Wanafunzi mwaka wa kwanza SUA watadharishwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Mrakibu wa Polisi Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Bw. Nicholaus Mwamtobe amewasihi Wanafunzi wa mwaka wa masomo 2023/2024 wanaoendelea kuripoti hapa chuoni kuchukua tahadhari na usafiri wanaotumia, akishauri matumizi ya Piki piki na Bodaboda ambazo madereva wamevalia vizibao maalum.

Комментарии •