"TATIZO LANGU NI POMBE" - BABALEVO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 31

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 2 года назад +7

    unajua binaadamu kutambua kosa ni moja kati hatua moja kubwa mbele maana ata ukishajua tatizo na kutafuta namna ya kulitatua unatakiwa umshkuru Mungu

  • @zuberiuzogore9105
    @zuberiuzogore9105 2 года назад +4

    Yaani Ww Baba Leo Ungesoma Cjui Ungekuwa Wp Mzee Wangu 🤣🤣 Uko Vzl Baba

  • @Pascal1122
    @Pascal1122 Год назад

    Nilikuwa sija sikia vizuri 😀😀😀😀😀 nacheka sana

  • @kulemwami3198
    @kulemwami3198 2 года назад

    Wewe_chawa wangu duuuuuh noma🔥🔥🔥

  • @timotweymalashi9285
    @timotweymalashi9285 2 года назад +1

    😀😀😀😀unakimbia wakiwa tungi

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 2 года назад +2

    Wale wajomba wako tungiii😂😂😂

  • @taichi5370
    @taichi5370 Год назад

    Wajomba wako tungi wanajigalagaza tu mpaka hawawezi kukimbia wala kutembea kuingia kwenye chombo cha kuwaleta Duniani!!??

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 2 года назад +2

    We muha mwenzangu😪🤣😂😂😂😂😃

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 2 года назад +1

    Eti wako Tungi 😀😀😀

  • @edwardmark_tz
    @edwardmark_tz 2 года назад +1

    Acha Pombe sasa

  • @johnsonsamwel5953
    @johnsonsamwel5953 2 года назад +4

    Huyu nindugu yangu yaan kamali na pombe ndio zinamdhoofisha asiendelee hapo alipo Hana lolote nawala hatokujaga kua nalolote

  • @batonkg5833
    @batonkg5833 2 года назад +1

    Wajomba wamegoma😂

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 2 года назад

    Adela ongezea kuwa ni EGO ya wanaume akiambiwa hazai anaona dhamani yake imeisha na ni aibu kwa jamii. Hivyo wananyanyapaa mwanamke ili wao waonekane innocent, alafu alaumiwe mwanamke !

  • @msalabanireko1518
    @msalabanireko1518 2 года назад

    Eti wajmba wanakimbia uku wamelewa

  • @mixstarboy992
    @mixstarboy992 2 года назад

    Baba levo fungu

  • @FredoBoy
    @FredoBoy 2 года назад +2

    She can be right B LEVO
    Kila kidonge kina side effects.
    So

  • @yasiniamri5458
    @yasiniamri5458 2 года назад

    😁😁😁 et wanakimbia wamelewa

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony2509 2 года назад

    Alcoholick addiction

  • @florakijalo6243
    @florakijalo6243 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌

  • @worldtrends8183
    @worldtrends8183 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @yasintadavid1296
    @yasintadavid1296 2 года назад +2

    😂😂😂

  • @sephania8085
    @sephania8085 2 года назад

    Ili jamaaa jeusi linaongea Sana halimuacha baba levo akaongea. ujinga tu midevu

  • @Ntomolapagu255
    @Ntomolapagu255 2 года назад

    Binadamu wabaya song link m.ruclips.net/video/kSNyXZdgVcg/видео.html

  • @johnkatabi9793
    @johnkatabi9793 2 года назад

    😂😂😂😂😂

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 2 года назад

    Fala tuu kuna umuhimu gani wa kulewa kwa nini HULEWI HALAFU UENDE UKANYE COUNTER CENTRE POLICE Wacha uhanisi

    • @abdibilali4186
      @abdibilali4186 2 года назад +2

      huyo ni mtu wa comedy usiamini kila anacho ongea wanafurahisha watazamaji

  • @fidelekahezi5175
    @fidelekahezi5175 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @jasonmureke2460
    @jasonmureke2460 2 года назад

    🤣🤣🤣

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 2 года назад

    😂😂😂😂