Hakika huyu Hakimi ni kijana shujaa, mwenye upendo, jasiri nà mcha Mungu....Dhambi zàko źote umetuachia sisi Watanzania...kwa kitendo cha kuwasaidia hawa watoto wetu wenye uhitajì hakika Mungu akupe nguvu na kipaji chako cha mpira akuongezee zaidi na zaidi.
Mpk machoz ya furaha yamenitoka walah mungu mzid msaidia huyu kijana afike mbali na injinia wetu mjaliye nae afike mbali mungu ibarik Tanzania mungu ibarik familiya yangu mungu ibarik tem yangu pendwa yanga izid kusonga mbele mungu ibarik viongoz wote wa yanga nao wawe na moyo wa ushikamano na upendo ameni
Music tone katika hii video nakupa maua yako moyo unavyosikia kama lile jimbo la tunda man ft nani huyu........'song lenyewe hili hapa moyo unaweweseka tunda nikikuona na nafsi eeeeeeeeeee Eng Hers pomoja sana dua muhimu sana sana tu
Hakika huyu Hakimi ni kijana shujaa, mwenye upendo, jasiri nà mcha Mungu....Dhambi zàko źote umetuachia sisi Watanzania...kwa kitendo cha kuwasaidia hawa watoto wetu wenye uhitajì hakika Mungu akupe nguvu na kipaji chako cha mpira akuongezee zaidi na zaidi.
Thank you Yanga for the footages of Hakimi ❤🇹🇿🇲🇦❤️
حكيمي احسن ممثل للمغرب وبعده الافريقي ويستاهلو تنزانيا
Allaah Akbar
Hii nzuri lkn kwanini mjini tu, jamani wahisani kamahawa tuwapeleke vijijini kunashule zinauhitaji zadi.
Hii shule waliyoenda iko tengeru ni ya walemavu
Tanzanians people is brothers. Thank you from Morocco
Mpk machoz ya furaha yamenitoka walah mungu mzid msaidia huyu kijana afike mbali na injinia wetu mjaliye nae afike mbali mungu ibarik Tanzania mungu ibarik familiya yangu mungu ibarik tem yangu pendwa yanga izid kusonga mbele mungu ibarik viongoz wote wa yanga nao wawe na moyo wa ushikamano na upendo ameni
Hers bwana adi unasikia kulia kwa furaha anazo tupa.
Nimepnda anavyo tabasam HAKIMI inaonyesha TZ ipo vzr sana kaipenda
MashaAllah😢
Mungu awe nawe brother
mungu ambariki
Mama Africa fes Maroc 🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂🎉🎉😢😢😢😮😮😮😮😮
Kavaa simple 2
Acha Engineer aipeleke Yanga nchi ya Ahadi nchi ya maziwa na asali
😂😂😂wee nimecheka kinoma
👍👍👍✌️✌️✌️🤲🤲🤲♥️♥️♥️🇲🇦🇲🇦🇲🇦🇲🇦🇲🇦🇲🇦
👉🇲🇦🕊️👉🌍
❤❤
Music tone katika hii video nakupa maua yako moyo unavyosikia kama lile jimbo la tunda man ft nani huyu........'song lenyewe hili hapa moyo unaweweseka tunda nikikuona na nafsi eeeeeeeeeee Eng Hers pomoja sana dua muhimu sana sana tu
Sasa nimejua kwanini yanga inapewa kipaombele na selikari yetu hawa jamaa wanajitambua sana
So so proud of our Achraf, that's the Africa we want, that's the Adrica our King wants. SOUTH TO SOUTH.
No 1
Walimu wa shule sasa kazi kwenu kutUnxa na kuthamini mlichonacho
Imeipenda hii sana yanga mnazidi kupasua
Mashaallah
Makolo wanaumia
🎉🎉🎉