She's not innocent I beg. Did she even think about the mother to this kid? Why didn't she use the right way? Hakuna mwizi na wa kuchungulia, wote ni wezi 🙄🙄🙆🏽
😢😢😢😢ata mama namuhurumia uyu mama aki anakaa innocent but angechukua tuu children hom aki nafeel vibaya sana venye huyu mama anasema nimekaa miaka ming bila kupata mtoto 😢😢😢😢
Akhy wasichoke ,let the blood of Jesus cover them as they are saving innocent kids ❤ ,mungu awape nguvu naye ndiye muweza yote ....muendapo milima na maponde hawe kiongozi mwema qwenu. God of mercy see them and give mama brayo strength ❤🙏
Yeah, but kumbuka pia serikali inajua hii maneno so ata ikirepotiwa hakuna kitu watafanya, Makenzi aliuwa watu wengi na hiyo ikaisha hivo,wakamuachilia 😢
Nikiona brayo na yule anatafutwa na alfoga nita relax tumbo ni moto nafeel pain juu ya hao watoto mungu awalinde mahali waliko wapatikane wakiwa hai in Jesus name Amen
Stano and your team good job may our beloved Father guide and protect you, hawa wauwaji wote case yao ikue equal death sentence hapa our judges hakuna kitu ya kufikilia nikuinamisha tu📒🖋️ since ha mupendi kuchoka evidence ziko enough, musipo kula hongo bribe
Kama huyu mama alikuwa na haja na mtoto mbona hakuenda adoption kwa children's home and follow the right channel?This is a syndicate na imeangaisha watu wengi sana.
Huyu 50 yr old lady seem to b genuine unaona hata kupeana simu ye hajakua na issue...displine kiaz nxt time afuate the right protocol...hao wengine ni wokora sugu
Our DCI Stano and Director Joshua Overturn every stone you were made Angles of God for this little souls God is great 👍🏽 we salute for your dedication 🙏🏽
To the women in Kenya who have no children, visit the nearest children office coz adoption process is very simple if you're a Kenyan...instead ya kujiingiza kwa gori kama hii. I pity the mama who was to buy the girl...she's genuinely in need of one but unfortunately this is serious crime and n will pay for it.
Stano, Joshua and the entire team honestly should be awarded noble price of the year, no one can pay because what you are doing is priceless, I will always pray for you, divine protection over you.
If she's that good, why didn't she ask questions about the child? She didn't even care about the parents or the child herself. SHE'S AN EVIL WOMAN. SYMPATHISE WITH MAPEPO YA IMBILISI. 😢😢😢😢😢
Stano I have been praying for you and others that are doing the same job you do, and Guys thank you so much for making sure the innocent children are not lost.I wish the Government will note what you are doing.God bless you
Fridah asione ameponea na pesa hizo zitarudishwa kwa cha lazima ,,,,Heri agefata sheria ya kupewa na awe makaratasi sahihi kama za frank zilirudi pia hizi zitarudi ,,,Kwanza tupate brayo ,Najua brayo ako atapatikana
I believe bravo is a chosen child because thru his case so much bad deeds and evil in our society has been unfolded and kids saved and many more will be saved keep up stano don’t tire
With our DCI Stano and Director Joshua kudos 👏 Stano and Director Joshua God greatly reward you abundantly above all measures in Jesus mighty name 🙏🏽 💙
Hope Brayo ako save, mama Brayo ukipata Brayo wachana na hiyo muuwaji wakisii wako hivo, next itakua wewe vile wewe Si kabira yao, start your life, Mimi karibu wauwe mtoto wangu nikatoroka
STANO AND JOSHUA INAFAA MTAFUTE OFISI YA RESQUE YOUR JOB IS EXCELLENT👍ATA IMESHINDA YA HAO MY DCI SAI WAGEKUWA WAMESHA OGWA WAKACHANA NA HIO STORY TERM STANO AND JOSHUA OIYEEE💃
Excact thing im saying the previous episodes ,these poeople will run away and all the efforts will be in vain ,im sure thier are strong boys who can sacrifice for the work
Woooi mama amejipara pabaya jameni mungu saidia Brian apatikane stano mistubish afinywe juu n kaa anacheza na akili zenyu stano afinywe makende mistubish huruma weka kado
Stano i think ungemwambia mama brayo ampee picha ya brayo ndio mnaonyesha maybe huyo mtoto angewaambia kama ni yeye walikua wameshikwa na yeye hata huyo peter angekwambia kama ni yeye walipea zakayo
This is not even content creation but Service to God for sure.
True
This one is beyond content aky God guide you Stano
Hii nilisema hii ni Mungu
I agree with you
True
Stano n joshua is a hero of the year should be rewarded saving souls of the year.
haki,Mungu awalide ako
Very true
I love the way this mama is admitting eti ameishi miaka mingi bila mtoto na alikuwa anatarajia kuletewa mtoto.
She is not scamming but ni vile hajapitia right process to get a adoption
Ok 12:23
We don't judge her but the problem is angeenda children's home instead of asking someone else
@@gladysmartim4671how do you know anaweza uziwa mtoto aje kienyeji
Na pesa imekuliwa😢😢😢😢😢250k unaunziwa mtoi si wako🥲🥲🥲🥲🥲🥲
Brayo is a legend, through him many innocent kids have been saved once and for all
Aki Gods time is always the best
May he be alive wherever he is
Walai God use brayo for sake of the rest
I can feel for that barren woman but shida she went wrong way kutafuta mtoto
Stano very funny telling the child to go and hug mum 😂😂😂
😂😂walai akafanya hady nikacheka
😂😂😂 wacha tu
BT huyu mama yeye Hana makosa ila ametumia njia mbaya, angeenda Kwa adaption ...hawa wakuiba ndio washikwe kabisa.
@@jacklyneesendi1263my point too
😂😂😂😂😂😂
Kukosa mtoto ni painful aki I feel that women ni vile hakujua the best way ya kupata mtoto God remember her
Aki pia mimi nimemhurumia
Wooi nimehurumia huyo mama mnunuzi,seems to be innocent
Haki ni kweli
Yea true she very innocent
She's not innocent I beg. Did she even think about the mother to this kid? Why didn't she use the right way? Hakuna mwizi na wa kuchungulia, wote ni wezi 🙄🙄🙆🏽
Huyu mama anaka innocent,but all in all toeni brayo
For sure hata namhurumia aki 😢😢😢
Kama alikuwa na haja sana na mtoto si angeenda kuadupt children's home
😢😢😢😢ata mama namuhurumia uyu mama aki anakaa innocent but angechukua tuu children hom aki nafeel vibaya sana venye huyu mama anasema nimekaa miaka ming bila kupata mtoto 😢😢😢😢
Hiyo ni hatia.....if you want a kid you go the right way.....
Ukikosa mtoto please ngojea Mungu
I cover Stano & his team with the blood of Jesus. God is with you , you will walk and you will not be wearly victory is coming soon.
Ameen
Amen
Big Amen
Hawa niwale wale MUNGU alisema watakuja kuokoa Dunia,, @stano na Joshua congratulations
If I remember someone close to me, wanted to sell my daughter 😢iyo kitu hunitoa wazimu ...can feel for mama brayo aki
Wakinunua wao hupeleka watoto wapi
Wanatoa organs for sale
Pole sana
😢😢😢
Weeuh my cousin alikuwa ameuzwa 20k akiwa wa day 1,but ile gicanjama ilikuwa ndumberi wacha tu
AKI GOD PLEASE REWARD STANO AND HER TEAM FOR SAVING LIVES OF INNOCENT KIDS,,,.❤❤
Stano and your team may God bless you abundantly for saving innocent souls
Akhy wasichoke ,let the blood of Jesus cover them as they are saving innocent kids ❤ ,mungu awape nguvu naye ndiye muweza yote ....muendapo milima na maponde hawe kiongozi mwema qwenu. God of mercy see them and give mama brayo strength ❤🙏
Sanitize Frida's phone.she is a criminal.lakini shosh she's sounding innocent and truthful
Kabisa aki shosh sound innocent
True
True she is real,her motive seems right though in wrong way
Shosh ni mwiinocent walai
Nkahurumia huyu shosh though mtoto si nguo😢
Joshua given opportunity he can deal with these people properly,those slaps 😅
I say 😂
we give him likes
Haha😂kabisa
Kabisa😂😂
Mama is not even scared by the crowd, haki every mother deserve achild of her own
The government should reward Stano he has done more than the DCI
Exactly
You talking good idea myfrend
This thing should be aired on local Tv stations zote, this is traumatizing it should be exposed to infinity
Yeah, but kumbuka pia serikali inajua hii maneno so ata ikirepotiwa hakuna kitu watafanya, Makenzi aliuwa watu wengi na hiyo ikaisha hivo,wakamuachilia 😢
I agree with you.Every Kenyan needs to know the truth.
Wenye serekali. ndio wanafanya hiyo biashara .
My thought too
😢😢😢😢
Stanoo acha kutumia neno kichwa mwili ikazikwe unaumiza mama brian😢😢😢
Someone said,Stano to stop content creation 😢😢😢😢, see what has been discovered. Too much that not even the government can. Kudos Stano and the team
❤❤God remember this child all the times
Nikiona brayo na yule anatafutwa na alfoga nita relax tumbo ni moto nafeel pain juu ya hao watoto mungu awalinde mahali waliko wapatikane wakiwa hai in Jesus name Amen
Huyo WA alfoga sidhani kama yuko my heart bleads too much
@@eunitakesio mungu asaidie
Ebu nishare hiyo ya alfoga nifuatilie juu ata sijui iko kwa nani
Alfogah ni mgani 😢😢😢
@@user-fv1sn9ke9e tafuta alfoga classic t.v. utaona kuna ingine kaa hii pia askari ako ndani
Stano and your team good job may our beloved Father guide and protect you, hawa wauwaji wote case yao ikue equal death sentence hapa our judges hakuna kitu ya kufikilia nikuinamisha tu📒🖋️ since ha mupendi kuchoka evidence ziko enough, musipo kula hongo bribe
Kama huyu mama alikuwa na haja na mtoto mbona hakuenda adoption kwa children's home and follow the right channel?This is a syndicate na imeangaisha watu wengi sana.
Kbs
That's why I am saying she is guilty watu wanaona Kama ni innocent ju ya vile ameongea but she is the big 🐟 in this process
My question too
Exactly. With all that money she could have taken legal adoption process. She's a suspect
Alafu kuna mjinga ingine anajiita watch dog kazi yake ni kuaribia watu majina.😮😮😮
Aki,hata unashidwa ni dog gani hizo yeye huwatch
Hakiiii
@@rosendunge579😅😅😅😅😅😅
Anafaaa akuje apa aone vile kazi hufanywa sio kurudha mdomo tu aki am sorry to say this but mimi nimerudi uko kwake nika unsusbribe
Mm nkimwona Huwa na scroll coz Yuko na upuzi zana
Huyu 50 yr old lady seem to b genuine unaona hata kupeana simu ye hajakua na issue...displine kiaz nxt time afuate the right protocol...hao wengine ni wokora sugu
❤❤❤ may the heavenly father protect you as you save the young souls
Huyu mama anakaa innocent wa kupeleka mtoto ndio anajua penye brayo Ako period
Stano good Job
NB naomba mama Brian if possible ache kufuatana na nyinyi please ,,arudi nyumbani angoje matokeo God knows what is next
Hawezi kubari kuachwa ,coz every morning she wakeup with high hopes she wil came back na mtoto wake
Stano, you are doing an amazing job. May God protect you and Joshua.
Our DCI Stano and Director Joshua Overturn every stone you were made Angles of God for this little souls God is great 👍🏽 we salute for your dedication 🙏🏽
To the women in Kenya who have no children, visit the nearest children office coz adoption process is very simple if you're a Kenyan...instead ya kujiingiza kwa gori kama hii. I pity the mama who was to buy the girl...she's genuinely in need of one but unfortunately this is serious crime and n will pay for it.
Pity for a criminal 😊. Childrens home ziko
@@gracebiggie8330I support you
God bless you stano na your friend ❤
The slap on sleepy footsubishi landed safely.
God bless our mothers with children. Its painful to see what women go through. Stano, you are doing a good work.
Ak Joshua round hii atatuonyesha mambo, juzi alikuwa Dem Leo ni askari ako na kofia ya askari
😂😂😂😂 aki Joshua
Stano, Joshua and the entire team honestly should be awarded noble price of the year, no one can pay because what you are doing is priceless, I will always pray for you, divine protection over you.
I still not give up brian is alive maybe ameuzwa tu may God protect him penye ako apatikane akiwa mzima
Kumbe kuna piashara ya watoto mungu linda watoto wetu kenya 😭
Na imagine msichana wangu ako kenya na mimi nko ug mungu amlinde
🙏
But Kuna watoto orphanage please mama
Amen
This woman is genuine aki
I sympathize with this Lady because she had good intentions of having a baby but used the long avenue. She had no ill motive with the child.
She would have used the right channel if she was genuine…
If she's that good, why didn't she ask questions about the child? She didn't even care about the parents or the child herself. SHE'S AN EVIL WOMAN. SYMPATHISE WITH MAPEPO YA IMBILISI. 😢😢😢😢😢
She is not innocent.
She seems to be
innocent .though she used a wrong
wrong way
@liliankandega6675 No, she is not
Stano I have been praying for you and others that are doing the same job you do, and Guys thank you so much for making sure the innocent children are not lost.I wish the Government will note what you are doing.God bless you
Stano hongera kwa kazi yenu mungu ako pamoja na nyinyi
Stano en your team may God favour you 🙏. God's protection be with you 🙏.We r happy for your work.
Huyu mama hana makosa but hakua na knowledge ya kuenda ku adopt mtoto
Imagine na adoption is free in kenya.
Thanks for saying it loud,ni knowledge alikosa ama aliogopa
Stano and your team may God bless you abundantly for saving innocent soul
Stano God bless you and your team you are doing good job
Fridah asione ameponea na pesa hizo zitarudishwa kwa cha lazima ,,,,Heri agefata sheria ya kupewa na awe makaratasi sahihi kama za frank zilirudi pia hizi zitarudi ,,,Kwanza tupate brayo ,Najua brayo ako atapatikana
I believe bravo is a chosen child because thru his case so much bad deeds and evil in our society has been unfolded and kids saved and many more will be saved keep up stano don’t tire
With our DCI Stano and Director Joshua kudos 👏 Stano and Director Joshua God greatly reward you abundantly above all measures in Jesus mighty name 🙏🏽 💙
Mbona hawaendi children's home wa adopt watoto kiroho safi
Imagine na ni free
Well done stano keep going....
Aki hizo show zimekunja zikafanya vizuri xna aki mmeokoa watu wengi gai be blessed aki
Good job Joshua 👏 👍
Angezaa wake auze.....God protect Brayooooooooo 😢😢😢😢😢😢😢😢akh tumelia vya kutosha😢😢
Wako na order za kuuza wenye wako hai....pia body parts akh😢😢😢😢
🙏
Stano now your becoming hero you need to hit 400 subscription guys
Hope Brayo ako save, mama Brayo ukipata Brayo wachana na hiyo muuwaji wakisii wako hivo, next itakua wewe vile wewe Si kabira yao, start your life, Mimi karibu wauwe mtoto wangu nikatoroka
Mbona wanafanyanga hivyo?
Ww si wakisii wote tuko hivo 😢
N ww wacha kuongea hvo juu ya wakisii n sio wote wako hvo but umeongea vibaya ww
Good job Stano and the team God bless u🙏🙏
I that mama she is very genuine Stano
Stano and your team may God grant you n protection the work you do is not easy God to guide you as u helping the innocent soul 🙏🏻
Kutozaa n shd aki,, angekuwa n watoto wake angenunua wa wenyewe 🥲🥲, pole mama brayo, your kid atapatikana
Goodwork Joshua
STANO AND JOSHUA INAFAA MTAFUTE OFISI YA RESQUE YOUR JOB IS EXCELLENT👍ATA IMESHINDA YA HAO MY DCI SAI WAGEKUWA WAMESHA OGWA WAKACHANA NA HIO STORY TERM STANO AND JOSHUA OIYEEE💃
Stano increase your security guard! Suspects number has increased which is difficult to manage them
Excact thing im saying the previous episodes ,these poeople will run away and all the efforts will be in vain ,im sure thier are strong boys who can sacrifice for the work
😢😢😢😢wooi aki mama maay GOD give you more like Sarah
Joshua is a legend he deserves a reward
God bless you stano Joshua and your team for the great work you're doing
Angalieni message za mpesa. Hawa ni wakola. Msiwapembeleze
Good job pastor
Good job stano
Stano na Joshua good job God bless you kazi mzuri 🙏🙏🙏🙏
Stano n your team good job my God bless you🙏🙏by if it will be possible tafteni kalau mama afinye Hao wamama waongee Kama kamemee period
joshua you doing good piga hao watu vizuri
Agood job,stano and ur team may God protect you all
Woooi mama amejipara pabaya jameni mungu saidia Brian apatikane stano mistubish afinywe juu n kaa anacheza na akili zenyu stano afinywe makende mistubish huruma weka kado
Be blessed for sure stano n joshua
Hawa wamama c wangeanzisha biashara ya kuuza mboga instead ya kuuwa watoto surely... Stano n ua teem may God bless you 🙏🙏🙏
True
Bona kamzaee kako na mchezo.bitubish.hii kitu😮bona kana jokes hapa.😮good job DCI.❤
Woooiii!!, that last woman she's very innocent, just because ni tasa ona sasa chenye kimemkuta😢
So sad😢
Stano tafuta kazi YA DCI good work keep it up
Uyu shosho aliona Joshua akatenz na vile alikuwa happy ameletewa zawadi
Frida alikua amepata profit 50000,God protect our kids.
Nawaki pesa
Stano na team yako may God protects you
Good job
The mum is genuine and was desperate to get a kid as per from the messages.
But she could have used the right channel to get a child. Children homes are many for her to get a child.....hapo hajitoi kwa sasa....
@@rhodanganga3319very true adoption is there through right channel
Not genuine but pretending hizo ni kazi amezoea coz alilipa aje pesa haraka na hajapata mtoto so she trusted the seller.
Exactly
She is hypocrite niwakuuza watoyo
Huyo mama ashikwe na afunguliwe mashtaka awe funzo kwa wengine. Si azae mtoto wake.
Jameni ashikwe Tena....kama Brian hameuliwa also ata yeye tunapaswa kweda mazishi kwao
But ni vile hazai na anatamani kukaa na mtoto
@user-sf8mu1yg3v lakini io si njia poa ya kupata mtoi😢
Hakujua kitawaramba
Stano i think ungemwambia mama brayo ampee picha ya brayo ndio mnaonyesha maybe huyo mtoto angewaambia kama ni yeye walikua wameshikwa na yeye hata huyo peter angekwambia kama ni yeye walipea zakayo
I agree with this
Very true
Umegoga dipo.
Eagerly waiting button stano and ur team God is on ur side always for saving many souls
I feel for that mother, vile ni Tasa, Fridah ndie alijua anaibiwa, woiiii.................mmemletea uchungu mwengine ......
So it seems, brayo hajauliwa. Alikuzwa.
Angalieni hiyo picha ya mtoto. God bless you for doing a good job
Yea n kwli kabisa, waangalie picha kwa simu ya huyo mamu then waangalie hiyo message yenye alituma pesa
Stano ,, na kujifanyaaaaa, eti hebu hug mama
Through Brayo many innocent kids have been saved.may God protect him where he's
Stano sanitize Frida, na huyo mama..
Let this story be aired all tv stations and radio ,
Too unfortunate..
Exactly 💯
Haki I have prayed for this story to be aired on national television
Napenda vile stanoo anahundle case hakuna kumbebelexa gaidi goodjob namiendelee hivyo
Ndiyo hio zawadi.... hug...!!
Might God protect you stano and your team
Hawa manyangau wapelekwe ndani wataongea vizuri wakifika Langata. Good job the team Pasta show
Hii msafara itakuwa mrefu sana....stano and joshua may the living God protect you with his blood...
We hope this chain will end soon