Diviant walitumwa the same mission kma eternals bt walijua watakufa ndio ikawa wanauwa watu sasa aliwatengeneze eternals ili wauwe diviants population izidi kua kubwa thena alijua mapema akawambia sis sote tutakufa .....iyo kumanisha thanos alikua na idea ya haya yote ndio maana akataka kuchelewesha kusave universe
Ila snash hujamalizia kuelezea movie vzr vp kuhusu post credit scene ya mwisho khbx kule Alf movie ndo inaisha mazima wanakwambia kwamba enternals watarud ile post credit scene ya black knight vp inakuaje pale
post credit nyingine ya pili hujaielezea kuhusu bwana ake sersi alivyokuwa anataka kushika upanga ikaja saut ikamuuliza "are you ready for this?" @snash tanzania
Aspirants hawakuwatengeneza celestials, aspirants na celestials wote ni same species na wametengenezwa na The First Firmament. Tofauti ni kuwa Kundi moja lilikua linamtii first firmament ambao ni aspirants na kundi jingine lilienda against the first firmament ambao ni Celestials.
Watu wanaosema sio kali hii movie ni kwasababu Labda wanapenda action kuliko kutaka kuelewa story... Ila story ni nzuri na inaeleweka na wamejitahid kumuelewesha mtazamaji ajue nini movie imelenga... Na ya pili itakuwa poa Sana Sana.....
Thanos alikua kua arishem atakuja kudestroy izi planet ndio maana aliwapungusa na snap of the finger huyo dem akutaka waingilie vita ili wasijae sababu arishem ataweka celestial ambyo itakavyo destroy earth
kuna kpande kingne kpo mwsho kabsa wa movie yakisha isha maandishi ukiachana na hko kinacho muhusu ndugu yake na thanos kpo kngne mzee jarbu kuangalia vzur mwsho kabsa yaan cjakielewa maana yake!🙁
umetish@@@@@
Umekosea kidogo lakini...kila celestial mmoja ataezaliwa anatengeneza the whole new galaxy with its own sun...sio planet moja peke ake
Na kingne celestial wakizaliwa (after the emergence) eternals hawafi ila wanakuwa brainwashed
Wanapasuka na dunia asee yule dada alionyeshwa robot zinazofanana na yeye kibao!! Mean ikishapasuka new robort ya yeye inakuwa Eternal
Yo! #snash you have a good voice be blessed.
Understand
Unajuwa sana kaka
From Bukoba
aseee Snash umetisha kinoma noma Consept. Nimeilewa vzur. Kaz nzur Brother 👏👏👏
snash mmoja t big up bro
Umeeleweka sana kaka
Jamani am from Kenya thanks bro Sasa Kuna Jamaa alikufa
#snash uko pouw sanaa
Nimekuelew vilivyo🙌🏿🔥
Gud
Diviant walitumwa the same mission kma eternals bt walijua watakufa ndio ikawa wanauwa watu sasa aliwatengeneze eternals ili wauwe diviants population izidi kua kubwa thena alijua mapema akawambia sis sote tutakufa .....iyo kumanisha thanos alikua na idea ya haya yote ndio maana akataka kuchelewesha kusave universe
Umetsha bro...
Nakukubali sana #snash 😍
me kwa uelewa wangu post credit scene ya pili sauti iliyomuita Dane nahisi ile ni sauti ya Doctor strange
Nakubali una weza
My best review ever
Snash 💥💥
Nakubar
Tunapata tabu kuzipata movies nzuri aisee weekend hii tushunie movies nyingine nakul sana snash tz
Ila snash hujamalizia kuelezea movie vzr vp kuhusu post credit scene ya mwisho khbx kule Alf movie ndo inaisha mazima wanakwambia kwamba enternals watarud ile post credit scene ya black knight vp inakuaje pale
Nilitoka kuangalia eternals juz baada ya clear version nimelewa vizur kwa hii video yao usisite kutowa nyingine nice work mzeee
Review ya #dune brother snash
🔥🔥🔥🔥
Unatisha broe
Kaka please naipataje hiyo internals
❤️❤️❤️❤️❤️
Review ya secret in vasion 2:31
Bro unajua
Nimefurahi kujua kuna watu kama snash wanaelewa science fiction bigup sana mzee
💯
Tueleze kuhus post credit ya pil ukiachana na hy ya kwanza mwisho kabis maneno yanapo ishilizia
Uko poa sana snash
post credit nyingine ya pili hujaielezea kuhusu bwana ake sersi alivyokuwa anataka kushika upanga ikaja saut ikamuuliza "are you ready for this?" @snash tanzania
Nilikua nasubiri sijasikia bado
Aspirants hawakuwatengeneza celestials, aspirants na celestials wote ni same species na wametengenezwa na The First Firmament. Tofauti ni kuwa Kundi moja lilikua linamtii first firmament ambao ni aspirants na kundi jingine lilienda against the first firmament ambao ni Celestials.
Sasa apa nmeelewa ila nlipochek muv iliniacha kushoto
Snash mtu mbad😍
Lakn kaka hajamalizia mpk mwisho kwa yule kaka alipofungua like boks lenye panga refu embu try to check
Mwanang mm mwenyew sikuielewa kiukwel.
Watu wanaosema sio kali hii movie ni kwasababu Labda wanapenda action kuliko kutaka kuelewa story... Ila story ni nzuri na inaeleweka na wamejitahid kumuelewesha mtazamaji ajue nini movie imelenga... Na ya pili itakuwa poa Sana Sana.....
Snash weka basi namna ya kudownload movie yeyote mpya
Au yule mikalla wa kanumba nae ni mmoja kati ya hao Eternals 🤔🤔 kwasababu hakui 🥲
Nmecheka kwa nguvu
😂😂😂🖐️🖐️
Gorden voice
Kaz hii naikubaliii
Tupe rvw ya the matrix 4
fanya ya bongo movie mwanamuziki
Hizi movie tatizo lake stori nzima ni mambo ya kufikirik ru
This movie is the best
hiii movie kwangu ndo best kuliko MCU movies zote ni kali kinomaaa......
Unatishaaa mwambaaaa
Unatisha
Kingine celestials ndio waliumba multiverse pamoja na binadamu
mkubwa malizia na Post Credit ya pili iko dakika ya mwisho kabisa ya movie
Post credit ziko mbili bro na wewe umeeleza moja tu!
snash mtu atari..... natamani kumjua na yule WHITMAN (Dane) anaoneka anaunyama wake uyu
Tufanyie review ya crocodile movies
snash movie mwisho kabisa kuba post credit nyingne mzee angalia mpk mwisho
Ulivo kazia kati kati kati😅😅😅😅😅😅😅
Kabisa kaka, Eternals ni Bonge la Movie... Watu watulie waelewe...
Fatilia tena Thanos ana asili ya Eternal I think
Thanos alikua kua arishem atakuja kudestroy izi planet ndio maana aliwapungusa na snap of the finger huyo dem akutaka waingilie vita ili wasijae sababu arishem ataweka celestial ambyo itakavyo destroy earth
Mbn Hawapo kumi
Director mchina ndio katuangusha
Hiyo movie Amna kitu bro ndo maana marvel awajafanya vizur 2021 kwa movie hiyo.mbayaa
kuna kpande kingne kpo mwsho kabsa wa movie yakisha isha maandishi ukiachana na hko kinacho muhusu ndugu yake na thanos kpo kngne mzee jarbu kuangalia vzur mwsho kabsa yaan cjakielewa maana yake!🙁
Kaka movie ni kali
Tupe rvw ya the matrix 4