- Видео 299
- Просмотров 133 393
Ar Risâlat Tv
Кения
Добавлен 20 июл 2016
Une chaîne de prédication et enseignement islamiques gérée par Actions pour la Charité, l'Appel et le Développement "ACADI"
Dâ'iya Ibn Djaffar Al Katanty 🇨🇩 : Shukrani na fadhila zake
Myaka 6 baada ya khutbat yake ya mwisho kwenye msikiti wa Office, alikaribishwa tena mimbarini Al Faqîr Al Katanty, akawakumbusha waislamu kuhusu shukarani. Nayo ilikuwa Idjuma ya mwisho wa mwaka 1445 ya kiislamu sawa na 05/07/2024
Просмотров: 166
Видео
Machozi ya wajane wa maimamu wa Goma - ACADI Asbl
Просмотров 5696 месяцев назад
Machozi ya wajane wa maimamu wa Goma - ACADI Asbl
Repas d'Eïd el Fitr aux déplacés de guerre à Goma - ACADI Asbl
Просмотров 5106 месяцев назад
Repas d'Eïd el Fitr aux déplacés de guerre à Goma - ACADI Asbl
Assistance humanitaire d'ACADI Asbl aux déplacés musulmans pendant le Ramadan 2024
Просмотров 4616 месяцев назад
Assistance humanitaire d'ACADI Asbl aux déplacés musulmans pendant le Ramadan 2024
Dâ'iya Ibn Djaffar Al Katanty 🇨🇩 : Fadhila za Mwezi wa Ramadhani
Просмотров 1577 месяцев назад
Dâ'iya Ibn Djaffar Al Katanty 🇨🇩 : Fadhila za Mwezi wa Ramadhani
Dâ'iya Ibn Djaffar Al Katanty 🇨🇩 : Tuupokee Mwezi wa Ramadhan
Просмотров 1197 месяцев назад
Dâ'iya Ibn Djaffar Al Katanty 🇨🇩 : Tuupokee Mwezi wa Ramadhan
Sheikh Nassor Bin Mussa 🇨🇩 : Umuhimu wakufanya kazi na hatari ya kuwa mvivu
Просмотров 1687 месяцев назад
Sheikh Nassor Bin Mussa 🇨🇩 : Umuhimu wakufanya kazi na hatari ya kuwa mvivu
Sheikh Dr. Mbarak Ahmed Awes 🇰🇪 : Maswahaba waliomsomea Mtume Mwalid
Просмотров 2667 месяцев назад
Sheikh Dr. Mbarak Ahmed Awes 🇰🇪 : Maswahaba waliomsomea Mtume Mwalid
Sheikh Fadhili Djuma 🇧🇮 : Dalili na sababu ya kusoma Mawlid
Просмотров 2907 месяцев назад
Sheikh Fadhili Djuma 🇧🇮 : Dalili na sababu ya kusoma Mawlid
Assistance humanitaire d'ACADI asbl aux enfants déplacés de guerre à l'Est de la RDC 🇨🇩
Просмотров 3398 месяцев назад
Assistance humanitaire d'ACADI asbl aux enfants déplacés de guerre à l'Est de la RDC 🇨🇩
Sheikh Nassor Bin Mussa 🇨🇩 : Ubaya wa Khiyana/Usaliti
Просмотров 1448 месяцев назад
Khiyana ama usaliti ni moja ya dhulma kubwa ambayo mwanadamu anajifanyia hapo anapomsaliti Mola, pame anapowasalati viumbe wenzake na khasa hapo anapojisaliti yeye mwenyewe. Akiwa mjini Goma kiziara, Raisi makamo wa baraza kuu ya Masufi nchi Congo ya kidemokrasia, sheikh Nassor Mussa, amewakumbusha waislamu kuhusu khiyana (trahison). Hili ni somo nzuri kwa wakongomani ambao nchi yetu inakumbwa ...
Sheikh Dr. Mbarak Ahmed Awes 🇰🇪 : Maswahaba waliomtungia Mtume mashairi
Просмотров 1928 месяцев назад
Sheikh Dr. Mbarak Ahmed Awes 🇰🇪 : Maswahaba waliomtungia Mtume mashairi
Sheikh Fadhili Djuma 🇧🇮 : Allah alimswalia je Mtume
Просмотров 1378 месяцев назад
Sheikh Fadhili Djuma 🇧🇮 : Allah alimswalia je Mtume
Sheikh Dr Mbarak Ahmed Awes 🇰🇪 : Talqinul maiti kwa maulamaa
Просмотров 1908 месяцев назад
Sheikh Dr Mbarak Ahmed Awes 🇰🇪 : Talqinul maiti kwa maulamaa
Sheikh Fadhili Djuma 🇧🇮 : Talqinul maiti inafaa ama Laa ?
Просмотров 1768 месяцев назад
Sheikh Fadhili Djuma 🇧🇮 : Talqinul maiti inafaa ama Laa ?
Sheikh Abdi John 🇧🇮 : Namna ya kuishi Ikhtilafu za ulama
Просмотров 6668 месяцев назад
Sheikh Abdi John 🇧🇮 : Namna ya kuishi Ikhtilafu za ulama
Sheikh Dr. Mbara Ahmed Awes 🇰🇪 : Hii vurugu imetoka wapi ? Ikhtilafu ziko siku zote.
Просмотров 2838 месяцев назад
Sheikh Dr. Mbara Ahmed Awes 🇰🇪 : Hii vurugu imetoka wapi ? Ikhtilafu ziko siku zote.
Sheikh Fadhili Djuma 🇧🇮 : Undungu na Umoja wa kiislamu
Просмотров 2788 месяцев назад
Sheikh Fadhili Djuma 🇧🇮 : Undungu na Umoja wa kiislamu
Sheikh Nassor Bin Mussa 🇨🇩 : Undugu / Nasabu
Просмотров 3838 месяцев назад
Sheikh Nassor Bin Mussa 🇨🇩 : Undugu / Nasabu
Sheikh Nassor Bin Mussa 🇨🇩 : Muislamu na uzalendo
Просмотров 3008 месяцев назад
Sheikh Nassor Bin Mussa 🇨🇩 : Muislamu na uzalendo
Sheikh Yasin Twayib kutoka Bukavu 🇨🇩 asoma Qur'ani ya kufungua kongamano
Просмотров 1388 месяцев назад
Sheikh Yasin Twayib kutoka Bukavu 🇨🇩 asoma Qur'ani ya kufungua kongamano
Sheikh Dr. Mbara Ahmed Awes 🇰🇪 : Mchango wa Mwanamke wa Goma kwenye Uislam
Просмотров 2838 месяцев назад
Sheikh Dr. Mbara Ahmed Awes 🇰🇪 : Mchango wa Mwanamke wa Goma kwenye Uislam
Sheikh Abdi John 🇧🇮 : Mpango wa Mwanamke duniani
Просмотров 7 тыс.8 месяцев назад
Sheikh Abdi John 🇧🇮 : Mpango wa Mwanamke duniani
Sheikh Fadhili Djuma 🇧🇮 : Nafasi ya mwanamke katika ulimwengu
Просмотров 2868 месяцев назад
Sheikh Fadhili Djuma 🇧🇮 : Nafasi ya mwanamke katika ulimwengu
Sheikh Nassor bin Mussa 🇨🇩 : Tutengeneze tabia yetu, Allah atubadilie mazingira yetu
Просмотров 2409 месяцев назад
Sheikh Nassor bin Mussa 🇨🇩 : Tutengeneze tabia yetu, Allah atubadilie mazingira yetu
Dâ'iya Ibn Djaffar Al Katanty 🇨🇩 : Maiti hunufaika kwa vitendo vya walio hai 2
Просмотров 2209 месяцев назад
Dâ'iya Ibn Djaffar Al Katanty 🇨🇩 : Maiti hunufaika kwa vitendo vya walio hai 2
Dâ'iya Al Katanty 🇨🇩 amlipua Sheikh Saidi Bafana 🇹🇿 : Fahamu sahihi kuhusu Chakula cha Khitma
Просмотров 1739 месяцев назад
Dâ'iya Al Katanty 🇨🇩 amlipua Sheikh Saidi Bafana 🇹🇿 : Fahamu sahihi kuhusu Chakula cha Khitma
Majibu kamili ya Dâ'iya Al Katanty 🇨🇩 kwa Sheikh Saidi Bafana 🇹🇿 kuhusu Qur'ani kwa maiti na Khitma
Просмотров 2509 месяцев назад
Majibu kamili ya Dâ'iya Al Katanty 🇨🇩 kwa Sheikh Saidi Bafana 🇹🇿 kuhusu Qur'ani kwa maiti na Khitma
Dâ'iya Ibn Djaffar Al Katanty 🇨🇩 : Qur'ani yawafaa maiti
Просмотров 3489 месяцев назад
Dâ'iya Ibn Djaffar Al Katanty 🇨🇩 : Qur'ani yawafaa maiti
Porc à la corne fendue ?Moi cet animal là je ne l'ai jamais vu deh. Celui qui est en Afrique ici la il n'a pas de corne.
Mais fils de la promesse. Dites nous quelle est cette promesse. Et c'est ainsi que vous dupez vos frères pour les maintenir dans l'égarement
Mashalah!
Merci d'avoir mentionné la bible, j'espère que le bon Dieu vous a gardé pour voir mon commentaire. Pouvez vous lire la conclusion de ce verset dont vous avez fait mention dans : Galates 4-30:31 Que le bon Dieu vous soit favorable 🙌
Galates 4:30-31 [30]Mais que dit l'Écriture? Chasse l'esclave et son fils, car le fils de l'esclave n'héritera pas avec le fils de la femme libre. [31]C'est pourquoi, frères, nous ne sommes pas enfants de l'esclave, mais de la femme libre. Un passage qui ne contredit pas le premier, mais qui vient confirmer. Ismaël ayant son alliance ne pouvait pas hériter avec Isaac; chacun est alors allé vivre dans sa zone. Ismaël a fait sa descendance dans le désert d'Arabie et Isaac a fait sa descendance dans la Palestine. Les juifs sont descendants d'Isaac. Donc jusque-là rien ne contredit ce que le frère a dit. Et la question reste toujours là : Quel Prophète est venu comme accomplissement de l'Alliance de Dieu à Ismaël ???
Lisez plutôt Marc verset 7 au complet !. Jésus dit que c'est des loi de l'homme. Ce n'est pas ce qui entre dans l'homme qui le rends impur mais ce qui entre dans son coeur.
Vous devriez lire comme il le faut... au complet. L'enseignement que Jésus donne, est que aucun serviteur n'est plus grand que son maître et aucun envoyé n'est plus grand que celui qui l'envoie. Donc même si il est le Seigneur, il a lavé les pieds de ses disciples et il dit : Si donc moi, le seigneur et le Maître, je vous lave les pieds, vous aussi vous devez vous laver les pieds " LES UNS AUX AUTRES" Ne déformez pas ce que la bible a dit
Hata tanzania nimeshihudiya hawako kimadhehebu ikifikiya mambo ya umma wote wanasimama
Masha Allah ❤❤❤
Amusant...C'est vrai qu'en 2000 ans, il n'est jamais venu à l'idée d'un seul chrétien de lire la bible entièrement. 🙄
Sauf que la bible n’est pas le livre des chrétiens. C’est le nouveau testament mon grand ..
Mansha'allah ❤
Mungu akulipe. aksante kabisa kwa ukumbusho
Kweli kabisa sheikh wangu, leo dunia haina tena kushukuru kabisa
Allah akuzidishie ilmu Sheikh wangu
Qu'ALLAH vous récompense
Barakallahu fikum
Mashaalah tabarakalah Allah
Hutba kali
Maashaa Allaah❤
Mashallah
❤❤❤❤❤
Mashallah
Mm nimekujibu na sio pastor Wala mchungaji heshimu Imani za watu siku zote kiongozi Bora wa dini anachokifanya ni kuelekeza waumini wake waache maovu watende mema ww unadanganya watu hapa iliuonekane ww ni Bora kuliko wengine IPO siku Mwenyezi Mungu atakuaibisha na mm ni ombi langu Yesu uliyedharau watumishi atete na ww ili ukiri kuwa yy ni Mungu
Tatizo una udini sana ongea fact biblia inasema 18 Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru. Kumbukumbu la Torati 18:18 Mwenyezi Mungu anamwambia Musa mm ntawaondokea nabii miongoni mwa ndugu zao hapo alikuwa anaongea na kabila la lawi ambalo ndo makuhani wanahudumu katika hekalu ukianzia mistari ya juu inasema 1 Makuhani Walawi, kabila yote ya Lawi, wasiwe na fungu wala urithi pamoja na Israeli; watakula sadaka za Bwana zifanywazo kwa moto, na urithi wake. Kumbukumbu la Torati 18:1 2 Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; Bwana ndiye urithi wao, kama alivyowaambia. Kumbukumbu la Torati 18:2 unaona mstari wa Pili mwenyezi Mungu anasema kati ya ndugu zao ina maana kati ya makabila mengine kumi na moja yaliyobaki ndo maana Musa akasema Mwenyezi Mungu atawatolea nabii mfano wa mm hapo anatabiriwa yoshua hiyo elimu nakupa tu shehe wangu maana ulikuwa umepungukiwa nayo na kuhusu kusema wachungaji wetu wanaficha xjui kuhusu Muhammad sio kweli shehe wangu maana sisi lengo letu kubwa ni kwenda mbinguni na katika safari ya kwenda mbinguni Muhammad hatusaidii chochote so hatuna haja ya kumtafakari au kumuwaza ss tunamuwaza yesu kristo alinjia ya kwenda mbinguni so mm nimekupa elimu lete andiko lingine kama kweli tutakubali bali kama uongo tutakataa
Umeongea vizuri lakini biblia imesema Ishmael ni baba wa arabuni na ni kweli Mungu alifanya agano nae lakini haijamtaja Muhammad straight kama ilo andiko lipo toa fact uache udini sema facts mm ntaadmire
Swali kwanza kwako. Ni Nabii gani alienuja kutimiliza agano la Mungu kwa Ishmaeli ? Twajua ya kwamba Yesu ni timilizo la agano la Mungu kwa Isaka.
Bible haijafocus na Ishmael imefocus na na issaka ambaye uzao wake ndo ukaja kumletea Yesu kristo duniani
Ishmael aliahidiwa kuwa uzao wake utakuwa taifa kubwa ni kweli ni uarabuni sijakataa the issue ni kuwa wap bas Muhammad katajwa kwenye biblia kama Yesu kwenye Quran na why ni Muhammad not other people in Arabs
Na biblia haijawahi kusema kwamba kwenye uzao wa Ishmael Mungu atamtoa nabii ambaye atatimiza Agano lake kama lipo Hilo andiko lete
Hapa umeongea ukweli kabisa. Bible imeonesha Ishmaeli ndie baba was waarabu, na imeonesha kwamba kuna agano la Mungu kwako vile vile sana ilivyo kwa ndugu yake Isaka. Ila Bible imejihusisha sana ni Isaka na uzao wake. Swali linabaki pale pale, ni nani aliekuja kutimiliza agano la Mungu kwa Ishmaeli ?
Dini yakiislam imezungumzia mtu yuko nanyuso zaidi yaumoja katika uislam kwajili yadunia. Nahukumu yake. Naona hapa mwahii kiripu yuko anamfundisha ndege kuruka
Duuu nimtihani...
Les musulmans qui viennent donner des leçon de bible aux chrétiens c’est la meilleurs celle-là 😂 , occuper vous de votre coran et hadiths au lieu de venir faire les connaisseurs
Man'chahallah
Waislamu wacheni unafiki mnasema Paulo si mtume na bado mnasoma kitabu iliyoandikwa na Paulo (wagalatia)
Sio unafiki. Kweli Paulo sio Mtume, lakini wakristo wanamuamini. Kwa hio tunawafunza wamuaminio kupitia maneno yake. Waislamu hawana haja ya kusoma Wagalatia ili wafahamu ukweli. Waislamu tuna Qur'ani yetu, nayo inatutosha ilituongoke. Na ndio maana darasa la sheikh laitwa Mafunzo ya Biblia wasiopewa wakristo.
Maandiko hayo hawasomewi
Allahu Akabru, mtoto anaomba dua murefu kwa sababu ya wema wenu
Allah ababariki sheikh wangu, wamama wanatoa machozi ya rahaya na ya uzuni. Basi COMICO bao ni makelele tu Hutajawaonaka hata siku moja kufanya bya maendeleo hivi.
Mawahhabi wanataka tulazimishanake
Hii njo kazi ya dini
Qu'Allah te bénisse, te récompense ici bas et dans l'au delà maître !
Cheikh seifu
Asalam Aleikum Warahmatullah Wabarakatuh.. Allah Wetu Mtukufu Wamilele ya Razak awaruzuku riziki ya halal na ajalie afya njema ili muzidishie huduma hizo za upendo Inshaalllah
Amin. Ila mchango wenu ni walazima ilituweze kufikia malengo makubwa
Allah akuongezeye elimu mon oncle
Amin
INNALILLAHI WAINA ILLAHI RAJIUN maneno machungu saaana basi mwenyezimungu muumba wambingu na ardhi atupatiye mwisho mwema 🤲🤲🤲
Âmin !
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuhu mwenyezimungu muumba wambingu na ardhi awalipe kila laheri
Amin 'kaka yangu
Mashaalah sheikh sabiti Allah akufanyie wepesi
Amin sheikh wangu
Allaah Akulipe ku fikiria watu Muhimu sana. Na Allaah akufungulie Njia zake
Amin sheikh Sule
Asalamu walahikum warahamaturulah wabarakatuh, nous demandons de nous aider en interprètes svp😢
Vraiment nibia uruma 😢❤
😢😢😢😢😢
🫶🏾🥺
Kazi nzuri mashallah. Mwenyezi Mungu awalipe sawa na nia tenu
Amin
Maashaa Allaah Mwenyezi Mungu Akupe Nguvu Na waaminifu wakukuunga Mkono Katika Kazi hiyo
Mashallah
Alhamdulilah Wa jazakumu llah kwa jitihada zenu