Wito Wangu S03EP03 na Padre Mario Dias OFM Cap, Padre Muhindi Aliyekata Mitaa ya DSM hadi Shinyanga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    Mawasiliano:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Комментарии • 13

  • @bahatiinnocent4375
    @bahatiinnocent4375 3 года назад +5

    Congrats Ndugu Mario Diaz. Pacha wangu katika safari ya wito katika shirika la ndugu Wakapuchini

  • @christinemasiaga3378
    @christinemasiaga3378 3 года назад +4

    Tunajivunia sana kuhudumiwa na mtoto wetu aliyekua na kulelewa katika mazingira ya Parokia yetu. Tunamwombea baraka na neema nyingi ili aweze kuwavuta vijana wetu wengine wa Upanga wajiunge katika safari yake.

  • @jullianambena1503
    @jullianambena1503 3 года назад +3

    Hongera sana Fr Mario.
    Mungu Aendelee Kukutunza na Kukuongoza Daima

  • @lelomushikimboka9938
    @lelomushikimboka9938 2 года назад +1

    Hongera Baba Mario, mwalimu wangu na mlezi Maua Seminari!!! Mungu aendelee kukubariki na kukulinda!

  • @VeronicaSarungi
    @VeronicaSarungi 3 года назад +2

    Tunamtukuza Mungu kwa wito wa Fr. Mario na makapuchini wote

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose3286 3 года назад +1

    Mwenyezi Mungu akuinulie Nuru ya Uso wake na kukufadhili, Roho wake Mtakatifu akuangazie Nuru katika njia ya utumishi wako.

  • @tesharose5041
    @tesharose5041 3 года назад +2

    Hongera Sana father kwa utume mzuri🙏

  • @paulina.baynit7970
    @paulina.baynit7970 2 года назад

    Hongera sana pd na ndg. Mario. 🙏🙏🙏.

  • @marymnyanyi9221
    @marymnyanyi9221 3 года назад +1

    Tunamshukuru Mungu kwaajili yake

  • @reginaldleonce9332
    @reginaldleonce9332 3 года назад

    Hongera NDG Mario.Nimekukumbuka tuliachana pale Kola mwaka 2005.Mungu akulinde daima.Mm Reginald sea Leonce

  • @zedianagasper9475
    @zedianagasper9475 3 года назад +1

    Hongera barikiwa na yesu

    • @ziporakamalakamala5903
      @ziporakamalakamala5903 3 года назад

      Barikiwa sana ,na mama maria azidi kukumbatiya ktk utumishi wako nimekupenda ni zawadi kutoka kwa mungu

  • @tanzaniaunforgettable4401
    @tanzaniaunforgettable4401 3 года назад

    Subtitle mbona sizielew?
    Hongera sana baba padre tunazid kukuombea udumu katika wito wako