Assalam alaikum warahma tullah? Alhamdullah nashukuru Allah na nafurahi kufuatilia darsa zako.... Nko na swali moja, je, inafaa mwanamke alieolewa kisheria akawa anafanya kazi na awe anampikia boss wake ambae na yeye pia ni mume wa mtu? Je, hii ni haki hususan kama mke uyu hajaomba ruhsa kwa mumewe?
Asalam alaikum warahamtullahi wabarakatuh ,ningependa kuwapa faida kulingana na chupa ya miniral water pindi unatawadha nayo jaza maji kisha toboa tundu ndogo (sindano,au msumari) mtu mmoja akishikia utawadhie nayo ,utamaliza kutawadha na mwengine pia ataweza kutawadha bila maji kuisha
Sheikh kwmfano mm nimsha oga jnaba vizri Kama invyotkiwa baada ya hpo nikaanda kuosha nguozile nlzo kua nazo kipndi Nina janaba je nitkua nimeshardi ktka hali ileile ama vp
Assalaam aleykum je yafaa kutumia sabuni wakati wa kuoga janaba na je ukiwa unaoga janaba ukajimwagia maji na maji yakagusa chini nayakakurudia mwilini je utakua umetengua kuoga janaba
Masha allah nimekuelewa shekhe mengine nlikua sijui shicren sana 😘🙏ALLAH akuinge namaovu yote 🙏🙏💞together
Nakupenda kwa ajili ya Allah shekh wangu Allah akupe umri mrefu wenye tija.
nic
Masha Allah shekhe nilkuwasifahamu jinsi ya kukoga janaba asante sana kwa kutuelimisha inshaallah
Hapo hapo umefaham from zanzibar
USTAD JANABA, HILO NDILO MWAJUALO.
Allah Akulipe kheri tegemea ujila kwa Allah nasio kwa binadamu insha Allaah
MASHAALLAH
SAUM RAMADAN NJEMA YAA IKHIWATAL IMAN
Mashallah sheh uzdin mungu akulipe unatufunza vyema
Ma sha Allah shukraan jazilaan nilikua siyafaham hayo mengine Lakin alhamdulillah nimejifunza kutoka kwako
I always look forward to his teachings. Inshallah 🙏🏾
Assalam alaikum warahma tullah? Alhamdullah nashukuru Allah na nafurahi kufuatilia darsa zako....
Nko na swali moja, je, inafaa mwanamke alieolewa kisheria akawa anafanya kazi na awe anampikia boss wake ambae na yeye pia ni mume wa mtu? Je, hii ni haki hususan kama mke uyu hajaomba ruhsa kwa mumewe?
Masha Allah shukran shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah napenda sana kuskiza darsa zako
Mashala munguakuzidishie
Ma shaa Allah shukran shehe napenda sn mawaidha yako ni dhahr
Barakallah feek ustadh..
Jazakumullahu kheyr
😀😀😀😀shekhe asnt sana
Allah akuhifadhi na akupe afya kwa jitihada zako.... Jazzakallah kheyr
Sheikh uko vizuri Allah akupe umri uzidi tuelimisha
Mashaallah. Nimekuelewa vizur.shekh mungu akulipe jana
Sheikh kudos Allah akupe umri mrefu...amin
MashaAllah sheikh je kuoga janaba n sawa nkuoga usaf baada y hedhi from +254
Husna beibyy...kukoga hedh na Janaba ni tofaut kidogo maan hedh na nifas lazima ufumue nywele na kuzikosha has a fofaut na Janaba
safi sana shekhe hakika umenielewesha sana
Shukrani sana kwa darasa nimejifunza mengi Allah akulahisichiye
Je Janaba tunaoga na sabuni au haifai
yaani shekh maelekezo yako yananifikia uzuri kabisa,SHUKRAN YAARABI.
Assalam alaikum je unaweza kuongea janaba baharini
Na kuoga nifasi wanawake weng hatufahamu tunaomb mtufundishe Insha_ALLAH
Allah akupe umri mrefu sheh wangu na mwisho mwema amin
Samia Salum Ameen na ww mola akupe uyatako na uyapendao
napenda.sana.mawaizayako.allha.akupe.umri.mrefu.uzidi.ku2uamaxisha
Mungu akupe maisha marefu shegheeeee
Nakupenda sana shekh mawaidha yako mathamu sana
najma gudeh mawaidha yke matamu kama chocolate
Jamani mm nlislim na kutawadha kwangu natawadha Mara 3 Tatu hadi kichwa na maskio cjui kama niko sahihi au nakosea ummah muslimin naomba jawabu
Mashallh umenigusa shekhe
Mashaallah nimejifunza kwaajili ya Allah wangu
Mashallah
Allah akupe miaka mia ....uko juu
Asante kwa darsaaa shekh
Darsa zuri sana
Asalam alaikum warahamtullahi wabarakatuh ,ningependa kuwapa faida kulingana na chupa ya miniral water pindi unatawadha nayo jaza maji kisha toboa tundu ndogo (sindano,au msumari) mtu mmoja akishikia utawadhie nayo ,utamaliza kutawadha na mwengine pia ataweza kutawadha bila maji kuisha
mashallah sijui unapatkana WAP sheikh nataka unifundisha kutayammam
Shukuran sana
Allah akujalie sheikh wangu
Mashallah
Mashkura Kwa darsa Shekhe
Ujumbe mzuri innshallah tunazd kuelimika kiiman zad
haswa uyasemayo nikwer ositazi mwenyezi mungu hakuzidishe hushi miaka mia moja
MashaAllah
mashaalh sheh leo nimepata kitu
Shukran sheikh
Mi nakuelewa sana shekhe
Sheikh kwmfano mm nimsha oga jnaba vizri Kama invyotkiwa baada ya hpo nikaanda kuosha nguozile nlzo kua nazo kipndi Nina janaba je nitkua nimeshardi ktka hali ileile ama vp
Mashaalah mungu akubark
shukrn kwawaidh mazury allh akuzidishie elimuuu
Masha Allah
Mung akuepushiye mitihani kati kamaisha yako yote
MashaAllah shukran sana shekhe mafunzo yako mazur
Allah akuongoze
Masha Allah .....
Ummukulthum Daffi sorry ushaolewa dada
Mm Anna nimesilimu naomba kujua kusali nisaidie
+Anna Rojoo Mnyari hapahapa RUclips tafuta jinsi ya kuswali utafaidika mashaalah
masha allah
Nikweli majibu
Shukran, Allah akujaalie kila lenye kheri
MashaAllah 🙌🏽👏🏼👌🏽👍🏽
Asalam alaikum vipi hukmu ya dereva anae wasafirisha wasafiri nayeye ataacha kufunga ama ata fungu maana ndio kazi yake kusafiri mwaka nenda rudi
Sheikh shukran
Allah akuongoze inshaallah
Nakupenda kwa ajili ya Allah
Mashaallah darsa zur
Samahan sheikh swali hili lipo nje ya mada ninahitaji kufaham hukmu ya kioo ndani ya nyumba kama kina hukmu zake
Masha Allah
Sheh nakupenda natamani uwe mume wangu❤❤❤❤❤❤❤
Gshd Hshhshs inshalaah muombe mola atakujaalia
ha ha ha ha ha ngoja nikuunganishie
Gshd Hshhshs tia niya inshaAllah itakuwa kheri na uwe mkweli kwa moyo wako
Shekhe kama hajakubali mimi nipo dada natafute mke ..
somo zuri, jazakkallah khair
mashaallah nimeelewa Shukran sana mungu akuzidishie kheri
MASHA ALLAH ALEIK
mashaAllah sheikh
Masha Allah
Mashaallah nin shda na nb yko shekhe
Mashaallah
Allah akuzidishie kheir
shukran kwa taarifa
Asc sofia
Hhhhh shee nimependa saana mada zako
Sheee bhna darsa zako raha sana hapo mwembe tayari🤣🤣🤣🤣 .... sipendi kukaa karibu na wewe waeza niuliza swali nikashinndwa kujibu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
👏👏
In shall allah
mashallah
ma shaa Allah
M.a
Maashallah
Assalaam aleykum je yafaa kutumia sabuni wakati wa kuoga janaba na je ukiwa unaoga janaba ukajimwagia maji na maji yakagusa chini nayakakurudia mwilini je utakua umetengua kuoga janaba
Allah akulipe pepo
MashAllah
Ok ln shaa Allah
Nauliza janaba husome lolote
Naomba kuuliza ivi unaweza ukachanganya josho al janaba na la la hedhi au nifasi nikakoga vyote kwa nia moja ya kuondoa hadath kubwa? Naomba jibu plz
Shukran sana
Allah akuzidishie
mashaallah
Mashaallaaaahhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Asante sheh uko vizuri,
jsaid316 jsaid316 shukuran
jsaid316 jsaid316
maashaaallah
Mashaalh
Kheri Ishaallah
Aamiin inshaAllah
inshallah sheh tutayafanyia kazi
Manshalla
Shukran shekh
Nilikua nataka kuuliza same question
Mashekhe jitahidini kutoa darsa kuhusu kukoga janaba
Allah akulipe kheri
Shukrani shehe kwa somo
Thanks
Asalaam aleykum sheikh, naomba kuuliza je yafaa kuongeza umee?natumaini utanijibu in shaa Allah.
Ulipata majibu kamili??
masha Allah sh
Vp nyie mnao mkashifu Gshd,Hajasema Hwa ubaya itakuwa amependezewa zaid na mawaidha ya sheikh,Je angemsifia msanii ndo mngesemaje"Mh! Waja bhana!!!
Napend. Sana. Kuxikirza. Mawaiza
Shukran saana