rosembasha1470
    @rosembasha1470 2 года назад +1

    Umetisha sana sana

  • @paschaljoseph9778
    @paschaljoseph9778 2 года назад +1

    Kapaya unajuwa kunifulahisha

  • @agneskasande633
    @agneskasande633 2 года назад +1

    Umetisha mudogo wangu

  • @majorsonayoub2172
    @majorsonayoub2172 Год назад

    New challenge in town

  • @johnmajondokitulla
    @johnmajondokitulla 10 месяцев назад +1

    Ninajivunia Lugha yangu ya KISUKUMA naitazama kutoka Dar es salaam NTEMI

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 2 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣😄🤣😄😄🤣😄🤣😄🤣😄🤣😄😄🤣😄🤣😄🤣😄🤣😄😄🤣😄🤣nyieeee hyo mzeee saimon 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu mzeee mkorofi sanaa inaonyesha hata kwenye fimilia yake maan akitoa hilo jicho🤣🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳😳😳😳

  • @irinechetum4240
    @irinechetum4240 2 года назад +1

    Poa sana

  • @dy5624
    @dy5624 2 года назад +1

    Deo bigapuu san

  • @gabrielbwai5422
    @gabrielbwai5422 2 года назад +3

    Good job bro keep moving.

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 2 года назад +1

    Kapaya kapaya move nzur na nitamu Sanaa ♥️💓💓💓💖💖💓💓

  • @davidjumanne-pq7dw
    @davidjumanne-pq7dw Год назад

    Aisee napenda kazi zenu adi npo Tyr kuchangia shooting 🙌🙌🙌 ntemi kaka kipaji unacho brw,. Sema Yule mzee alolishiwa mazao endeleen kumtmia anajua kusmamia uhalisia haigizi kweny camera ila anaigza anachokfanya

  • @antoniaoswald1643
    @antoniaoswald1643 2 года назад +1

    Mungu azidi kuwaongoza vyema kwa kazi mzuri za kuelimisha jamii

  • @benardchristopher8655
    @benardchristopher8655 2 года назад +1

    Ntemi swahii

  • @sosoalsos9912
    @sosoalsos9912 2 года назад +5

    Movie nzuri Sana tatizo part 2

  • @graceokutoyi2409
    @graceokutoyi2409 2 года назад +1

    Niko single nipewe ntemi nampenda sana

  • @dy5624
    @dy5624 2 года назад +1

    Unawaigizaji wazuli kaka

  • @PH10735
    @PH10735 2 года назад +1

    Wabheja sanha ngosha ulhechiza Sanhaa aseeee

  • @georgemchele8719
    @georgemchele8719 2 года назад

    Napenda Sana unavyopambana kapaya japo sijawahi kuonana na wewe hata mm nipo mwanza ni C.E.O KWA MCHELE PICTURE napenda Sana unachokifanya ipo siku nitakuhitaji kwenye kazi zangu

  • @jackutou5536
    @jackutou5536 2 года назад +1

    Movie IPO vzur sana

  • @catherinemutiembu5611
    @catherinemutiembu5611 9 месяцев назад

    Wow ❤

  • @jamesmwihaki4675
    @jamesmwihaki4675 2 года назад

    Hongeraa sana kapaya great films kazi nzurii

  • @zuhuzuli.5150
    @zuhuzuli.5150 2 года назад +1

    Episode 2 lini teja jaman😘😘

  • @judithjackson8216
    @judithjackson8216 2 года назад +1

    Kazi nzur Sana 💕

  • @djazilaramadhan6166
    @djazilaramadhan6166 2 года назад +1

    Movie nzuli sana.yenye kuvutia

  • @festomishita3303
    @festomishita3303 2 года назад +3

    Mzee saimon sio muha kweli ? 😂😂😂

  • @mukyalamuwuulu8647
    @mukyalamuwuulu8647 2 года назад +3

    Hapo sasa baba, itabidi uende shule, Smart movie Next episode basi cos twaingoja kwa hamu na gamu dia. Keep it up.

  • @Solanjerecho
    @Solanjerecho 2 года назад +2

    Nice one ❤️❤️❤️

  • @graceelneus3043
    @graceelneus3043 2 года назад +1

    Yaani mtanifirisi mwenzenu nafanya kazi ya kununua mb kila leo

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад

      Enjoy mama

    • @graceelneus3043
      @graceelneus3043 2 года назад +1

      Kwakweli mnajua kutufurahisha na kutu elimisha Mungu awatie nguvu Msonge mbele zaidi

  • @sicaliusthobias2789
    @sicaliusthobias2789 2 года назад +1

    Well done kijana

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 2 года назад +1

    Waaah Ntemi mwanamme huyo nae kapata kichuna kwl 🤣🤣🤣🤣

  • @omanbahla1511
    @omanbahla1511 2 года назад +1

    Nc ❤️❤️

  • @aminasaid6906
    @aminasaid6906 2 года назад +1

    Saf sana

  • @dy5624
    @dy5624 2 года назад +1

    Sitoiii entem

  • @sameerkulwa3980
    @sameerkulwa3980 2 года назад +1

    Kazi nzuri bro

  • @ggfvgg1207
    @ggfvgg1207 2 года назад

    Mnazingua.nakisukuma

  • @allymtondo9028
    @allymtondo9028 2 года назад +2

    Very nice

  • @mugiremagesa7591
    @mugiremagesa7591 2 года назад +1

    Kazi nzur ubunfu mkubwa

  • @pwararirapwapwiiiii9730
    @pwararirapwapwiiiii9730 2 года назад +1

    Maneno mengine yanipita Ata sielew domoniiiii🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @javanjosia7418
    @javanjosia7418 2 года назад +2

    Good morning Grandmother 😂😂😂😂😂

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 года назад +1

    Mzee saimon ni kiboko Hilo jicho

  • @drinozzsamson8676
    @drinozzsamson8676 Год назад

    Huyu kapaya amemuacha salama kweli huyo mdada aliezaa na ntemi mana mashallaa kidada cha watu me mwenyewe nimekitamani🤣🤣🤣

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 2 года назад +1

    Hebu turete Hilo limuendelezo bwazo bwana 🤣🤣🤣 wasukuma bana mnanibamba Sana na hiyo lugha yenu

  • @rahmanduwimana9595
    @rahmanduwimana9595 2 года назад +1

    Bil unafki haki napenda san kazi yen sabab zinamafunzo san

  • @mukyalamuwuulu8647
    @mukyalamuwuulu8647 2 года назад +4

    The nature is wow❤️

  • @dy5624
    @dy5624 2 года назад +1

    As ntemii mianane ngombe