MWIJAKU AMTABIRIA HARMONIZE KUFILISIKA, SHOW YA ALIKIBA NA HARMONIZE KUFANYIKA UWANJA WA MKAPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook, Instagram na Twitter gusa link za zetu apo chini.
    .
    FACEBOOK: / minotv
    INSTAGRAM: / minotv_tz
    TIKTOK: / minotv_tz .

Комментарии • 35

  • @AbdyRamadhany
    @AbdyRamadhany Месяц назад +7

    Tangu mwijaku ulie anzaga uchawa leo umeongea neno nzuri omba mwisho ulio mwema ongera sana mwijaku

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya3190 Месяц назад +12

    Ajitafakari na kauli zake Mwenyezi mungu ndie anajua kesho yetu .

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Месяц назад

      Mwijaku amemuweka Mwenyezi Mungu mbele mengine ni kutafuta riziki tu

  • @allenonesmomwebembezi6248
    @allenonesmomwebembezi6248 Месяц назад +11

    Mwijaku mtu wa maana kabisa

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Месяц назад +10

    Mtu Wa Mana Kbs Dc❤🎉

  • @user-wp8nj1vs4g
    @user-wp8nj1vs4g Месяц назад +6

    Chawa pro max

  • @user-gj5jx7fk4i
    @user-gj5jx7fk4i Месяц назад

    Ha laaaa

  • @abdallahmuhammad8703
    @abdallahmuhammad8703 Месяц назад +1

    Allah awape nyote umri na afya njema❤

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Месяц назад

    From DC to RC wa insta
    Mwinyijaku the best 👍🏻👍🏻

  • @IsmailWilliam-q8u
    @IsmailWilliam-q8u 20 дней назад

    Oky

  • @SarahKwekwe-dt9zx
    @SarahKwekwe-dt9zx Месяц назад +2

    Tajiri hajisifu jamani

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 Месяц назад +2

    Maansh Allah kama una nia ya kupata jannatul firdowz

  • @ChrisBen-ip6iy
    @ChrisBen-ip6iy Месяц назад +1

    Mtu wa maana sana nakurank kutoka kenya 🎉

  • @bjayvocal1890
    @bjayvocal1890 Месяц назад +6

    Mashn tatu iyo mwijaku😂😂

  • @user-gz4qb9wz3d
    @user-gz4qb9wz3d Месяц назад +2

    Haalaa😂😂

  • @emmanuelkituma
    @emmanuelkituma Месяц назад +1

    🎉🎉

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe Месяц назад +3

    Mtuu wa maanaa kabisaa

  • @MaldyMaldwex
    @MaldyMaldwex Месяц назад +2

    Hahah harmonize na mo duu😂😂😂

  • @KhalifaMwinyi
    @KhalifaMwinyi Месяц назад +2

    Magari gani ya kifahari hio alphard ni gari ya kifahari

  • @user-rl4ii9xj5n
    @user-rl4ii9xj5n Месяц назад

    Haaaaala MTU wamana kabisa 🇨🇩🇿🇦

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Месяц назад +1

    Huyu mtu namsinya! Anakuaga mjinga sana!!! Miwani kama mchonelea mageti!!!! Kidevu kama ngazi ya uda!!!!

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 Месяц назад +1

    Ungepiga picha pale Odometer kama ni Kweli🤣🤣🤣

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Месяц назад +1

    Mtu unafirwa unasema unaitafuta pepo!!

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 Месяц назад

      Waziri neno moja linalotoka ktk kinywa chako linaandikwa ktk kitabu chako basi chunga ulimi wako

  • @user-cj6fi4gy5f
    @user-cj6fi4gy5f Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwahio mond itakuwaje mbona hajaowa na nitajiri na Alikiba anao week moja wana achana 😂😂😂😂😂😂 muache harmonize ale maisha bwana ila ataowa tu

  • @jean-claudeyadema5191
    @jean-claudeyadema5191 Месяц назад

    Mwijaku mtu wa Maaana kabisa 😂😂😂halaaaaaaaa

  • @RehemaEmmanuel-q5e
    @RehemaEmmanuel-q5e Месяц назад

    Moo na harmonize mwijaku bhn anachekesha sana😅

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 Месяц назад

    Huyu naye haelewekaagi😅😅

  • @HospiaceMata
    @HospiaceMata Месяц назад

    Mwijaku Hana akili mungu pekee ndo anayejua future zetu.

  • @layking6382
    @layking6382 Месяц назад

    Ningekuwa sina mzigo ninge kupa lifti

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Месяц назад

    HONGERA SANA MZEE UNAPAMBANA CHANGAMOTO YA WATU WENGI WANAJIBU COMMENT KWA. WIVU

  • @simulizitanzania2571
    @simulizitanzania2571 Месяц назад

    Unamfahamu Mohamed Dewji? Au unaropoka tu...

  • @user-rh4ue7rb6t
    @user-rh4ue7rb6t Месяц назад

    Mbafu sana wewe shabiki wa mwijaku au tz kwa hiy iphone fek na hiyo ya mwajua vinaensana mbafufu nyie