YESU NAKUPENDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Jina la Wimbo: Yesu Nakupenda
    Mtunzi: Swai Tumaini (FM)
    Waimbaji: Kwaya ya Mt.Cecilia Muriet_Arusha
    Audio & Video: RAJO Productions
    Karibuni kusikiliza na Kutazama na Mungu atubariki sote.

Комментарии • 241

  • @johnkiarie5821
    @johnkiarie5821 2 месяца назад +2

    Ninaposikia wimbo huu, Mimi huanza kulia na kukimbia kwa Yesu kwenye Ekaristi Takatifu...NAKUPENDA YESU ...

  • @leahnyongesa8545
    @leahnyongesa8545 Год назад +3

    Tumaini Swai!!... Kazi safi sana ..maneno ya wimbo huu jamani..naupenda

  • @CeciliaChristine-g3b
    @CeciliaChristine-g3b 6 месяцев назад +3

    Huu wimbo hufanya nakua karibu na Mungu zaidi najihisi kweli ni karibu na Yesu wangu❤

  • @FlavianMbeke-vy9zi
    @FlavianMbeke-vy9zi 6 месяцев назад +1

    Ongereni sana waimbaji mungu naawambariki sana

  • @poncegk5263
    @poncegk5263 Год назад +3

    Tumain Swai, I wish siku moja unipe course ya kinanda

  • @georgemothemba9261
    @georgemothemba9261 Год назад +4

    Yesu tuhurumie sisi wote ni wenye dhambi 🙏🏿

  • @ciekagiri3286
    @ciekagiri3286 Год назад +1

    …Yesu ingia ndani mwangu unilinde, nijalie Bwana wangu nikupende siku zote …

  • @evancepolin1403
    @evancepolin1403 Год назад +1

    I'm proud to be Catholic and Christ follower, Christian.
    Yesu wangu nakupenda siku zote

  • @HappinessJustine-m1j
    @HappinessJustine-m1j 11 месяцев назад +1

    Wanakwaya wenzangu, tupige injili mpaka mwisho wa nyakati, hakika hata mbinguni tutaimba!

  • @victormaisiba8237
    @victormaisiba8237 Год назад +3

    Utunzi, uimbaji wa hali ya juu. Mungu Awamiminie baraka,Awajalie

  • @GiftSingano-x8v
    @GiftSingano-x8v 11 месяцев назад +1

    Nabarikiwa kila ninaposikiliza wimbo huu. Naipenda. Upendo kutoka malawi 🇲🇼

  • @MalaikaIdan
    @MalaikaIdan 3 месяца назад +1

    Tumsifu yesu kirstu naweza kupata wimbo wa sema na moyo wangu

  • @piusvenance99
    @piusvenance99 Год назад +2

    Kazi nzuri sana hongereni endeleeni na utumishi uliotukuka

  • @roberto.15
    @roberto.15 Год назад +2

    Hongereni sana ndugu wapenzi, Mungu azidi kuwabariki❤

  • @FurahaMajilanga-ny8xj
    @FurahaMajilanga-ny8xj Год назад +1

    Nyimbo nzuri kweli zinanifariji sana hongereni. Mwl naomba kopi na Mimi niwashirikishe wengine

  • @Goodgal824
    @Goodgal824 Месяц назад +1

    Jesus I love,I adore you I am nothing without you

  • @alfredmongo1521
    @alfredmongo1521 2 месяца назад +2

    Naming nilango sa mungu sitafunguka kuwana iman na moyo

  • @rosechebet5729
    @rosechebet5729 Год назад +1

    Na mm Nishi nawe niwe wako milele amen 🙏🙏❤❤❤❤❤❤

  • @kandi-daaugustin2092
    @kandi-daaugustin2092 11 месяцев назад +1

    Asante kwa nyimbo hii ambayo ina ongeza imani. tuna hitaji music note ya nyimbo hii DRC mjini Goma

  • @yohanambano872
    @yohanambano872 Год назад +2

    Mmeimba vizuri sana

  • @mwlnoelbm24
    @mwlnoelbm24 Год назад +1

    Wimbo uko vizuri sana, Hongereni sana Wapendwa kwa Utume huo, Mungu Awabariki sana.

  • @euniceedgar1574
    @euniceedgar1574 3 месяца назад +1

    Tumsfu yesu kristu,,, nawezaje kupata wimbo wenu wa Sema na moyo wangu you tube haupo😢

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 Год назад +2

    Sawa.kabisa.mungu.atuwazia.mema👍

  • @fredmhiche3614
    @fredmhiche3614 Год назад +2

    Kaka Tumaini Swai (FM) heshima yako👏👏🙌

  • @Erastobernardpuka
    @Erastobernardpuka 7 месяцев назад +1

    Napenda sana Wimbo huu hongereni

  • @GUSTAVCHAKI
    @GUSTAVCHAKI 4 месяца назад +1

    Mmeimba vzuri sana jamani nikiusikia naona kama niko mbingu hongereni wanakwaya

  • @christopherkenyaga6124
    @christopherkenyaga6124 10 месяцев назад +2

    Mwalimu tumaini swai at his best much love from kenya

  • @stephenooko9323
    @stephenooko9323 10 месяцев назад +3

    Playing this song for the 15th time today

  • @MaryMukuzwi
    @MaryMukuzwi 3 месяца назад +1

    Huu wimbo umenifanya niwe Karibu na yesu❤

  • @bahatimashalo4335
    @bahatimashalo4335 Год назад +2

    Wimbo wa zaman sasa❤

  • @chrisjwayajwaya2804
    @chrisjwayajwaya2804 Год назад +1

    Nyimbo nzuri ya kuabudu. Asateni kwa kzi nzuri ya utunzi

  • @LKC_.
    @LKC_. 8 месяцев назад +1

    hii iwe wimbo ya kupokea.iko sawa kabisa

  • @mparcado
    @mparcado Год назад +1

    hongera sana wimbo huu umenigusa sana moyoni mwangu

  • @mariamexaverympolo4641
    @mariamexaverympolo4641 Год назад +1

    Hongera sana Kwa Kaz nzur. Mungu aibariki kazi yenu

  • @fulgencetumaini81
    @fulgencetumaini81 Год назад +3

    Hongereni sana wana cesilia Muriet kwa kazi nzuri mliyoifanya. Mwenyezi Mungu awawezeshe muweze kumtumikia katika Roho na kweli.

    • @CeciliaMuriet
      @CeciliaMuriet  Год назад

      Tunashukuru sana, Mungu akubariki

    • @lameckgasper3174
      @lameckgasper3174 Год назад

      santeni Sana kwa pongezi

    • @urbanmilinga208
      @urbanmilinga208 Год назад

      Hongereni sana kwa kupalilia shamba la Mungu kwa nyimbo zenu nzuri

    • @isaacgachema6055
      @isaacgachema6055 Год назад

      ​@@CeciliaMuriet Please is it possible to share the music of this song? I would wish to sing it in my local church. Kindly. Nice one there 🎉🎉🎉🎉

    • @MaryMushi-s6o
      @MaryMushi-s6o 4 месяца назад

      Ongereni sana mwenyezi Mungu awbarki kwa wimbo unaemtukuza mwanae wa pekee

  • @RozaliaRichard-b6c
    @RozaliaRichard-b6c Год назад +1

    Nyimbo nzuri sana mungu awabariki

  • @NantongoJack
    @NantongoJack 4 месяца назад +1

    Yesu nakupenda, NKWAGALA YESU,I LOVE JESUS

  • @saudamagabe6116
    @saudamagabe6116 Год назад +1

    ❤ congratulations 🎉👏 guys keep it up nice song love it 🌹🙏

  • @johnkiarie5821
    @johnkiarie5821 2 месяца назад +1

    May Jesus bless the composer! He was truly Inspired by the Holy Spirit!

  • @barongomaseno722
    @barongomaseno722 Год назад +2

    This song makes me emotional 😢, glory be to God. The message is so strong that I can't keep my eyes open upon listening to it🙏🙏🙏

  • @StanNyagawa-o7e
    @StanNyagawa-o7e Год назад +1

    Halow martini uliomba wimbo huu ulipata nota zake mbn natafuta Swahil music siuoni

  • @serahkyalo354
    @serahkyalo354 Год назад +1

    Nimebarikiwa Sana na huu wimbo.
    Mbarikiwe pia nyinyi, sana

  • @EmmySteven-ei2mq
    @EmmySteven-ei2mq Год назад +1

    Hongereeen sana wanakwaya wenzangu nabarikiwa sana 💖💖💖💖

  • @atiliomitao3824
    @atiliomitao3824 7 месяцев назад

    Asante kwa kuinjiliaha nyimbo imenigusa sana hiyo wimbo umenibaeiki sana naomba kwa mwenye nota anisaidie aseme bei gani nitampatia

  • @nzukimartin.7069
    @nzukimartin.7069 8 месяцев назад +1

    Great one."yesu nakupenda kweli"

  • @Angelmalaika-o7w
    @Angelmalaika-o7w Год назад +1

    Mungu ni mwema Jaman haikuwa rahisi

  • @beatrisikimario8233
    @beatrisikimario8233 Год назад

    Ee Yesu natamani kuishi nawe siku zote, niimarishe pale ninaporudi nyuma🙏

  • @RozinaaNganga
    @RozinaaNganga 10 месяцев назад +1

    Wana kwaya waliombarikiwa na sauti tamu mno

  • @fredrickmngube4862
    @fredrickmngube4862 Год назад

    Tumsifu Yesu Kristo waamini wa parokia Mt. Yuda Thadei Muriet Jimbo kuu la Arusha. Hongereni wanakwaya wa Mt. Cecilia. Kweli nyie si mchezo. wimbo huu ni mzuri sana, mnamtukuza Mungu kwa roho na kweli. Pia mmependeza sanaaaaaaaa❤

  • @wilsonmusonda7857
    @wilsonmusonda7857 8 месяцев назад +1

    Great composition, excellent picture and sound quality. A combination of Spiritual and Mystical video dynamics with great power for listeners to arrive at the Pearly Gates. TUMAINI SWAI, Job well done!👏👏👏

  • @JuliannMakau
    @JuliannMakau 8 месяцев назад

    This song is such a blessing to my soul. May God bless all those who were involved in its production. Mbarikiwe sana na bwana aishi nayi siku zote za maisha yenu.

  • @marysemufali7011
    @marysemufali7011 Год назад +1

    Hongereni sana,Wimbo mzurii

  • @salmagumatobarako9574
    @salmagumatobarako9574 Год назад +1

    Nyimbo nzuri jamani

  • @SamuelRop
    @SamuelRop 18 дней назад

    Tumsifu Yesu Kristo kila wakati

  • @neemajaneth3508
    @neemajaneth3508 Год назад +1

    Ongeren San wanakwany wetu 🙏🙏🙏🙏

  • @AliCarolyn-rw6lo
    @AliCarolyn-rw6lo 7 месяцев назад

    Hungera wanakwaya.
    Nyimbo nzuri.

  • @JohnboscoKariuki-r4v
    @JohnboscoKariuki-r4v 3 месяца назад

    hakika huu wimbo ni mtamu hongereni sana❤❤❤ halafu kuna wimbo ukuu wa mungu ambao nikidhani umaimbwa na hii kwaya na siupati ntafanyaje

  • @brdamasam1131
    @brdamasam1131 Год назад

    Samahani kama Kuna uwezekano naomba mtutumie ule wimbo uitwao Mungu wa baraka tafadhalini sana

  • @evansmutwota8083
    @evansmutwota8083 Год назад +1

    Asante Kwa wimbo mtamu sana....umenibariki sana

  • @PASTEURMURHULA
    @PASTEURMURHULA Год назад

    Munawasaidia wengi kuabudu kweli, hivyo mutabarikiwa na Bwana Yesu.

  • @CosmusMutia
    @CosmusMutia 11 месяцев назад +1

    I'm proud of you.God bless you.

  • @davidsinange9796
    @davidsinange9796 Год назад +1

    Wimbo ulio na mguso..Alafu Kinanda pia

  • @EvaristoMbilinyi
    @EvaristoMbilinyi 10 месяцев назад

    Nawakaribisha sana kigangoni igoji 1 parokia ya chipogoro Jimbo kuu la Dodoma.Hongereni sana Kwa utume

  • @StivinSapi-eg7kr
    @StivinSapi-eg7kr 10 месяцев назад

    Hongereni MUNGU hupendezwa na wamtukuzao kwa kuimba.

  • @kagandamike
    @kagandamike Год назад

    Tumwimbie Bwana, Katika Roho na Ukweli! Hongereni sana wapendwa katika Kristo❤ Nilikuwa nasubiri video hii kabisa.

  • @scolasticaadam7403
    @scolasticaadam7403 Год назад +1

    Hongereni sana
    Mungu awabariki

  • @CathelinMboya
    @CathelinMboya Год назад +1

    Hongeleni sana na mungu azidi kuwabariki

  • @FaustineMazebele
    @FaustineMazebele Год назад +1

    Hongereni sana

  • @ivynececilia9440
    @ivynececilia9440 Год назад +1

    Hongera ❤❤

  • @donatherandrew3648
    @donatherandrew3648 Год назад +1

    Hongereni sana
    Kwaya iko vzr sana🙏

  • @celistinemassawe7571
    @celistinemassawe7571 Год назад

    Hongereni.yafaaa uisikilize kila wakati; naona kama ndio nlikuwepo paska ya kwanza

  • @josephabunde5480
    @josephabunde5480 Год назад

    Yesu njoo kaa kwangu Bwana. Mbarikiwe sana kwa huduma yenu ya kumsifu Mungu wetu.

  • @constantinebanzi5292
    @constantinebanzi5292 Год назад +1

    HONGERENI SANA WATUMISHI WA MUNGU

  • @consolataodari9737
    @consolataodari9737 7 месяцев назад

    Yesu nakupenda,,, hallelujah

  • @AgathaGitasham
    @AgathaGitasham 5 месяцев назад

    Katika maisha yetu hatuna mwingine zaid ya mungu tumtukuzen kwa nyimbo tamu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @chusimedia365
    @chusimedia365 Год назад

    Well done Wana wa Mungu.
    Imetukuka Sana na hongereni kwa kazi nzuri hii.

  • @TuliMacha
    @TuliMacha 9 месяцев назад

    Hongereni kwa utume nzur xn huu jimbo unajua sana kwa kwel

  • @romwardmapara6485
    @romwardmapara6485 Год назад

    Mungu baliki mzidi kutoa nyimbo nzuri kama ivii🙏🙏

  • @ZuwenaFaraji
    @ZuwenaFaraji Год назад

    WAooooo cha kwaza saree nzuriii shhhh jamanii wimboo nzuriii sanaaa ❤❤❤

  • @Vickymatesha7
    @Vickymatesha7 Год назад

    Tumsifu Yesu kirsto,, Ongerani sn nyimbo nzuri sn

  • @faithmbaga1105
    @faithmbaga1105 Год назад

    Mungu ni Mwema kila wakati,Asante kwa kazi safi wana Murieti Arusha…Nimebarikiwa

  • @jesus_agency_pro.
    @jesus_agency_pro. Год назад

    Bonge la fundi hongera kawako brooo ray

  • @gettymo12
    @gettymo12 11 месяцев назад

    Nijalie bwana nikupende siku zote❤❤🙏

  • @michaelkimario3313
    @michaelkimario3313 9 месяцев назад

    Mungu awabariki sana hongereni Kwa utume mkayaishi mnayoyatamka.....mbarikiwe sana

  • @SidonMsuha
    @SidonMsuha 11 месяцев назад

    naombeni Nota za huo wimbo (yesu nakupenda)🙏

  • @stephenmukwata1737
    @stephenmukwata1737 11 месяцев назад +1

    Wow, post more songs.

  • @neemachrispine2342
    @neemachrispine2342 Год назад

    Mungu awabariki sana,mwendeleze wito wa kuinjirisha kwa karama ya kuimba,Ili neno la mungu lisambae duniani kote

  • @Russi-rd8bo
    @Russi-rd8bo Год назад

    Waoooooh waooooooh mungu andelehe kuwatia nguvu zakumutumikia zaidi

  • @VedastusMoris
    @VedastusMoris 11 месяцев назад

    Unajua sanaa swai unanifanya niwe naiman na katoriki sanaa

  • @FrindahKiende
    @FrindahKiende Год назад

    Nimehagalia mala ka tano nasijaboeka. Wimbo tamu ongela

  • @luxuriantxeryza6476
    @luxuriantxeryza6476 9 месяцев назад

    Nyimbo tamu sanaa
    Barikiweni mzidi vivyo hivi

  • @mashabakari-rq2xx
    @mashabakari-rq2xx Год назад

    Mbarikiwe waimbaji kwa wimbo mzr

  • @emmymadata9115
    @emmymadata9115 Год назад

    Nimebarikiwa mno,, Mungu awatie nguvu zaidi na zaidi🙏

  • @rosemarytigano2234
    @rosemarytigano2234 Год назад

    Hongera sana mmeimba vizuri sana
    Mungu awabariki sana

  • @carolinekiprotich5586
    @carolinekiprotich5586 Год назад

    Pongezi st Cecilia wimbo tamu,I like it

  • @musichealsTz
    @musichealsTz Год назад

    Pisi ya moto sana, hongera mwl Swai

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam2419 5 месяцев назад

    Nimebarikiwa sana na huu wimbo. Ni Sara nzuri sana

  • @urbanmilinga208
    @urbanmilinga208 Год назад

    Kazi nzuri Mungu awabariki sana nyote

  • @AliCarolyn-rw6lo
    @AliCarolyn-rw6lo 7 месяцев назад

    Nyimbo nzuri sana.
    Hongera

  • @wesleyrogito8326
    @wesleyrogito8326 9 месяцев назад

    pongezi wana kwaya mungu awaneemeshe na upendo wake mkuu