Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

YANGA NA SIMBA NI VIBONDE KWENYE MICHUANO YA KLABU BINGWA YA AFRIKA| IDADI ZA PIONTI NI NDOGO SANA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 июл 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 22

  • @user-px1gd4de7k
    @user-px1gd4de7k Месяц назад

    Osca yuko sawa Ila Mwandishi umekosea Simba haianzi hatua ya awali, awali kwa lugha rahisi ni chekechea. Timu 3 ndio vibonde

  • @Damsonmwiga-t8q
    @Damsonmwiga-t8q Месяц назад

    Ujui chambua mpira wew cklza crown media upate maarifa kibonde cmba alie kombe la waliofel

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 Месяц назад

    Ondoka Acha Uongo MNAHAĹIBÙ WASAFI ĶWA KUIPENDELEA YAÑGA

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 Месяц назад +1

    Osca Kwa huku umechemka owent Kila msim zipo babu

  • @Sukuma_Tv
    @Sukuma_Tv 29 дней назад

    Kama hawa ni vibonde na Gor mahia nao tunawaitaji huyu hajui mpira na ni mbabaixhaj na mpotoshaji xijuw kwann huwa anajixahau

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 Месяц назад

    Osca, akili Yako ndo imefikia mwisho apo

  • @michaelkamaghe5046
    @michaelkamaghe5046 Месяц назад +1

    Kaka hujui lolote Simba haianzi kama yanga Simba ni wakubwa sana

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh Месяц назад

    Huyuuu oscar hajuiii kuchambuaaa mpilaa.chakufanuaaa huyuu tumuridisheeee darasa la 1 ajifunzeeee tenaaaa maaana anahalibuuu snaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂 hakijuiiii kuchambuaaaaa

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t Месяц назад

    Hata simba wangekuwa ligi ya mabingwa wangeanzia hatua ya awali kutokana na tim zimepunguzwa za kuanzia hatua ya mwanzo badala ya 10 zimepunguzwa mpaka 5 sasa alaf kumbukeni shirikisho hata azam msim jana hakuanzia hatua ya awali japo azam hawakuwah kufika hata makundi. Simba ni kweli wamefanya vizur misim mitano ilo halina ubishi ila caf wanabadilisha sana mifumo yao ni bora ingebaki tu vile ilivyokuwa mwanzo top 10 wasingeanzia hatua za awali ila kwasas hata alioko nafasi ya 6 anaanzia priliminary😢😢😢😢

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j Месяц назад

    Kuna figisu zinafanyika kukwamisha juhudi zao. Usikurupuke kusema vibonde wakati mambo yanaonekana wazi wazi kua timu fulani ndizo zinazopangwa kushika nafasi za juu kwenye ligi hiyo. Kisha ww Kijana ukizungumza jambo lifanyie uchunguzi kwanza.

  • @aminamano775
    @aminamano775 Месяц назад +1

    We oscar huelewi chochote ngombe we

    • @JumaSaidi-xq7ui
      @JumaSaidi-xq7ui Месяц назад +1

      Anasema ukweli utopolo ni vibonde😂😂

  • @boscoShama
    @boscoShama Месяц назад

    Oscar we mbwa hujui mpra

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Месяц назад

    Labda nikuulize swali,je,kwa kukosea huko na kushuka kiwango kwa simba unakupima kwa kutumia kigezo kipi? wakati kama robo ya club bingwa alifika na bado timu kubwa zimepigika hadi 6 na 7 kimataifa. Hebu uwe mkweli kwa kuzingatia data

  • @RaysonAlex-g3v
    @RaysonAlex-g3v Месяц назад

    Oscar wew huna akili unafanya kuongea kwa sifa hula lolote

  • @petersikalumba608
    @petersikalumba608 Месяц назад

    Leo Oscar umechemsha dogo

  • @robertsalum1968
    @robertsalum1968 Месяц назад +4

    Oscar haujui lolote acha kudanganya watu mtafute mbwaduke akupe dalasa hulu

  • @abdallahchungulu4439
    @abdallahchungulu4439 Месяц назад

    mmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhh

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x Месяц назад

    Oscar iko sahii

  • @petersikalumba608
    @petersikalumba608 Месяц назад

    Leo Osca umechemsha dogo