MAAJABU YA SURATUL WAQIAH KATIKA KUTATUA MATATIZO MBALIMBALI, NO.1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 14

  • @dogomwapea5662
    @dogomwapea5662 Год назад

    Shukran ustadh. Ninafutilia na kusoma sana. Nimefurahi maelezo ya Waqia❤

  • @MohamedSwaleh-r8n
    @MohamedSwaleh-r8n 6 месяцев назад

    Shukran sheikh na kama unapoteza KAZI ni vipi inasaidia

  • @engeneerrashiid7027
    @engeneerrashiid7027 8 месяцев назад

    Allah akuhifadhi

  • @abdulrazaqjuma6571
    @abdulrazaqjuma6571 Год назад +1

    Allah akulipe kheri Ustadh.

  • @HalimaLali-x2p
    @HalimaLali-x2p Год назад

    Allah akujaze kheri ustadh

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 Год назад +1

    shukran shekhe mimi naomba unielekeze surat wajaalina mini bain adihim sadaan namna yakuisoma mchawi asikuone

  • @AbdullaAbeid-y4z
    @AbdullaAbeid-y4z 7 месяцев назад

    Asalamualaikum Mwalim hahitaji. Vitabu.naomba nambayakutumapesa. Nipate vitabu. Vya ofa.

  • @sadikimalisawa
    @sadikimalisawa 7 месяцев назад

    Salam alay kum naitaji dua yakufunuliwa mambo

  • @KingKing-xu1qv
    @KingKing-xu1qv Год назад

    Naomba tufundishe duaa ya jaljalut

  • @mekijitiomary8506
    @mekijitiomary8506 Месяц назад

    Leo,ndo nimejua kumbe natakiwa kusoma baada swalat insha na baada swalat subuh,maana wengine Wana sema isomwe baada swalat magharibi tu Leo nimepata kitu kingine

  • @aichauseni5478
    @aichauseni5478 Год назад +1

    Asalam alaykum ya cheikh mukubwa ni mimi mutoto wako kutokeya Congo Niko Badoo mwanafunzi nilikuwa nachida ya Ku pata namba yako ya WhatsApp

    • @tibafactsonlinetv
      @tibafactsonlinetv  Год назад

      NAMBA ZOTE ZINAZOONEKANA HAPO KATIKA SCREEN ZIPO WHATSAPP

    • @muniramunira4829
      @muniramunira4829 Год назад

      Shukrani.sana Allah akufuguliy milango ya kheri yote

    • @hawasadiq9564
      @hawasadiq9564 Год назад

      Shukran sheikh mm nimedimi na suratul wakiah kwa muda mrefu ss inafika mwaka wa 30 na siiwezo kuikosa kila sk baada ua Sala ya fajjr na wallah nasema tihmma wallah nimeoneshwa rangi za peponi na Siri za mmungu sw pia na sofa zl pia naimeziona pia na mapenzi ya Allah sheikh we Acha tu Kiran imemaliza kila kitu