Jina la Wimbo: Yesu Nakupenda Mtunzi: Swai Tumaini (FM) Waimbaji: Kwaya ya Mt.Cecilia Muriet_Arusha Audio & Video: RAJO Productions Karibuni kusikiliza na Kutazama na Mungu atubariki sote.
Tumsifu Yesu Kristo waamini wa parokia Mt. Yuda Thadei Muriet Jimbo kuu la Arusha. Hongereni wanakwaya wa Mt. Cecilia. Kweli nyie si mchezo. wimbo huu ni mzuri sana, mnamtukuza Mungu kwa roho na kweli. Pia mmependeza sanaaaaaaaa❤
Great composition, excellent picture and sound quality. A combination of Spiritual and Mystical video dynamics with great power for listeners to arrive at the Pearly Gates. TUMAINI SWAI, Job well done!👏👏👏
This song is such a blessing to my soul. May God bless all those who were involved in its production. Mbarikiwe sana na bwana aishi nayi siku zote za maisha yenu.
Ninaposikia wimbo huu, Mimi huanza kulia na kukimbia kwa Yesu kwenye Ekaristi Takatifu...NAKUPENDA YESU ...
Tumaini Swai!!... Kazi safi sana ..maneno ya wimbo huu jamani..naupenda
Hapo ndipo
Huu wimbo hufanya nakua karibu na Mungu zaidi najihisi kweli ni karibu na Yesu wangu❤
Ongereni sana waimbaji mungu naawambariki sana
Tumain Swai, I wish siku moja unipe course ya kinanda
Yesu tuhurumie sisi wote ni wenye dhambi 🙏🏿
…Yesu ingia ndani mwangu unilinde, nijalie Bwana wangu nikupende siku zote …
I'm proud to be Catholic and Christ follower, Christian.
Yesu wangu nakupenda siku zote
Wanakwaya wenzangu, tupige injili mpaka mwisho wa nyakati, hakika hata mbinguni tutaimba!
Utunzi, uimbaji wa hali ya juu. Mungu Awamiminie baraka,Awajalie
Nabarikiwa kila ninaposikiliza wimbo huu. Naipenda. Upendo kutoka malawi 🇲🇼
Tumsifu yesu kirstu naweza kupata wimbo wa sema na moyo wangu
Kazi nzuri sana hongereni endeleeni na utumishi uliotukuka
Mungu akutangulia na kazi yako
Hongereni sana ndugu wapenzi, Mungu azidi kuwabariki❤
Nyimbo nzuri kweli zinanifariji sana hongereni. Mwl naomba kopi na Mimi niwashirikishe wengine
Jesus I love,I adore you I am nothing without you
Naming nilango sa mungu sitafunguka kuwana iman na moyo
Na mm Nishi nawe niwe wako milele amen 🙏🙏❤❤❤❤❤❤
Asante kwa nyimbo hii ambayo ina ongeza imani. tuna hitaji music note ya nyimbo hii DRC mjini Goma
Mmeimba vizuri sana
Wimbo uko vizuri sana, Hongereni sana Wapendwa kwa Utume huo, Mungu Awabariki sana.
Tumsfu yesu kristu,,, nawezaje kupata wimbo wenu wa Sema na moyo wangu you tube haupo😢
Sawa.kabisa.mungu.atuwazia.mema👍
Kaka Tumaini Swai (FM) heshima yako👏👏🙌
Napenda sana Wimbo huu hongereni
Mmeimba vzuri sana jamani nikiusikia naona kama niko mbingu hongereni wanakwaya
Mwalimu tumaini swai at his best much love from kenya
Playing this song for the 15th time today
Huu wimbo umenifanya niwe Karibu na yesu❤
Wimbo wa zaman sasa❤
Ubarikiwe sana
Nyimbo nzuri ya kuabudu. Asateni kwa kzi nzuri ya utunzi
hii iwe wimbo ya kupokea.iko sawa kabisa
hongera sana wimbo huu umenigusa sana moyoni mwangu
Hongera sana Kwa Kaz nzur. Mungu aibariki kazi yenu
Hongereni sana wana cesilia Muriet kwa kazi nzuri mliyoifanya. Mwenyezi Mungu awawezeshe muweze kumtumikia katika Roho na kweli.
Tunashukuru sana, Mungu akubariki
santeni Sana kwa pongezi
Hongereni sana kwa kupalilia shamba la Mungu kwa nyimbo zenu nzuri
@@CeciliaMuriet Please is it possible to share the music of this song? I would wish to sing it in my local church. Kindly. Nice one there 🎉🎉🎉🎉
Ongereni sana mwenyezi Mungu awbarki kwa wimbo unaemtukuza mwanae wa pekee
Nyimbo nzuri sana mungu awabariki
Yesu nakupenda, NKWAGALA YESU,I LOVE JESUS
❤ congratulations 🎉👏 guys keep it up nice song love it 🌹🙏
May Jesus bless the composer! He was truly Inspired by the Holy Spirit!
This song makes me emotional 😢, glory be to God. The message is so strong that I can't keep my eyes open upon listening to it🙏🙏🙏
Halow martini uliomba wimbo huu ulipata nota zake mbn natafuta Swahil music siuoni
Nimebarikiwa Sana na huu wimbo.
Mbarikiwe pia nyinyi, sana
Hongereeen sana wanakwaya wenzangu nabarikiwa sana 💖💖💖💖
Asante kwa kuinjiliaha nyimbo imenigusa sana hiyo wimbo umenibaeiki sana naomba kwa mwenye nota anisaidie aseme bei gani nitampatia
Great one."yesu nakupenda kweli"
Mungu ni mwema Jaman haikuwa rahisi
Ee Yesu natamani kuishi nawe siku zote, niimarishe pale ninaporudi nyuma🙏
Wana kwaya waliombarikiwa na sauti tamu mno
Tumsifu Yesu Kristo waamini wa parokia Mt. Yuda Thadei Muriet Jimbo kuu la Arusha. Hongereni wanakwaya wa Mt. Cecilia. Kweli nyie si mchezo. wimbo huu ni mzuri sana, mnamtukuza Mungu kwa roho na kweli. Pia mmependeza sanaaaaaaaa❤
Great composition, excellent picture and sound quality. A combination of Spiritual and Mystical video dynamics with great power for listeners to arrive at the Pearly Gates. TUMAINI SWAI, Job well done!👏👏👏
This song is such a blessing to my soul. May God bless all those who were involved in its production. Mbarikiwe sana na bwana aishi nayi siku zote za maisha yenu.
Hongereni sana,Wimbo mzurii
Nyimbo nzuri jamani
Tumsifu Yesu Kristo kila wakati
Ongeren San wanakwany wetu 🙏🙏🙏🙏
Hungera wanakwaya.
Nyimbo nzuri.
hakika huu wimbo ni mtamu hongereni sana❤❤❤ halafu kuna wimbo ukuu wa mungu ambao nikidhani umaimbwa na hii kwaya na siupati ntafanyaje
Samahani kama Kuna uwezekano naomba mtutumie ule wimbo uitwao Mungu wa baraka tafadhalini sana
Asante Kwa wimbo mtamu sana....umenibariki sana
Munawasaidia wengi kuabudu kweli, hivyo mutabarikiwa na Bwana Yesu.
I'm proud of you.God bless you.
Wimbo ulio na mguso..Alafu Kinanda pia
Nawakaribisha sana kigangoni igoji 1 parokia ya chipogoro Jimbo kuu la Dodoma.Hongereni sana Kwa utume
Hongereni MUNGU hupendezwa na wamtukuzao kwa kuimba.
Tumwimbie Bwana, Katika Roho na Ukweli! Hongereni sana wapendwa katika Kristo❤ Nilikuwa nasubiri video hii kabisa.
Hongereni sana
Mungu awabariki
Hongeleni sana na mungu azidi kuwabariki
Hongereni sana
Hongera ❤❤
Hongereni sana
Kwaya iko vzr sana🙏
Hongereni.yafaaa uisikilize kila wakati; naona kama ndio nlikuwepo paska ya kwanza
Yesu njoo kaa kwangu Bwana. Mbarikiwe sana kwa huduma yenu ya kumsifu Mungu wetu.
HONGERENI SANA WATUMISHI WA MUNGU
Yesu nakupenda,,, hallelujah
Katika maisha yetu hatuna mwingine zaid ya mungu tumtukuzen kwa nyimbo tamu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Well done Wana wa Mungu.
Imetukuka Sana na hongereni kwa kazi nzuri hii.
Hongereni kwa utume nzur xn huu jimbo unajua sana kwa kwel
Mungu baliki mzidi kutoa nyimbo nzuri kama ivii🙏🙏
WAooooo cha kwaza saree nzuriii shhhh jamanii wimboo nzuriii sanaaa ❤❤❤
Tumsifu Yesu kirsto,, Ongerani sn nyimbo nzuri sn
Mungu ni Mwema kila wakati,Asante kwa kazi safi wana Murieti Arusha…Nimebarikiwa
Bonge la fundi hongera kawako brooo ray
Ewe yesu natamani uwe wangu milele❤️
Nijalie bwana nikupende siku zote❤❤🙏
Mungu awabariki sana hongereni Kwa utume mkayaishi mnayoyatamka.....mbarikiwe sana
naombeni Nota za huo wimbo (yesu nakupenda)🙏
Wow, post more songs.
Mungu awabariki sana,mwendeleze wito wa kuinjirisha kwa karama ya kuimba,Ili neno la mungu lisambae duniani kote
Waoooooh waooooooh mungu andelehe kuwatia nguvu zakumutumikia zaidi
Unajua sanaa swai unanifanya niwe naiman na katoriki sanaa
Nimehagalia mala ka tano nasijaboeka. Wimbo tamu ongela
Nyimbo tamu sanaa
Barikiweni mzidi vivyo hivi
Mbarikiwe waimbaji kwa wimbo mzr
Nimebarikiwa mno,, Mungu awatie nguvu zaidi na zaidi🙏
Hongera sana mmeimba vizuri sana
Mungu awabariki sana
Pongezi st Cecilia wimbo tamu,I like it
Pisi ya moto sana, hongera mwl Swai
Nimebarikiwa sana na huu wimbo. Ni Sara nzuri sana
Kazi nzuri Mungu awabariki sana nyote
Nyimbo nzuri sana.
Hongera
pongezi wana kwaya mungu awaneemeshe na upendo wake mkuu