KILIMO CHA MPUNGA (SHADIDI)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • Kilimo shadidi cha mpunga kimekua mbinu pekee yenye tija kwa wakulima wa mpunga Tanzania na kubadili maisha yao kiuchumi, Tazama namna maisha yao yalivyo badilika.
    Makala hii imeandaliwa kwa ushirikiano wa karibu na shirika la FAO

Комментарии • 32

  • @irakozemaissarah4325
    @irakozemaissarah4325 6 лет назад +3

    asante kwa kipindi kizuri saaaaana mbarikiwe

  • @bakariomary4772
    @bakariomary4772 5 лет назад

    Nimefurahi sana na nimependa san hili somo nataman niwe na mm moja kati y wakulima wapunga kw tija na biashara

  • @christopherlupokela6247
    @christopherlupokela6247 6 лет назад +3

    asante sana kwa elimu bora..
    lakini kuna changamoto kubwa ya soko.. bado bei ya mpunga haipo vizuri.

  • @thomutawai7893
    @thomutawai7893 5 лет назад +4

    asante sana kwa elimu zuri ya kilimo.naomba mawasiliano yenu ili na mimi niweze kuwekeka maana napenda sana kilimo cha mpunga lakini elimu ya kulima sina

    • @BulleIkila
      @BulleIkila 2 месяца назад

      Asate.sana.napenda..sana.kipidi..chenu..naomba..mawasiano..yenu..au.,namba.ya.simu

    • @BulleIkila
      @BulleIkila 2 месяца назад

      Naomba..mawasiriano..yenu

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 6 лет назад +1

    Safi sana endeleeni kukuza kilimo tz

  • @andrewmtabazi5894
    @andrewmtabazi5894 10 месяцев назад

    Mko vizuri

  • @tadeimwaipaja1191
    @tadeimwaipaja1191 6 лет назад +2

    Asanteni sana wakulima limeni tujekula mjini

  • @MasotaLilaEnock
    @MasotaLilaEnock Год назад

    Naomba na mm mnielekeze

  • @sianaaliko8096
    @sianaaliko8096 2 года назад

    Nita jifunzanje jamani shadidi mko wapi nateseka Sana na kilimo cha mpunga

  • @triplesisa44
    @triplesisa44 4 года назад

    Nimependa sana hiki kilimo naomba no zenu za cmu ili nijue mnapatikana wapi nije nipate elimu

  • @SahaniKihongwe
    @SahaniKihongwe Год назад

    Mbona mbegu hamsemi mlio tumio

  • @loveahmed7892
    @loveahmed7892 6 лет назад +3

    Mashaa Allaah tuna omba namba zako plz

  • @kalihovixz3813
    @kalihovixz3813 5 лет назад +5

    Mmeelezea mafanikio ya wakulima wa mpunga wa kilimo shadidi, hamkueleza au akutoa elimu namna ya ulimaji wa kilimo hicho cha mpunga Kama mnavyotoa elimu kwa mazao mengine.

  • @salawakishishi7435
    @salawakishishi7435 2 года назад

    mpunga ndio zao la mafanikia zaidi

  • @barakatungaraz4649
    @barakatungaraz4649 Месяц назад

    Mnieleweshe kilimo shadidi ndo nikaandaliwaj tafadhari

  • @TuliTweve-ti3fx
    @TuliTweve-ti3fx Год назад

    Gharama ya kulimia

  • @mariammwambungu3174
    @mariammwambungu3174 4 года назад

    Tunaomba kuelekezwa jamani kuazia mwazo hadi mwisho

  • @officialjbk8827
    @officialjbk8827 Год назад

    mbona hamtoi namna yakulima mpunga mnatuonyesha historia za watu tu
    Documentary inatakiwa ijae action sio maneno jaman
    Izi documentary za maneno uwa hazivutii

  • @victorkumenyafilms716
    @victorkumenyafilms716 6 лет назад +3

    hongereni Sana nimevutiwa na shadidi,Je ni mkoa gani mzuri kwa kilimo hichi cha shadidi, mwanza VP?

  • @TuliTweve-ti3fx
    @TuliTweve-ti3fx Год назад

    Naomba namba zenuu

  • @BulleIkila
    @BulleIkila 2 месяца назад

    Naomba..namba.zenu

  • @bensonshao8130
    @bensonshao8130 4 года назад

    Naomba kupata no zenu

  • @alikarisa
    @alikarisa 3 года назад

    Naomba contact zenu please?

  • @danielsanga5198
    @danielsanga5198 6 лет назад +1

    Muhesa nitapata vipi mawasiliano yako

  • @ndayitwayekomoise4950
    @ndayitwayekomoise4950 4 года назад

    Kilimo hicho nibola zaidi kabisa hatamimi nimekipenda mno. Ningependa kuuliza mbegu nitazipata vipi? Maana nahitaji hatamimi kujiendeleze kiuchumi.

  • @henrybartholomew2447
    @henrybartholomew2447 6 лет назад +1

    Elimu nzuri sana, nawezaje kupata mawasiliano ili na Mimi niwekeze kwenye kilimo hiki?

  • @fidyaline214
    @fidyaline214 5 лет назад +1

    jamani naoba mawasiliyano yenu napenda kulima ilasinaelimu yakilimo chandidi mimi naichi burundi +257 61387429 whatsapp

  • @bakariomary4772
    @bakariomary4772 5 лет назад +1

    Nimefurahi sana na nimependa san hili somo nataman niwe na mm moja kati y wakulima wapunga kw tija na biashara