Ukweli Ni kwamba kenyan hawako la lugha sahihi hawajui kiingereza na hata kiswahili pia hawajui kwa ufasaha so inapokuja swala la kuandika mashairi na kuimba kwa lugha ambayo huijui vizuri huwezi kuwa vizuri juu hauko fluent na hizo lugha, kwa upande wa tz tuna lugha yetu adhimu ya kiswahili tunaielewa kwa ufasaha ikija swala la mashairi mpangilio wa vina, urari nk Ni Kama utelezi, hizo sheng zinawapotosha, so jifunzeni kwanza lugha kabla ya kuingia kwenye game
Mziki wa Kenya ukivua beat basi kuna ktu kabisa. Kw asilimia kubwa mziki w Kenya una enjoi beat kuliko wanachoimba. Mziki wa Tanzania, vua beat still utapenda usikiliza. Ukirudisha beat, unakuteka mazima.
muziki wa kenya si mbaya shida wasanii wa kenya hawjui content gani ya kuimba na kwa muda gani na kwa nani....plus kenyan hamsupport mziki wenu....watanzania tunapenda mziki mzuri na kwa muda husika na kwa watu husika....mbona kaligraph,nyashiski sauti soul na yule dada anae fnya mziki nje ya nchia aliimba tunabembea tunampenda sana......
Ukweli Ni kwamba kenyan hawako la lugha sahihi hawajui kiingereza na hata kiswahili pia hawajui kwa ufasaha so inapokuja swala la kuandika mashairi na kuimba kwa lugha ambayo huijui vizuri huwezi kuwa vizuri juu hauko fluent na hizo lugha, kwa upande wa tz tuna lugha yetu adhimu ya kiswahili tunaielewa kwa ufasaha ikija swala la mashairi mpangilio wa vina, urari nk Ni Kama utelezi, hizo sheng zinawapotosha, so jifunzeni kwanza lugha kabla ya kuingia kwenye game
100/%right
Forget about the language music is all about melody,rhythm and rhyme that's why Congolese music is loved across Africa and by all ages.
Tz ni kama Brooklyn
Ukirealese ngoma ziii aipigwi ata kwa club ya mamamuuza
Tz wako liiit from beats,flavour and lyrics..... Kama mbele
Mziki wa Kenya ukivua beat basi kuna ktu kabisa. Kw asilimia kubwa mziki w Kenya una enjoi beat kuliko wanachoimba.
Mziki wa Tanzania, vua beat still utapenda usikiliza. Ukirudisha beat, unakuteka mazima.
nimecheka sana from tz mwanza
Washkaji mnachekesha sana, napenda show yenu from TZ
Much love to you our Kenyan brothers n' sisters. Huku tunawaelewa sana Sauti sol, Nyashinski, Prezoo wotee
Safi sana leo nimecheka saaaaaaaaaana
Kenya tuko mbioni miziki ya kubembeleza achia wa WA tz.
I just love you guys @jalas and @ alex.mkienda tunaenda mkihama tunahama .... i love your show.mkitangaza tuko locked tena sana.
The truth is Kenyan music haina maana or message most of the time. Ni upuzuzi mtupu wanaimba.
🇹🇿
muziki wa kenya si mbaya shida wasanii wa kenya hawjui content gani ya kuimba na kwa muda gani na kwa nani....plus kenyan hamsupport mziki wenu....watanzania tunapenda mziki mzuri na kwa muda husika na kwa watu husika....mbona kaligraph,nyashiski sauti soul na yule dada anae fnya mziki nje ya nchia aliimba tunabembea tunampenda sana......
Konki konki konki master
konki masters in studio
Siri kubwa ni kuwa Tanzania wanajua kiswahili vizuri kuliko Kenya na ndio mana Tanzania ndo mafundi wa Mashairi
Music is never about language as you put it and that's why Congolese music will forever reign......rhythm,rhyme and melody
@@toniokats5601 Congolese songs are danceable that why
k abdkm and why is it danceable???? Because of medoly,rhyme and rhythm
Mbonaa masauti anaimba hapigi kelele kama izo kenyan artists nyingne
Kabisa
#Itambemilele
Vijana mko wapi?
wacheni kutetea kenyan artists. To be honest the only talented singers ni avril, na otile na lat e sir
Lambwa Matako sana wewe.. Wakati wakubembelezana hatuna sisi, tupo mbioni kupata rizki.
Ati avril..... 😂😂😂😂😂😂 pole
Hta Nyanshinsk sijui nmeandik vzuri jina Yuko vizuri sana jamaa namkubali kinoma Ngoma zake kutoka Tz
konki konki konki master