Maiti saba zaidi zaopolewa mtoni Tana River
HTML-код
- Опубликовано: 29 апр 2024
- Miili saba zaidi imeopolewa kutoka mto tana kufuatia ajali ya boti eneo la madogo.miili hiyo imepatikana usiku wa kuamkia leo na asubuhi . idadi jumla ya waliofariki kwenye mkasa huo wa boti imefikia watu 11. viongozi wa eneo hilo wameikashifu mamlaka ya kenha na kusema kuwa ujenzi wa barabara umechukua muda mrefu zaidi. Aidha watu 12 bado wanatafutwa.Haya yanajiri huku usafiri wa boti ukisitishwa kati ya kaunti za Tana River na Garissa.
😢 This is very painful God save our Country 🙏🙏🙏
Mungu baba wa binguni, twaomba utusadie.
They be working so hard to retrieve the bodies, but can't save them lives.
Why didn't they warn people earlier on,yet they had the info???
God hve mercy on us😢😢😢
Kenya repent, repent, repent the messiah is coming