ABBAH NIMKALI HATUKATAI LKN S2KIZY KAFANYA HITS NYINGI KULIKO ABBAH UKIACHA MA STAR ANAOFANYA NAO KUMFANYA KUA BORA S2KIZY KATOA WASANII WENGI KULIKO ABBAH IVYO UKWEL UTABAKI KUA ZOMBI NDIO PRODUCER ANAEOONGOZA KUWA NA HITS NYINGI KULIKO PRODUCERS WOTE APO WAKUBALI WAKATAE
Kizuri chajiuza-kibaya chajitembeza! Hapa mwenye shida aloanza kujisifia! Thamani ya sifa ipo ikitoka kwa wengine na kwa hiari yako, kosa la abbah ni kuingia kwenye msemo wa muwamba ngozi na kumjibu, angemuacha tu maana mwenzie kasubiri mno wa kumsifia hana akaamua kujisifia.
Unajifanya producer mzur hata piano hujui lina pad ngapi....yaani watu wanaotoka WCB wanajifanya wajuaji sana wakati kazi zao nyingi ni transformed from the origin ones... Abbah is the best ukimlinganisha na hiko kizombie but ukiniambia nikutajie producer mzuri Tz ukiwatoa wale wakongwe kwang mm Yogo on the beat ndio baba yao
Nawao wakoppy zombi ndio habali yamjini ukiona kitu kinadum ujue hakisikilizwi malanyingi nisawa na nguo ukivaa sanaa inapauka zombi mzee wa Hot 🔥🔥 zaidi namba nikila kitu ukizungumzia kuchukuliwa na diamond ujue kunakitu kakiona
Abbah nimukari sikatai ila anaonekana hanaushirikiano mzuri nawasani maana wasani wengi saivi ni wcb yani s2kizzy laiza na wengine kwamana hiyo ndomaana anavimba na nikwel
Abbah anafeli, swala la nyimbo kuwa ya milele au bubble gum Ni content ya nyimbo ambayo Ni Kazi ya msanii. The only thing waje Na facts Kama Za Zombie, Na sio polojo. Waoneshe ukubwa was Kazi zao Na sio manenoooo
Facts za zombie pia ni kazi ya msanii, coz kama beat ya kibango akiimbia msanii mdogo au mpya haitaleta matokeo hayo anayoyataja! Wote ni producers wazuri ila hawafanani hata kdogo, ambayo cyo dhambi na ndio maana zombie mwenyewe ameamua kujisifia! Na mtu kufanya hivyo maana yake anajua jamii haimkubali
Sasa uyo zombie ana facti Gani Yani tokea juzii apa mabrza wana wapisha ndugu zao nawao waonekane Wana leta zalauu kwani wakati uyo zombie ana ishi mbagala alikua amuingiii midundo ya aba matakoni sio wa2 awajisifu kazini ndio zinaongeee ata biboy amuezii uyo choko wenuuu
ABBAH NIMKALI HATUKATAI LKN S2KIZY KAFANYA HITS NYINGI KULIKO ABBAH UKIACHA MA STAR ANAOFANYA NAO KUMFANYA KUA BORA S2KIZY KATOA WASANII WENGI KULIKO ABBAH IVYO UKWEL UTABAKI KUA ZOMBI NDIO PRODUCER ANAEOONGOZA KUWA NA HITS NYINGI KULIKO PRODUCERS WOTE APO WAKUBALI WAKATAE
Kizuri chajiuza-kibaya chajitembeza! Hapa mwenye shida aloanza kujisifia! Thamani ya sifa ipo ikitoka kwa wengine na kwa hiari yako, kosa la abbah ni kuingia kwenye msemo wa muwamba ngozi na kumjibu, angemuacha tu maana mwenzie kasubiri mno wa kumsifia hana akaamua kujisifia.
@@elyudsaleh6044 Kwaiyo Abbah ana hit nying zaidi ya S2KIZZY?
sasa kaam ukatah muambie uyo dada Yako bado sana kwa yeye it sindio kapata mwaka huu
Uyoooo s2kizy Ni pumbavuu tuu.huna Ngoma hit hata moja.ni kopii ttuuu boyaaa kabisaa.wkat abahh hata baba yakoo anazipenda Ngoma Za abbaa
@@SimbaJumannedaaaah
Me naona kwa upande wangu ngoja niseme ukweri maana sitoweza kukaa kimya bila shaka ukweri usemwe kwamba Simba tushakosa ubingwa 😭
Zombie 🧟♂️ haujui na siku hizi hizi beat hazipigagwi
Zombie anajua bhnaa
Wezombi mikwanza nikiskia neno zombi yani s2kizy huwaga rohoyang inakaasawa kabisa yani zombi fundi ao wengine njaa2 hawanajamb
Duhh bongo hii hatali
Msimlinganishe zombi na vitu vyaajabuu aba ananyimbo gan Bola zaid ya marioo tuu
Huyu s2ks Kinachombeba NI Wasafi ... Embu tuone inje ya Wasafi Nani anasikuliza nyimbo zake
Nyimbo au beat kama beat wote uwa nawakubali ika s2kz duh beat 💥💥💥💥❤️🔥
Asa abbah ndo kaongea nn fanyeni kazi kila nyimbo inakaa milele inategemea ume play wakati upo na mood gan😂😂😂
We mtangazaj unaonekan upo upande wa abah, ila zombie ifike mahal mumpe maua yake
ABBAH apewe heshima yake buana, ile Sound ya ABBAAH ipo kwenye hits nyingi mnoo
Bro tatizo ujamfatilia S2kizzy Ni balaaa
Izo hits alizomzidi s2kizzy ni ipi
Abbah hana hits nying kuzid S2kizzy ,Mbona mkeka upo wazi
Uongo huo babu
Huuuu mda ni wa zombie Bana Abbah Alikua mwaka juzi
Sey abbah.............
me simo ila nmesema wee zombie😅😅😅😅😅😅 haujui
Abbah ni mkali sana s2kizy acha utoto mpaka congo tunamu fahamu abbah ni nomber 1 tanzania s2kizy haufikiyi hata bonga
Duh kwaiyo wakongo awamjui s2kz ila wanamjua zombie 🧟♂️?
Unajifanya producer mzur hata piano hujui lina pad ngapi....yaani watu wanaotoka WCB wanajifanya wajuaji sana wakati kazi zao nyingi ni transformed from the origin ones... Abbah is the best ukimlinganisha na hiko kizombie but ukiniambia nikutajie producer mzuri Tz ukiwatoa wale wakongwe kwang mm Yogo on the beat ndio baba yao
Zombiiiiiiiiii ni Moto sana
Weka data hapo km alivyofanya zombie... Zombie kajiita GOAT povu linakutoka... We mwenyewe tu umejisifia hapo tayari😂
THE MIX KILLER au KAMIX LAIZER ndio nyimbo zote zinazoishia hvyo ndio kali hapa Bongo
Naamua Ugomvi Wote hamna kitu mnafunikwa na DJ MISOMISONDO anunga bit zenu anaproduce Hits😂😂
Abhaaaa
Nawao wakoppy zombi ndio habali yamjini ukiona kitu kinadum ujue hakisikilizwi malanyingi nisawa na nguo ukivaa sanaa inapauka zombi mzee wa Hot 🔥🔥 zaidi namba nikila kitu ukizungumzia kuchukuliwa na diamond ujue kunakitu kakiona
abbah the best
S2kizzy hakuna kitu unakaza na wasanii wakubwa ambao tayari wana majina aba ni kweli mkali acha huyu ana copy
ABBA ninoma
Abbah anaongea pumba tu ajibu kwa hoja aweke nyimbo zake mezani namba ziongee na sio maneno
Ah ayo ma beat ya copy za beat nyingine mbwa atulie hana ubunifu wowot ni uchawa tu
KIZAZI KILE P,,NA MASTER,,,KIZAZ IKI ABA NA LYZA,,KIDOGO NA TACH,,,,,WENGINE KAWAIDA
S2kizzy is the best
Abbah nimukari sikatai ila anaonekana hanaushirikiano mzuri nawasani maana wasani wengi saivi ni wcb yani s2kizzy laiza na wengine kwamana hiyo ndomaana anavimba na nikwel
Abbah saivi kachoka kipindi kile cha darasa alikua moto sana ila sasa zombi anatisha
Zombi sio producer bora kabisa maana nyimbo zake nyingi anasample sana mpaka anakela
Zombie Hana mfano wewe akuna mwingine
Kwanyimbo zaa baaa au maana ana nyimbo yoyote yenye maazii Bali Ngoma zake zotee nibaaa utu mwenye akili timatu awezii sikilizaaa
Huuuu mda ni wa zombie Bana Abbah Alikua mwaka juzi
Abhaaa mbunifu uyoo mwengine ana sampleeee beat adiana boa
Sina jamboooo
Abbah anafeli, swala la nyimbo kuwa ya milele au bubble gum Ni content ya nyimbo ambayo Ni Kazi ya msanii. The only thing waje Na facts Kama Za Zombie, Na sio polojo. Waoneshe ukubwa was Kazi zao Na sio manenoooo
Facts za zombie pia ni kazi ya msanii, coz kama beat ya kibango akiimbia msanii mdogo au mpya haitaleta matokeo hayo anayoyataja! Wote ni producers wazuri ila hawafanani hata kdogo, ambayo cyo dhambi na ndio maana zombie mwenyewe ameamua kujisifia! Na mtu kufanya hivyo maana yake anajua jamii haimkubali
Sasa uyo zombie ana facti Gani Yani tokea juzii apa mabrza wana wapisha ndugu zao nawao waonekane Wana leta zalauu kwani wakati uyo zombie ana ishi mbagala alikua amuingiii midundo ya aba matakoni sio wa2 awajisifu kazini ndio zinaongeee ata biboy amuezii uyo choko wenuuu
@@elyudsaleh6044😂😂😂
Zombie anabalaa zombie anasifa we zombie nom
We abbah nijini nyie acheni utata
Abraham fundi
Zombiooo
Abah Music🎉