#LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- #LIVE: TALAKA YA KUTUNDIKWA - FADHAKKIR
MUBASHARA KUANZIA SAA 2:30 USIKU.
MUHADHIR WA KIMATAIFA SHEIKH NURDEEN KISHK
RUclips: / @kishkionlinetv
Facebook: / sheikhnurdinkishki
Twitter: https:/T/ sheikh_kishk
Instagram: / sheikh_nurdeen_kishk
MADA: TALAKA YA KUTUNDIKWA
Amani ya mola iwe kwako pia na rehma zake na baraka zake
Mashaa allah tabarakallah jazzakallahu kher shekh kishk
Darsa nzuri mashallah.
Mungu akubariki Kwa kutufahamisha
Je kama hahui mume
Assalam aleykum warahamatullah wabarakatuh. Ma-sha-Allah. Darasa nzuri.je , mume akikufungia mlango na uambie usiende kweninu na hauiingii humu ndani .kisha huyu mke atoke na aende .Ni makosa ?
Sas sheikh tushike ipi tushike imepita au aijapita na je kama ilikuwa ya mwisho je unafanyaje
Je kama wanandoa wote hawajui...
Asallam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Yani miaka imepita zaidi wanandoa hawajui
Naitwa zaituni niko Omani napia nimke WA Mt Lakin kwasababu mme wangu hanijali nni. Kumekuj kufanya kazi naom jibu
Je mume amengo mbana na jirali kuhusu maji naakasema ukenda kwake ushaachika simkewangu na mm nikaenda dukani kwake je imesihi nakama imesihi mume akasema nilikwambiya ukenda kuchota maji tu ndo umeachika siyo kwenda kwake mume kasema haijasihi kwa jina rahili natoka kwarara
Ww
Je kama hakumbuki alishafanya
Assalam aleykum..... Ikiwa Mume alitundika Talaka mwanamke akafanya lile kosa bila Mume kujua baadae mke akamueleza mume ili amuombe msamaha lkn Mume hakutaka wakaachana........mwanamke wakati anambembeleza mume amrejww akaswali Istikhara akaota kwenye ndoto amemrudia wanaishi maisha mazuri sana lkn mwisho wa ndoto mume akampeleka kanisani akawa anamwambia aimbe nyimbo wakiwa kanisani (kwenye ndoto) hii ina maana gani? Je akitaka kumuoa tena akubali? Maana Eda imeisha lkn huyo mwanamke anaifkiria sana hyo ndoto na jee inafaa istkhara kurudia?
Nini hukmu yake ni kumrejea make au
Kam Kuna group Whatsapp niunge