Kuna mda huyu kaka miraji anaongea kiushabiki 🤔tho anaongea vizuri ila acha ushabiki ongea tu ukwel na kawaida (kama mzee said wetu ) hatukufananishi nae na sio vizuri ila ongea kawaida acha ushabiki 🙏
Milaji hp kwa kiungo yyt hkn wa kumfikia chama hapana nimekataa chama ni mzr Ila Pacome mmmh mmh chama labda uwenyeji kweny ligi ndcho anachomzidi pacome
Inonga kwa jinsi alivyokuwa anaonekana kuichoka simba hata simba ingehitaji kumbakisha hasingekubali angevunja mkataba jamaa alikuwa kama ana mgomo baridi
😂😂sawa kolovwanzi ila mwambie mo kama umeona tuzuiliwa kusajili kisa madeni bhs yey asajili tuone nani bingwa na anaeenda caf kati ya kolo nyie na yanga
UYO MWAMBA ANA NONDO MPAKA ZA ULAYA INABIDI FAMILIA MTUPE NONDO JAPO ZA DAKIKA MOJA ZA ULAYA ALAF NDIO TURUDI KWENYE DRAMA ZETU ...CHE GUEVARA MNYAMA MKALIIIII😂
Tunao msubiri mzee saidi tujuwane jmn 😂😂😂
Tupooooooo😊
maskin mzee said akiondok cham akiend nyuma mwiko kule cham kule pacom kule aziz k mzee said baba yangu sijuw atakuwa na hali gani
kuna mahali niliona miraji kwa kijiwe kimoja cha masatu kisugu nassor nchemba ulikua bize na kahawa 😂ujaongea ata kidg kwann
Miraji leo mchele kidogo ila pumba nyingi😂...kwamba inonga na chama wakiamua kucheza hakuna wa kuwafikia maneno ya hovyo kabisa
Ndo walivyoaminishwa hivyooo .... Ila waacheni na mabuluguja 😂😂😂 msiwastue
Hapana Miraji unapamba Inonga ni mchezaji wa kawaida😂😂😂
Italy ni asili yao upambanaji hata kazi zao kila kitu fasta
Ivi chagamba huumwi kweli mabega maana miraji uyo ana kupiga sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yanii
Baka unamwacha wapi wewe Miraji
Mabega yaa chagamba
😂😂😂
😂😂😂😂😂 mabega yanawak moto
😢😢😢😢
Miraji tumesajili ndiyo waambie viongozi wamejpangaje kuwalinda wachezaji wetu ? Yanga wanaharibu wachezaji
Kuna mda huyu kaka miraji anaongea kiushabiki 🤔tho anaongea vizuri ila acha ushabiki ongea tu ukwel na kawaida (kama mzee said wetu ) hatukufananishi nae na sio vizuri ila ongea kawaida acha ushabiki 🙏
Tunamtaka mzee said
Usajili wa Che Malone ni wa kitaalamu sana....maana kama inonga angeondoka che hayupo ingekuwa balaa.
Totti, del piero, stevie Gerrard, paul scholes, ryan giggs, alan shearer hao wote hawa kuuzwa walibaki na club zao
Paolo Maldini wengi tu
una uhakika Gerrald na Shearer hawakuuuzwa? tuambie walibakia na Timu zao zipi? maana timu waloanza nanzo walizihama
Kwamba Bacca ni joke kwako sio?? Inonga mzuri ila Ibra Bacca ni complete package
Washakubali hao .yani akili hawana hawa simba uongozi ni ule ule kipigo ni kile kile tena na zaidi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Chagamba ukienda kufanya interview na miraji weka visofa kwenye mabega 😂😂
Milaji hp kwa kiungo yyt hkn wa kumfikia chama hapana nimekataa chama ni mzr Ila Pacome mmmh mmh chama labda uwenyeji kweny ligi ndcho anachomzidi pacome
Jamani miraji mimi nakuomba huyo kocha anayekuja msimuache mgunda anajua mpira wa kwetu, timu sasahivi zimejipanga
😂😂😂Huku sasa chagamba na miraji wananifurahisha sana 😂😂😂 Basi taratibu basi na bega la chagamba jamaniii 😂😂😂😂
Manchester United itasajili lini na dilisha kubwa la usaji linaelekeya ukingoni?
Alihama fabregas arsenl roho iliniuma sana mana mpka umarufu alinipatia tanzania nzma walinijua kama fabregas😅
Steven Gerrard kamaliza mpira wake Liverpool
Amechezea LA Galaxy
Mtamaliza story zote lakini Chama anawakimbia makolo safari hii!
Chagamba pole sana hadi ukimaliza iyo kazi mdogo wangu mabega yamekma
Chagamba bega Hilo ukitoka hapo limeota sugu😂😂
Yanga pesa tunayo alafu tunamipango chamabhuyoooo
Wap mzee said
Chagamba wapi mzee said ananifurahisha sn
Gamba Mzee saidi wapi jamani
Siku atakuvunja mabega huyu😅
Miraji utamvunja mabega chagamba
Kalipe ww bs ilio deni
Duu hakuna BEKI yyote wa kumufikia lNONGA milaji hapo umeongea pumba INONGA hamuzidi chochote IBURA BAKA
Hata jobu
Kwa maoni yako lakin
Sio ibura ni Ibra
Chochote miraji ongea ambia watu ukweli ..ninakukubali sana.
Mlete mzee saidi kwanza
Tulua maramoja ateme madini kwanza
Chagamba tuletee mzee Saidi
Inonga kwa jinsi alivyokuwa anaonekana kuichoka simba hata simba ingehitaji kumbakisha hasingekubali angevunja mkataba jamaa alikuwa kama ana mgomo baridi
Waota ndoto za mchana juu ya kuombea mabaya Yanga,wataota sana 2024 2025
😅😅😅😅begaa begaa chagamba ipo siku litadondoka ujuee
Xavi mtupu
Assalam Aleikum jamaa bado mzee Said banae chagamba
Miraji mnafki Kwa sasa nakutupaaa 😂😂😂
Bega la chagamba😂
Wakwanza leo from Kenya hapa nakuru
hujaenda kuandamana?
We huandamani😂
Hayo ni maoni yako miraji ila kwangu mim wapo mabeki wa kumzid inonga na wapo pia viungo wanaomzid chama so kutuambia hakuna mmhh
Safi kk
Chagamba vp Mzee saidi mbona kimya kimezidi
Mbona tayari
Madrid sijawai ona imeuza mchezaji inae muhitaji
Inonga anaonekana alisha ichoka simba tangu mwanzo wa msim ndo maana alikuwa hajitumi uwanjani akiwa na simba ila tim ya taifa alikuwa anapambana sana
Usisahau kwenda kwa mzee said
Tuletee mzee said chagamba uyu kz yake kkpiga tu
Simba itashuka daraja 2025
Nawakubali sana
Nilikua nakusubili milaji nisikie unasemaje kuusu chama
Sio mnatuletea skudu 😂
Hawana Bima ya Afya?
Kwel chama anaondoka kaka mama bite apa
O 12:51
MIRAJ Leo utachimu 😂😂😂
leo mmezinguwa
walipe kwanza deni FIFA ndo wamchukue chama , bilioni moja wanayodaiwa na agustine okra ,SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤ WAKALI WA KARIAKOO NAMBA 7 BARANI AFRICA
😂😂sawa kolovwanzi ila mwambie mo kama umeona tuzuiliwa kusajili kisa madeni bhs yey asajili tuone nani bingwa na anaeenda caf kati ya kolo nyie na yanga
Utopolo
@@nassyzznassyzz7111ila Harmonize 😂
Tutapiga kweny mshono qumamake walahi ni pupuu mchezo umekwisha🤪🤪🤪🤪🖕🙌🏿
😂Ati bilion moja umekula maharage ya wapi ukiiona bilion moja utaijua 😅
🔥🔥🔥
UYO MWAMBA ANA NONDO MPAKA ZA ULAYA INABIDI FAMILIA MTUPE NONDO JAPO ZA DAKIKA MOJA ZA ULAYA ALAF NDIO TURUDI KWENYE DRAMA ZETU ...CHE GUEVARA MNYAMA MKALIIIII😂
Miraji kwer kunawachezaji wamehujum Tim yetu watolewe Simba nkubwa sana namikataba wanayopewa waviweke vigezo vinavyo wabana wachezaji wasituletee mizegwe wanaigalim Tim sana
yanga ichokitu hawakitaki ,wanataka mpaka mxhezaji akitoka palekwao mpaka ashindwe kucheza mpira
so kweli ..japo mmi n mwana simba...
Leo zipo tatu thank you ko chama sidhani atapona onana Nate dah
Thama atakuwa theenku ya mwisho.