DOTTO MAGARI hajui Kusoma wala Kuandika, Tazama cheche zake akimnadi HAJI MANARA na ZAIYLISSA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #dottomagari #hajimanara #zaiylissa
    Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.co...

Комментарии • 75

  • @partickkessy5997
    @partickkessy5997 7 месяцев назад +3

    Ila Dotto Burudan sana imekaa pos sana mtoto wa msma Kizimkazi🔥💪

  • @ramadhaniabdulabdul
    @ramadhaniabdulabdul 7 месяцев назад +1

    haijawa mbaya mtu kutokujua kusoma yate ni maisha tu cha muhimu ni mshukuru Mungu

  • @aproniamasatu5810
    @aproniamasatu5810 7 месяцев назад +4

    Maisha haya jaman mpaka chawa ana chawa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 7 месяцев назад +8

    Binafsi uongozi wa mama sijaukubali.hata kidogo dotto unaposema aendelee hadi.kiama unataka tufe????

  • @partickkessy5997
    @partickkessy5997 7 месяцев назад +2

    Ila Doto noma sana🔥💪mtoto wa Mama kizi mkazi

  • @faustinemasawe
    @faustinemasawe 7 месяцев назад +1

    Mtoto wa mama kiz mkaz nakukubali sana we ndo imfuloweza

  • @karamasaahmed5026
    @karamasaahmed5026 7 месяцев назад

    Unakufuru bwana Dotto magari.

  • @NoorynMuddy
    @NoorynMuddy 7 месяцев назад +2

    Rabda kiumbe ww pekeyko mfalme wa viumbe ni Allah peke yke wala hana mshilika

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 7 месяцев назад

    😂😂😂 kijana doto una mbwbwe wewe ....hehe nafrahi sana kusikia maneno Yako na hapa IPO!! Hicho kiti Cha msemaji wa manara kimekufaa 100% ....kweli doto unachangamsha East Africa nzima kwanza Hongera Kwa cheo chako kipya...! All the best brother 👍👍💪💪

  • @ramseyhusseinkhamis8258
    @ramseyhusseinkhamis8258 7 месяцев назад +3

    Doto msifie haji lakini hii sifa ya mfalme wa viumbe hana sifaiyo

  • @opportunities2767
    @opportunities2767 7 месяцев назад

    Dotto anawapaa somo hao waaandishi 😅 ukimuhoji huyu jamaa anatia sana hasira za maisha

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e 7 месяцев назад +1

    Haji manara usikubali kuitwa mfalme wa viumbe hicho cheo ni cheo cha Allah peke yake

  • @adinanijunuzaj9580
    @adinanijunuzaj9580 7 месяцев назад

    Uyu nae chizi mfalme wa viumbe ni mungu pekee yake

  • @user-xv2ey8wv7u
    @user-xv2ey8wv7u 7 месяцев назад

    We mbwa unakufuru mungu anaelea watu ni Allah

  • @eshamohamed9833
    @eshamohamed9833 7 месяцев назад +20

    Mfalme wa viumbe ni Allah peke yake

    • @anoldfute117
      @anoldfute117 7 месяцев назад +2

      anamaanisha viumbe(wanawake)

    • @omanmct135
      @omanmct135 7 месяцев назад

      Yo anakufuru safirulllah uyuhanakili anasema sana

    • @user-md4xw4ui6b
      @user-md4xw4ui6b 7 месяцев назад

      Malick nnass

    • @yasser_yosa255
      @yasser_yosa255 7 месяцев назад

      Pesa inamchangnya

    • @OchoaHomeDecor_
      @OchoaHomeDecor_ 7 месяцев назад

      Mwenzio anaongelea mademu wewe unaongelea mengine 😂

  • @rehmakondo
    @rehmakondo 7 месяцев назад +5

    Kwaio kujua kusoma na kuandika sio kutoboa maisha tafsiri yke si eti😂😂😂

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 7 месяцев назад +1

      Sijui kusoma wala kuadika I'm USA right now thanks God bless for me everything never losing hope everyone

    • @zanzibartomikumi
      @zanzibartomikumi 7 месяцев назад

      What are you talking about ?​@@khamisjuma8501

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 7 месяцев назад

      kwamba aliesoma asijione atafanikiwa lazima ujue mafanikio ni fumbo.

    • @rehmakondo
      @rehmakondo 7 месяцев назад

      @@MtuSafi Swadakta

  • @adanroba1574
    @adanroba1574 7 месяцев назад

    Na hapa ipo

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ 7 месяцев назад

    6:00 maisha subira 🙏🙏

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 7 месяцев назад +1

    Mtihani kwakweli muislam ila halijielewi

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 7 месяцев назад

    Anajitahidi kumuiga bb levoola bd sn

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 7 месяцев назад

    Mtu anasema ana mke na anasifu mke wa mtu

  • @bwittozmjomba7019
    @bwittozmjomba7019 7 месяцев назад

    Maneno kibao chamana Hakuna Mama Mama Nini bwanaee kwenda uko

  • @omanmct135
    @omanmct135 7 месяцев назад

    Stafirullllah

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 7 месяцев назад

    Tulia kwenye kiti baasii😅😅😅

  • @jamlaashiri372
    @jamlaashiri372 7 месяцев назад

    Doto kwa siku ya Leo views 16239

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 7 месяцев назад

    Majina ya dotto yanaongea jamani mme wangu alikuwa anaitwa dotto lol nimeomba devorce kwa ajili anaongea sana😂

    • @farijala1
      @farijala1 7 месяцев назад

      Ulikuwa na Yako. Kuongea sana Haiwezi KUWA sababu ya Kuomba Talaka

    • @cocorita8367
      @cocorita8367 7 месяцев назад

      @@farijala1 kuongea tu aiwezekeni kitu kidogo mwanaume unaongea mpk mishapa ya shingo inateguka nawe sio lzm ucoment

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 7 месяцев назад

    INFOLENSA huyo😊😊

  • @marlonstudios4408
    @marlonstudios4408 7 месяцев назад

    Dah uyu jamaa 😂😂😂

  • @killer_effects
    @killer_effects 7 месяцев назад

    HIZI PRESS UKIAMKA TUU

  • @abednego3876
    @abednego3876 7 месяцев назад

    Alafu acha kuwananga waandishi mbwa ww

  • @ibranoahngidange5909
    @ibranoahngidange5909 7 месяцев назад

    Doto bhana hatari sana 😂

  • @bobsalim4285
    @bobsalim4285 7 месяцев назад

    Tanzania kama PRIMARY SCHOOL.
    Nchi ina utoto mwiiiingi.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 7 месяцев назад

    Wewe.doto usikufuru mfalme nimola peke yke tatizo domo lako halijui linaogea nini

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o 7 месяцев назад

    Kiraaa mtuu anachawaa wakee mjini apaa

  • @hallin9561
    @hallin9561 7 месяцев назад

    kwanin unapenda sana kumtumuza Samia, unataka teuzi

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi8535 7 месяцев назад +1

    Huyu jamaa km anamatatizo ya akili

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 7 месяцев назад

      Bangi na unga siyo nzuri,sasa kama hapo kapewa airtime hiyo aongee na media, anachoongea hakieleweki, mara ticket za ndege,mara jezi,hapa ipo kila muda,pumba tu

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 7 месяцев назад

    Lakini pesa anaijua

  • @hanafhamad2801
    @hanafhamad2801 7 месяцев назад

    Astaghfirullah

  • @ShaniBihoiki-lx9jl
    @ShaniBihoiki-lx9jl 7 месяцев назад

    Alafu anataka ubalozii 😂😂😂

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 7 месяцев назад

      Inategemea ni ubalozi wa nini

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 7 месяцев назад +1

    Bongo kunavituko 😂😂😂

  • @thehunter5920
    @thehunter5920 7 месяцев назад

    Huna unachoongea hapo,pangilia maneno yako, hutomfikia Mwijaku na Babalevo

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 7 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 doto bana

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 7 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 7 месяцев назад

    Tatizo dotohuujui uislam wako hebu kwanza kasome vizur dini ili ujuwe mfalme ninani ni haji au mola

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 7 месяцев назад

      Sasa we unafanyaje hapa😂😂😂kasome dini tuaachee

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 7 месяцев назад

    Huyu mjinga kweli

  • @hanifaally4694
    @hanifaally4694 7 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂 Duh

  • @Hashdough
    @Hashdough 7 месяцев назад

    HIKI NI NINI???

  • @binrashid1638
    @binrashid1638 7 месяцев назад

    Astaghafirullah.... Mfalme wa viumbe tena

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 7 месяцев назад +1

    😂😂😂

  • @abednego3876
    @abednego3876 7 месяцев назад

    Labd mfalme wa albino

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 7 месяцев назад +1

    😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 7 месяцев назад

    world is going bad nani kaimba? Kakulea ww cio cc wote ma ma chokora riii

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 7 месяцев назад

    Mjinga huyo anapromote uasherati halafu wewe unamsifia kwa njaa zako mjinga sana

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz 7 месяцев назад

    Too much is boring

  • @NoorynMuddy
    @NoorynMuddy 7 месяцев назад +1

    Rabda kiumbe ww pekeyko mfalme wa viumbe ni Allah peke yke wala hana mshilika

  • @aminsalum5731
    @aminsalum5731 7 месяцев назад

    😂😂😂