WAZIRI MKUU MAJALIWA AWASHA MOTO KIGOMA ASIMAMISHA KAZI WOTE.....WASHINDWA KUJIELEZA/FEDHA ZIKO WAPI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 32

  • @ommyzubery8358
    @ommyzubery8358 11 месяцев назад +1

    Hongera mheshimiwa naona ulikuwa umepoa kiasi cha mwaka hivi mambo yamevunda sasa amsha amsha mambo ni Madudu tu uzembe ,upigaji ni mwingi mno wazi wanahodhi fedha za serikali kama mali zao kaza buti utafikia makaburi mengi ukimaliza huko njoo huku Tanga n

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 11 месяцев назад +1

    Waziri Mkuu ungekuwa Rais ungetufaa sana.

  • @frankomary3888
    @frankomary3888 11 месяцев назад

    Hao wapo sawa wamechukuwa zao mapema kabla hawajakutana na kikokotoo Cha ustaafu

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df 11 месяцев назад +1

    Waongo wanajuana hao, hy danganya toto hakuna walonaosimamishwa kaz hapo wanawabadirsha2 mikoa

  • @Jandugu
    @Jandugu 11 месяцев назад

    Mimi sioni kilicho fanyika zaidi ya mahojiano ya vichekesho nani aliyesoma hesabu za mafumbo mimi hapo nimeona danadana za pasi fupi fupi jibu mwisho muweka hazina anasema hakuna pesa waweke ndani uchunguzi uendelee kila aliye husika awajibike

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 11 месяцев назад

    Nchi hii aliiwezea John Pombe Magufuli tu

  • @Mamujoseph-go3qf
    @Mamujoseph-go3qf 11 месяцев назад

    Cha ajabu hao wezi hakuna cha kuwafanya ila kama wangelikuwa kwetu CHINA tushanyonga tyr......

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 11 месяцев назад

    Majariwa ulitakiwa uwe rais wa tanzania

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 11 месяцев назад

    Nimekumbuka magu

  • @charlesmelami8028
    @charlesmelami8028 11 месяцев назад

    Iiinjii.undisiii.ikitupwanjee.nawwkurugesi.iinchi.itapona.hawa.doowagamisajii

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 11 месяцев назад

    Hawajaiba ila wapo taratibu Sana.

  • @ngendaniyeniyonkuru8826
    @ngendaniyeniyonkuru8826 11 месяцев назад

    Aise Kigoma bado ni Shamba la bibi🤦🤦🤦🤦🤦.

  • @bongo39
    @bongo39 11 месяцев назад

    Mbona wapo wengi wizara nyingi tuu yapo hayo mkuu ushapewa naibu sasa ingia kwa nguvu zote kila kilankona mgawane na naibu wako ili watanzania tuone kweli waziri mkuu anatatua matatizo yetu ili mumuache mama ahangaike na mengine ya maendeleo ya watanzania

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA 11 месяцев назад

    Watoto wa CCM hao baba zao Ni vigogo hakuna kitu watafanywa danganya Toto , mnatuzuga tu , CCM wote waondoke na mfumo wake

  • @sembuakimbosho3319
    @sembuakimbosho3319 11 месяцев назад

    Kimenuka

  • @mwazanimnyamani8493
    @mwazanimnyamani8493 11 месяцев назад

    Duu mtihani mkubwa sana watu hawana hata presure na.pesaza serikali wanatumbua hawana woga

  • @user-zb4tt8gi1s
    @user-zb4tt8gi1s 11 месяцев назад

    Huku watumishi wengine wa uma stahiki zetu hajatulipa eti wanasema "mfumo" Bado umegoma!!!!!kumbe ndio hivyo!!!!!!?

  • @user-br3si2jf4t
    @user-br3si2jf4t 11 месяцев назад

    Hapo. Hamtoboi. Uongo. Wenu. Umefka. Mwisho.

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 11 месяцев назад

    Washapiga, wanakopesha

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 11 месяцев назад

    Dah ungegusa hata Urahisi miaka hata 3 Nchi na Viongozi wangekuwa na nidhamu mno Kwa Watanzania kiukweli unapambana ila Upo peke yako Mzee wangu lakini Mbele za MUNGU ni kama mpo Wengi piga kazi mzee japo HAKI ni kazi

  • @SelijusiMalambo-zx8gg
    @SelijusiMalambo-zx8gg 11 месяцев назад

    Hafai huyo kashindwa kazi hawezi

  • @dicksonmagesa7602
    @dicksonmagesa7602 11 месяцев назад

    Halafu sisi walala hoi tukichelewa tu wanatupinga faida fasta huko wanafanya madudu

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 11 месяцев назад

    Tatizo watumishi wa umma ni wezi watupu maendeleo hayaendelei. Kama usingefika wewe waziri mkuu nani angesema hayo. Tumbua wezi hao wote

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928 11 месяцев назад

    Duuh
    😂😂 alafu bado mnawaweka wafungeni hao

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 11 месяцев назад

    Tatizo.ajira.za.watoto.wa.CCM

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc 11 месяцев назад

    Saf ,tumbua kama magu ilimambo yaende majizi hayo

  • @SelijusiMalambo-zx8gg
    @SelijusiMalambo-zx8gg 11 месяцев назад

    Sumbawanga ziliishia wap hao niwapigaji tu wezi

  • @deograthiusalphonce6977
    @deograthiusalphonce6977 11 месяцев назад

    Yaani Kuna vitu vya Kijinga sana yaani...Sijui wengine kama wanafaa kuwa Wakurugenzi ....Mtu hawezi kufanya maamuzi😢😢😢

  • @charlesmelami8028
    @charlesmelami8028 11 месяцев назад

    Unapamabanasaila.unawambianani

  • @SelijusiMalambo-zx8gg
    @SelijusiMalambo-zx8gg 11 месяцев назад

    waziri mkuu fukuza nakuwafunga

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 11 месяцев назад

    Wapelekwe mahakamani kwa kosa la uzembe na ubadhirifu mali za umma wafungwe ndo mwelekeo tunaotaka