CHODO MASTER. /STARING MBOTO, RIYAMA & CHODO/ new Swahili African Bongo movie

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 22

  • @alicelenard5954
    @alicelenard5954 10 дней назад +2

    Chodo jmn 😭😭😭umeniliz nmekumbuk mbali daaah
    anyy unawezaaaa😊😊❤❤❤ 😭😭😭

  • @ShakilaOma
    @ShakilaOma 7 дней назад +4

    Nampenda riyama jaman 😅😅😅

  • @zainabkutwaa3327
    @zainabkutwaa3327 6 дней назад

    Nizuri yani hadi rahaaa ila nakuoba muvi zako zakitabo kuna moja sujui jina ila naikubuka riama uliolewa na kijana mdogo akijita sulesh yakislamu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼

    • @SafiaAliy
      @SafiaAliy 6 дней назад

      Ukipata njuze na mm kipenzi

    • @SadaAthumani-d4w
      @SadaAthumani-d4w 4 дня назад

      Kama jina mmelisahau hio movie yaitwa TABU YAKUOLEANA

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 11 дней назад +8

    Yani chidi wewe hivi ndio upo au kwa maisha ya uhalisia upo imara ? Mwenzio nauliza tuh juu nikipata mwanaume kama wewe basi sihesabu Nina mume 😅 ndio maana hata kwa huba kibibi kakupelekesha kumbe wewe ni mboga tuh Kuwa mwanaume basi 😂😂😂. Kisha tuleteeni part 2( two) lazima huyu kibabe abadilike au auwawe juu anajisifu sana shenzi mkubwa

  • @HamisiMachinda
    @HamisiMachinda 5 дней назад

    Kazi nzul 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @OnesmoStephanie
    @OnesmoStephanie 28 дней назад +1

    Nzuri mnoo nimeipenda Sanah

  • @MariamOmar-e7q
    @MariamOmar-e7q 7 дней назад

    😂😂😂😂alimkaba mzazi ati😂😂😂😂 sw

  • @RahemaOman
    @RahemaOman 15 дней назад +3

    Asalam alykum vp halizenu mko poa nimeipenda sana wap like maua yenu ❤❤😘🌹🌹💓

    • @YvonneMukoya
      @YvonneMukoya 14 дней назад +1

      Waleykum salaam warahmatullah wabarakatuh.hatujambo

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 11 дней назад +1

      Waleikum Salaam warahmatulahi wabarakatuh

  • @MgonjaFide
    @MgonjaFide 5 дней назад +1

    Riiama kama riama haupoagi vichambo

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 3 дня назад

    Punguzeni sauti ya Mziki

  • @HalimaHalima-tq2bc
    @HalimaHalima-tq2bc 8 дней назад

    Mbagala moja iyo

  • @jeremayaClassicPhoto
    @jeremayaClassicPhoto 4 дня назад +1

    movie iko poa lakini background sound ipo juu sn mpka inaboa ss

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 8 дней назад

    Saudi sound ni kubwa hadi inakera inashinda sauti za wasanii

  • @AzizaShaik-v8o
    @AzizaShaik-v8o 6 дней назад

    😅😅

  • @Quilant749
    @Quilant749 9 дней назад

    yaani movie ya kitanzia yenye haina hozo kelele jamani