KARAKANA KUU YA TRC, JIONEE VICHWA VIPYA VYA TRENI, MPAKA JIKO CHUMBA CHA DEREVA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024

Комментарии • 108

  • @ernestsinje7887
    @ernestsinje7887 2 года назад +23

    hichi kipindi kilikuwaga kitamu sana enzi za MAGU

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro6817 2 года назад +10

    Je, unafahamu ukweli kuwa mradi wa sgr na ule wa JNHP ni miradi pacha? Na kwamba kwamba treni ya sgr haitoweza kuanza Safari zake Hadi kukamilika na kuanza uzalishaji umeme huko bwawa la JNHP

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 2 года назад

      Teh teh teh wamesema ina Mabetri nama Generator

    • @conesmo5266
      @conesmo5266 2 года назад

      Una uhakika na ulichoandika? Tuambie umeme unaotumika ni kiasi gani?

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 Год назад

      Ndugu hatuna umeme wa kutosha ikiwa wa nyumbani Ni mgawo

    • @salvatorymtunga5906
      @salvatorymtunga5906 Год назад

      Siyo kweli

  • @saidothmani7522
    @saidothmani7522 2 года назад +3

    Watanzania mbona hamuelewi.
    Umeambiwa hivi vichwa ni vya reli ya kati cyo ya umeme.muckilize kitu kinachoongelewa.cyo mnapayuka tu.

  • @athumaniabdi4122
    @athumaniabdi4122 11 месяцев назад

    Hongera kwa kazi nzuri@ShirikalaReliTanzania

  • @makwaila23
    @makwaila23 Год назад

    Ukiangalia kwa jicho la umakini sana utagundua hivyo vichwa ni Used na wala sio vipya

  • @lama6310
    @lama6310 Год назад

    Hivi Vitwa Mbna Kama Analog Jaman ..mbna Tunarud Kulekule..vichwa Vibayaaaaa

  • @saidkipango6772
    @saidkipango6772 4 месяца назад

    Kitaalam rocomotive zote za sasa ukitoa zile za stima ,vinatumia umeme tofauti yake hvyo vinatumia umeme wa dizeli injini ikifanya kazi inakua kama genereta inazalisha umeme ili undeshe treni.hizi za sasa hivi ndio zinatumia umeme wa grid ya taifa

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka Год назад

    Hivi ni kwa ajili ya reli ya kati na sio train ya umeme hivi ni kwa ajili ya mizigo

  • @championtv255
    @championtv255 Год назад +1

    Asante sana jpm love u

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Год назад

    Mkiisha kuvitengeneza mtuambie mmenunua korea bilion 2.3

  • @celebtv942
    @celebtv942 2 года назад +4

    Tanzania kupata treni za umeme imekuwa ndoto isiyo timia. Kila siku stori tu.mara hivi mara vile,,Bure kabisa

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin 2 года назад

      Hapana kaka Frank, changamoto zimekuwa nyingi na changamoto hizo zinasababisha kunakuwa na delays, this will happen na nikuhakikishie tu kwamba Tanzania sio nchi ya kwqnza kuunda reli hata wenzetu walioendelea wamepitia changamoto nyingi, ni miradi michache sana Duniani ya reli imetekwlwzwa kwa wakati , railway conatruction is very complex na miradi kuwa nje ya muda mara nyingi ni inevitable

    • @geofreymtasingwa742
      @geofreymtasingwa742 Год назад

      Kujenga reli sio kama kujenga choo

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Год назад

    Hao watoto wata iba kila kitu

  • @betterdecorationlights1781
    @betterdecorationlights1781 Год назад

    Rangi mbayaa

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 2 года назад +1

    Kichwa hichi ajaleta jpm jamani!!ni samia

  • @andrewcheyo6470
    @andrewcheyo6470 Год назад

    Hongereni

  • @abbumwaipopo2940
    @abbumwaipopo2940 5 месяцев назад

    Nami naja kukagua

  • @htvtanzania3483
    @htvtanzania3483 2 года назад +1

    Ange kuwepo magu tusinge letewa ya hivi

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 11 месяцев назад

    Hivi vichwa je tayari vilishaanza kazi ama bado?

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Год назад

    Tunakubari

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 2 года назад +1

    Vichwa vya treni na mabehewa ya SGR lini yanakuja. Maana maneno yamekuwa mengi sanaaaaaa. Tumechoka na story

  • @mikelelo8567
    @mikelelo8567 2 года назад +2

    Je hivyo vichwa ni kwaajili ya mizigo tu

    • @abdulmelele7322
      @abdulmelele7322 2 года назад

      Yes hivyo ni special kwa mizigo tu 3000Hp

  • @chieflowasa7320
    @chieflowasa7320 Год назад

    Hakuna kitu vichwa gani hivyo picha zingine mnaleta behewa za ovyo

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Год назад

    Lakini saranda vinashindwa kupanda mpaka viungwe viwili

  • @lugwaja
    @lugwaja 2 года назад +1

    Karabatini basi angalau majengi hayo ya karakana

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 года назад +1

    Mungu ni mwema sana siku zote then kazi iendelee

  • @erastomaro7145
    @erastomaro7145 2 года назад +2

    Safi

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 2 года назад +2

    Kukagua vichwa vitatu inwachukua muda wote huo? Tuacheni mzaha jamani. Hiyo ni kazi ya week moja tu kama mtu anajua anachokifanya.

    • @amriharuna4236
      @amriharuna4236 2 года назад

      Kabisa hata mimi nimeshangaa

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin 2 года назад

      Ukaguzi unapofanyika kunabainika mapungufu ambayo yanarekebishwa, mapungufu hayo huchukua muda tofauti tofauti, na marekebisho hayo yanapokamilika ukaguzi unaanza tena ndio maana yanachukua muda mrefu

    • @makongorowassira6593
      @makongorowassira6593 2 года назад

      @@kimariokelvin kuna uzembe mkubwa sana kwa watenda kazi wetu, unachokisema kinaweza kutokea ila sio muda wote, na hata kama kuna hiyilafu sio lazima ichukue muda wote huo kurekebisha.

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 года назад

      Hahaha wiki tatu alaf mkipakiwa siku 2 mmepata ajali iwe zogo

    • @ramadhanichembellah7849
      @ramadhanichembellah7849 2 года назад

      Kazi nzuri, Mama Samia ,kazi nzuri TRC lakin pia tusisahau kumuenzi na kumkumbuka mzee Magufuli aliyethubutu mpaka tukaweza fikia hapo.

  • @geraldgm1217
    @geraldgm1217 2 года назад +1

    Kongole!!!!! Hongera!!!!

  • @geophreyalkado8242
    @geophreyalkado8242 Год назад

    injinia mbona unajikanyaga maelezo yako siyo sahii ebo.jifunze jinsi ya kutoa maerezo unatwaibisha

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 2 года назад +1

    Nilitegemea kuwa hata na " microwave" !

  • @selemanshidda9688
    @selemanshidda9688 Год назад

    Hata neno 'engineer' kwa kiswahili maana yake ni 'mhandisi'

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 Год назад

    Kwani hivyo vichwa vilinunuliwa na kinanan siselekali yenu wenyewe msituone wajinga yote mnafanya wenyewe ccm naselekali yenu Koo kma vyazaman nivuzur au nivibaya nyinyi ndoo mlinunua

  • @mitikasitv7326
    @mitikasitv7326 2 года назад +2

    Hivyo ndio vya mwendokasi

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 2 года назад +2

    Wonderful 🇹🇿

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 2 года назад

    Mutaongea mengi mulisema religion aitakamilika sasa mebadilisha kauli.munasema kzi ya jpm.iwe ya jpm iwe ya nani.tunachotaka ni maendeleo

  • @usamaahmed2624
    @usamaahmed2624 2 года назад

    Kazi nzuri lakini kwa uwelewa wangu Dunia sasa inapambania kwenye matumizi ya umeme na sio mafuta. Hilo linachukuliwaje? Kwanini nasi tusijiande kuelekea huko.

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin 2 года назад

      Kuna technicalities nyingi sana hapo ila reli yetu ya SGR ni ya umeme, ya meter gauge(ile ya zamani) sio ya umeme na haitawekewa umeme

  • @betterdecorationlights1781
    @betterdecorationlights1781 Год назад

    Tren la makaa ya mawe

  • @morriskisesebe6541
    @morriskisesebe6541 Год назад

    Tunashukuru mama tunashukuru mbeba maono

  • @olenyghosho7008
    @olenyghosho7008 2 года назад +1

    RIP jpm

  • @geey7893
    @geey7893 Год назад

    RIP mwamba JPM. Ufunguzi wa SGR ilkua ifanyike mwaka jana mwezi wa 11. Tena kwa ubora. Sahizi kuna Mbwa zinapenda Sifa tu na Quality ya kazi yao ni 0.0011. Speed yao konokono na upigaji. Mungu yuko kazin

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa6970 2 года назад +1

    Pigeni rangi hayo mabati yameungua na jua

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 2 года назад

    Where is MWANANTALA?

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 2 года назад

    Ben Mwanantala alienda Wapi?!

  • @abdalahally3113
    @abdalahally3113 2 года назад +2

    Walai watanzania washaapigwa tayari mzee magufuli alituambia ni umeme tena nimesikia haitumii mafuta mengi????

    • @alexvenas2699
      @alexvenas2699 2 года назад

      Brother hivi syo vichwa vya sgr,hivi vichwa ni Reli ya kati (mgr) ile ya zamani .vya umeme bado havijafika bro kuwa na amani hatujapigwa

    • @abdulmelele7322
      @abdulmelele7322 2 года назад +1

      Hivyo ni vya meter gauge ndugu siyo vya standard gauge tofautisha hapo mimi ndiyo napga kaz humo

    • @TwalibuAlbaamiryShoka
      @TwalibuAlbaamiryShoka Год назад

      Hivi sio vya umeme hivi ni kwaa ajili reli ya kati train ya mizigo muhimu kusikiliza kinachoongelewa

  • @minmaxc485
    @minmaxc485 2 года назад

    Ila mbunifu wa rangi zenu zero kabisa

  • @nth3512
    @nth3512 2 года назад +2

    Rangi zenu (color code) si nzuri, jaribu kuchanganya na kijani hapo. Combination hyo haivutii zimekaa kiukame hivi

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 2 года назад

      Rangi sio za Tanzania kabisa

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 года назад

      @@rasheedabby2871 yani wa tz kwa ujinga wenu hamkosi la kusema wewe kwenu kuna rangu ya tz

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 2 года назад

      @@mudighurayra Tuongeze mafuta usiumie

  • @polsopheaphd6458
    @polsopheaphd6458 2 года назад

    Trains

  • @mr.waziri9992
    @mr.waziri9992 2 года назад

    Najua ni mpya, kumbe ni vyakurekebisha🗿😟🗿

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin 2 года назад

      Hakujawahi kuwa na system ambayo ni perfect, ndio maana kuna zoezi linaitwa commissioning, kila mtambo wowote duniani lazima ufanyiwe hiki kitu, kwani mara nyingi kunakuwaga na deviation na muda huo ndio hizo deviation zinarekebishwa, ikumbukwe kwamba vichwa ni tailor made products sio kama bidhaa nyingine ukikamilisha product moja nyingine zote mia zitakuwa zimekamilika.

  • @yawepetro2049
    @yawepetro2049 Год назад

    Jaman sasa iyo mwendo kas kwel duuh tumepingwa nakitu kizuto

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 2 года назад

    kipindi kimekuwa bored

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 2 года назад

    Muwe munasikuliliza sio Muba comment tu.

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan5984 Год назад +1

    ndugu zangu tumepigwa hizi treni za mwaka 1995. speed.180😃😃 magu alisema analutea zenye speed 380.mpka 400 ..R.I.P. magufuli.

    • @maridadimaridadi1123
      @maridadimaridadi1123 Год назад

      Umeambiwa ni Mgr sio sgr jua kutofautisha mzee

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 Год назад

      Speed ya mwisho ya reli inayojengwa ni 160 hivyo vichwa vya km 380 vya kazi gani?

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 2 года назад

    Mambo yapoyapo tu🥴

  • @molig8489
    @molig8489 2 года назад

    Magu allilipia kitambo hivi

  • @dannysengata2298
    @dannysengata2298 Год назад +1

    Mafuta tena 😁😂🤣🙌🏾 sio umeme 😂😂

    • @maridadimaridadi1123
      @maridadimaridadi1123 Год назад

      Hiyo siyo Ile ya umeme Mzee hii ni ya kawaida kama hizi tunazo zijua

    • @dannysengata2298
      @dannysengata2298 Год назад

      @@maridadimaridadi1123 so tusubir ya Umeme...

  • @abdalahally3113
    @abdalahally3113 2 года назад

    Mafuta tena sio umeme

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 2 года назад +1

    Kwa hiyo mlivipokea bila kuvikagua?

    • @kibongobongo4608
      @kibongobongo4608 2 года назад +1

      Kuvikagua nadhani anamaanisha kupata mafunzo ya matumizi kwasababu ni system tofauti na yazamani tupo kidigitali kwa sasa...

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin 2 года назад

      Kukagua ni muhimu sana, na ni sehemu ya mkataba, hivyo vichwa vinafanyiwa majaribio ya tripu za kubeba mizigo zisizopungua 3 vikiyokea DSM kwenda Tabora, katika safari hizo mapungufu yakibainishwa yanarekebishwa na kama hayajarekebishwa basi TRC haivipokei mpaka vitakavyokuwa sawa

  • @user-gq8ox7wb7f
    @user-gq8ox7wb7f 2 года назад

    Mafuta tena sio umeme!!

  • @amNANGUJI24
    @amNANGUJI24 2 года назад

    Mafuta ya nini sasa kama itatumia umeme.?? Au wameshakula fedha wakanunua diesel trains

    • @masterkratos2
      @masterkratos2 2 года назад

      Hii ni kwa reli ile ya zamani.

    • @TheProvidencefilms
      @TheProvidencefilms 2 года назад

      Vichwa vya treni huitwa diesel-electric yaani hutumia diesel kutengeneza umeme ambao una drive mitambo ya magurudmu, mortars.

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 года назад

    Nyie simlisema hv sio vichwa vya umeme ni vya mafundi mbona mnatuvuruga

  • @emmicklamarofficial7974
    @emmicklamarofficial7974 2 года назад

    😂 mafuta tena ?

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 2 года назад

    Nyie nao karabatini na mabehewa ya second seat na first class.
    Yale ya India yanakera.

  • @nassibabdallah3811
    @nassibabdallah3811 Год назад

    🤭