Leo,ndo nimejua kumbe natakiwa kusoma baada swalat insha na baada swalat subuh,maana wengine Wana sema isomwe baada swalat magharibi tu Leo nimepata kitu kingine
Shukran sheikh mm nimedimi na suratul wakiah kwa muda mrefu ss inafika mwaka wa 30 na siiwezo kuikosa kila sk baada ua Sala ya fajjr na wallah nasema tihmma wallah nimeoneshwa rangi za peponi na Siri za mmungu sw pia na sofa zl pia naimeziona pia na mapenzi ya Allah sheikh we Acha tu Kiran imemaliza kila kitu
Shukran ustadh. Ninafutilia na kusoma sana. Nimefurahi maelezo ya Waqia❤
Shukran sheikh na kama unapoteza KAZI ni vipi inasaidia
Allah akuhifadhi
Allah akulipe kheri Ustadh.
Allah akujaze kheri ustadh
shukran shekhe mimi naomba unielekeze surat wajaalina mini bain adihim sadaan namna yakuisoma mchawi asikuone
Asalamualaikum Mwalim hahitaji. Vitabu.naomba nambayakutumapesa. Nipate vitabu. Vya ofa.
Salam alay kum naitaji dua yakufunuliwa mambo
Naomba tufundishe duaa ya jaljalut
Leo,ndo nimejua kumbe natakiwa kusoma baada swalat insha na baada swalat subuh,maana wengine Wana sema isomwe baada swalat magharibi tu Leo nimepata kitu kingine
Asalam alaykum ya cheikh mukubwa ni mimi mutoto wako kutokeya Congo Niko Badoo mwanafunzi nilikuwa nachida ya Ku pata namba yako ya WhatsApp
NAMBA ZOTE ZINAZOONEKANA HAPO KATIKA SCREEN ZIPO WHATSAPP
Shukrani.sana Allah akufuguliy milango ya kheri yote
Shukran sheikh mm nimedimi na suratul wakiah kwa muda mrefu ss inafika mwaka wa 30 na siiwezo kuikosa kila sk baada ua Sala ya fajjr na wallah nasema tihmma wallah nimeoneshwa rangi za peponi na Siri za mmungu sw pia na sofa zl pia naimeziona pia na mapenzi ya Allah sheikh we Acha tu Kiran imemaliza kila kitu