(SEHEMU 12) KINACHOENDELEA ULIMWENGU WA ROHO KWA SASA || MJAKAZI VERONICA LUCAS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 44

  • @ShukuruDaudi-ue6in
    @ShukuruDaudi-ue6in 2 месяца назад

    Amen 🙏🏼 🙏🏼 Asante MUNGU akubariki

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 3 месяца назад

    Mh!! Barikiwa mteule mi niliota ndoto tumevaa mashati Yana rangi ya zambarau kifuani yamechorwa ndege na huyo ndege Kama anaruka na mkononi chini ya bega na lina mistali midogorangi nyeupe kifuani n a mgongoni pia mkononi na katika mashati hayo mengine yamefubaa Ila langu limeng'aa sana na mchungaji wangu amevaa suti ya bluu naomba msaada ndugu yangu katika BWANA barikiwa

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 3 месяца назад +1

    Amen, MUNGU akulide mtumishi wa MUNGU alie haii

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro3042 3 месяца назад

    Amen mjakazi wa Bwana, kuna sehemu kupitia hizi jumbe unanivusha, nilikuwaga naota ndoto napuuzia ila kwa sasa nimehjifunza kuziandika na kuomba Roho Mtakatifu anifunulie, Mungu akubariki sana

    • @mjakazieunicelucas
      @mjakazieunicelucas  3 месяца назад +1

      Amen..sifa ,heshima na utukufu ni kwa Bwana wetu Yesu Kristo

  • @HusnaSharifu
    @HusnaSharifu 3 месяца назад

    Mtumishi mi nasumbuliwa na ndoto za kuwa sehem tofauti tofauti na ndugu jamaa hata kwa ulimwengu wa mwili sina uhusiano nao najaribu kuokoka na kuacha

    • @mjakazieunicelucas
      @mjakazieunicelucas  3 месяца назад

      Omba maombi ya kujitenga nao na hayo mambo

    • @HusnaSharifu
      @HusnaSharifu 3 месяца назад

      @@mjakazieunicelucas nimekuwa muislam hivyo kuomba Sana nashindwa

  • @rowenalilie993
    @rowenalilie993 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana mjakazi wa Bwana Yesu Kristo
    Amen amen hallelujah sifa kwa Yesu Kristo

  • @RehemaMtono
    @RehemaMtono 3 месяца назад

    Amen barikiwa ndugu katika KRISTO YESU

  • @USHAURI-WA-BWANA
    @USHAURI-WA-BWANA 3 месяца назад

    Amen sana mjakazi wa BWANA YESU KRISTO ubarikiwe sana

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile4301 3 месяца назад

    Nikweli hata mimi nafwatiliwa sana na mizimu ya ukoo na babu yangu alikuwa mganga kwelikweli, Mungu anisaidie

  • @Marthamodest-l7q
    @Marthamodest-l7q 3 месяца назад

    Amen Mjakazi wa Bwana, Mungu azidi kukutunza

  • @sifakarulange
    @sifakarulange 3 месяца назад

    Amen Amen Ubarikiwe sana mjakazi Wa Bwana

    • @mjakazieunicelucas
      @mjakazieunicelucas  3 месяца назад

      Amen...Bwana Yesu Kristo azidi kujitwalia utukufu...ubarikiwe pia

  • @ELIZABETHMTAITA-nr4vp
    @ELIZABETHMTAITA-nr4vp 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana sana mtumishi wa Mungu aliyehai

  • @prosperbyalugaba6939
    @prosperbyalugaba6939 3 месяца назад

    Amina

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 3 месяца назад

    Aminaaaaa

  • @paulomtweve3819
    @paulomtweve3819 3 месяца назад

    Bwana atukuzwe daima

  • @ChristanahChristanah-oo8jn
    @ChristanahChristanah-oo8jn 3 месяца назад

    Amen 🙏

  • @MariaMwasyila-mq6yc
    @MariaMwasyila-mq6yc 3 месяца назад

    Unarikiwe sana

  • @USHAURI-WA-BWANA
    @USHAURI-WA-BWANA 3 месяца назад

    Niko na swali Ninawezaje kufahamu kwamba nimevaliswa miwani ya ibilisi

  • @MLIMA-WA-MINISTRIES
    @MLIMA-WA-MINISTRIES 3 месяца назад

    Nami pia Niko na swali nikila nguo abayo nembo yoyote ile sisi WAKRISTO atupaswi kuvaa vazi hizo

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro3042 3 месяца назад

    Naomba nitoe ushuhuda mama yangu kabla hajaokoka alikuwa anamuona mama yake anakuja akiwa amevaa kanga wakati mama yake alishakufa, ila ashukuruwe Mungu baada ya kumpokea YESU akaokolewa na hayo.

  • @asiliTz23
    @asiliTz23 3 месяца назад

    Mtumishi mimi huwa nasahau ndoto kila siku niombe maombi gani

    • @mjakazieunicelucas
      @mjakazieunicelucas  3 месяца назад +1

      Ombea ufahsmu..kurejesha kumbukumbu, maono na ndoto zote