Wallah shekhe. Nakupenda kwa ajili ya Allah darsa zako haziboeshi kabisa yaani unatamani aendelee isimalizike,,,wallah shekhe wetu mwenyez mungu akujalie umri mrefu wenye elmu itufadishe na sisi
Mimi hussein Shariff kutoka moyale sheikh uthman maalim mawaidha yako nimefaidika sana Allah Akupe kheri na Akupe long life ile ummah wafaidike shukran
Subhaanallah 😭 mola atuepushe tusiwe miongoni mwao 🤲🤲 namuomb Allah anijalie mume mwema mweny khofu ya Allah amiin..nami allah anidumish ktk Twa'aa yake allah n mtume wake Amiin..mola akubariki akupe kheri dunian na akhera Shekh wetu OTHMAN ❣️❣️
Wa Allah shekhe othumani maalimu nakupenda Kwa ajili ya lilahi Kwa kututolea maidha mazuri na yenye mafunzo Alhhamdulilah Alla akuzidishie kil la kheri Inshaallh taaala
🤲ya Allah tuepushe na mambo hayo ya Allah tudumishe katka ndoa zetu ya Allah tudumishe katka mema Mungu akulipe kheri shehe wetu Allah akupe umri mrefu
ASALAAM ALAYKUM wa rahmatull LLAHI wabarakatu,nakupenda sana kwa ajili ya ALL AH.mpaka tulivyokuwa Minna 2015 nilikuona umevaa kanzu Kama ya kwangu.kwa jinsi ninavyokupenda niliona aibu nikajificha.
Wallahi kwanza wacha niseme alhamdhulillah nishkuru kwa neema ya ALLAH SWT ndio ajuwae vizuri nafsi zawaja wake shekh hii dunia nimtihani lkn wacha watu washkuru unaweza kuwa mkee mzuri lkn mume akawa balaa 😢alhamdhulillah alakulu haal
Maasha-Allah tabarakallah maombi yangu ilkua nipate mume alosoma dini nakuijua ndani na nje ila sijafaulu😢 wallah dini yetu tamu sanaa alhamdhullah proud to be a Muslim🤲🤲🤲
Mashallah sheikh unasema Kila kitu but Kuna waume wenye wanaudhu yy labda utakuwa familia yakuonyesha vituko inkufanyia mambo yasiyo ya sawa unapo mwambia hawezi suluhisha sheikh mm acha tu nikwambie ukweli mm nimeoleka na ndoa but niliishi na mavyaa pamoja but ilifika wakati mavyaa yuaongea mafumbo yakiwa ataondoka atuachie mji nimevumilia mengi na mume wangu naye kuswali ukimwambia yuasema inshllah n hata hivi nisemavyo sheikh siko kwangu mie niliamua nirudi nyumban Kwa sababu mavyaa alizidi kusema ataondoka saa ii nisemavyo niliamua kusafiri coz hata mume wangu hakutaka kujua zaidi kilicho niondo pale kwao
Yaah rabbi tuepushe na hizi tabia. Yaah rabbi mjalie shkh wetu umri mrefu wenye faida hapa Dunia na kesho akher
Sheikh Othman Maalim nakupenda saaanah kwaajili ya Allah In Shaa Allah atukutanishe sote peponi na kipenzi chetu Mtume (S.A.W)❤❤
Napenda huyu Sheikh 😂😂😂Allah akuongezee umri uzidi kutuelimisha inshaAllah🇰🇪🇰🇪 ❤❤❤
Wallah shekhe. Nakupenda kwa ajili ya Allah darsa zako haziboeshi kabisa yaani unatamani aendelee isimalizike,,,wallah shekhe wetu mwenyez mungu akujalie umri mrefu wenye elmu itufadishe na sisi
amin
Allahuma ameen Allah amlipe kila la kheriiiiiiii huyu ustadhi
We acha tu huyu Shekh Allah aendelee kumtunza wallah
MASHAALLAH,
BARAKA LLAHU FIK,
ALLAHUMMA IJAAL HU MINAL FAIZIN.
Aamin ya raby
Mwenyenzi Mungu atupe mwisho MWEMA Maashallah ❤❤
Mashallah, Allah atuongoze tuwe miongoni mwa wake wema inshhallah
Ya Allah tujaliye tujitambuwe sisi wanawake
Aminii
Can we talk please
Mimi hussein Shariff kutoka moyale sheikh uthman maalim mawaidha yako nimefaidika sana Allah Akupe kheri na Akupe long life ile ummah wafaidike shukran
Subhaanallah 😭 mola atuepushe tusiwe miongoni mwao 🤲🤲 namuomb Allah anijalie mume mwema mweny khofu ya Allah amiin..nami allah anidumish ktk Twa'aa yake allah n mtume wake Amiin..mola akubariki akupe kheri dunian na akhera Shekh wetu OTHMAN ❣️❣️
Tutaftane my
Allahumma Aamiin
Niko tayari. Njoo.....
Amini
Allah akupe mume mwèma dada yangu
MashaAllah MashaAllah MashaAllah Sheikh Othman Maalim Mwenyezi Mungu akueke In sha Allah Taallah 🤲🤲🤲
Allah Akbar atupe swabaha wanawake wote inshallah 🙏, Allah akuongoze shekhe wetu uzidi kutuelimsha mashaallah ❤❤
Inshallah kuna day ntatembea tz angalau nkapta mawaidha live .. mashallah
Cheikhe wangu niko burundi nakufatilia allah akujaze kila la kheli
Ustadh othman maalim best in the world❤
mashaallah Allah ampe umli mlefu hothuma malimu
Wa Allah shekhe othumani maalimu nakupenda Kwa ajili ya lilahi Kwa kututolea maidha mazuri na yenye mafunzo Alhhamdulilah Alla akuzidishie kil la kheri Inshaallh taaala
Shee mungu akubariki akupeafya njema maishamwako
🤲ya Allah tuepushe na mambo hayo ya Allah tudumishe katka ndoa zetu ya Allah tudumishe katka mema Mungu akulipe kheri shehe wetu Allah akupe umri mrefu
االله بارك يا شيخ عثمان انشاالله
Shekhe Othaman ma'alim Allah akuweke shekhe wetu nayapenda sana madarasa yako
MaashaAllah Sheekh Osman maalimu mungu akupe umri mrefu Insha'Allah Aamiin yaa rabbi
Shekhe Allah akujalie maisha marefu 🙏🙏🙏🙏
Allah atusamehe na atupe mwisho mwema
Maashaallah sheikh othman Allah akulipe inshaallah very nice daras
🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 Masha Allah
Allha akuongoze zaidi nakupe umrimrefu shekhe athuman inshallha
Allah akulipe pepo kwa kufanz kaz ya allah
Allah amjaalie sheikh huyu husnil Khatima pamoja na sisi nampnda kwa ajili ya Allah...
Shekhe Allah akulipe kila la kheri. Hutuba zako zinaelimisha huku unafurah.
ASALAAM ALAYKUM wa rahmatull LLAHI wabarakatu,nakupenda sana kwa ajili ya ALL AH.mpaka tulivyokuwa Minna 2015 nilikuona umevaa kanzu Kama ya kwangu.kwa jinsi ninavyokupenda niliona aibu nikajificha.
Napenda Sana
Yarabbi mjalie shekh wetu mwisho mwema ishallah.
Wallah sheikh MoLA Akupe heri nyingi kwa DARSA zako kwa faida YA Umati Muhammad (s.a.w)na ma sheikh wengine mnao shirikiana .
Subhannallah Allah atupe wake wema
Allah atuongoze kwa sote inshallah.
Allahu maswali wasalim a'laa Nabiyyina Muhammad wa'alaa aali Muhammad innaka hamiidun majid
Mungu.amuweke.zaidi
Mshaallah shekhe aothumani Allah akujalie umriii mrefuuuu
Mashallah shekhe kisomo tumekipata alhamdulilah ❤❤
Masha Allah nmeyapenda sana hayo mawaidha wallah mwenyez Mungu akuzidishie babaangu ustadha wangu
Masha Allah,Allah akupe umri 🙏,🇺🇲
Mungu tudumishe katika ndo zetu inshallah
Wallahi kwanza wacha niseme alhamdhulillah nishkuru kwa neema ya ALLAH SWT ndio ajuwae vizuri nafsi zawaja wake shekh hii dunia nimtihani lkn wacha watu washkuru unaweza kuwa mkee mzuri lkn mume akawa balaa 😢alhamdhulillah alakulu haal
Wallah shekhe mungu akujalie umli mrefu tuzidi kunufaika unafanya mengi Kwa ajili allah
Mashallah ❤❤❤
Maa shaa Allah tabarakallah, sheikh Allah akupe mema duniani na mema akhera. Akina mama tumakinike!
Allah akulipe kheri Sheikh wetu Othman Maalim
SubhanaAllah. Mungu atuongoze na kizazi chetu.
MashaAllah sheikh uthman maalim...maneno mazuri hayo
ameni❤
Maasha-Allah tabarakallah maombi yangu ilkua nipate mume alosoma dini nakuijua ndani na nje ila sijafaulu😢 wallah dini yetu tamu sanaa alhamdhullah proud to be a Muslim🤲🤲🤲
Mm ni npo kma hutojali.
Inshaallah utapata
@@AyshaHamis-qw3gi kweli hayo?
@@AyshaHamis-qw3gi waishi mkoa Gani au wewe mwenyeji wa mkoa upi?
@@abdallahsalum9316 mm hata sio wa Tz
Amina
Allaha kupe mwisho mwema shekhe wetu unatuelimisha yampendezayo Allah
Allah tuswamehe cc wanawake
MashaAllah...Allah barik🤲🙏
Sheikh othman maalim é muito amado aqui em Moçambique, Allah akubariki
Mm pia napenda mawaidhayake uyu shekhe ❤❤❤❤mashallha
Shehe Allah akulipema unaponya nafsi yangu ❤
Subhannallah mtihani kwakweli, Shukran shekhe Othman Jazakallahu kher 🙏
mwenyezi mugu akujalie afya njema shekh wetu
Mungu akubariki na kuzidishie nehema in shaa Allah sheikh
Assalam aleykum WarahmatuLLAH Wabarakatu IshaaALLAH ALLAH atuongoze sisi wanawake atujalie takwa na khekma
Akujaalie Allah min ahliljannah
Asante shekh wetu uwe pamoja na mtume wet kwa kutupa mafunzo mema
Mashaallah sheikh unasema kweli
She sisi tusio na uwezo bas tu ila nilitaman mtoto wangu akue Kwa elimu Yako mungu kakuzalia hekma🎉
Sheikh Othman nakupenda bure imam🎉🎉🎉❤❤❤
MASHAALLAH ALLAHUBARIK.MAWAIDHA MAZURI HAYA.
Waaah mm hyo Acha nisijifiche Mwenyewezi Mungu nisamehe na ulifanye mke mwema amin
Àllah akupe maisha marefu sana shekha othamani
Shukran sheikh kwa mawaidha tutayafanyia kazi IshaAllah
MashaAllah tabaraqallahu ❤❤❤❤❤shukurani jazakum'Allahu'khayran ❤❤❤
mashaAllah
Masha Allah Alhamdulillah Allah Akujaze kheri Insha Allah
Mashallah sheikh unasema Kila kitu but Kuna waume wenye wanaudhu yy labda utakuwa familia yakuonyesha vituko inkufanyia mambo yasiyo ya sawa unapo mwambia hawezi suluhisha sheikh mm acha tu nikwambie ukweli mm nimeoleka na ndoa but niliishi na mavyaa pamoja but ilifika wakati mavyaa yuaongea mafumbo yakiwa ataondoka atuachie mji nimevumilia mengi na mume wangu naye kuswali ukimwambia yuasema inshllah n hata hivi nisemavyo sheikh siko kwangu mie niliamua nirudi nyumban Kwa sababu mavyaa alizidi kusema ataondoka saa ii nisemavyo niliamua kusafiri coz hata mume wangu hakutaka kujua zaidi kilicho niondo pale kwao
Mpende MUNGU sheikh
Ukimpenda mke kuliko MUNGU unaabudu sanamu.
Wanaume hawapendeki ndio mna wakiambiwa Ivo wanapenda zinaa
Maxhaalah Maxhaalah Allah akulipe duniani na akhera
😢 Allah atulinde wanawake
Mashaala allah akuweke miongoni mwa waja wema ❤❤
Maa Sha Allah...tabaraka Allah
Manshallah nataama.n xhekh kucoma kwako daaa Allah
Lailaha ila llah
Allah atusamee wanawake
Ya rabby
JazzakaAllah kheir
Mashallah
allah atuepushe nasifa hizo mbaya, na atupambe na tabia njema na atujaalie tuwe wake wema kwa.....
Estou a acompahar a partir de Moçambique❤
Mashaallah Allah atuongoze
Allah akuhifadhi sheikh Othuman
Mashaalah mawaidha mazuri sana❤
Allah Akuzidishie iman shekh
Mashallah shuqran Allah akuefadhi akuepushie naadhabul qabri ..🤲
Shekhe mawaidha yanapingana na mitihani yangu ya ndoa
Allah akudhidishie sheik
Mashallah mungu akupe umri mrefu
Mashaallah mashaallah allah akuwek inshallh ❤❤❤❤🎉🎉
Mashallah shek allah akubariki nakupe umri murefu maneniyako nimatamu sana❤❤❤❤❤❤
Mashallah tabarakallah shekhe❤❤❤
Nakupenda ustaadh ❤❤❤❤
Mashallah
Mashaallah tabaraka Allah 🙏🙏
M.a❤❤