"Nilihisi mimi ni sauti ya watu wenye sauti zisizosikika”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Salim Ahmedy Issa maarufu kama Gabo Zigamba ni muigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Tanzania amezungumza na Regina Mziwanda kuhusu masuala mbalimbali ya uigizaji ikiwemo historia ya jina la Gabo Zigamba.
    Kutazama kwa kina mahojiano haya tembelea ukurasa wa RUclips wa BBCSwahili
    #bbcswahili #sanaa #filamu
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Комментарии • 29

  • @jimmyally5974
    @jimmyally5974 27 дней назад +4

    Hongera sana brother, Mungu akulinde Inshallah 😮

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 25 дней назад +3

    Baba Olivia Nakupenda uko vizuri sana.

  • @EngCom-cv8og
    @EngCom-cv8og 22 дня назад

    Regina Mziwanda wewe ni mrembo hasaa.
    Very beautiful Regina

  • @LucyChavua
    @LucyChavua 24 дня назад +1

    Ubarikiwe kaka Salim🎉

  • @anthonykamkolwe5766
    @anthonykamkolwe5766 28 дней назад +4

    BABA OLIVIA , ULIITENDEA HAKI....

  • @deonatusdaud4640
    @deonatusdaud4640 26 дней назад

    Mama 👍 gabo 🤝

  • @YousraSalimMohamad
    @YousraSalimMohamad 26 дней назад

    Hongera

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 28 дней назад +2

    Muheza

  • @LaBboogo
    @LaBboogo 24 дня назад +1

    mbona quality ya video yenu mbaya ivo pls BBC

  • @user-ly3du6ox5l
    @user-ly3du6ox5l 22 дня назад

    Kaká hana baya namkubali sana%niko 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @EmmyNamoyo
    @EmmyNamoyo 28 дней назад +1

  • @IssaAbdallah-z7h
    @IssaAbdallah-z7h 28 дней назад

    Ethaaaaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 28 дней назад

    👍👊✌️.

  • @EliasZephania
    @EliasZephania 28 дней назад

    Vipi mwendelezo wa baba olvia

    • @sameraakhf5605
      @sameraakhf5605 28 дней назад

      Wanatoa kila ijumaa

    • @VannyPromax7
      @VannyPromax7 25 дней назад

      imetoka leo mbona tafta baba olivia 14

    • @Ngoybanza15
      @Ngoybanza15 24 дня назад

      @@VannyPromax7
      Ime toka jana ijuma

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 28 дней назад +2

    Usisahau kumuuliza kwann bongo movie ni kambi ya Ngono na kwann msihalalishe pasiwe ni sehemu pakurekod vdio za ngono😢

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg 29 дней назад +1

    Ivi kwanini siku izi vijana wanaogopa kuoa mwanamke mwenye mtoto?

    • @flrz-95
      @flrz-95 29 дней назад +4

      Sababu ni nyng ila
      1. Unaingiaje kwenye ndoa moja bila
      2.Mwanamke huwa hawezi kusahau mzazi mwenzie at some point lazima waongee wakutane for sake of a child mfano maradhi, shule, birthday etc
      3.Raha ya kusema umefunga ndoa n kwenda na mwali wako muenjoy na watoto waje baadae, sasa ww ndo kwanza siku ya kwanza ili muenjoy anakuja na mtoto tena si wako😅
      NAKAZIA POINT YA PILI🎉

    • @GucciJackson-sw6pg
      @GucciJackson-sw6pg 28 дней назад

      @@flrz-95 🙏

    • @sameraakhf5605
      @sameraakhf5605 28 дней назад +1

      Roho mbaya na ubinafsi kama hawataki kuowa mama mwenye mtoto nawao wasiache ndoa yao wakiwa na mtoto

    • @sein.208
      @sein.208 28 дней назад +1

      ​@@flrz-95
      Siyo kweli.. Mie nina watoto na iliisha hatukutani kama ni watoto anaongea nao mie wala sina mda .. mwaka wa kumi na tano huu

    • @flrz-95
      @flrz-95 27 дней назад +2

      @@sameraakhf5605 Wengi wenu mlibeba mimba mkiwa wadogo sana, akili za ndoa hazikuwepo so I understand your concern