kanisa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • 2012
    Africa
    African
    akongamimi
    akongamimi
    albino fulani
    Alex & Mary Ominde
    Ali kiba
    ali kiba 2012
    ali kiba cinderella
    ali kiba dushelele
    ali kiba far away
    ali kiba hadithi
    ali kiba mac muga
    ali kiba mali yangu
    ali kiba mapenzi
    ali kiba mapenzi yana run dunia
    ali kiba new songs
    ali kiba usiniseme
    Ambassadors of Christ
    Angela Chibalonza
    AT
    Atu Dave
    AY
    bahati bakuku,
    baheburawilly
    banana zoro
    Belle 9
    Ben Bahati
    Ben Githae
    Berry Black
    bethel choir
    Bongo flava
    bongo flava 2012
    bongo flava bongo
    bongo flava new
    bongo song
    BONGOTRACK
    Bonny Mwaitege
    Burka sda
    burund movies
    Burundi
    burundi black
    Burundi bujumbura
    burundi choir
    burundi dance
    burundi drummers
    burundi gospel music
    burundi gospel music 2012
    burundi movies
    burundi music
    burundi music 2012
    burundi songs
    Carson
    Carson / Mercy Wairegi
    Cheusidawa
    chidi benz
    chidy benz
    Choir SOUTH DAKOTA
    Christ Ambassadors of Chris
    Christian Music
    Christina Shusho
    Church songs Kilutheri
    Clinton Jeffa
    comedy,
    congo
    congo bongo
    congo dance
    congo movie
    congo movie part 1
    congo music
    congo natty
    congo natty get ready
    congo natty junglist
    congo natty police in helicopter
    congo trailer
    cultrure music club
    Daddy Owen ,
    Dar Es Salaam Modern Taarab
    David Prince
    Denis Lison
    Denis Lison Burundi bujumbura
    Diamond
    Dj choka
    Dr David Owuor
    Dr. Paul Hamisi Hussein
    dully sykes
    East africa gospel
    East Africa Music
    Emmy Kosgei,
    Esther Wahome,
    Ev. Joshua
    Evaline Muthoka
    Faith Kithele
    Ferooz,
    Fid Q
    flava new songs 2011
    Furaha London Nyimbo za dini
    GEITA CENTRAL SDA CHOIR
    Geuka Indirimbo
    Godwin Shayo
    gospel choir
    gospel choir 2012
    Gospel Choir Tanzania 2012
    gospel music 2012,
    Gospel Song 2012
    greatlakesmix(GLM)
    hadija yusuf
    hege temba "mad Ice
    Helena ken
    Hussein Machozi
    injili
    Isaac Kahurah,
    Izzo bizness
    Jaffarai
    jahazi
    jay dee
    joan wairimu
    Joh Makini
    Justina Nzomo,
    kamba song
    kanisa
    Kanumba movies
    Karen Men's Chorale
    kenyan comedy
    kenyan comedy 2011
    kenyan comedy 2012
    kenyan gospel
    kenyan gospel choir
    kenyan gospel music
    kenyan gospel music 2011
    kenyan gospel music 2012
    kenyan kenyan movies
    kenyan music
    kenyan music 2011
    kenyan music 2012
    kenyan songs
    kenyan,
    khadija kopa
    Kikuyu
    Kilahiro
    kipindi cha nyota zenu
    KURASINI SDA CHURCH CHOIR
    Kwaya
    Lady jay dee
    Lamyia
    langa
    London Swahili Furaha Choir
    Makamua
    malindi
    Marlaw
    Martha Mwaipaja
    Martha Ramadhani
    mary Ngugi,
    masanja
    masanja aokoka
    Masanja Aokoka!
    masanja mkandamizaji 2012
    Mercy Wairegi
    mr blue
    mrjohnkitus
    muchacho
    muhamed ilyas
    muziki
    mwambao
    mwana FA
    mwanahawa juma
    mzee yusuf
    mzee Yusuph
    Nduta's Choir
    Nesta Sanga
    new bongo flava 2012
    New kenya
    neywa wa matego
    nigerian movies 2011 latest
    nigerian movies 2012
    nonini
    nonini
    NxT LvL Music Christian
    off side trick"
    omba sala nyimbo
    onga mbele Choir
    Orijino
    Orijino Komedi
    Pacific ft Nathalie & Adelaro
    paul mwai
    Paul Mwai
    Professor Jay"
    Ray C"
    Reuben Kigame & Sifa Voices
    rose muhando,
    rukia ramadhan
    rusha roho harusi
    RUTH WAMUYU,
    rwanda
    rwanda genocide
    rwanda genocide documentary
    rwanda genocide footage
    rwanda gospel music
    rwanda gospel music 2011
    rwanda gospel music 2012
    rwanda movie
    rwanda movie
    rwanda music
    rwanda music 2011
    rwanda song
    rwanda song
    sabah salum
    SAIMON MAENGO,
    SALOMON MUKUBWA
    Sanga
    Sarah Mbogo,
    Sautizabongo
    seif sali
    sharobaro
    sheikh yahya utabiri wa nyota
    shirko
    solo thang
    Songambele Choir
    Sporah Show
    Stara
    Steven Kanumba
    suma lee
    swahili choir
    swahili comedy
    swahili gospel
    swahili gospel songs
    swahili language
    Swahili movie
    swahili movies
    swahili music
    swahili nation
    swahili rap
    swahili songs
    swahili songs kenya
    Swahili worship latest
    t.i.d top band
    taarab zanzibar"
    Taarab zanzibar
    Tabata New Life Choir
    tanzania
    tanzania comedy
    Tanzania gospel choir 2012
    tanzania gospel music
    tanzania gospel music 2011
    tanzania gospel music 2012
    tanzania movies
    tanzania movies swahili
    tanzania music
    tanzania music 2011
    tanzania music 2012
    tanzania national anthem
    tanzania songs
    tanzania vs algeria
    tanzanian music
    Tanzanian Singer
    The Seven Stevens
    TMK wanaume FAMILY"
    Tumaini sda choir
    Tumaini sda Kizota
    Ubatizo wa kweli
    uganda gays poo poo
    uganda gospel music
    uganda gospel music 2011
    uganda gospel music 2012
    uganda movies
    uganda movies 2011
    uganda movies 2012
    uganda music
    uganda music 2011
    uganda music 2011 new
    uganda music 2012
    uganda music 2012 new
    uganda poo poo
    ugandan
    Upendo Amon
    Uryankulu Choir
    Vaeni silaha
    Vicent Kigosi
    Vijana Choir
    wahapahapa
    wahili gospel,
    wanaume halisi
    Winnie Julius
    Yesu
    Zabo Zose
    ze comedy new
    ze komedi
    ze utamu
    ze uwazi
    zilipendwa
    Zippy Muoso

Комментарии • 115

  • @gracembuvi4625
    @gracembuvi4625 2 года назад +1

    Mazinge na huyu msomaji niwachinga tu wanataka kupotosha watu,

  • @ellon5239
    @ellon5239 4 года назад +1

    Mazinge hana lolote,haielewi Biblia Huyo na mbwembe nyingiiii

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 4 года назад +7

    I'm proud to be muslim Alhamdulillah 🙏🙏

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 5 лет назад +5

    Mazinge Tumia Na Fimbo Hapo. Maana Hao Wanavichwa Vigumu Kuliko Mawe.

    • @shabanmbajo3938
      @shabanmbajo3938 5 лет назад

      Hahahahaha!
      Kweli Kabixa!

    • @elizabethgiven8363
      @elizabethgiven8363 5 лет назад +2

      PEKO MISEGESE Mutumegani hunae mjua ww mwingine alikua anawake wanne.kwnza uyo Muhammad wnu kwa bi khadija alifata Mali alizo achiwa na marehemu mume wake bi khadija mtume alikua kama dume la mbwa ndio mana alioa mtu alie mzidi umli

    • @user-wv5fq1bm5x
      @user-wv5fq1bm5x 5 лет назад +2

      @@elizabethgiven8363 ww nani kasema ukristo ni ni dini Na ni neno gani linalosema kanisa ni mke wa Yesu nyie vipi kuweni waelewa

    • @yussuphshilingi3258
      @yussuphshilingi3258 2 года назад

      @@elizabethgiven8363 ww mpumbavu kafiri mkubwa

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 5 лет назад +2

    Elizabeth Given. Ninakukaribisha Katika UISLAMU. Tena Unaonyesha Kabisa We Uko Tayari Kuingia Katika Dini Hii Iliyosahihi Kwani Umekaa Kiislamu Islam Sana. Karibu Sana.

  • @evansmwano3436
    @evansmwano3436 4 года назад

    Kuna utoto mwingi sana humu, yaani mifano unaifanya ndiyo maana! Ni tatizo kubwa sana!
    Waislam kwanini msipambane tu kwenda ahera jamani kimpango wenu?
    Mtakufuru sana! Na yatawakuta

  • @Souffra
    @Souffra 12 лет назад +2

    Wanapotosha neno la Mungu hawa, eti linamaanisha kuwa kama umeacha mwanamke utapata mara mia moja huko. Swali ni kwamba, Je mwanamke ambaye ameviacha hivi vyote atapata nini? atapata wanaume mia moja? Tena wanasahau kuwa kule mbinguni hakuna kuoa au kuolewa, watu watakuwa kama malaika wa mbinguni(Matayo 22:30)

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma3756 3 года назад

    Mashaallah wisilam maustdh mungu awape kheri mazinge tunakuombea mungu akufanyie wepes insha'Allah 🙏❤️🤝

  • @abdultawababubakar8935
    @abdultawababubakar8935 9 лет назад +2

    Sababu wakristo hawamjuiii muhammed ndio maana hawamtajiii lkiniiii sisi waislamu twamjua yesu ndio maana twamtaja kama nabii wamungu

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 5 лет назад +1

    Kumbe Ndio Maana Wakristo Wanasilimu Kwa Wingi Sana Kwa Kuwa Wanamuelewa Mazinge Kuliko Wachungaji Wao.

    • @elizabethgiven8363
      @elizabethgiven8363 5 лет назад +1

      PEKO MISEGESE Mnasema ngurue najis hila hanaluhusiwa kula hukiwa jangwan ule kidogo hil usife uhalamu wa ngurue huko wp

  • @zubermakono3557
    @zubermakono3557 6 лет назад +4

    yan waklisto wamepotea kabisaaa kama mnafuata yesu mbn hamsujd kama alivyo sujudu yesu

    • @bidafumbuka855
      @bidafumbuka855 4 года назад +1

      Kusujudu ndo uislam? Acha uongo

    • @user-wv5fq1bm5x
      @user-wv5fq1bm5x 4 года назад

      @@bidafumbuka855 wakristo wamepotezwa na wachungaji wao

    • @bidafumbuka855
      @bidafumbuka855 4 года назад +1

      Yesu ni mwana wa mungu aliyefanyika mwili kwaajiri yakukomboa watu wa baba yake halafu kusujudu sio uislam acheni uongo.

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 5 лет назад +1

    Elizabeth Given. Ujuwe Waislamu Ndio Waalimu Wenu. Ili Ukubali Ninachokwambia Mimi, Fuatilia Hii Mijadala Waliofanya Waislamu Na Ninyi Wakristo Utapata Majibu Fasta.

    • @financialloan9818
      @financialloan9818 5 лет назад

      Kitabu chenu kimeandikwa na walevi Mohammed mpaka amekufa ajui kusoma wala kuandika sasa ww unaongea nn apa?

  • @nizigiyimanathomas8184
    @nizigiyimanathomas8184 4 года назад +1

    Usitumiyi hakili zakoko kwenye neno lamungu
    Iyombingu sikupata wanawake wengi yipi hayiwagi kwakweli
    Kama yipo njohiyi dunia njo mbingu yeni
    Kwani wanawake wazuli woko

    • @hanifaali9526
      @hanifaali9526 4 года назад

      Wewe mwenye hujui usemacho, mungu hakai mbinguni, kumbuka hapo mwanzo mungu aliumba mbingu na arthi, je kabla hajaumba mbingu alikua anaishi wapi na kulikua hakuna mbingu?

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 5 лет назад +1

    Wakristo Someni Jamani. Vitu Viko Wazi Kabisa Lakini Bado Hamuelewi!!!?? Mazinge Anajipigia Tu Wakristo. Kila Mada Mazinge Anashinda Mwenye Mada Ambayo Mazinge Alizidiwa Na Wakristo Anijuze Maana Mi Sijaiona.

  • @samiraamir9610
    @samiraamir9610 11 лет назад +4

    CHUNGA MANENO YAKO.HUKULAZIMISHWA USIKIZE

  • @amarbawaazir8120
    @amarbawaazir8120 12 лет назад +3

    Hatuwasemei vibaya wakrist0 tunawaeIimisha mufaham maandik0 yanatafsiriwa vp!pia tukiwa msikitin tunamzungumzia issa mbaye ni yesu kwasababu ni mtume km mitume wengine hvy0 basi tunamwamin na tunafata mafundish0 yake km mtume na si0 mungu!

  • @ksmusicplatform
    @ksmusicplatform 13 лет назад

    mwesilamu hajeni jina layesu kwamjandala wenu kila mara.wa kristo wakisema kila mara jina lamtume wenu,mutauwana .sababu mwajua mambo haya sana tu.

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 4 года назад +1

    Bibi Arusi ni kanisa

  • @is-hakaali5757
    @is-hakaali5757 5 лет назад +2

    😂😂😂😂 eti soma iyoo

  • @user-wv5fq1bm5x
    @user-wv5fq1bm5x 5 лет назад

    Kanisa ni mke wa Yesu😁😁😁😁😁😁😁😁

    • @user-wv5fq1bm5x
      @user-wv5fq1bm5x 5 лет назад

      @Dolvine Kwamboka Kwan aliyejibu hapo Kanisa ni mke wa Yesu ni mkristo au mwislam wee vipi ww poteeni tuuu huko makanisani

  • @ksmusicplatform
    @ksmusicplatform 13 лет назад +2

    huyu bana Biligoni Moshi ni mkristo kamilifu.lakini sababu mwesilamu wabishi sanaaaaaaaaaaaaaaa.nakujintiya kujua sanaaaaaaaaaa.kwanini mwesilamu ,kila mara wakisema mpaka waseme jina layesu?aoo hawana vitabu vyakwaho.mbona wakristo wakiwa kanisani mbona yaseme jina la muhamadi?, ao mwessilamu?

    • @rashidimoshi8417
      @rashidimoshi8417 6 лет назад +1

      MB zangu kwa mazing nihalali ziishe napata mafunzo Bora sana kwake mungu akubariki sana

    • @sogehamisi8423
      @sogehamisi8423 5 лет назад

      Awa waislam wanaropoka na awajuwi wanasema nini biblia kuihelewa inahitaje adi roho mtakatifu akufunuliye auwezi kusoma biblia kama ngaziye YESU ndiye njiya ya ukweli na uzima

    • @mussayusuph5991
      @mussayusuph5991 4 года назад

      @@sogehamisi8423 tusomee basi wee mwenye roho mtakatifu utufahamishe

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 5 лет назад +2

    Jamani Mwenye Mada Wakristo Waliomshinda Mazinge Mi Naitaka. Maana Mazinge Katawala RUclips Humu.

    • @elizabethgiven8363
      @elizabethgiven8363 5 лет назад +1

      PEKO MISEGESE nkuhulize swali hivi mutumea ametailiwa aya gn hiliyo andika kua mtume ametailiwa naomba jibu

    • @elizabethgiven8363
      @elizabethgiven8363 5 лет назад +1

      PEKO MISEGESE vitabu vya dini vmekataza kumtaman mke wmtu hila mtume wenu Muhammad alimtaman bi khadija akiwa kwnye ndoa yake bi khadij alipo fiwa na mumewe ndio mtume wnu alipo muoa bi khadija ndio mana kamuoa akiwa mzee

    • @imamumponda2985
      @imamumponda2985 5 лет назад

      Ahahahah maa shaa llah

  • @jujuiramwesh8422
    @jujuiramwesh8422 6 лет назад

    usisahau binadam wanapenda penye Pana uhongo .don't be proud of yourself because you don't know it's not good to judge others because you don't k ow who will judge you mmm.i can see you are so proud.be careful .but siwezi kukulaumu juu yesu na shetan wanafanya kampein so Usha jishindia shetan kwa taharifa zako

  • @user-qz2yd5wm2m
    @user-qz2yd5wm2m 4 года назад

    Mashaa ullah .Allah akupe heir inshaallah.

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 5 лет назад +1

    Elizabeth Given. Mtume Muhammad Rehema Na Amani Iwe Juu Yake, Hakumuuoa Bi Hadija Akiwa Kwenye Ndoa Yake. Angemuoaje Haliyakuwa MTU Yupo Kwenye Ndoa Yake??????? Vitu Vingine Wala Havina Haja Ya Kuuliza Au Kwenda Shule Kwa Akili Ya Kuzaliwa Tu Unapata Jibu.

  • @aliissa6632
    @aliissa6632 4 года назад +1

    Mashaallah

  • @rosemutinda4671
    @rosemutinda4671 5 лет назад

    Waislamu wako sawasawa na Freemason kazi yao nikufikiri mnyanyuanyo tu.

    • @rosemutinda4671
      @rosemutinda4671 5 лет назад

      @Juma Nente hahaaaaa utapigwa na butwaa ukikutana na Mohammad jehanam

  • @saitotisapiyo5997
    @saitotisapiyo5997 4 года назад

    Someni mandiko poa ati yesu ata owa

  • @georgenyaumba3925
    @georgenyaumba3925 5 лет назад +1

    Aiseee kufuru hizi... waislamu

  • @arafatali5010
    @arafatali5010 4 года назад +1

    Mashallah

  • @saidhamad5294
    @saidhamad5294 5 лет назад +1

    Mke wa Yesu kanisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @saitotisapiyo5997
      @saitotisapiyo5997 4 года назад

      Said Hamad wewe uji chochote bana unajua kanisa nini kwanza

  • @imamumponda2985
    @imamumponda2985 5 лет назад +1

    Kanisa ni mke wa yesu ahahahahahaha

  • @huldatmkubwa5783
    @huldatmkubwa5783 5 лет назад

    mtablloooooo christian

  • @saitotisapiyo7167
    @saitotisapiyo7167 5 лет назад

    Mazinge mwogo kweli kanisa ni mwanamke.

  • @Souffra
    @Souffra 12 лет назад +2

    Kanisa ndilo bibi arusi:
    Ufunuo 19:7
    Tufurahi, tushangilie
    na kumpa utukufu!
    Kwa maana arusi ya Mwana-Kondoo
    Imewadia,
    na bibi arusi wake amejiweka tayari.
    8
    Akapewa kitani safi, nyeupe inayong'aa
    ili avae.’’
    (Hiyo kitani safi inawakilisha matendo ya haki ya
    watakatifu)
    Waefeso 5:31
    Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama
    yake, naye ataambatana na mkewe na hawa
    wawili watakuwa mwili mmoja.”
    32
    Siri hii ni
    kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na
    Kanisa.

  • @raymondngajagu66
    @raymondngajagu66 5 лет назад +3

    Dini ya majini hiyooooo

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid9764 4 года назад +2

    And Love ISLAM ❤

  • @hassanmkono4701
    @hassanmkono4701 5 лет назад

    Wakolon wametuletea iman zao ili kutupumbaza ili tuwaabudu

  • @abaslegera9841
    @abaslegera9841 5 лет назад +2

    Wakristo nivichwa maji

  • @saitotisapiyo5997
    @saitotisapiyo5997 4 года назад

    Kama ujui mandiko waislamu wata kupoteza

  • @lilianwanga8561
    @lilianwanga8561 7 лет назад +5

    mkubali mkatae shauri yenu sisi tuna juwa yesu ni bwana

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 года назад

    Bibiliya niyamazinge mwalimu walakafiri🤣🤣🤣🤣alete andiko

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 8 лет назад +2

    sikio la kufa halisikii dawa mtu ukiwa muovu hata ambiwe vp hutokubali hao wakristo hata Yesu akirudi watampinga

  • @biashabiashawallahuislamra2020
    @biashabiashawallahuislamra2020 7 лет назад +3

    ww lilian wanga uko kuvaa mini sketi na kuimba ndio kwenda peponi nyoooo mnadanganya na mapaster kwa kupewa pesa za madovol washipar

  • @samiraamir9610
    @samiraamir9610 11 лет назад +2

    Ukweli unauma? Hapa ni kufundishana so chaajabu hakuna anayewasema vibaya ila kitabu chenu kinasuta.Hamjui mfanyalo mnabeba vitabu na hamjui vimeandikwa nini.SOMENI NA MJUE

  • @ramamohammed4334
    @ramamohammed4334 6 лет назад

    uislamu ndio dini ya pekee

  • @financialloan9818
    @financialloan9818 5 лет назад +1

    Ndio tatizo la kua na kiongozi mbumbu yan waislam mnavyo itafsili bible ni tofauti aiseeee poleni sana mazinge anaangamiza watu kwaiyo mnazani Yesu ataoa?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kanisa ni bibi harusi sio ndoa iyo mnayo isema nyinyi yan waislam mnawaza kutombana tuuu maana ata Mohammed wenu alitomba kitoto cha miaka 9 apo amna aibu

    • @mussayusuph5991
      @mussayusuph5991 4 года назад

      Unapoishiwa na hoja unabakiwa na matusi na ndio maana wakristo wengi mnawatukana manabii wa mungu ,kama vile nabii Ibrahimu mnasema alizini na Hajiri ambae alikua house gerl wake hivyo hata Ismaili mtoto waliempata ni mtoto wa zinaa,pia mnasema nabii Lutwi alilewa na akazini na binti zake.n,k.kwa hiyo hatuoni ajabu kwa huku kumtukana kwenu nabii Muhammadi kwa kumuoa bi Aisha akiwa mdogo n,k

  • @rabonmbuga1489
    @rabonmbuga1489 4 года назад

    Aya ongea lkn waisilam wote mmepotea mnahoja zakijinga kwel kwel

    • @seifrajabu9511
      @seifrajabu9511 4 года назад

      Wewe ndo umepotea kwamaana matendo yote aliyo yafanya yesu nabii wa mwenyez mungu wewe hufanyi alimnyenyekea mungu wewe unamyenyekea yeye alimsujudia mung wewe husujudu alimtangaza mungu wewe unamtangaza yeye aliingia msikitin wewe huingii sasa si umepotea?

    • @zuhulas1036
      @zuhulas1036 4 года назад

      Wewe upepotea kabisa Mazinge anasoma biblia.wazi.namsndiko.yenu.unayakataa.pore

  • @lilianwanga8561
    @lilianwanga8561 8 лет назад

    haki weslam nawaonea uruma sana mungelijuwa kwenye mnaelekea mmefumbwa macho na shetan lakini hamjui ukieza kufa tu ndio utajuwa kweli wakirsito wanawaambia ukweli mbarikiwe

    • @abtehseen2391
      @abtehseen2391 8 лет назад

      ukweli gani upo kwenye ukiristo zaidi ya upotevu na hapo wao nao waliolala katika kristo wamepotea

    • @mamatuishi-mamatuondoke8822
      @mamatuishi-mamatuondoke8822 7 лет назад

      wanatafuta tu sifa ya dunia"ukweli ni kwamba yesu ni jibu

    • @mokhaking2734
      @mokhaking2734 7 лет назад +1

      Lilian Wanga mjinga weye. unaabudu kiumbe alioumbwa na mungu. nasi tunamuabudu mungu aliyeumba viumbe vote. nani ataenda peponi? fikiria kijana. mnadanganywa tu.

    • @princessyvetteevedollyisma2586
      @princessyvetteevedollyisma2586 7 лет назад +2

      Mokha King sikiza wewe mungu alisema msikilizeni huyu ndiye mwanangu mpendwa niliye mchaguwa,,,Quran sura 22-75 ina sema mwenyezi mungu alichaguwa miongoni mwa malaika na miongoni mwa binadamu(haya ipi Muhammad alichaguliwa ???)nipe jibu

    • @mokhaking2734
      @mokhaking2734 7 лет назад +1

      PRINCESS YVETTE EVE DOLLY ismael lol. 😂😂😂 muhammad alikuwa mtume na wala hakua mwana wa mungu. mungu hana mtoto. hakuzaa wala hakuzaliwa.nashukuru nimezaliwa muislamu na si kama nyie munae abudu viumbe.

  • @bahatinicodemas556
    @bahatinicodemas556 7 лет назад +2

    This people are mad

  • @ibrahimabdul5490
    @ibrahimabdul5490 8 лет назад +2

    Shekhe mazinge ulikuwa utumie na fimbo hapo.!

  • @rosemutinda4671
    @rosemutinda4671 5 лет назад

    First hata hamjui biblia kusema bi harusi na bwana harusi inamaanisa nini. Biblia sio Qur'an ya kimwili Biblia ni Roho

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 4 года назад

      Bible ya Kiroho?
      Yaani hata vile Paulo kuwaambia kua mungu wa wakristo ni mpumbavu kisha dhaifu nayo ya roho?

  • @trizahmim9006
    @trizahmim9006 8 лет назад

    nbibi arusi ni kanisa

    • @MsDavali
      @MsDavali 6 лет назад

      Mnaoa manyumba sasa. Wachristo mmepotea.

  • @mwakoiabdalla5168
    @mwakoiabdalla5168 5 лет назад

    mwakoi abdalla

  • @lilianwanga8561
    @lilianwanga8561 8 лет назад

    walio lala katika yesu nifaida coz wako pamoja na yeye coz alipokuwa anapaa mbinguni alituaidi anaenda kutuandalia makao natena atarudi kutuchukuwa tuwe nayeye uko aliko coz alikuwa nauwakika nakwenye anaenda lakini waislam aliwambia anauwakika nakwenye anaenda ndio maana uwa mnamwombea dua lakini yesu alituakikishia kuwa yeye ndie njia nauzima nayeyote amwaminie atapotea kamwe bali atapata uzima na akatuambia tumuite nae atatuitikia ndio maana tukimuita wakati wowote anakuja

    • @rskiabdala4868
      @rskiabdala4868 6 лет назад

      Lilian Wanga andiko linasema waliolala ktk kristo wamepotea

    • @deniskitime6821
      @deniskitime6821 5 лет назад

      Uongo mkubwa mke ni kanisa usiwe mjinga wewe.

  • @bonifacerobert2934
    @bonifacerobert2934 9 лет назад +4

    wewe mazinge wewe sura yako inadhihirisha kabisa unaelewa mchezo unaoufanya...zamani ilikua vigumu sana kuvielewa vitabu vya dini ila sasa vyoote vipo wazi na havitafsiliwi kwa namna hiyo ya kibinaadamu ili upate hesabu yako..ila vitabu hujitafsiri vyenyewe unapo pata hoja ichimbe kwa umakini jamani sio kwa kukurupuka ili kusifiwa na watu kwa ustadi wa kutumia vinywa vyetu...

    • @shamsoahmed810
      @shamsoahmed810 8 лет назад

      na n ;;( mm
      JJ b
      nbb nnklkh
      hvb max ñ
      b
      🐐🐐🐐🐐⛄

    • @mokhaking2734
      @mokhaking2734 7 лет назад +2

      Boniface Robert 😂😂😂 kijana hauna la kusema weye. unakasirika tu kwa kua mazinge ndo kiboko ya wakiristo.

    • @hanselricky6054
      @hanselricky6054 7 лет назад

      Boniface Robert acha ubishi kinasemwa ni kweli

    • @rosemutinda4671
      @rosemutinda4671 5 лет назад

      Huyu natazamanga vidio zake ni kiburi tu ili asifiwe

    • @evansndanshau4984
      @evansndanshau4984 5 лет назад

      Kumbuka alikuw alopak na alikuw na padre wenu,km angelopoka mbn padre kapgw chali na ametumia kitabu chenu cha bible