ABBAH AMCHANA S2KIZZY “WIMBO WANGU MMOJA NDIO ZAKO 10, UNAFANYA MUZIKI BABLISHI”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 63

  • @sheddythemix321
    @sheddythemix321 4 месяца назад +14

    ABBAH NIMKALI HATUKATAI LKN S2KIZY KAFANYA HITS NYINGI KULIKO ABBAH UKIACHA MA STAR ANAOFANYA NAO KUMFANYA KUA BORA S2KIZY KATOA WASANII WENGI KULIKO ABBAH IVYO UKWEL UTABAKI KUA ZOMBI NDIO PRODUCER ANAEOONGOZA KUWA NA HITS NYINGI KULIKO PRODUCERS WOTE APO WAKUBALI WAKATAE

    • @elyudsaleh6044
      @elyudsaleh6044 4 месяца назад

      Kizuri chajiuza-kibaya chajitembeza! Hapa mwenye shida aloanza kujisifia! Thamani ya sifa ipo ikitoka kwa wengine na kwa hiari yako, kosa la abbah ni kuingia kwenye msemo wa muwamba ngozi na kumjibu, angemuacha tu maana mwenzie kasubiri mno wa kumsifia hana akaamua kujisifia.

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule 4 месяца назад

      @@elyudsaleh6044 Kwaiyo Abbah ana hit nying zaidi ya S2KIZZY?

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 4 месяца назад

      sasa kaam ukatah muambie uyo dada Yako bado sana kwa yeye it sindio kapata mwaka huu

    • @SimbaJumanne
      @SimbaJumanne 4 месяца назад

      Uyoooo s2kizy Ni pumbavuu tuu.huna Ngoma hit hata moja.ni kopii ttuuu boyaaa kabisaa.wkat abahh hata baba yakoo anazipenda Ngoma Za abbaa

    • @jenifermhagama6855
      @jenifermhagama6855 4 месяца назад

      ​@@SimbaJumannedaaaah

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712 4 месяца назад +1

    Me naona kwa upande wangu ngoja niseme ukweri maana sitoweza kukaa kimya bila shaka ukweri usemwe kwamba Simba tushakosa ubingwa 😭

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 4 месяца назад +2

    Zombie 🧟‍♂️ haujui na siku hizi hizi beat hazipigagwi

  • @henricktullo-yw6kg
    @henricktullo-yw6kg 4 месяца назад

    Zombie anajua bhnaa

  • @dostamateso8039
    @dostamateso8039 4 месяца назад

    Wezombi mikwanza nikiskia neno zombi yani s2kizy huwaga rohoyang inakaasawa kabisa yani zombi fundi ao wengine njaa2 hawanajamb

  • @Dylily_Classic_UMENISOMA
    @Dylily_Classic_UMENISOMA 4 месяца назад

    Duhh bongo hii hatali

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster9462 4 месяца назад +1

    Msimlinganishe zombi na vitu vyaajabuu aba ananyimbo gan Bola zaid ya marioo tuu

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 4 месяца назад

    Huyu s2ks Kinachombeba NI Wasafi ... Embu tuone inje ya Wasafi Nani anasikuliza nyimbo zake

  • @Tee-King
    @Tee-King 4 месяца назад +4

    Nyimbo au beat kama beat wote uwa nawakubali ika s2kz duh beat 💥💥💥💥❤️‍🔥

  • @Official-bataboy
    @Official-bataboy 4 месяца назад

    Asa abbah ndo kaongea nn fanyeni kazi kila nyimbo inakaa milele inategemea ume play wakati upo na mood gan😂😂😂

  • @PaulPius-h9v
    @PaulPius-h9v 4 месяца назад

    We mtangazaj unaonekan upo upande wa abah, ila zombie ifike mahal mumpe maua yake

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 4 месяца назад +3

    ABBAH apewe heshima yake buana, ile Sound ya ABBAAH ipo kwenye hits nyingi mnoo

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule 4 месяца назад +4

    Abbah hana hits nying kuzid S2kizzy ,Mbona mkeka upo wazi

  • @jenifermhagama6855
    @jenifermhagama6855 4 месяца назад

    Huuuu mda ni wa zombie Bana Abbah Alikua mwaka juzi

  • @bashiteentertainment3298
    @bashiteentertainment3298 4 месяца назад

    Sey abbah.............

  • @PascalMwita-bv8kr
    @PascalMwita-bv8kr 4 месяца назад

    me simo ila nmesema wee zombie😅😅😅😅😅😅 haujui

  • @lesbbosstz1530
    @lesbbosstz1530 4 месяца назад +2

    Abbah ni mkali sana s2kizy acha utoto mpaka congo tunamu fahamu abbah ni nomber 1 tanzania s2kizy haufikiyi hata bonga

    • @Tee-King
      @Tee-King 4 месяца назад

      Duh kwaiyo wakongo awamjui s2kz ila wanamjua zombie 🧟‍♂️?

  • @frankmichael1968
    @frankmichael1968 4 месяца назад

    Unajifanya producer mzur hata piano hujui lina pad ngapi....yaani watu wanaotoka WCB wanajifanya wajuaji sana wakati kazi zao nyingi ni transformed from the origin ones... Abbah is the best ukimlinganisha na hiko kizombie but ukiniambia nikutajie producer mzuri Tz ukiwatoa wale wakongwe kwang mm Yogo on the beat ndio baba yao

  • @donmahela2412
    @donmahela2412 4 месяца назад +1

    Zombiiiiiiiiii ni Moto sana

  • @masoudabdoul8447
    @masoudabdoul8447 4 месяца назад

    Weka data hapo km alivyofanya zombie... Zombie kajiita GOAT povu linakutoka... We mwenyewe tu umejisifia hapo tayari😂

  • @olivazaituni2440
    @olivazaituni2440 4 месяца назад

    THE MIX KILLER au KAMIX LAIZER ndio nyimbo zote zinazoishia hvyo ndio kali hapa Bongo

  • @fransiscomlolere9658
    @fransiscomlolere9658 4 месяца назад

    Naamua Ugomvi Wote hamna kitu mnafunikwa na DJ MISOMISONDO anunga bit zenu anaproduce Hits😂😂

  • @cmantz8837
    @cmantz8837 4 месяца назад

    Abhaaaa

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 месяца назад

    Nawao wakoppy zombi ndio habali yamjini ukiona kitu kinadum ujue hakisikilizwi malanyingi nisawa na nguo ukivaa sanaa inapauka zombi mzee wa Hot 🔥🔥 zaidi namba nikila kitu ukizungumzia kuchukuliwa na diamond ujue kunakitu kakiona

  • @BangoiEmpire-wy7vv
    @BangoiEmpire-wy7vv 4 месяца назад

    abbah the best

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 4 месяца назад

    S2kizzy hakuna kitu unakaza na wasanii wakubwa ambao tayari wana majina aba ni kweli mkali acha huyu ana copy

  • @iyogomusictz7369
    @iyogomusictz7369 4 месяца назад +3

    ABBA ninoma

  • @Q_Lax
    @Q_Lax 4 месяца назад

    Abbah anaongea pumba tu ajibu kwa hoja aweke nyimbo zake mezani namba ziongee na sio maneno

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 4 месяца назад

    Ah ayo ma beat ya copy za beat nyingine mbwa atulie hana ubunifu wowot ni uchawa tu

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 4 месяца назад

    KIZAZI KILE P,,NA MASTER,,,KIZAZ IKI ABA NA LYZA,,KIDOGO NA TACH,,,,,WENGINE KAWAIDA

  • @nestor384
    @nestor384 4 месяца назад +1

    S2kizzy is the best

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 4 месяца назад

    Abbah nimukari sikatai ila anaonekana hanaushirikiano mzuri nawasani maana wasani wengi saivi ni wcb yani s2kizzy laiza na wengine kwamana hiyo ndomaana anavimba na nikwel

  • @DICKISONJULIUS-z1x
    @DICKISONJULIUS-z1x 4 месяца назад

    Abbah saivi kachoka kipindi kile cha darasa alikua moto sana ila sasa zombi anatisha

  • @ramadhanibakari8605
    @ramadhanibakari8605 4 месяца назад

    Zombi sio producer bora kabisa maana nyimbo zake nyingi anasample sana mpaka anakela

  • @officialnavynizetz3858
    @officialnavynizetz3858 4 месяца назад +1

    Zombie Hana mfano wewe akuna mwingine

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 4 месяца назад

      Kwanyimbo zaa baaa au maana ana nyimbo yoyote yenye maazii Bali Ngoma zake zotee nibaaa utu mwenye akili timatu awezii sikilizaaa

  • @jenifermhagama6855
    @jenifermhagama6855 4 месяца назад

    Huuuu mda ni wa zombie Bana Abbah Alikua mwaka juzi

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 4 месяца назад

    Abhaaa mbunifu uyoo mwengine ana sampleeee beat adiana boa

  • @THEEaglz
    @THEEaglz 4 месяца назад +1

    Sina jamboooo

  • @jacksonjudicate9388
    @jacksonjudicate9388 4 месяца назад +3

    Abbah anafeli, swala la nyimbo kuwa ya milele au bubble gum Ni content ya nyimbo ambayo Ni Kazi ya msanii. The only thing waje Na facts Kama Za Zombie, Na sio polojo. Waoneshe ukubwa was Kazi zao Na sio manenoooo

    • @elyudsaleh6044
      @elyudsaleh6044 4 месяца назад

      Facts za zombie pia ni kazi ya msanii, coz kama beat ya kibango akiimbia msanii mdogo au mpya haitaleta matokeo hayo anayoyataja! Wote ni producers wazuri ila hawafanani hata kdogo, ambayo cyo dhambi na ndio maana zombie mwenyewe ameamua kujisifia! Na mtu kufanya hivyo maana yake anajua jamii haimkubali

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 4 месяца назад

      Sasa uyo zombie ana facti Gani Yani tokea juzii apa mabrza wana wapisha ndugu zao nawao waonekane Wana leta zalauu kwani wakati uyo zombie ana ishi mbagala alikua amuingiii midundo ya aba matakoni sio wa2 awajisifu kazini ndio zinaongeee ata biboy amuezii uyo choko wenuuu

    • @tinejuxfrancis729
      @tinejuxfrancis729 4 месяца назад

      ​@@elyudsaleh6044😂😂😂

  • @Side-k4y
    @Side-k4y 4 месяца назад

    Zombie anabalaa zombie anasifa we zombie nom

  • @IddyAmos-z1x
    @IddyAmos-z1x 4 месяца назад

    We abbah nijini nyie acheni utata

  • @marcosjorgepadiapuka13
    @marcosjorgepadiapuka13 4 месяца назад

    Abraham fundi

  • @henricktullo-yw6kg
    @henricktullo-yw6kg 4 месяца назад

    Zombiooo

  • @FatherColla
    @FatherColla 4 месяца назад

    Abah Music🎉