JAY MELODY Atoa ya MOYONI "NAPENDA DRAMA za HARMONIZE/WCB/HAPANA sija SIGN/WAMENIANGUSHA
HTML-код
- Опубликовано: 3 май 2024
- Mwanamuziki JAY MELODY ambaye kwa sasa anafanya vizuri na Album yake ya Therapy amefunguka kuwa anapenda sana Drama za Harmonize kwenye mitandao ya kijamii. Lakini pia amegusia tetesi za kusaini chini ya Lebo ya WCB ya Diamond Platnumz
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#JayMelody #Harmonize - Развлечения
Namsikia Salama Jabri ndani ya mtangazaji. J Melody you are so bright. Big brain. Bonge la interview
Et jay two nimependa io🙌🔥🔥
Your best interview so far my sister. Jay melodi anaonekana ni cool guy.
BONGE MOJA LA INTERVIEW MAJIBU HONEST KUTOKA KWA JMELODY BIG UP🎉🎉🎉🎉
Nakubali hyo msani kinyama naitwa Saviour stant kutoka Congo drc
MashaAllah huyu mdogo akona akili 😂Kumshida dulla😂😂😂😂
Jay once again
Jay kama jay👍👍
He's very humble Mashaalah atafika mbali
Bro uko pow sana
Konde kama maji utamtaja tu hadharani au bafuni
😂👏
😅😅😅😅😅
❤
Huyu demu anaropoka excessively 😊
Kondeboy jeshii
Konde lazima atajwe
Konde lazma mumtaje