MIRAJI | GAMOND NDIO ANAJUA ATAMPANGA WAPI CHAMA |UKIWA NA AKINA INONGA 8 UNACHUKUA KILA KOMBE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 99

  • @georgettesaidi6809
    @georgettesaidi6809 3 месяца назад +20

    Tunao msubiri mzee saidi tujuwane jmn 😂😂😂

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 3 месяца назад +4

    maskin mzee said akiondok cham akiend nyuma mwiko kule cham kule pacom kule aziz k mzee said baba yangu sijuw atakuwa na hali gani

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 месяца назад +5

    kuna mahali niliona miraji kwa kijiwe kimoja cha masatu kisugu nassor nchemba ulikua bize na kahawa 😂ujaongea ata kidg kwann

  • @Mgema001
    @Mgema001 3 месяца назад +3

    Miraji leo mchele kidogo ila pumba nyingi😂...kwamba inonga na chama wakiamua kucheza hakuna wa kuwafikia maneno ya hovyo kabisa

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +1

      Ndo walivyoaminishwa hivyooo .... Ila waacheni na mabuluguja 😂😂😂 msiwastue

  • @ZaituniNyenzi
    @ZaituniNyenzi 3 месяца назад +4

    Hapana Miraji unapamba Inonga ni mchezaji wa kawaida😂😂😂

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen282 3 месяца назад +3

    Italy ni asili yao upambanaji hata kazi zao kila kitu fasta

  • @BiutiRashidi
    @BiutiRashidi 3 месяца назад +2

    Ivi chagamba huumwi kweli mabega maana miraji uyo ana kupiga sana

    • @AbasiyaKingalu
      @AbasiyaKingalu 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yanii

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 3 месяца назад +4

    Baka unamwacha wapi wewe Miraji

  • @Mazoya10tv
    @Mazoya10tv 3 месяца назад +4

    Mabega yaa chagamba

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 месяца назад

    Miraji tumesajili ndiyo waambie viongozi wamejpangaje kuwalinda wachezaji wetu ? Yanga wanaharibu wachezaji

  • @fafa_thedon
    @fafa_thedon 3 месяца назад

    Kuna mda huyu kaka miraji anaongea kiushabiki 🤔tho anaongea vizuri ila acha ushabiki ongea tu ukwel na kawaida (kama mzee said wetu ) hatukufananishi nae na sio vizuri ila ongea kawaida acha ushabiki 🙏

  • @nassyzznassyzz7111
    @nassyzznassyzz7111 3 месяца назад +5

    Tunamtaka mzee said

  • @MickJ-kv7iv
    @MickJ-kv7iv 3 месяца назад +2

    Usajili wa Che Malone ni wa kitaalamu sana....maana kama inonga angeondoka che hayupo ingekuwa balaa.

  • @billywilliammyovella2202
    @billywilliammyovella2202 3 месяца назад +2

    Totti, del piero, stevie Gerrard, paul scholes, ryan giggs, alan shearer hao wote hawa kuuzwa walibaki na club zao

    • @billywilliammyovella2202
      @billywilliammyovella2202 3 месяца назад +1

      Paolo Maldini wengi tu

    • @jumayusuf1694
      @jumayusuf1694 3 месяца назад

      una uhakika Gerrald na Shearer hawakuuuzwa? tuambie walibakia na Timu zao zipi? maana timu waloanza nanzo walizihama

  • @nicholouskihombo1507
    @nicholouskihombo1507 3 месяца назад

    Kwamba Bacca ni joke kwako sio?? Inonga mzuri ila Ibra Bacca ni complete package

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 3 месяца назад

    Washakubali hao .yani akili hawana hawa simba uongozi ni ule ule kipigo ni kile kile tena na zaidi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JumaHija-d9g
    @JumaHija-d9g 3 месяца назад

    Chagamba ukienda kufanya interview na miraji weka visofa kwenye mabega 😂😂

  • @NaseebAlly-sx8wo
    @NaseebAlly-sx8wo 3 месяца назад

    Milaji hp kwa kiungo yyt hkn wa kumfikia chama hapana nimekataa chama ni mzr Ila Pacome mmmh mmh chama labda uwenyeji kweny ligi ndcho anachomzidi pacome

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 месяца назад

    Jamani miraji mimi nakuomba huyo kocha anayekuja msimuache mgunda anajua mpira wa kwetu, timu sasahivi zimejipanga

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 месяца назад +1

    😂😂😂Huku sasa chagamba na miraji wananifurahisha sana 😂😂😂 Basi taratibu basi na bega la chagamba jamaniii 😂😂😂😂

  • @AmericoPedro-iw8bv
    @AmericoPedro-iw8bv 3 месяца назад

    Manchester United itasajili lini na dilisha kubwa la usaji linaelekeya ukingoni?

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 месяца назад

    Alihama fabregas arsenl roho iliniuma sana mana mpka umarufu alinipatia tanzania nzma walinijua kama fabregas😅

  • @HalimaPembe-pm7yi
    @HalimaPembe-pm7yi 3 месяца назад +3

    Steven Gerrard kamaliza mpira wake Liverpool

    • @bul425
      @bul425 3 месяца назад

      Amechezea LA Galaxy

  • @kassimmwawado7002
    @kassimmwawado7002 3 месяца назад

    Mtamaliza story zote lakini Chama anawakimbia makolo safari hii!

  • @MzeeMzee-lv7sv
    @MzeeMzee-lv7sv 3 месяца назад +1

    Chagamba pole sana hadi ukimaliza iyo kazi mdogo wangu mabega yamekma

  • @AnethKauzen-yz1ws
    @AnethKauzen-yz1ws 2 месяца назад

    Chagamba bega Hilo ukitoka hapo limeota sugu😂😂

  • @AnethKauzen-yz1ws
    @AnethKauzen-yz1ws 2 месяца назад

    Yanga pesa tunayo alafu tunamipango chamabhuyoooo

  • @jacksonmatenga9184
    @jacksonmatenga9184 3 месяца назад +3

    Wap mzee said

  • @JuliasPaul-i5m
    @JuliasPaul-i5m 3 месяца назад

    Chagamba wapi mzee said ananifurahisha sn

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 3 месяца назад +9

    Gamba Mzee saidi wapi jamani

  • @AngelAndress-ph8bh
    @AngelAndress-ph8bh 3 месяца назад

    Siku atakuvunja mabega huyu😅

  • @HARUNABWELELO
    @HARUNABWELELO 3 месяца назад

    Miraji utamvunja mabega chagamba

  • @OthmanMwela
    @OthmanMwela 3 месяца назад

    Kalipe ww bs ilio deni

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 3 месяца назад +1

    Duu hakuna BEKI yyote wa kumufikia lNONGA milaji hapo umeongea pumba INONGA hamuzidi chochote IBURA BAKA

  • @DindoAbwe-ze8yx
    @DindoAbwe-ze8yx 3 месяца назад +1

    Chochote miraji ongea ambia watu ukweli ..ninakukubali sana.

  • @Ernest947
    @Ernest947 3 месяца назад +4

    Mlete mzee saidi kwanza

  • @kalulika
    @kalulika 3 месяца назад +1

    Chagamba tuletee mzee Saidi

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 3 месяца назад

    Inonga kwa jinsi alivyokuwa anaonekana kuichoka simba hata simba ingehitaji kumbakisha hasingekubali angevunja mkataba jamaa alikuwa kama ana mgomo baridi

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 3 месяца назад

    Waota ndoto za mchana juu ya kuombea mabaya Yanga,wataota sana 2024 2025

  • @BennBenn-es5fi
    @BennBenn-es5fi 3 месяца назад

    😅😅😅😅begaa begaa chagamba ipo siku litadondoka ujuee

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 месяца назад

    Xavi mtupu

  • @salimkadenge3231
    @salimkadenge3231 3 месяца назад +1

    Assalam Aleikum jamaa bado mzee Said banae chagamba

  • @andrewfelix7009
    @andrewfelix7009 3 месяца назад +1

    Miraji mnafki Kwa sasa nakutupaaa 😂😂😂

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 3 месяца назад

    Bega la chagamba😂

  • @MZAMILUMNYOTI
    @MZAMILUMNYOTI 3 месяца назад +11

    Wakwanza leo from Kenya hapa nakuru

  • @marthastephen6600
    @marthastephen6600 3 месяца назад +3

    Hayo ni maoni yako miraji ila kwangu mim wapo mabeki wa kumzid inonga na wapo pia viungo wanaomzid chama so kutuambia hakuna mmhh

  • @muharammlawa9879
    @muharammlawa9879 3 месяца назад +1

    Safi kk

  • @ZwaibaMohamedy
    @ZwaibaMohamedy 3 месяца назад +1

    Chagamba vp Mzee saidi mbona kimya kimezidi

  • @experymassawe3521
    @experymassawe3521 3 месяца назад

    Madrid sijawai ona imeuza mchezaji inae muhitaji

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 3 месяца назад

    Inonga anaonekana alisha ichoka simba tangu mwanzo wa msim ndo maana alikuwa hajitumi uwanjani akiwa na simba ila tim ya taifa alikuwa anapambana sana

  • @nassyzznassyzz7111
    @nassyzznassyzz7111 3 месяца назад +4

    Usisahau kwenda kwa mzee said

  • @MwanahamisiMchombo
    @MwanahamisiMchombo 3 месяца назад

    Tuletee mzee said chagamba uyu kz yake kkpiga tu

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 3 месяца назад

    Simba itashuka daraja 2025

  • @EdwinBugongoro
    @EdwinBugongoro 3 месяца назад +1

    Nawakubali sana

  • @MussaRamadhan-v2c
    @MussaRamadhan-v2c 3 месяца назад

    Nilikua nakusubili milaji nisikie unasemaje kuusu chama

  • @IssaTamba-qh1gi
    @IssaTamba-qh1gi 3 месяца назад

    Sio mnatuletea skudu 😂

  • @nehemiatv665
    @nehemiatv665 3 месяца назад

    Hawana Bima ya Afya?

  • @paschalmpyuka3072
    @paschalmpyuka3072 3 месяца назад

    Kwel chama anaondoka kaka mama bite apa

  • @MosesShileka
    @MosesShileka 3 месяца назад

    O 12:51

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 3 месяца назад

    MIRAJ Leo utachimu 😂😂😂

  • @JumaRajabu-dd1gm
    @JumaRajabu-dd1gm 3 месяца назад

    leo mmezinguwa

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад +13

    walipe kwanza deni FIFA ndo wamchukue chama , bilioni moja wanayodaiwa na agustine okra ,SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤ WAKALI WA KARIAKOO NAMBA 7 BARANI AFRICA

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 3 месяца назад +4

      😂😂sawa kolovwanzi ila mwambie mo kama umeona tuzuiliwa kusajili kisa madeni bhs yey asajili tuone nani bingwa na anaeenda caf kati ya kolo nyie na yanga

    • @nassyzznassyzz7111
      @nassyzznassyzz7111 3 месяца назад +1

      Utopolo

    • @bobbywise7184
      @bobbywise7184 3 месяца назад

      @@nassyzznassyzz7111ila Harmonize 😂

    • @RamseykingGenius
      @RamseykingGenius 3 месяца назад +2

      Tutapiga kweny mshono qumamake walahi ni pupuu mchezo umekwisha🤪🤪🤪🤪🖕🙌🏿

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 3 месяца назад +2

      😂Ati bilion moja umekula maharage ya wapi ukiiona bilion moja utaijua 😅

  • @BibeLunangela
    @BibeLunangela 3 месяца назад

    🔥🔥🔥

  • @alexalexis6470
    @alexalexis6470 3 месяца назад

    UYO MWAMBA ANA NONDO MPAKA ZA ULAYA INABIDI FAMILIA MTUPE NONDO JAPO ZA DAKIKA MOJA ZA ULAYA ALAF NDIO TURUDI KWENYE DRAMA ZETU ...CHE GUEVARA MNYAMA MKALIIIII😂

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад +1

    Miraji kwer kunawachezaji wamehujum Tim yetu watolewe Simba nkubwa sana namikataba wanayopewa waviweke vigezo vinavyo wabana wachezaji wasituletee mizegwe wanaigalim Tim sana

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад

    yanga ichokitu hawakitaki ,wanataka mpaka mxhezaji akitoka palekwao mpaka ashindwe kucheza mpira

  • @LeninJonas-d3t
    @LeninJonas-d3t 3 месяца назад

    Leo zipo tatu thank you ko chama sidhani atapona onana Nate dah

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 3 месяца назад

      Thama atakuwa theenku ya mwisho.