TAFSIRI ZA NDOTO ZA MATUNDA EP 1 / Imamu Mponda

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 49

  • @noorischmutisch5321
    @noorischmutisch5321 3 месяца назад

    Assalaam aleikum warahmatullah wabarakatuh,,mimi nimeota mti mmja umetoa matunda tofauti tofauti nilipogeuza macho kuangalia hayo matunda nikashangaa na kufurahi sababu nilizungukwa na maembe,mapapai,matikitii maembe ya apple,,na ndizi kisukari mashaallah nikasema nitatunda niwape na majirani wangu pia!

  • @yusrashaban8138
    @yusrashaban8138 6 месяцев назад +2

    Sheikh niliota jazu ati nachuma passion zilizoiva kwa jirani yangu lakini kwa mti yalikua na mbichi

  • @AshaIrankunda-m2j
    @AshaIrankunda-m2j 8 месяцев назад +3

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh mim nimeota naona nachuma limau ndimu kweny mti limao lenye kuwiva larangi yanjano

  • @iqrahiqrah377
    @iqrahiqrah377 Год назад +3

    Je ukiota unapita kijiji au sehemu kuna ma fenesi mengi mashambani.

  • @FatimaAhmed-xe1gt
    @FatimaAhmed-xe1gt 4 месяца назад +2

    Nimeota mapapai mabichi mengi na Moja lime hiva

  • @Hidaya-e7x
    @Hidaya-e7x 9 месяцев назад +2

    Mm nmeota nakula tunda lkn limeoza, nkalitupa

  • @Dil-nawadhFt
    @Dil-nawadhFt 6 месяцев назад +2

    Mm nimeota wadogo wangu wamekuja na zambarau mzur

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  6 месяцев назад +1

      hiyo ni bishara ya kufunguliwa milango ya rizki

    • @Dil-nawadhFt
      @Dil-nawadhFt 6 месяцев назад +1

      @@mpondamedia2416 Aslam alykum mm mmeota mume alioniacha kaniowa ten anaozishwa imekuj ten glafla Kam ymwanz

  • @LoicyBarasa-ey2gn
    @LoicyBarasa-ey2gn 11 месяцев назад +2

    niliota nakula ndizi lililo hiva

  • @رقيهالغافري-غ1ذ
    @رقيهالغافري-غ1ذ 9 месяцев назад +2

    Shehe ukiota upo choni

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  6 месяцев назад

      hiyo ni bishara ya kuwa na mashetani mwilini mwako

  • @tatuhassani3769
    @tatuhassani3769 Год назад +1

    Shekhe mm naimeota ndoto5 zinazo ashiria kutolewa lakn bado sjaolewa

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  Год назад

      Yawezekana una jinni Ummu subiyani au umefungwa kichawi usiolewe ukihitaji dua nitafute whatsap 0652286323

  • @MercilineMercy-x2d
    @MercilineMercy-x2d 7 месяцев назад +1

    Mimi nimeota mambonga mara nyingi sana Tena hua makubwa na yenye afiya.juzi nimeota ya kwamba nimeona mambonga lakini yameoza.

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  6 месяцев назад

      hiyo ni bishara ya kufanikiwa kimaisha alafu utashuka kama unafanya biashara utafilisika unatakiwa ufanyiwe dua ya kinga na kuepushwa na mabalaa

  • @RoseJohn-j2z
    @RoseJohn-j2z 12 дней назад

    Asalm aleikum mm nimeota nikiwa na ndiz nne mbil nikala mbil nikampa mwanaume ale

  • @blackdragon2017-i9q
    @blackdragon2017-i9q Месяц назад

    Asalamwalakum warahmatulahi wabarakatuh mwalimu mimi nimewota nanda kwa mubibi umodja simujuwi nikalala cyini yamuti walimawo ala nikakula limawo limodja nikamwambiya bibi mbona unalimawo lingi uwe unaleta kulekwwtu uziwuze akakata akanambiya mimi siwezi kuwuza limawo zangu iyo inasema noni?

  • @HedayaCorwa
    @HedayaCorwa 4 дня назад

    Shekhe mimi niliota ndoto ya matunda mengi ila ni dizaini mbili 2 yani ni mafenesi na mashelisheli ila yakiwa bado yapo mtini ayajaanguka je hii inamana gano

  • @HamisRajabu-w6l
    @HamisRajabu-w6l 7 месяцев назад +1

    Naomba tafsiri ya ndoto ya korosho

  • @aishaKaimbi
    @aishaKaimbi 7 месяцев назад +1

    Mi nimeona mti WA mlimao imependeza na kuna nyanya zimependeza Ila hazijaiva ila zimependeza Sana mpaka nikazitamani nikisema safari hii tunakula nyanya nzuzi ila Kwa pembeni kulikuwepo zingine zimefungwa kwenye mifuko meupe zimependeza

  • @EnduBoy
    @EnduBoy 3 месяца назад

    Ukiota unakula. Ndizi

  • @dmshana4242
    @dmshana4242 Год назад

    Mim nimeota malimao mengi kwenye kap nimepawa na bib angu Ila nikawape mbuzi lakin Cha ajabu nikapewa na hela mkononi

  • @رقيهالغافري-غ1ذ
    @رقيهالغافري-غ1ذ Год назад +1

    Shehe ujiota karafuu zipo kwenye mti

  • @TwanaMapesa
    @TwanaMapesa Год назад +1

    Shehe nimeota nachuma machungwa mengi sana watu wanachuma ila nikitaka kula nanyimwa nikapewa viembe vidogo dogo nile nikakataa

  • @Albert-p4y
    @Albert-p4y Год назад +1

    Mim naota mti wakwanza una machenza yapo yamezoea juu ndege wanakula na wapili mchenza nilipoukalabia nikaushika na kuutikisa yskapilomoka mengi skua na mfuko nikakunja tisheti yangu nyeupe niliokua nimevaa nikayaweka nikapeleka nyumban na nilikua kijijin kwetu

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  Год назад

      Hii Ina ashiria nyumbani kwenu itaingia neema ya rizki kubwa kwa uwezo wa Allah

  • @MwanamisiTenga
    @MwanamisiTenga 10 месяцев назад

    Asalam alykum mm nimeota napeana matunda nagawa matunda mabich lkn matunda aina yote ovacado,papai,ndiz ,tomatoka yan vitu vigi matunda aina yote na ndizi lkn vyote vilikuwa green

  • @mwachamwacha-ko6jq
    @mwachamwacha-ko6jq Год назад

    Nimeota naokota maembe chini ya muenbe na yapo mafungu na mengine naya kusanya nayaweka seem moja

  • @FattywaIssaNazli
    @FattywaIssaNazli 3 месяца назад

    Nimeota nakula tende

  • @eliamlomo6620
    @eliamlomo6620 Год назад

    nimeota nimeona mwali ukiwa kitandani

  • @رقيهالغافري-غ1ذ
    @رقيهالغافري-غ1ذ 9 месяцев назад +1

    Ukiota fenes au embe unaiyokota

  • @winnymbula
    @winnymbula 4 месяца назад +1

    Kwanini upendi kuogea Kiswahili

  • @DianaJustine-q3f
    @DianaJustine-q3f Год назад

    Shehe habar mie Leo nimeota kwanza ninamimba kubwa sna lakin badae nikapita sehem nikachuma matunda mekundu yapo kama makoma manga au maepo ma3 nikaanza kuyala maanake nn

  • @AlimanuroAli-sv3os
    @AlimanuroAli-sv3os 6 месяцев назад +2

    A alaikum shekhe ukiota unapewa ndizi alafu umewolewa?

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  6 месяцев назад

      Wa alaykumu ssalaamu hiyo ni bishara ya kupewa habari itakayo kufurahisha au upana wa rizki zako

    • @AlimanuroAli-sv3os
      @AlimanuroAli-sv3os 6 месяцев назад

      Chekhe nimeota babá yango ananipa pesa nikanunuwe simu alafu yeye kafariki zamani

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Месяц назад

      ​@@mpondamedia2416ukiota umeletewa ndimu nyingi sana maana yake nini

  • @EstaGodfrey-e6j
    @EstaGodfrey-e6j 3 месяца назад

    Shee nimeota mzabibu una zabibu nyingi mbichi lakini taji1tu ndo limeiva na zabibu zilikuwa zinadondoka naokota nakura.Sijaerewa mahana ake

  • @faithwemamusic5266
    @faithwemamusic5266 4 месяца назад +1

    Pia niliota nikila ndizi lililoiva

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  4 месяца назад

      hiyo ni ndoto nzuri

    • @fatmahussein2146
      @fatmahussein2146 4 месяца назад

      Mm nimeota kuna watu wanakamata watu na kuwanyanyasa na kuwapiga vby wakawa wanankimbiza na Mimi wanawake watatu Ila walikuja kunikamata wakanipeleka kwenye jengo la ghorofa ili na Mimi wanipige nikawa nawaambia naombeni msinipige msiniue Nina mtt mdogo mm mwanamke mwenzenu Ila waligoma kunielewa baadae nkafanikiwa kuwatoroka Ila ktk kutoroka ikaonekana ni kitambo kimepita narudi kwenye lile lile ghorofa na kuishi humo nkakutana na watu wengine ktk Hilo ghorofa tukawa tunamenya machungwa matamu sana tunakula je hii itakuwa na Mana gani shekhe wangu naomba msaada wa tafasiri

  • @faithwemamusic5266
    @faithwemamusic5266 4 месяца назад

    Niliota nikichuna nyanya Kila kunapokucha

  • @SeifSuleiman-l3t
    @SeifSuleiman-l3t Месяц назад

    Ukiota unachuma zabibu maana yke nn

  • @ayubuidd6664
    @ayubuidd6664 Год назад

    Shekh me nimeta nalishwa tikiti maji je hii imekaaje?!

  • @tatuhassani3769
    @tatuhassani3769 Год назад +1

    Ukiota unakunywa maziwa au unaoga inamaanisha nn

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Год назад +1

    Shekh.mara kwa mara naota nipo katika nustan kubwa na nzuri matunda yameiva vizuuri mitini.lakini kila nikichuma nachuma matunda 3 ndizi 3 papay 3 kila kitu haizidi 3.matunda yote rangi ya njano yanavutia.ndoto hii inamaana gani?

  • @رقيهالغافري-غ1ذ
    @رقيهالغافري-غ1ذ 9 месяцев назад

    Shehe ukiota upo choni