Kenyan Vs Tanzanian Music | Milele FM-K24 Synergy

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 29

  • @mokenyechacha7176
    @mokenyechacha7176 5 лет назад +10

    Ukweli Ni kwamba kenyan hawako la lugha sahihi hawajui kiingereza na hata kiswahili pia hawajui kwa ufasaha so inapokuja swala la kuandika mashairi na kuimba kwa lugha ambayo huijui vizuri huwezi kuwa vizuri juu hauko fluent na hizo lugha, kwa upande wa tz tuna lugha yetu adhimu ya kiswahili tunaielewa kwa ufasaha ikija swala la mashairi mpangilio wa vina, urari nk Ni Kama utelezi, hizo sheng zinawapotosha, so jifunzeni kwanza lugha kabla ya kuingia kwenye game

    • @sakeenaalhajri5151
      @sakeenaalhajri5151 4 года назад +1

      100/%right

    • @toniokats5601
      @toniokats5601 3 года назад

      Forget about the language music is all about melody,rhythm and rhyme that's why Congolese music is loved across Africa and by all ages.

  • @emmanueljohn5162
    @emmanueljohn5162 6 лет назад +12

    Tz ni kama Brooklyn
    Ukirealese ngoma ziii aipigwi ata kwa club ya mamamuuza
    Tz wako liiit from beats,flavour and lyrics..... Kama mbele

  • @isackkiteve5975
    @isackkiteve5975 4 года назад +5

    Mziki wa Kenya ukivua beat basi kuna ktu kabisa. Kw asilimia kubwa mziki w Kenya una enjoi beat kuliko wanachoimba.
    Mziki wa Tanzania, vua beat still utapenda usikiliza. Ukirudisha beat, unakuteka mazima.

  • @godfreygidion8300
    @godfreygidion8300 5 лет назад +4

    nimecheka sana from tz mwanza

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign 4 года назад +2

    Washkaji mnachekesha sana, napenda show yenu from TZ

  • @mwamengele
    @mwamengele 5 лет назад +3

    Much love to you our Kenyan brothers n' sisters. Huku tunawaelewa sana Sauti sol, Nyashinski, Prezoo wotee

  • @dedankimathi4087
    @dedankimathi4087 5 лет назад +2

    Safi sana leo nimecheka saaaaaaaaaana

  • @salimihaviq501
    @salimihaviq501 6 лет назад +5

    Kenya tuko mbioni miziki ya kubembeleza achia wa WA tz.

  • @godwinkipkoech5029
    @godwinkipkoech5029 6 лет назад

    I just love you guys @jalas and @ alex.mkienda tunaenda mkihama tunahama .... i love your show.mkitangaza tuko locked tena sana.

  • @centi50s
    @centi50s 6 лет назад +13

    The truth is Kenyan music haina maana or message most of the time. Ni upuzuzi mtupu wanaimba.

  • @nelibaba
    @nelibaba 4 года назад +3

    🇹🇿

  • @munisjr1
    @munisjr1 5 лет назад +1

    muziki wa kenya si mbaya shida wasanii wa kenya hawjui content gani ya kuimba na kwa muda gani na kwa nani....plus kenyan hamsupport mziki wenu....watanzania tunapenda mziki mzuri na kwa muda husika na kwa watu husika....mbona kaligraph,nyashiski sauti soul na yule dada anae fnya mziki nje ya nchia aliimba tunabembea tunampenda sana......

  • @abdishukrihalake1761
    @abdishukrihalake1761 6 лет назад +4

    Konki konki konki master

  • @margaretmulinge8419
    @margaretmulinge8419 6 лет назад +2

    konki masters in studio

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 4 года назад +4

    Siri kubwa ni kuwa Tanzania wanajua kiswahili vizuri kuliko Kenya na ndio mana Tanzania ndo mafundi wa Mashairi

    • @toniokats5601
      @toniokats5601 3 года назад

      Music is never about language as you put it and that's why Congolese music will forever reign......rhythm,rhyme and melody

    • @superk1186
      @superk1186 3 года назад

      @@toniokats5601 Congolese songs are danceable that why

    • @toniokats5601
      @toniokats5601 3 года назад

      k abdkm and why is it danceable???? Because of medoly,rhyme and rhythm

  • @nestashi9648
    @nestashi9648 4 года назад

    Mbonaa masauti anaimba hapigi kelele kama izo kenyan artists nyingne

  • @izackshindanobalzack1858
    @izackshindanobalzack1858 6 лет назад +1

    Kabisa

  • @josephmorganklaustv2876
    @josephmorganklaustv2876 6 лет назад +2

    #Itambemilele

  • @jackieshala9195
    @jackieshala9195 6 лет назад +1

    Vijana mko wapi?

  • @trishtrish2349
    @trishtrish2349 6 лет назад +1

    wacheni kutetea kenyan artists. To be honest the only talented singers ni avril, na otile na lat e sir

    • @mwangigitau286
      @mwangigitau286 6 лет назад

      Lambwa Matako sana wewe.. Wakati wakubembelezana hatuna sisi, tupo mbioni kupata rizki.

    • @MuswetaChampe
      @MuswetaChampe 5 лет назад

      Ati avril..... 😂😂😂😂😂😂 pole

    • @goodluckmgari9185
      @goodluckmgari9185 4 месяца назад

      Hta Nyanshinsk sijui nmeandik vzuri jina Yuko vizuri sana jamaa namkubali kinoma Ngoma zake kutoka Tz

  • @joramodhiambo8470
    @joramodhiambo8470 6 лет назад +1

    konki konki konki master