#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • #LIVE: TALAKA YA KUTUNDIKWA - FADHAKKIR
    MUBASHARA KUANZIA SAA 2:30 USIKU.
    MUHADHIR WA KIMATAIFA SHEIKH NURDEEN KISHK
    RUclips: / @kishkionlinetv
    Facebook: / sheikhnurdinkishki
    Twitter: https:/T/ sheikh_kishk
    Instagram: / sheikh_nurdeen_kishk
    MADA: TALAKA YA KUTUNDIKWA

Комментарии • 18

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 3 года назад +3

    Amani ya mola iwe kwako pia na rehma zake na baraka zake

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад +2

    Mashaa allah tabarakallah jazzakallahu kher shekh kishk

  • @dullybang7246
    @dullybang7246 3 года назад +2

    Darsa nzuri mashallah.

  • @mdmalik8484
    @mdmalik8484 3 года назад

    Mungu akubariki Kwa kutufahamisha

  • @abdallahaljabry9966
    @abdallahaljabry9966 Год назад +1

    Je kama hahui mume

  • @raziaramadhan4855
    @raziaramadhan4855 3 года назад +1

    Assalam aleykum warahamatullah wabarakatuh. Ma-sha-Allah. Darasa nzuri.je , mume akikufungia mlango na uambie usiende kweninu na hauiingii humu ndani .kisha huyu mke atoke na aende .Ni makosa ?

  • @shabaniselemani9159
    @shabaniselemani9159 Год назад

    Sas sheikh tushike ipi tushike imepita au aijapita na je kama ilikuwa ya mwisho je unafanyaje

  • @abdallahaljabry9966
    @abdallahaljabry9966 Год назад

    Je kama wanandoa wote hawajui...

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад +1

    Asallam alaykum warahmatullah wabarakatuh

  • @abdallahaljabry9966
    @abdallahaljabry9966 Год назад

    Yani miaka imepita zaidi wanandoa hawajui

  • @zaitunomar54
    @zaitunomar54 3 года назад

    Naitwa zaituni niko Omani napia nimke WA Mt Lakin kwasababu mme wangu hanijali nni. Kumekuj kufanya kazi naom jibu

  • @HalimaMousa-xu3qt
    @HalimaMousa-xu3qt Месяц назад

    Je mume amengo mbana na jirali kuhusu maji naakasema ukenda kwake ushaachika simkewangu na mm nikaenda dukani kwake je imesihi nakama imesihi mume akasema nilikwambiya ukenda kuchota maji tu ndo umeachika siyo kwenda kwake mume kasema haijasihi kwa jina rahili natoka kwarara

  • @halimaawesso5319
    @halimaawesso5319 3 года назад

    Ww

  • @abdallahaljabry9966
    @abdallahaljabry9966 Год назад

    Je kama hakumbuki alishafanya

  • @ummuwawili
    @ummuwawili 11 месяцев назад

    Assalam aleykum..... Ikiwa Mume alitundika Talaka mwanamke akafanya lile kosa bila Mume kujua baadae mke akamueleza mume ili amuombe msamaha lkn Mume hakutaka wakaachana........mwanamke wakati anambembeleza mume amrejww akaswali Istikhara akaota kwenye ndoto amemrudia wanaishi maisha mazuri sana lkn mwisho wa ndoto mume akampeleka kanisani akawa anamwambia aimbe nyimbo wakiwa kanisani (kwenye ndoto) hii ina maana gani? Je akitaka kumuoa tena akubali? Maana Eda imeisha lkn huyo mwanamke anaifkiria sana hyo ndoto na jee inafaa istkhara kurudia?

  • @sabrinakombo3186
    @sabrinakombo3186 2 года назад

    Nini hukmu yake ni kumrejea make au

  • @ZuhuraManduta-nj5uf
    @ZuhuraManduta-nj5uf 11 месяцев назад

    Kam Kuna group Whatsapp niunge