Mwamba Sheikh Djuma Sadiki Muyenga 🇨🇩 atoa khutba kali kwenye Mawlid ya ACADI 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • Akiwa mgeni Rashmi wa Mawlid ya kwanza ilioandaliwa na ACADI Asbl katika mji wa Goma, sheikh Djuma Sadiki Muyenga katoa khutba kali kama sheikh lake Muhammad Ismail Baile - Mungu amrehem - lisaa lizima kuwakumbusha waislamu kuhusu Mtume wao, na sikukuu yao hion, ili kufaidishana nao kupitia fursa hio.

Комментарии • 4

  • @AbdurahmaniPatanguli
    @AbdurahmaniPatanguli 2 месяца назад

    Swallahu alaa Muhammadi

  • @msdherve6181
    @msdherve6181 2 месяца назад

    Allahumma swali wasilim alaaa Muhammad sws

  • @FrancisFataki
    @FrancisFataki 2 месяца назад

    Tena ni Mwamba kweli.
    Mungu amulipe heri

  • @FaidaKalume
    @FaidaKalume 2 месяца назад

    ULE NJO MUTUME WETU BABA.
    TUNAMPENDA SANA KWA SABABU YA UTUME WAKE KWETU