Awwww this is so cute jamani...nilisafiri two weeks nilivyorudi paka wangu(Tamaya) alikuwa na vibe zaidi ya Manunu...so namuelewa Wema this love is really...no faking or showing off...hawa pets wana upendo hasaaa😊
Ni afadhali ukachukue yatima mmoja umtunze kwa hizo gharama za kumtunza mbwa na Mungu atakukumbuka ktk hitaji lako, kuliko kutunza mbwa ambaye hupati dhawabu yoyote kwa Mungu!
Kweli kabisa si tulioko huku nje tunajionea mengi, mbwa anatunzwa zaidi hata ya binadamu, paka yaani hata kuna mbwa wanaishi maisha ya kifahari kuliko hata mimi maisha yangu😂acha mtu ajitunzie kambwa kake
Bora upende wanyama cz wanamapenzi ya kweli kuliko binadam, Nakuombea upate mtoto jmn wema❤❤❤
Mungu akujaalie upate mtoto wa halali,,,,, Insha! Allah!!
Mwenyezi Mungu akujaalie kheri Wema upate mtoto inshaallah
Awwww this is so cute jamani...nilisafiri two weeks nilivyorudi paka wangu(Tamaya) alikuwa na vibe zaidi ya Manunu...so namuelewa Wema this love is really...no faking or showing off...hawa pets wana upendo hasaaa😊
Ni afadhali ukachukue yatima mmoja umtunze kwa hizo gharama za kumtunza mbwa na Mungu atakukumbuka ktk hitaji lako, kuliko kutunza mbwa ambaye hupati dhawabu yoyote kwa Mungu!
Dah Mungu atamjalia inshallah 😢
Bora 😂😂mmbwa kuliko 😂😂wanadamu 😢😢
Akili yako haina akili
@@jumakapilima7295Ubarikiwe sana my dear wangu 💃♥️
Kabisaaa bora manunu wake kuliko binadamu wanafiki 😂😂
Nyie wema ana hatariii
Mwenyewe mbwa na paka wangu wanavyonipokeaga kwa furaha wee,nikisafiri uwa mpaka nalia kuwaacha
Mungu ni Mwema atakujalia utapata Mtoto
Hadi nae kashangaa❤
Mungu mfanyie huyu dada wepesi apate mtoto
Duu mama mbwaa.
Had Raha ❤❤
Yani wabongo bado sana kila kitu kwenu maneno hayo mambo ya kizungu wazungu mbwa anakatiwa hadi bima kama hamjui😊
Sema nini?Mbwa wana upendo sana.
Inshaallah atapata mtoto
Waooooooooo
Hata mimi napenda mbwa😂😂😂 jamani
Unachezea na kizaziiii😂😂😂😂😂
Nilikuwa na paka km hivi jamani😢😢😢lakini walimuua😢😢 nyie
Pole
😢😢 mim napenda sana paka na wao wananipenda hata paka wa mtaan nikuwaita wanatulia kwanza
@marimchawioiiiiamdullazy8166
Mtu wa kwanza mbwa😂
Mwacheni na furaha yake hajakosea ni mbwa wake na anampenda hakuna shida
Manunu anampenda sana wema wake jmn
Pole na hongera. But adapt a kid. Utapata furaha ya ndani kabisa.
Nikweli kama unajafuga mbwa au mnyama yeyote hawezi kujua mana yake penda wema
Ila wanyam ukimpenda mm nilikuwa na nyau nyauu 😂😂😂 nyau alikuwa ananifataaaaa fataaaa
Mhhh mbwa jamani
Millard saiv mnapost usenge
Mtangazaji bana, etu mtu wa kwanza kumpokea Wema ni Manunu😂
Manunu say welcome back home mum where is your dad idriss manunu
Kwanini asi mnyanyuetu 😢
Watanzania watu waajabu hata walojaaliwa watoto pia wanafuga mbwa😅😅😅
Mapenzi wake ajae
Kua namfugo siombaya kama unamzingatia wenyemakasiriko ndio watakuongelea vibaya wanatamani wao ndio wawe huyo mbwa manunu bhasi naroho zao zachuki
Kwani hana watoto ata wakwanza awe mbwa?
Mtu wa kwanza kumpokea ni mbwa wake manunu😂😂
😂😂😂😂
MBONA UME0OKELEWA NA MANONO WOZU YUKO WAPI
Mbwa ni marafiki zetu
Yani nyie endeleeni kumkufulu mungu tu
Ukiona mbwa anatakiwa mkia ujue anakuwa na furaha
Lazina ampende sindo mtoto wake uto
Mwisho atamlala tuu na kumfira make😂😂😂
Hahaha@ivanamkapa2369
Huyo ni bwana wako
Mpende mway mbwa wako binadamu hawapendeki
Mwisho atamlala huyo mbwa sii kwa mapenzi hayo
Astaghfirullah
Mbona tial😊😊😊😊
We nzako wanapokelewa na Watoto we na Mbwa mpumbavu
😂😂😂😂😂😂
wafanye wazungu tu wakifanya wenzenu aah....ni funy video hata si mpenz wa mbwa unapenda kilichofanyika acheni chuki na ushamba
Kweli kabisa si tulioko huku nje tunajionea mengi, mbwa anatunzwa zaidi hata ya binadamu, paka yaani hata kuna mbwa wanaishi maisha ya kifahari kuliko hata mimi maisha yangu😂acha mtu ajitunzie kambwa kake
@theresiagideon2178 Akili. Viaziiiii
Nimjinga watoto yatima kibao haonii tafteni habar zamaana
Unaroho mbay