I don't think hii case ingeajiwa serikali wangefuatilia Hadi hapa wapi likes za stano na joshwa though afande amesaidia kwa tight security hata kama ameruka deal ,
Mungu wangu..tulindie watoto wetu wenye tuliacha Kenya nakuomba..kuwa mlizi wao usiku na mchana,, usikubali adui aimbe watoto wetu ata kuwaangamiza ,, katika jina la yesu kristo..mkumbuke mama brayu mungu wetu ,,mapezi yako yatimie kwake..mungu wetu twakuomba ushuke kwa moto ujionyeshane ya kwamba wewee ni mungu...kama Brian bado ako alive mungu wetu onyeshana kwenye amefichwa kwa sasaa ni wewee sasaa tunangojea,,,ni wewee tu ushuke bila kutumana mungu wetu.. katika jina la yesu Amen Amen Amen..mungu awalinde stano,, Joshua,, camera man ,,cate na mum Brian 😢😢😢
Nyinyi macetani damu yote ile mlimwaga ya watoto iwasubue mpaka kwa kaburi zenu ngoma nyinyi in jesus name 😢😢😢 stano na joshua God bless u sana kwa job poa ile mnafanya🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Brian only Mr Zakayo knows where he is mtoto mwenye alisema ako naye ni muyupi and i think he has a phone ndogo Mungu kuwa mulinzi wa Stan & team in the mighty name of Jesus Christ 🙏🙏🙏💞
Not as easy ad it looks remember that they.need someone trustworthy to work with each and every single day. Some people can be easily bought and that will endanger stano an d his team.
Stano with your group we salute you i hope kidiki afikishiwe the infomation bec your doing are good work more than gorvement yenyewe yaani kuzuguka kila siku😢😢to rescue kids frm gulf
Pasta show stano,Joshua,camera man show God bless you for this long journey of finding all culprits involved in children trafficking,murders etc Tuko na serikali na hawawezi kuleta such kind of results working tirelessly on such matters and they are paid salaries and being led by their greedy and selfishness they would keep on asking for chai and end without saying by their efforts and training they went for what to do...for the hurt people.
Kwani gover, kazi Yao ni gani. Ama ni kikalisha matako tu chini na kuitisha hongo na kushika innocent pple. May GOD bless stano ad Joshua ad the entire team for their good work
I saw some comments here telling stano to hand over the case to the authority but if this case was on the authority's hands they cant go deeper as stano did the authority officers are always after money stano is after content of which the content is bringin up the pure truth but finally the criminals will be handed over to the authority kudos mr stano and your team
Stano and your group especially Joshua tunawaombea sana najua hii kazi si rahisi but tuko nyumba yenyu na maombi damu ya Yesu iwafunike place yote mtaeda thiku cia muici ni 40 we hope Kila kitu itakuwa sawa we're waiting and hoping brao na wengine watapatikana
Haki I hope sio Brayo because hiyo kuzunguka yote wamezungusha akina Stanoo if Brian was alive wangekuwa wamemtoa! I remember Peter and Rasta asking Arosa ana expect Nini na aliitisha kichwa ya mtoto!! Haki this is extremely sad 😭😭😭😭
Peter and Rasta said they had 3 children. Two were taken but they slaughtered one. Stano rescued the boy and now the girl. So Brian was either killed or sold
@@hannahndungu5705 either of the two dead or alive! But sioni kama Brian Ako hai! I remember them saying wamepewa fridge ya kupreserve body 👅 organs wakizitoa! Stanoo should go back to that house again watoke na hiyo kitu! Then kazi ya Zakayo ni transportation coz yeye ni karao hatasimamishwa! This is a very big syndicate! Then ile maisha wanaishi ni ya umaskini na wanafanya biashara Iko na pesa unashindwa ni Nini? Halafu wanaishi kwa slums ndiyo wasijulikane!!
Stano you are doing a great job. May you be guided and protected by the blood of Jesus Christ. This is the most hectic and deadliest follow up in your career.
Kwani hakuna mtu wa serikali anaona haya yote yenye Stano anayafanya apewe ata secrurity jamani😂kenya yetu internal seçrurity wako wapi mambo kama haya yanafanyika ata maaşkari are part of this kama Zakayo anajifanya hapo na imejulikana vizuri yeye ndio. mkubwa wa waalifu
Stano sijui mbona bado mnabembeleza hawa watu aki,,,ingekua uko bungoma hawa watu wangekua washamalizwa na watu tu ju hadi wakishikwa watahongana na watatoka aki watamaliza watoto😭😭😭naongea hivo coz kuna mwenye pia alikua uko kwetu na hiyo tabia yy naye alikua anachukua sehemu nyeti za wamama na matiti then akitafutwa apatikani ndo siku moja akapandwa alifanyiwa maneno na ilikua mchana 💔💔
I don't think hii case ingeajiwa serikali wangefuatilia Hadi hapa wapi likes za stano na joshwa though afande amesaidia kwa tight security hata kama ameruka deal ,
Ata auwesi juwa ni yeye alikua anaulisa huyu mtoto ni mpeleke wapi
Serikali gani
Serikali ya wapi wataitisha kitu kidogo na badaye ni hivyo 😢
Very true. They are not as diligent as Stano. God bless him.
Wagekuwa washaoguwa na pesa na hiyo story ingekuwa imeisha aki stano na team yake mungu awabariki to xn🙏🙏🙏
God I cover my family with your BLOOD no weapon formed against them shall prosper in Jesus Name 😢
Amen amen amen 🙏 🙌 👏
Amen
Amen Amen Amen😢😢
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏🏾 Amen
Can somebody tag kithure kindiki hapa,he should recognize stano and the team
True haabiwe.
Do we have any government or security in Kenya 🤣🤣🤣🤣
In most cases these officers will never recognize good people like Stano c rahisi they don't like competition, someone who can outshine them
Am feeling for mama brayo 😢😢God give her strength 🙏🙏and prayers to our God to protect stanos teem they are doing good work 🙏🙏🙏
I wish she had someone walking with her. This journey ain't easy alone
Let's like the video
Oh my God
God protect Stano, his family, Joshua and the rest of his crew. May the devils sacrificing children know no peace.
Inshaallah Mungu atawanusuru
Tunawaombea Inshaallah ❤❤❤
Amen
Mungu wangu..tulindie watoto wetu wenye tuliacha Kenya nakuomba..kuwa mlizi wao usiku na mchana,, usikubali adui aimbe watoto wetu ata kuwaangamiza ,, katika jina la yesu kristo..mkumbuke mama brayu mungu wetu ,,mapezi yako yatimie kwake..mungu wetu twakuomba ushuke kwa moto ujionyeshane ya kwamba wewee ni mungu...kama Brian bado ako alive mungu wetu onyeshana kwenye amefichwa kwa sasaa ni wewee sasaa tunangojea,,,ni wewee tu ushuke bila kutumana mungu wetu.. katika jina la yesu Amen Amen Amen..mungu awalinde stano,, Joshua,, camera man ,,cate na mum Brian 😢😢😢
In Jesus Namen Amen 🙏🏾
🙏🙏🙏🙏🙏
Taka taka zingine sikufe mapema Ngoma cia andu
Amen 🙏 🙏 🙏
@@user-ts6ld6fw7y my sister..mungu atatupigania tu
Hope si Brain aki huyu mama amelia ya kutosha. Stono na Joshua mnafanya kazi mzuri. Mungu awabariki tu sana.
Ile uchungu iko na huyu mama ni Mungu tu ajuae.😢😢😢
Stano remember to sanitize afande wife ..may God intervene in this whole search and may be Brian be found safely
SINGLE MOTHERS don't ever get married again..this is saddening 😢😢
Me siwezi
And again don't get married to someones husband look at mama jack and mama Brian the some story
I don't think if people are the same please
Despite that Arose did the worst 😢😢😢et kichwa😢😢😢
@@jetitahkarimiyou won’t know who is who. It’s better to stay single till the kids are grown
Nyinyi macetani damu yote ile mlimwaga ya watoto iwasubue mpaka kwa kaburi zenu ngoma nyinyi in jesus name 😢😢😢 stano na joshua God bless u sana kwa job poa ile mnafanya🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
God do miracle plz, hii madhabau ya kuua watoto ifunjike katika jina la yesu
Amen
Amen
Kenya imechafuka kweli kweli stano may God protect you and Joshua
Naomba serikali ipee stano security
Walai
100%
Kabisa
I support
kaa serikali yenye ndio inamalizana kama kuku si watamaliza Stan wacha Mungu awe mulinzi wake 🙏🙏🙏💞
Stano will cut weight by force, good work Our DCi stano. God bless you coz service to humanity is service to God
Mungu awatetee stano na Joshua kwakweli mnafanya kazi nzuri mnoo mungu awabariki
Stano i salute you uko juu tu sana hata umewashinda Alfoga na dave zao zaboesha,story ni kuongea kwa ofisi tu but wewe uko kwa ground bravo💪
Mimi kwanza sitaki story za Dave Na OCS bonoko
Mungu simama na watu wenye wanaitwa single mothers 👩 zi kubenda kwetu tukuwe na watoto 😢😢😢😢😢😢😢
Mungu alinde watoto wetu popote wanatembea aki
Brian only Mr Zakayo knows where he is mtoto mwenye alisema ako naye ni muyupi and i think he has a phone ndogo Mungu kuwa mulinzi wa Stan & team in the mighty name of Jesus Christ 🙏🙏🙏💞
Stano ongezea joshua kama watu wawili wakumsaidia anachoka kukimbizana na foot subishi ama anaanguka afu hao watu wamekuwa wengi sasa
Not as easy ad it looks remember that they.need someone trustworthy to work with each and every single day.
Some people can be easily bought and that will endanger stano an d his team.
@@jaqualineobuchi2256 true said
Let this thing be aired on local Tv stations zote
Sure
😢😢my God
Please protect every innocent soul
Protect stano and Joshua ,God you see they have helped so many families from the jaws of devil
Aki kweli hawa watu waliua brayo mungu onekania kenya yetu
First time watching this channel God bless you and protect you people .
Our DCI Stano and Director Joshua you are heros. God bless you guys for you do God's work 🙏🏽
Welldone Stano, Joshua and your team. We pray for Gods protection.
I love how Stano and his team are brave. Good job my boys👍
Stano I salute you your are the the best CID in Kenya may lord lord give you more strength and understand as you go on with the investigation
May almighty God protect you and your team lm kneeling in prayers
Alaf Stano make sure mtoto amekula na amepatana na wazazi wake please please please Stano
The number alipeana ikikuwa off
Mungu awafunike Kwa damu ya yesu hapo mnaelekea ni hatari
Stano,Joshua,good work.afade pia Security iko tight,mungu mbele watoto watolewe.
Kazi nzuri stano mungu aendelee kukutia nguvu and your full team
Stano mtu wetu wa ground you doing a good job be blessed with your team 🙏🏽
Mungu bariki Stano and Joshua for good job
Mama brain ..God only will wipe your tears in Jesus name.....we are praying for God to strengthen you ..
Who else like stano's energy and courage 🤭like as we go
Our DCI Stano and Director Joshua may our good lord shield you with the precious blood of Jesus christ we pray 🙏🏽
I think Brian died, pole mama Brian,your husband has to pay through serving life sentence in kamiti
😢😢😢angekua ako angekua ashampata take heart mama brian
My thoughts too, this boy is dead
Sad....
Mama bravo ameechoka. Stank,same atasaidika aji c akae tu mkimpata mpee,mungu akh
Congratulation for good work you are doing God protect you
Stano with your group we salute you i hope kidiki afikishiwe the infomation bec your doing are good work more than gorvement yenyewe yaani kuzuguka kila siku😢😢to rescue kids frm gulf
Stano Joshua and the entire team, God bless en guard u all thro
Amazing work team stanoo, may the blood of God cover you , ur family and ur team as well in Jesus name🙏🙏
Stano may God's blood vcover you and your team. May you never lack and may you bring plenty of blessings to your family
Baby girl amejoin crew wueh! God protect Stano and his teamm
Good job Stano and your team may our beloved Father guide and protect you
Where is this place?
Pasta show stano,Joshua,camera man show God bless you for this long journey of finding all culprits involved in children trafficking,murders etc
Tuko na serikali na hawawezi kuleta such kind of results working tirelessly on such matters and they are paid salaries and being led by their greedy and selfishness they would keep on asking for chai and end without saying by their efforts and training they went for what to do...for the hurt people.
I have no words 😢 God I pray that you promote stano and the crew in Jesus name and protect them lord I pray 🤔🙏
Stano never fails 👏 let God be with you .let all evil doing come out😢😢😢😢wamama wenye wamezaaa wanafanyia watoto unyama
Kwani gover, kazi Yao ni gani. Ama ni kikalisha matako tu chini na kuitisha hongo na kushika innocent pple. May GOD bless stano ad Joshua ad the entire team for their good work
Stano and your team be blessed aki
Wah may God protect our kids eeh
Stano haki you are the best, you have wisdom bro
I saw some comments here telling stano to hand over the case to the authority but if this case was on the authority's hands they cant go deeper as stano did the authority officers are always after money stano is after content of which the content is bringin up the pure truth but finally the criminals will be handed over to the authority kudos mr stano and your team
Mmi niko na imani brain ako hai kwa jina la yesu..wacha mungu awalinde na awatia nguvu stano na Joshua..may God continue bless you 🙏
God bless team stano wa pasta show...na kindly adjust security ongeza few joshua like magaidi mdeal nawao vilivyo😮
Stano you do a good job with Joshua?❤❤❤may God blessed you always ...God give mama Brian strength 😢😢
So sad.May God intervene.
Maajabu hayo mungu awatetee
Ooooih , Roho inanigonga sana, Mungu tuzaidieni.
We always pray for stano and Joshua May God protect you and bless your good job much love guys
Stano and your group especially Joshua tunawaombea sana najua hii kazi si rahisi but tuko nyumba yenyu na maombi damu ya Yesu iwafunike place yote mtaeda thiku cia muici ni 40 we hope Kila kitu itakuwa sawa we're waiting and hoping brao na wengine watapatikana
Yaani mnauza watoto hio bei gali ivo na mnakaa maskini
Where is this place
Napenda vyenye naona hio priers kwa mkono ❤️❤️❤️
I feel dizzy yet am just watching.
God protect these active officers
God protect stano and team for the good work they are doing
Nice job pie mme okoe watoto wengine
Akii stano mungu akulinde Joshua we love you
Oh God cover my family with your blood in Jesus name
I wish stano alikuwa ameweka microphone kwa huyo mama arecord......good job stano and crew
Mpaka stano amepungua,mungu walinde popote waendapo
Shakahora ingine😮😮😮😮😮 woiiii mama Brian
Joshua good work
Goodjob wafinywe kabisa
Stano ask this babygal shule yenye huwa anasomea then you will get to know her parents
My heart is bleeding 😢💔God protect our children
God is always with you stano and your team
Woiiiiiiii 😢😢😢I really pity mama Brayoo...ladies hope you have learned from ths...usiolewe na mtoto mwenye mtu hajemzaa🏃🏃🏃🏃🏃
So sad may God protect you guys Brayo God loveds yu umefichua siri fiche n saved two souls God protect innocent souls 😢😢😢
Haki I hope sio Brayo because hiyo kuzunguka yote wamezungusha akina Stanoo if Brian was alive wangekuwa wamemtoa! I remember Peter and Rasta asking Arosa ana expect Nini na aliitisha kichwa ya mtoto!! Haki this is extremely sad 😭😭😭😭
Kuna shida,hata Ile kutetemeka hua Wana tetemeka ni kuonyesha walimumaliza😢😢😢😢
@@marymutavi exactly 💯
Peter and Rasta said they had 3 children. Two were taken but they slaughtered one. Stano rescued the boy and now the girl. So Brian was either killed or sold
@@hannahndungu5705 either of the two dead or alive! But sioni kama Brian Ako hai! I remember them saying wamepewa fridge ya kupreserve body 👅 organs wakizitoa! Stanoo should go back to that house again watoke na hiyo kitu! Then kazi ya Zakayo ni transportation coz yeye ni karao hatasimamishwa! This is a very big syndicate! Then ile maisha wanaishi ni ya umaskini na wanafanya biashara Iko na pesa unashindwa ni Nini? Halafu wanaishi kwa slums ndiyo wasijulikane!!
Nguo ZA Brian kupatikana kando ya mto na viatu.inamaanisha he is no more
It will be the saddest thing and dont want imagine that what we have been praying for the prayers are in vain, Oh God why why ...
Stano you are doing a great job. May you be guided and protected by the blood of Jesus Christ. This is the most hectic and deadliest follow up in your career.
😢😢😢😢Waaa sina lakusema, Mungu tusaidie..
Waaah mungu too
Waaaaaat after waiting for so long munataka kuniabia baryo ayuko hai ?? I cant imgn this one aki
Ohh no😮! Peace be with you Mama Brayo.
Buy shoes this young girl, imagine all those distances na sandols
Mnunulie trouser pia juu ya baridi ya huu msimu wa mvua😢
Good job stano 👏👏
We live by the mercies of God. All these evil is with God's people, and you expect Sir God to bless us.
Wazazi wanafaa kuokoka kabisaaaa!kuombea watoto sana sana covering them with the BLOOD OF JESUS speaking the word upon their lives !
Stano mungu akubariki inosent children
Stano and Joshua mungu awalinde
Kwani hakuna mtu wa serikali anaona haya yote yenye Stano anayafanya apewe ata secrurity jamani😂kenya yetu internal seçrurity wako wapi mambo kama haya yanafanyika ata maaşkari are part of this kama Zakayo anajifanya hapo na imejulikana vizuri yeye ndio. mkubwa wa waalifu
Nashuku huyo zakayo Sana, anaeza kua sio askari halali😏
Maaskari wamekua mashetani wakubwa walai😢😢
Hapa ni wapi jamani
May be mike sonko or Eric omondi can intervene
It's confidential my dear, u can't expose kila kitu, behind the camera, okay
Heli wakuwe waliuza brian akhi juu mtoto atapatikana akiwa hai ..mungu let this women speak like kameme we need Kids back to their families
Stano sijui mbona bado mnabembeleza hawa watu aki,,,ingekua uko bungoma hawa watu wangekua washamalizwa na watu tu ju hadi wakishikwa watahongana na watatoka aki watamaliza watoto😭😭😭naongea hivo coz kuna mwenye pia alikua uko kwetu na hiyo tabia yy naye alikua anachukua sehemu nyeti za wamama na matiti then akitafutwa apatikani ndo siku moja akapandwa alifanyiwa maneno na ilikua mchana 💔💔
Even if brayo is dead his spirit is alive to save those children that were to come after him
These team is very organised
Stano and crew may God protect you
Please God protect our kids stano Joshua we cover you with blood of Jesus hii kazi n ngumu our country is turning to something else