🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 33

  • @nancyomwenga7633
    @nancyomwenga7633 Год назад +29

    Nina ushuhuda wa sasa hivi, nipo Nairobi Kenya nimesikiza mahubiri ya njioni hii na pr. Mmbaga aliposema tutoe mchango wa vitabu kwa wafungwa nimetoa mchango wangu kidogo. Nimeshangaa jino lililokuwa linaniuma tangu jana bila kusikia dawa limepona ghafla baada ya maombi. I thank God

    • @margaretwanjiru9096
      @margaretwanjiru9096 Год назад +2

      Amin

    • @ephrasienasifiwe3393
      @ephrasienasifiwe3393 Год назад +2

      Amen

    • @roselineombati670
      @roselineombati670 Год назад +3

      Bwana apewe sifa, hakika mch. Mungu anamtumia kufanya kazi nzito Sana
      Roho nyingi zimepona kupitia yeye nikiwa mmoja wao Sai najisifia huyu mungu maana nimeona matendo yake makuu, hallelujah

    • @nezerinejuma5510
      @nezerinejuma5510 Год назад +2

      Thank you lord 🙏🏾🤲

    • @EstherOkwon
      @EstherOkwon Год назад +2

      Amina, Jina la Baba Mungu wetu aka akapate sifa milele zote

  • @janetwambuchi830
    @janetwambuchi830 Год назад +7

    Amen please pray for my family..the spirit of poverty keeps on following us may God deliverer us.. from Kenya. Be blessed 🙏🙏.

    • @ericngugi603
      @ericngugi603 Год назад

      Christ in you we are new ,in you we are victors, forgive my sins as well as the sins of this family,in you Christ there is incredible greatness of God's power for us who believe in you,this is the same mighty power that raised Christ from dead,by the same power I pray unto you kindly raise this family from poverty to your riches in glory for honour of your name,Christ you died took away their poverty for them to be rich ,bless them incredibly ,spiritually, materially, mentally and also health wise for Christ glory Amen
      You and your family you can do all things through Christ who strengths you.

  • @tracysally-im7fw
    @tracysally-im7fw Год назад +3

    Pastor unanipa nguvu ya kusonga mbele ki imani, Mungu akuweke

  • @puritybonareri8794
    @puritybonareri8794 Год назад

    Amen 🙏
    Mungu asifiwe siku zote
    Kweli sisi ni haki ya Mungu
    Am a testimony that God lives.
    From Nairobi

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 Год назад +1

    Mungu akubariki sana saana Pastor Mmbaga,najifunza mengi kupitia Mafundisho Yako mazurii.Nafunguliwa,naponywa,narehemiwa,hakika Namuona MUNGU Mimi na familia yangu.🙏🙏🙏♥️

  • @chenkime3258
    @chenkime3258 11 месяцев назад

    Nabarikiwa na kujifunza Sanaa kwa masomo yako Mungu akubariki sana pastor🙏

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Год назад +3

    Natamani sana kumjua MUNGU,nawafuatilia kutoka Saudi Arabia

  • @Marksamson-b8j
    @Marksamson-b8j Год назад +1

    Mbaga umekua ni Hilo wangu mda mlefu sana na hata Leo nakuelewa sana mchungaji na bwana akubalik

  • @kazidotto8675
    @kazidotto8675 Год назад

    Mungu akubaliki sana mchungaji

  • @TuliaIpopo
    @TuliaIpopo 10 месяцев назад

    Ameen

  • @luciashayo9896
    @luciashayo9896 Год назад

    Yehova Mungu wetu apewe sifa kupitia kwa mwanae yesu kritu baikiwa sana pasta mbagga nakufuatilia sana mimi i nipo chalinze

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 Год назад

    Hekima na busala iwe kwako siku zote mtumishi wa Mungu, mahubiri mazuri ya kiroho yana tubariki, Amina

  • @luciashayo9896
    @luciashayo9896 Год назад

    Barikiwa pasta

  • @adarashidi8178
    @adarashidi8178 11 месяцев назад

    Àmen 🙏🔥🙌

  • @eustina0
    @eustina0 Год назад

    Aminaa Mungu nmwema

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Год назад

    Asantii sana pst mimi nimemwaacha mume wangu sababu nilichoka kumuombea,inamaana kuna siku yake MUNGU nirehemu na unitie nguvu.

  • @dottogatuntu
    @dottogatuntu Год назад

    Mungu atukuzwe kwa ajili yako

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Год назад

    Halelya mbarikiwe sana

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Год назад

    Amina

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Год назад

    Nyakati ndio hizi MUJUNGAJI,inchi yetu Kenya inaungua na ujumi

  • @adorymongish2972
    @adorymongish2972 Год назад +1

    Kweli kabisa vitu vyao vingi vina sanamu ya nyoka umenifunza kitu hapo

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Год назад

    Hako karoho kamenisumbua,pst nifanyeje👋

  • @roselineombati670
    @roselineombati670 Год назад

    Bwana akubariki Sana,
    Nina swali hapo wkt jaribu la kutoa linakuja na huna ufanyeje? Juu limenikuta mara kadhaa

    • @ericngugi603
      @ericngugi603 Год назад

      Roseline hujambo,kama sikosei Mungu haezi kukujaribu kwa kitu ambacho hajakupatia,akikwambia utoe na Huna kabisa kabisa ata shillingi moja utatoa nini?

  • @ndayizigasamson665
    @ndayizigasamson665 Год назад

    Safisana yakwangu itafikaje?

  • @puritybonareri8794
    @puritybonareri8794 Год назад +1

    Amen 🙏
    Mungu asifiwe siku zote
    Kweli sisi ni haki ya Mungu
    Am a testimony that God lives.
    From Nairobi