Shalom Bishop, tunashukuru kwa elimu hii muhimu kufahamu historia ya kanisa lkn pia kwa maisha yetu ya sasa. Ili iwe rahisi kwetu kufuatilia clip hizi ni vizuri ziwe na mtiririko wa namba hasa kama masomo ni ya kitabu au mada moja. Tunapata shida kidogo kujua niliishia wapi na naendelea na clip ipi.
Ubarikiwe na kuongezewa hekima na maharifa na Mungu Bishop
Asante baba Kwa mafundisho,ninahaja yamasomo haya.
Bishop Mungu akubariki Sana,umenitia moyo Sana kupitia ujumbe Wa kanisa la smirna.
Pole sn Dr. Mungu aendelee kukupa afya. Tunabarikiwa na masomo
Hongera sana Bishop. Na pole Tunakuombea uendelee kuimalika.
Masomo mazuri sana. Sasa nimepata kuelewa vizuri maana ya Makanisa Saba ya ufunuo
Shalom Bishop, tunashukuru kwa elimu hii muhimu kufahamu historia ya kanisa lkn pia kwa maisha yetu ya sasa. Ili iwe rahisi kwetu kufuatilia clip hizi ni vizuri ziwe na mtiririko wa namba hasa kama masomo ni ya kitabu au mada moja. Tunapata shida kidogo kujua niliishia wapi na naendelea na clip ipi.