Huyo 1 Jina lake leri hamass walivujisha video yake akiwa Hai hata trump mwenyewe hakuamini kama Kuna mateka aliye Hai Gaza kutokana na tetemeko lililoikumba Gaza na ndio akamfos bibi Netanyahu kufikia makubaliano
Na wanaonekana kua na afya hii ni ishara kwamba hawakufanyiwa vitu vibaya ikiwemo ukatili wa kijinsia walikua na uwezo wa kuwanyanyasa kwa namna yoyote ile ila hawakufanya hivo ,,kwa Israel mambo ni kinyume kabisa wanawake wakipalestina wamefanyiwa ukatili usio elezeka
Afya zao ziko pooowa pamoja na kuwa wapo kuzuizini chini ya Pango Lakini hao Mbwa wengine wanapoachilia wafungwa wanakuwa Taaabani afya zzao Kweli Uislam ndio njia pekee ya Thamani
@@annasolomon9855 natafuta jibu lako ambalo litakuwa size yako ila leo nakuacha mi ninaamini wewe unamoyo wa kishetani na ukiwa mchawi utamla mwanao supu then mama yako akili yako sawa na mchanganyiko wa mavi DJ Smaa anajitahidi kuwaelimisha ila wapi mitoto ya shetani ni yashetani tu
@@annasolomon9855mungu kasema wakristo na mayahudi,ukiachana na wanayotuonyesha,,wanamazito moyoni mwao juu ya waislamu leo nimeamini kwako,,ishi,,kwenye misimamo yako marejeo yako kabur
Kwani ndg unadhani huyu sky anaweza kuwaita hamasi jina zuri!! Hawa ni waisraeli weusi ila hawaonyeshi wako upende gani moja Kwa moja ila ni wale wale tu
Ona vile wanawake wamenona hawajafanyiwa dhulma yeyote lakin Israel wao wana wabaka na kuwatesa wanawake wa ki Palestine ni mungu tu ndo atakae lipa kwa yote💔😭😭😭😭😭😭
Tunajengewa fikra za kitoto wakidhani bado tuko ulimwengu ulee sasa Dunia imekuwa chombo kimoja tuko ndani ya sufuria moja hayafichiki tenaaa iko siku wataitoa hesabu kamili ya IDF waliokufa kw sababu km hujapigwa mbona wanaume sana na wao ndio wameua watoto kina mama, 🇮🇷🇯🇴👍👍👍🤲🤲🤲🚀🚀🚀
@@CadiaOnesmokama hamas ni magaidi vipi hao maelfu ya wapalestina waliotekwa na waisrael kabla ya hamas kuamua kulipa kisasi kwa kuwateka hao mateka 300 wa kiisraeli, je hapa ni nani gaidi?! Ni muisrael aliyeanza kuwateka maelfu ya wapalestina na kuwajaza kwenye jela zake au hamas aliyeteka waisrael 300 ili kuwakomboa maelfu ya wapalestina waliotekwa na waisrael?! Ndugu tumia akili acha ushabiki!!
Sema hamas🙌 mpaka wameamua wenyew kuwarejesha na kumbe hamas bado wanajesh kubwa2 ukweli hawa jamaa wangekua nasilaha nihatari zaid ya wale wa israel hawa hamasi wanamipango sana
Hawa watu walikuwa wanakula nini wa afya nzuri au tunapigwa kiini macho kuhusu Hamas maanake si elewi Nina watoto wawi tu jasho linanitoka kuwahudumia Hao hamasi mateka 90 Kila wanayemwachia kapendeza hey!!😊 sielewi
Ndio Muelewe UISLAMU Sio Mmbaya Au WAISLAMU Ila Umesema Mtu Akikudhulumu Unaruhusiwa Kulipa KISASI, Hata BIBILIA Inasema hivyo tena BIBILIA Inasema BWANA Mwenyewe Au JEHOVA Analipa Kisasi, Hao Japo ni MAADUI Lakini Walikuwa MATEKA Tayari kwa hiyo hawakuwa na Madhara Ndio Maana Wakihudumiwa VIZURI
Kwa kweli vinashangaza sanaa😂😂😂 itakua walijipanga kwa mda mrefu humo humo waliko waficha kuna wengine wanapika chakula ata mimi ningekua karb ningeshiriki nao kwenye upikaji chakula niandalie vidume vitoke vikapigane ni wape na mateka pia bahati yao niko mbali😂😂😂
@@KhalidiBoaz hata wewe hapo ulipo ni gaidi wa Inchi yako kwani hulipi hata kodi harafu unaongea utumbo hapa pumbavu nendeni mkatoe mikunu kwa wa Israil
Kabla ya KUROPOKA UTUMBO huo unatakiwa ujuwe wapalestine ni wengi mno waliopo ktk magereza ya israel maelfu Kwa maelfu hvyo huwezi kusema uwachie waisrael sawa na wapalestine kwasbb Israel ni wachache lkn wapalestine ni wengi sana walioshikwa. Na pia Jiulize Sasa ungekuwa ni ww muafrica ungefananishwa na weupe wanagap thamani yko 😅 maana Waafrica ndy watu wanaozaraulika duniani kuliko MTU yoyote yule ila njaa tu ndy hufanya Waafrica kujipendekeza Kwa weupe.
Hamasi wakarimu sana imagine sare hata hazina vumbi wana afya nzuri na chakula walikuwa wanazuiwa ila wao walipewa chakula jamaa ni wema tuseme tu ukweli
@Djsma,Ali Masubi, Henry naFredrick Bundala,Tunasubiri Uchambuzi ,kwa nini Hao Mateka wa Israel ikiwa bado wapo mikononi mwa Hamas Wanacheka/Kutabasamu kupita kiasi.Nini kipo nyuma ya pazia tusichokijuwa? Japo ni kweli wanafurahia uhuru wao ila wamezingirwa na Hamas.Tunaomba ufafanuzi kwenye GPS,
Wamama wanne wenye furaha bashasha n afya njema chini ya mikono ya hamas na ndio wauwaji wachinjaji wa watoto na wamama wa hamas hakika n ajabu hamas na sheria za uislamu usalama wa wamama hawa wauwaji
Yani kigende tu kinawashinda alafu wanauwa watoto na kina mama wasio na hatia km wanajua vita had Leo hawajui wamewekwa wapi ni wazi Israel vita haiwezi maneno mengi tu
Yani kigende tu kinawashinda alafu wanauwa watoto na kina mama wasio na hatia km wanajua vita had Leo hawajui wamewekwa wapi ni wazi Israel vita haiwezi maneno mengi tu
Kwaiyo vile vifo vya wanajeshi wa Israel wanouwawa na Hamas na vile vifaru vinavyoripuliwa huwa anaviripuw nani kama hamass WANAKIMBIA uwanja wa vita??? 😅
Sky hao sio mateka ni wafungwa wa vita. Wapalestina waliotekwa na israel unawaita wafungwa, waisrael unawaita mateka! haya ndio madhara ya kucopy propaganda za media za west na kuzisoma
Askari wanne kwa wafungwa 200 daah kweli Hamas kiboko😂Israel alitakiwa akubali haya mapema sana kubadirishana mateka hii vita ingeisha mapema mnoo ila wakajidai wababe kiko wapi sasa
Tafsiri yake ni kwamba thamani ya myahudi mmoja ni sawa na wapalestina 50. Hili sio jambo la kuangalia ukubwa wa idadi. Ni tusi kwa wapalestina. Wangesema idadi sawa kwa lengo kuheshimisha ethnic group yao.
Mhmm ujinga wako ulokujaa zidi ya ukafiri ndio mana kwenye picha ya mungu ni mzungu na mamaake ila shetani ni mweusi na muna8furahia tu kila kitu hewalla mzungu@humphreymwihambi4330
Sio kweli, tukiangalia idade ya wa fungwa wa ki palestina kwenye Magereza ya kiahudi huko, Israel ni kubwa, kwa iyo tuki chukuwa, huku kwa Hamas, hao walishikilia watu idadi nDogo Sana, kwa iyo Mabadilishano haya ni sahihi, kwani inge kuwa kwa usawa wa idadi ya watu watakae achiliwa, Hamas aachilie 4,na israel aachilie 4,basi wa Palestina wengi wange baki wengi Sana kuachiliwa.
@@MikelSitoesijui unapiga mahesabu Hili linafanyika Kwa gharama gani... wangapi wameangamia huko Gaza...Yani uwatoe watu 50000...kama kafara ya kuwapata watu 2000😂😂😂
Hivo vitambaa ogopa Sana yaani unapigana na mtu anaeamini akifa peponi dah huwez kumshinda hata siku moja I love Islam
Wanaamini ukifa Shahid huozi mpaka siku ya kiama na Allah atakuzawadia wanawake wanaitwa hurulain sabini peponi
😂😂😂@@jumakassim8718
Mbona. Wee unaandika kana kwamba sio mwasilamu😂@@jumakassim8718
@jumakNa huo ndio ukweli assim8718
Ww umeelewa kwnn hyo vita ni ngumu kwa Israeli..
Hii vita inaitwa ....JIHADI WAR.
Hamas vidume ,Netanyahu.mpaka tuwaangamize Hamas 😁😁😁😁👍👍👍👍
Kumbe walikuwa hai HAMAS WANAUME💪💪
Huyo 1 Jina lake leri hamass walivujisha video yake akiwa Hai hata trump mwenyewe hakuamini kama Kuna mateka aliye Hai Gaza kutokana na tetemeko lililoikumba Gaza na ndio akamfos bibi Netanyahu kufikia makubaliano
Na wanaonekana kua na afya hii ni ishara kwamba hawakufanyiwa vitu vibaya ikiwemo ukatili wa kijinsia walikua na uwezo wa kuwanyanyasa kwa namna yoyote ile ila hawakufanya hivo ,,kwa Israel mambo ni kinyume kabisa wanawake wakipalestina wamefanyiwa ukatili usio elezeka
@MwanaHussein-s2n oooh hakika ndugu yangu
Hammas ❤
Afya zao ziko pooowa pamoja na kuwa wapo kuzuizini chini ya Pango
Lakini hao Mbwa wengine wanapoachilia wafungwa wanakuwa Taaabani afya zzao
Kweli Uislam ndio njia pekee ya Thamani
Wafe kabisa kuachilia mbali ya afya mzoroto 😅
@@annasolomon9855 natafuta jibu lako ambalo litakuwa size yako ila leo nakuacha mi ninaamini wewe unamoyo wa kishetani na ukiwa mchawi utamla mwanao supu then mama yako akili yako sawa na mchanganyiko wa mavi
DJ Smaa anajitahidi kuwaelimisha ila wapi mitoto ya shetani ni yashetani tu
@@annasolomon9855mungu kasema wakristo na mayahudi,ukiachana na wanayotuonyesha,,wanamazito moyoni mwao juu ya waislamu leo nimeamini kwako,,ishi,,kwenye misimamo yako marejeo yako kabur
@@annasolomon9855ukikosa maadili kwa huu ulimwengu n mfano wa wanyama au zaidi na hii n laana ya kizazi
Hamas ni wakarimu sana ingekua israel hao wangerudi na mimba
😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
Nyie jmn cku taka kucheka😂😂😂
@MwanaHussein-s2n inabid ucheke tu 😄
Sio Mombasa wafu kabisa .. Israel haibakizi kitu.. safi Israel 😅
Kaka tunapenda sns
ila tittle ziweke vizuri
Hamas lawaachiliya haijaka vizuri
Hamas waachili wanajeshi 4 wa Israel
Big success 💪 to Hamas
Kwani ndg unadhani huyu sky anaweza kuwaita hamasi jina zuri!! Hawa ni waisraeli weusi ila hawaonyeshi wako upende gani moja Kwa moja ila ni wale wale tu
@@barakashaban1082Hamasi ni Magaid..jina Zur litoke wapi kwao😊
@@annasolomon9855wewe ndio gaidi mkosa akili
@annasolomon9855 magaidi ni wale walio uwa watoto wanawake na wazee wasio kuwa na hatia ila hamasi hawajawahi kufanya hivo
Ona vile wanawake wamenona hawajafanyiwa dhulma yeyote lakin Israel wao wana wabaka na kuwatesa wanawake wa ki Palestine ni mungu tu ndo atakae lipa kwa yote💔😭😭😭😭😭😭
Mbona hayo kubaka hamas ndio wamefanya hukuona zile post
@@AhmedMuhammad-b5n wapiiii wewe watu wamenogaa kabisaa haoo kubakwa uko vipiii😂😂😂
@@AhmedMuhammad-b5n hv ww ni kafiri umeandika acount ya jina la kiislam
@@hamisaally968kwani ukibakwa unakua na alama
@@AhmedMuhammad-b5npost walizo baka ziko wap mbona hatujaziona au nawewe ni miongon mwa watu wanaofuata propaganda za magharibi
Hammas kibokoyao kwkweli mna imaani kubwa sana
Tunajengewa fikra za kitoto wakidhani bado tuko ulimwengu ulee sasa Dunia imekuwa chombo kimoja tuko ndani ya sufuria moja hayafichiki tenaaa iko siku wataitoa
hesabu kamili ya IDF waliokufa kw sababu km hujapigwa mbona wanaume sana na wao ndio wameua watoto kina mama,
🇮🇷🇯🇴👍👍👍🤲🤲🤲🚀🚀🚀
Kwenye kifaru kimoja kinakaaa watu 6 sasa angalia vifaru vilivo lazwa
Hamas ni binadamu sana wamewatendea wema. Lakin waisrail mateka walowachia wanakovu mpaka kwenye matako
Wameadhibu hadi dk ya mwisho wanawakabidhi kwa shirika la msalaba mwekundu😢
Mm ningejiuzuru khaaa ningekua mnyonge yan mwanajesh nitekwe khaa bora nife😅😅😅hii fezehaa
Hamas Hamas jaman huu ni moto hatar sana... yaan wameteka wanajeshi na wamewaachia na magwanda yao... kuwatia aibu wanajeshi wao wa mchongo wa idf
pengine walikuwa wanavaa ma baibui kule zile fomu zao ziliwekwa siku ya kutoka 😀😀
@dubzman5874 kilichofichwa ni kikubwa zaid ila muhmu siku waliotekwa walikuwa kwny patro na gwanda zao hvyo hvyo
Wanajeshi wamependeza na wana afya sana....
Kwani ulitakaje....
@@annasolomon9855 tulizania watatoka na hali mbaya kama vile wapalestina wakitoka jela za israel
Israel ujinga mwingi
Israel inawaminsha watu km Hamsi magaidi ili waislmu sio magaidi nazni sasa Dunia itambuwe km Israel waongo kw dunia
Ni magaidi ndo maana waliwateka
Kuteka ni sehemu za kazi za ugaidi
lakini dunia nzima inajua kama wazayuni waongo wanatengeneza kesi za uwongo zidi ya wapalestina
@@CadiaOnesmo walikuwa wanataka ma elfu ya ndugu zao tu waliotekwa na wazayuni kwa kesi za uwongo
@@CadiaOnesmokama hamas ni magaidi vipi hao maelfu ya wapalestina waliotekwa na waisrael kabla ya hamas kuamua kulipa kisasi kwa kuwateka hao mateka 300 wa kiisraeli, je hapa ni nani gaidi?! Ni muisrael aliyeanza kuwateka maelfu ya wapalestina na kuwajaza kwenye jela zake au hamas aliyeteka waisrael 300 ili kuwakomboa maelfu ya wapalestina waliotekwa na waisrael?! Ndugu tumia akili acha ushabiki!!
Mungu aweke amani yake katika eneo lote la mashariki ya kati.
Sema hamas🙌 mpaka wameamua wenyew kuwarejesha na kumbe hamas bado wanajesh kubwa2 ukweli hawa jamaa wangekua nasilaha nihatari zaid ya wale wa israel hawa hamasi wanamipango sana
SANA
Halafu kunamijitu humu ambayo mipumbavu kwakilizao finyu kama funza utawasikia oooh Hamas what what what ingekua Waizraeli hapo dah😢😢😢
Hamas wanaome mpka walipo taka wao ndio wamewatoa mateka😂😂
Chek jesh hilo la Hamas sasa siku zote IDF walikua wanapigana na nani israel kakaa meza moja na Hamas ❤😂😂
Walikua wanauwa wasiye na hatia mbwa ao hamas wenyewe walikua wanapigana na jeshi tu
Daima ulikuwa unaambiwa kama israel ilikuwa ikiuwa Raia, wona Sasa ukweli wako
Hamas wengi walikufa hawa ni waliojiunga upya... halafu jamaa walivyolemewa ikabidi wajifiche kwenye mashimo
@@omondiowino7875wangewafata huko huko kwenye mashimo, au wanaogopa kifo😂😂😂
@@omondiowino7875Labda umewaunga wewe, kama waliokuwepo walikufa mbona hao mateka walishindwa kutoroka?
Tumia akil wewe,, maneno, ya kuambiwa changanya na yako.
Hawa watu walikuwa wanakula nini wa afya nzuri au tunapigwa kiini macho kuhusu Hamas maanake si elewi Nina watoto wawi tu jasho linanitoka kuwahudumia Hao hamasi mateka 90 Kila wanayemwachia kapendeza hey!!😊 sielewi
Mimi pia Kuna kitu sielewi hapo😮
sheria ya dini ya kiislam aisemi kua ukimkata mtu mateka umtese
Ndio Muelewe UISLAMU Sio Mmbaya Au WAISLAMU Ila Umesema Mtu Akikudhulumu Unaruhusiwa Kulipa KISASI, Hata BIBILIA Inasema hivyo tena BIBILIA Inasema BWANA Mwenyewe Au JEHOVA Analipa Kisasi, Hao Japo ni MAADUI Lakini Walikuwa MATEKA Tayari kwa hiyo hawakuwa na Madhara Ndio Maana Wakihudumiwa VIZURI
hawa Hamas wapo smart sana mambo yao.
Wanavitengo vya hatari usipime.
Kwa kweli vinashangaza sanaa😂😂😂 itakua walijipanga kwa mda mrefu humo humo waliko waficha kuna wengine wanapika chakula ata mimi ningekua karb ningeshiriki nao kwenye upikaji chakula niandalie vidume vitoke vikapigane ni wape na mateka pia bahati yao niko mbali😂😂😂
Israel alikuwa anapigana na wanawake na watoto wa Gaza .Hamas hao wapooo wengii na afya njemaa. Hamas ni imani huwezii kuiondoa.
YANI ISRAEL, U.S, U.K, FRANCE, GERMAN NK...WAMEFELI KUWAPATA MATEKA MPAKA NJIA YA DIPLOMASIA
Na mabomu yote hayo ila bado wahuni wapo wengi 😂😂 na wanaleta mateka 😂😂
Dah ila hamas noma kumbe bado wapo tu kudadadeki 😅😅😅
Ss walikuwa wanakula nn hawa watu 😢😢😢 naona bado wapo fiti na silaha nzto wanazo
Ila Israel mlikuwa serious kusema mnamaliza hamas maana naona bado wapo jamani walikuwa wapi🤭🤣
ulitaka wafe?
walikuwa saite
Walikua location
E😂😂😂@@J4UPro
walikuwa wanauwa wanawake wazee na watoto tu
Update za Congo bundala
Hamas bado wapo wengi sana , hawa ni mfano wa nyumbu 😂😂😂
Wale ni waliojiunga upya ...wengi wao waliuawa..
@omondiowino7875 who told you
@@omondiowino7875 wamejiunga lini😅???
aaah kwhy hzo jezi ni mpya si ndio omondo
@@AliNassor-qt6fmHajielewi 😅😅😅
Ila tuyahudi tuzuri mwee
kuna wa Cristo humu walikuwa wanakubali uwongo wa Netanyau je wameamini, kama Magaidi ni hao wenyewe?
kwahiyo hamas ndio hao wamevaa vitambaa kwa kuzungushia nyuso zao
Swadakta
Sasa subiri uone wafungwa wapalestine 😢Walivyoteswa na kunyanyaswa laanatullaah Israel
Allah awalaani sna... awarithishe ardhi yao Hamas wawatawale
Israil walisema wamemaliza hamas wote ,na hao ni nani 😂😂😂❤
na wap mbele yao😅😅😅
chezea mujahidin wewe😄😄😄
Wailaeri hawananguvuza kijeshi
SIO WANAMGAMBO MUSIWADHARAU.
NI MAKOMANDO WA FALESTIN
.WAMEPIGANA NA DUNIA NI WANAMGAMBO YU HAO?
Tena wana afya mzuri na furaha tele mhmm kuna kitu cha kujifunza wacha tuwaone na walotekwa na israeli wakoje
Sasa israel alikuwa anapigana na nani naona hamas wapo kibao au alikuwa anapigana na raiya aibu kwao
😂😂😂
Alikuwa anapigana na Raia wasiokuwa na Silaha yoyote
Halafu anajifanya Israel kashinda Vita
Basi muhimu auwe tuu
Ngao ya Hamas ilikuwa ni Raiya,walivua magwanda wakavaa kiraiya, Bado Hamasi ni Magaidi hata mkiwapaka ranging nyeupe bado tu ni MAGAIDI TU😂😂
wanawake wazee na watoto ndio waliokufa pale gaza mostly
@@KhalidiBoaz hata wewe hapo ulipo ni gaidi wa Inchi yako kwani hulipi hata kodi harafu unaongea utumbo hapa pumbavu nendeni mkatoe mikunu kwa wa Israil
Ahahaaa yani wayahudi wa4 wakiachiliwa. Basi wapalestina mia2 nao wana achiliwa so mchezo😊
Kabla ya KUROPOKA UTUMBO huo unatakiwa ujuwe wapalestine ni wengi mno waliopo ktk magereza ya israel maelfu Kwa maelfu hvyo huwezi kusema uwachie waisrael sawa na wapalestine kwasbb Israel ni wachache lkn wapalestine ni wengi sana walioshikwa. Na pia Jiulize Sasa ungekuwa ni ww muafrica ungefananishwa na weupe wanagap thamani yko 😅 maana Waafrica ndy watu wanaozaraulika duniani kuliko MTU yoyote yule ila njaa tu ndy hufanya Waafrica kujipendekeza Kwa weupe.
Mbona wapo vzr sana kimwili yaan kama wanatoka matembezi tu.
tena matembez ya kula batq
@omondiowino... sjaon comment yako hap au huamin kuwa mabavu sio tib
Hamasi wakarimu sana imagine sare hata hazina vumbi wana afya nzuri na chakula walikuwa wanazuiwa ila wao walipewa chakula jamaa ni wema tuseme tu ukweli
@Djsma,Ali Masubi, Henry naFredrick Bundala,Tunasubiri Uchambuzi ,kwa nini Hao Mateka wa Israel ikiwa bado wapo mikononi mwa Hamas Wanacheka/Kutabasamu kupita kiasi.Nini kipo nyuma ya pazia tusichokijuwa? Japo ni kweli wanafurahia uhuru wao ila wamezingirwa na Hamas.Tunaomba ufafanuzi kwenye GPS,
Israel imeshindwa kuwapata mateka kweli paka jamaa wanawatoa wakiwa wazima bila wasiwasi
Hamas ni Majambazi hatari
Hawa Israel na hamas wanaelewana sema sisi ndo tunajipendekeza😂😂😂😂😂
.alikuwa wanauwa wanawake na watoto yaani hawana akili kabisa
Kiobya wa Ibwera
Vip walisema hamasi ni wabakaji vipi wamerudi na mimba au
Mateka wengi wamefichwa misri na Lebanoni....
mh we ndo hmna kitu mateka wanatolewa gaza unasema wampelekwa misri kichwa maji kwa kweli
Muda utaongea Haki itashinda wanfiqi watadhalilika maana huku hawapo na huku hawapo
Wamama wanne wenye furaha bashasha n afya njema chini ya mikono ya hamas na ndio wauwaji wachinjaji wa watoto na wamama wa hamas hakika n ajabu hamas na sheria za uislamu usalama wa wamama hawa wauwaji
Pamoja na kuwasifia Hamas,bado HAMAS NI MAGAIDI TU,HATA MUWAPAKE RANGI NYEUPE BADO NI MAGAIDI TU😂😂
Wangewapa mimba wawaachie wamezaa.
Hivi nyie SNS hii title mmeandikiwa ama mmeandika nyie wenyewe kwa kutumia usomi wenu😂😂😂?
Kama humu Kunamashoga wanaumia kwa ushindi huu kwanza wanamawazo megi wanafikilia maamuzi ya trump
Waisilam wanapigana vita ya kishelia hawauwi watoto na wazee labda kwa bahatimbaya
Km n makamanda mbn wanaume tukiingia mnakimbia uwanjan wa vita Israel oyeee
Yani kigende tu kinawashinda alafu wanauwa watoto na kina mama wasio na hatia km wanajua vita had Leo hawajui wamewekwa wapi ni wazi Israel vita haiwezi maneno mengi tu
Yani kigende tu kinawashinda alafu wanauwa watoto na kina mama wasio na hatia km wanajua vita had Leo hawajui wamewekwa wapi ni wazi Israel vita haiwezi maneno mengi tu
Kwaiyo vile vifo vya wanajeshi wa Israel wanouwawa na Hamas na vile vifaru vinavyoripuliwa huwa anaviripuw nani kama hamass WANAKIMBIA uwanja wa vita??? 😅
Hawa jamaa wakorofi sana mbona hawaachii mateka wote. Maana Waisrael wamewaachia mamia ya mateka wa wakipaganaji wa kipalestina.
Wengi wa wanateka wapo misri
Umewaona huko misri
Sky hao sio mateka ni wafungwa wa vita. Wapalestina waliotekwa na israel unawaita wafungwa, waisrael unawaita mateka! haya ndio madhara ya kucopy propaganda za media za west na kuzisoma
😂😂
Trump oyeeeee
kwhy trump ndio aliwapa afya hao matek walio kuwep gaza
Askari wanne kwa wafungwa 200 daah kweli Hamas kiboko😂Israel alitakiwa akubali haya mapema sana kubadirishana mateka hii vita ingeisha mapema mnoo ila wakajidai wababe kiko wapi sasa
Tafsiri yake ni kwamba thamani ya myahudi mmoja ni sawa na wapalestina 50. Hili sio jambo la kuangalia ukubwa wa idadi. Ni tusi kwa wapalestina. Wangesema idadi sawa kwa lengo kuheshimisha ethnic group yao.
Shida wao Israel wameteka watu wengi ndio maana ika wanafanya hivyo@@humphreymwihambi4330
Mhmm ujinga wako ulokujaa zidi ya ukafiri ndio mana kwenye picha ya mungu ni mzungu na mamaake ila shetani ni mweusi na muna8furahia tu kila kitu hewalla mzungu@humphreymwihambi4330
Sio kweli, tukiangalia idade ya wa fungwa wa ki palestina kwenye Magereza ya kiahudi huko, Israel ni kubwa, kwa iyo tuki chukuwa, huku kwa Hamas, hao walishikilia watu idadi nDogo Sana, kwa iyo Mabadilishano haya ni sahihi, kwani inge kuwa kwa usawa wa idadi ya watu watakae achiliwa, Hamas aachilie 4,na israel aachilie 4,basi wa Palestina wengi wange baki wengi Sana kuachiliwa.
@@MikelSitoesijui unapiga mahesabu Hili linafanyika Kwa gharama gani... wangapi wameangamia huko Gaza...Yani uwatoe watu 50000...kama kafara ya kuwapata watu 2000😂😂😂
Hamas wametoka kwenye shimo lao la ngiri 😂😂 chezea Israel 😂
Hao unao wasifia nchi za 4 zinawasapot lkn wanamgambo tu hamajaoka hat mateka moj wameishia kuuwa watu wa kawaida na sio wajend hata moj milio okoa
FK youuuuuu SHOGA Jeusiiiiii hilooooo
Hivi Ile idadi ya wanajeshi wa Israel wanouwawa huko gaza huwa anawauwa nani kama hamass walikuwa ktk shimo la ngiri? 😅😅😅