LEO DR SULE AFICHUA SIRI YA PESA ANAZOMILIKI NAMNA ANAVYOTUMIA ,MIMI SIYO MASKINI UTAJIRI WANGU NI..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 75

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 4 месяца назад +2

    Jini aliokupa wewe nikwajili ya ALLAH ndiyo aliyekupa lakini usisrme jini anatusaidiya ALLAH ndiye ametusaidiya bila msaaada ya jini astaghfirullah alhamduliillah uh mekufuru sana ndufu wa kiislamu from 254 kenya

  • @ImmaAdam-q9d
    @ImmaAdam-q9d 3 месяца назад

    Wewe unaesema nitapeli je amewahi kukutapeli wewe au nduguyako achenizana nachuki mungu hapendi

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 4 месяца назад +2

    Mimi ni mchristo hua najiuliza mbona wanaojiita mitume. Manabii baadhi ya wachungaji.manavaa macheni mapete ma wengine hawana hata ndoa, lakini pesa wanazo.nimatajili,kumbe..ndo ilivyo.piga kazi shehe..tupe elimu.na mpango wa Mungu sio tutaabike hapa duniani,,mali zetu majini wanazo..

  • @JumaKhatibu-lg9pe
    @JumaKhatibu-lg9pe Месяц назад

    Mfano mim nikitaka hiyooo Pete yaabuu yakuniongoza Moshe zangu

  • @BarakaAkech-r9q
    @BarakaAkech-r9q 3 месяца назад

    Kadanganye Waislamu wapumbabu na masifa zako

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 8 дней назад

    Moja ya waislam wenye akili nyingi , sule pokea🎉🎉🎉🎉 yako!😂😂

  • @binismail8527
    @binismail8527 4 месяца назад +2

    Umepiga sanaaaaaa pesa za michango za kujidai ety mihadhara miaka ya elf mbili kule munakuja Pele unguja Lumumba ety munaomba gari ya daghwah, waliowaita matapeli hatukuwaekewa Leo nauona ule utapeli hhhhh. Haya buana

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 4 месяца назад +1

    Asilimia kubwa pesa imetawaliwa na shetani ingawa ni moja ya neema, lkn kwa hakika pesa inawafelisha wengi ktk imani

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 4 месяца назад +3

    Lumbukeni Mchawi tu huyu atumia majini.
    Nilimuheshimu kumbe bure kabisa khurafii ndio kazi zao

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 4 месяца назад +3

    Pesa ya kutapeli watu na hichi kiduku naona mie tuu

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 4 месяца назад +2

    Mbona huweleweki ulisema unatumia majini kupata hela sasa umesema Mungu ndiye amekupa hela watu washike lipi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад +6

    WEWE SHEIKH JIESHIMU MAMBO MENGI NAKUSIKILIZA KATIKA MITANDAO UNAPENDA SANA KUJISIFIA KUJIONA WEWE BOLA KUPITA WENGINE UFYATI MANDIKO YA DINI MNAFKI WEWE SHEIKH PESA UMEWEKA MBELE 😢KULIKO UTU

    • @pioado7135
      @pioado7135 4 месяца назад +1

      Acha wivu kijana sasa apo uongo waje uk wap unataka asijisifie wewe mazaif yako unayaweka hadhalan acha roho ya kimaskin wewe

    • @mohamedibrahim7732
      @mohamedibrahim7732 4 месяца назад +1

      huyu si sheikh ni mshirikina

    • @st.alvincollege6184
      @st.alvincollege6184 4 месяца назад +1

      Sasa kama unaona mnafiki kwa nn unamfuatilia mitandaoni??

    • @nuhukenny7183
      @nuhukenny7183 4 месяца назад +1

      Mbona unawiivu kaka. Iyo no cuuki

    • @taturajabukhalfani7953
      @taturajabukhalfani7953 4 месяца назад

      Kabisa aiseee​@@st.alvincollege6184

  • @brutzuberi
    @brutzuberi Месяц назад

    mganga wa kienyeji ile inajificha

  • @brutzuberi
    @brutzuberi Месяц назад

    huyo sio ni mganga wa kicheji

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 4 месяца назад +2

    watu weusi wengi wao ni mahasadi sana! wengi wanaumia kumsikia jamaa anajipata,african bwana 😮

    • @taifaramadhan8684
      @taifaramadhan8684 3 месяца назад

      Naam hapa umesema ukweli mtupu. wengi wao hawapendi kabisa kuona mwingine anafanikiwa. hasa watu wa dini huwa hawapendi wafanikiwe yaani wakiwa na maisha mazuri tu basi shida. ataambiwa ana hili ana lile. yaani utadhani masheikh na Maustadh ndo wameumbiwa shida tuuuu basi mwanzo mwisho. Dini haijasema ivo. mtu kupata hali nzuri ya maisha au hata utajili ni haki ya kila mtu awe muislamu au dini nyingine kikubwa tu iwe ni ya Halali basi.

  • @BarakaAkech-r9q
    @BarakaAkech-r9q 3 месяца назад +1

    Broo acha maringo kujiinua ni bure kabisa

  • @viviandaniel5089
    @viviandaniel5089 2 месяца назад

    Unasalia majini wako

  • @HAKHISALUMU
    @HAKHISALUMU 4 месяца назад +2

    Fungua bank wasaidie waislam toa mkopo bila riba

  • @EddieHashil
    @EddieHashil 3 месяца назад

    Dr Sule unakosea intenation school na masomo ya dini Yuko hata mtoto wako aliehifadhi Quran

  • @abuusuhayli
    @abuusuhayli 4 месяца назад +1

    kanyoa fanki

  • @ImmaAdam-q9d
    @ImmaAdam-q9d 3 месяца назад

    Wewe unaesema nitapeli je amewahi kukutapeli wewe au nduguyako achenizana nachuki mungu hapendi

  • @JumaKhatibu-lg9pe
    @JumaKhatibu-lg9pe Месяц назад

    Mambo vp

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 4 месяца назад +3

    Kutu mkenya, Max mendia or Max Media

    • @NaseMangala
      @NaseMangala 4 месяца назад

      Watu hamn dogo jmn hahahahahah

  • @naimamohamed2216
    @naimamohamed2216 4 месяца назад

    Mtume ,s,a,w, anasema hivi mtu akivaa cheo au akipewa cheo ambacho SI ,stahiki yake ,ipo siku atakivua Kwa mikono yake au Kwa mdomo wake ,sule watu walimuheshimu saaana kumbe la Sasa anavua heshima

  • @charlesopudo7192
    @charlesopudo7192 4 месяца назад +2

    Pesa za Majini of course.

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 4 месяца назад

    Dr. Sulley nakukubali sn ktk maandiko uko vzr mno lkn wengi wanalalamika juu ya kuzurumiwa ivo punguza kupenda pesa kupitiliza inazid kukuharibia shekh wetu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад

    Msikilize apo kweda kazi masaa mengi kuludi nusu saa MNAFKI MUONGO huyu sheikh 😂😂

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 4 месяца назад

    Dr nashukuru unatutoa tongotongo, akili zilifungwa,,kumbe wachache wanakula bata..wengi tunasweti hatutoboi,, kumbe dawa ipo , ahsante

  • @LuluMalima-j1w
    @LuluMalima-j1w 4 месяца назад

    Doctor tunakupataje nikuone uso Kwa uso Nina shida nyingi

  • @LuluMalima-j1w
    @LuluMalima-j1w 4 месяца назад

    Doctor tunakupataje nikuone uso Kwa uso Nina shida nyingi

  • @ElijaMwasi
    @ElijaMwasi 3 месяца назад

    Napenda jinsi unavyomshukuru Allah ombi mbona hujachukua yatima hata mmoja

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 4 месяца назад

    Allah humsitiri mja wake jwa yake anayoyaficha.
    Lkn akiauwa humdhirishia mabaya yake kwa watu, kwa wkt wowote.
    Mfano ndio huu tunaona.
    Tumuombe Allah atujaalie mwisho mwema

  • @HalidizubeliKwedi
    @HalidizubeliKwedi 4 месяца назад

    Kwani uislam mtume alikuwa ana tumia uchawe katika liziki Allah atupe mwesho mwema maana hadi walimu si wakuamini

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rp 4 месяца назад

    Kilichokuponza shekhe wangu unasifia majini sana na sisi waislam timekatazwa kujihusisha na majini na waganga ila umeponyokwa haina neno sana

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 4 месяца назад +2

    amewaibia watu pesa kwa utapeli

  • @hadijaismail3619
    @hadijaismail3619 4 месяца назад +1

    Unaishi wapi Dk?

  • @ZuwenaSalim-c2f
    @ZuwenaSalim-c2f 4 месяца назад

    Kazi yenu choyo tu msiingilie maisha yake

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 4 месяца назад

    Sadaka izo umeanza kibri. Wapumbavu sie

  • @IsaKinyonga
    @IsaKinyonga 4 месяца назад

    Jamani Dr. sule mwizi na muongo sana

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 4 месяца назад

    Walafu imekufuru mngu akusamehe

  • @IsaKinyonga
    @IsaKinyonga 4 месяца назад

    Kakupa unaibia watu

  • @MohamedAli-jp9gi
    @MohamedAli-jp9gi 4 месяца назад

    MUNGU akuhitaji ww ndyo unamhitaji😢hyu sheikh hapana bro

  • @letuslearn7548
    @letuslearn7548 4 месяца назад +2

    Hivi hamjui haifai kusengenya na kusema watu

  • @MerlickEduard
    @MerlickEduard 4 месяца назад

    Pesa bana saivi atafutwa kila siku

  • @laiDotto
    @laiDotto 3 месяца назад

    Maashaalh sure boy

  • @adnaneisufumomade6444
    @adnaneisufumomade6444 4 месяца назад

    Nakusikia shekh .

  • @ShukriGufu-ec3gk
    @ShukriGufu-ec3gk 4 месяца назад

    A lot of red flags

  • @Kzm-c9u
    @Kzm-c9u 4 месяца назад

    Sule bhaana😂😂😂😂

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 4 месяца назад

    Kwahiyo kila mda wa swala unatubu au unaswali hivyohivyo ukiwa mchawi?

    • @hafidhseif9638
      @hafidhseif9638 4 месяца назад

      Haha 😂 umenifurahisha sana mchawi anaswali ,huyo muongo na ni mnafiki na mshirikina,

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 4 месяца назад

      @@hafidhseif9638 mtihan sana

  • @ZulfahMuhammad
    @ZulfahMuhammad 4 месяца назад +2

    Nasi tumekuchoka na hizo pesa zako za majini

    • @jamesgasper6764
      @jamesgasper6764 4 месяца назад

      Kama umechoka hachakumfatilia utakonda bule😊

    • @ZulfahMuhammad
      @ZulfahMuhammad 4 месяца назад

      @@jamesgasper6764 shikana naye mkachumbe hiyo mijizambi kwa pamoja 🤪

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 4 месяца назад

    Huyu angejitoa kujiingiza kwa mitandao kila wakati ma interview, sije akaharibikiwa, mmh haya

    • @SaidShemkieti
      @SaidShemkieti 4 месяца назад +2

      Allah anamzihirisha madudu yake ili tumjue vzr

    • @NaseMangala
      @NaseMangala 4 месяца назад

      Nyie wote hamna upeo

    • @NaseMangala
      @NaseMangala 4 месяца назад

      Acheni kuhukumu mambo msiyoyajua tafuteni elimu

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 4 месяца назад

      Mbona hata nyie muko mitandaoni?Kwa nini Yeye tu kila siku?je hizo tuhuma mnazompa nyie munayo Elimu ya kumukosoa?Inawezekana anayo mapungufu mengi ndiyo lakini nyie mapungufu Yenu ni yapi?au nyie ni wasafi kama malaika?Kitendo cha kusema madhambi ya watu kwenye vinywa vyenu kila wakati ,kitendo hicho kinatafuna mema yenu;muone ni kwa jinsi gani hata elimu hamuitendei haki,Uislamu unakataza kutaja taja madhambi ya Waislamu wenzenu labda kwa kumfuata pembeni kumpa mawaidha kwa kumuifadhi hiyo inaruhusiwa;unamchungaje Muislamu Mwenzako wazi wazi wakati na wewe ni kiumbe ambaye unaweza kuteleza muda wowote ndiyo maana Masheikh wanapokuwa wanatukanya huwa wanaanza kujisihii nafsi zao kwanza kabla ya hao wanaowahutubia.Dini hii ya Uislamu ni dini ya kufundisha watu kwa hekima na busara,kama mutabishi nitakuleteeni hadithi ya Mtume inayothibitisha maneno yangu haya na Quran inakataza mambo ya kulazimishana kwenye dini na ayah hipo nitakupa hapa pindi utakapobishi!

    • @SaleheHabibu-gb7hw
      @SaleheHabibu-gb7hw 4 месяца назад

      Jaman. Huyu ni binadamu cyo mtume udhaifu tumeumbiwa binadamu.

  • @DeniseJuma
    @DeniseJuma 4 месяца назад

    Doctor nataka tuongee