Mh!! Barikiwa mteule mi niliota ndoto tumevaa mashati Yana rangi ya zambarau kifuani yamechorwa ndege na huyo ndege Kama anaruka na mkononi chini ya bega na lina mistali midogorangi nyeupe kifuani n a mgongoni pia mkononi na katika mashati hayo mengine yamefubaa Ila langu limeng'aa sana na mchungaji wangu amevaa suti ya bluu naomba msaada ndugu yangu katika BWANA barikiwa
Amen mjakazi wa Bwana, kuna sehemu kupitia hizi jumbe unanivusha, nilikuwaga naota ndoto napuuzia ila kwa sasa nimehjifunza kuziandika na kuomba Roho Mtakatifu anifunulie, Mungu akubariki sana
Naomba nitoe ushuhuda mama yangu kabla hajaokoka alikuwa anamuona mama yake anakuja akiwa amevaa kanga wakati mama yake alishakufa, ila ashukuruwe Mungu baada ya kumpokea YESU akaokolewa na hayo.
Amen 🙏🏼 🙏🏼 Asante MUNGU akubariki
Mh!! Barikiwa mteule mi niliota ndoto tumevaa mashati Yana rangi ya zambarau kifuani yamechorwa ndege na huyo ndege Kama anaruka na mkononi chini ya bega na lina mistali midogorangi nyeupe kifuani n a mgongoni pia mkononi na katika mashati hayo mengine yamefubaa Ila langu limeng'aa sana na mchungaji wangu amevaa suti ya bluu naomba msaada ndugu yangu katika BWANA barikiwa
Amen, MUNGU akulide mtumishi wa MUNGU alie haii
Amen
Amen mjakazi wa Bwana, kuna sehemu kupitia hizi jumbe unanivusha, nilikuwaga naota ndoto napuuzia ila kwa sasa nimehjifunza kuziandika na kuomba Roho Mtakatifu anifunulie, Mungu akubariki sana
Amen..sifa ,heshima na utukufu ni kwa Bwana wetu Yesu Kristo
Mtumishi mi nasumbuliwa na ndoto za kuwa sehem tofauti tofauti na ndugu jamaa hata kwa ulimwengu wa mwili sina uhusiano nao najaribu kuokoka na kuacha
Omba maombi ya kujitenga nao na hayo mambo
@@mjakazieunicelucas nimekuwa muislam hivyo kuomba Sana nashindwa
Ubarikiwe sana mjakazi wa Bwana Yesu Kristo
Amen amen hallelujah sifa kwa Yesu Kristo
Amen ..tubarikiwe sote
Amen barikiwa ndugu katika KRISTO YESU
Amen..tubarikiwe sote
Amen sana mjakazi wa BWANA YESU KRISTO ubarikiwe sana
Amen..Bwana Yesu Kristo azidi kujitwalia utukufu
Nikweli hata mimi nafwatiliwa sana na mizimu ya ukoo na babu yangu alikuwa mganga kwelikweli, Mungu anisaidie
Mungu atusaidie
Amen Mjakazi wa Bwana, Mungu azidi kukutunza
Amen Bwana Yesu Kristo ainuliwe zaidi
Amen Amen Ubarikiwe sana mjakazi Wa Bwana
Amen...Bwana Yesu Kristo azidi kujitwalia utukufu...ubarikiwe pia
Ubarikiwe sana sana mtumishi wa Mungu aliyehai
Amen..tubarikiwe sote
Amina
Amen
Aminaaaaa
Amen
Bwana atukuzwe daima
Amen Amen
Amen 🙏
Amen..ila hizo emoji si nzuri
@@mjakazieunicelucas mog gani dadangu sababu nimesema Amen 🙏
Hiyo mikono ya kushukuru
@@mjakazieunicelucas pole nilikua sijui kama ni mbaya
@ChristanahChristanah-oo8jn sote twajifunza ....Mungu akubariki kwa kuelewa
Unarikiwe sana
Bwana Yesu Kristo ajitwalie utukufu
Niko na swali Ninawezaje kufahamu kwamba nimevaliswa miwani ya ibilisi
Nami pia Niko na swali nikila nguo abayo nembo yoyote ile sisi WAKRISTO atupaswi kuvaa vazi hizo
Naomba nitoe ushuhuda mama yangu kabla hajaokoka alikuwa anamuona mama yake anakuja akiwa amevaa kanga wakati mama yake alishakufa, ila ashukuruwe Mungu baada ya kumpokea YESU akaokolewa na hayo.
Amen Amen Mungu ni mwema sana
Mtumishi mimi huwa nasahau ndoto kila siku niombe maombi gani
Ombea ufahsmu..kurejesha kumbukumbu, maono na ndoto zote