Jini aliokupa wewe nikwajili ya ALLAH ndiyo aliyekupa lakini usisrme jini anatusaidiya ALLAH ndiye ametusaidiya bila msaaada ya jini astaghfirullah alhamduliillah uh mekufuru sana ndufu wa kiislamu from 254 kenya
Mimi ni mchristo hua najiuliza mbona wanaojiita mitume. Manabii baadhi ya wachungaji.manavaa macheni mapete ma wengine hawana hata ndoa, lakini pesa wanazo.nimatajili,kumbe..ndo ilivyo.piga kazi shehe..tupe elimu.na mpango wa Mungu sio tutaabike hapa duniani,,mali zetu majini wanazo..
Umepiga sanaaaaaa pesa za michango za kujidai ety mihadhara miaka ya elf mbili kule munakuja Pele unguja Lumumba ety munaomba gari ya daghwah, waliowaita matapeli hatukuwaekewa Leo nauona ule utapeli hhhhh. Haya buana
WEWE SHEIKH JIESHIMU MAMBO MENGI NAKUSIKILIZA KATIKA MITANDAO UNAPENDA SANA KUJISIFIA KUJIONA WEWE BOLA KUPITA WENGINE UFYATI MANDIKO YA DINI MNAFKI WEWE SHEIKH PESA UMEWEKA MBELE 😢KULIKO UTU
Naam hapa umesema ukweli mtupu. wengi wao hawapendi kabisa kuona mwingine anafanikiwa. hasa watu wa dini huwa hawapendi wafanikiwe yaani wakiwa na maisha mazuri tu basi shida. ataambiwa ana hili ana lile. yaani utadhani masheikh na Maustadh ndo wameumbiwa shida tuuuu basi mwanzo mwisho. Dini haijasema ivo. mtu kupata hali nzuri ya maisha au hata utajili ni haki ya kila mtu awe muislamu au dini nyingine kikubwa tu iwe ni ya Halali basi.
Mtume ,s,a,w, anasema hivi mtu akivaa cheo au akipewa cheo ambacho SI ,stahiki yake ,ipo siku atakivua Kwa mikono yake au Kwa mdomo wake ,sule watu walimuheshimu saaana kumbe la Sasa anavua heshima
Dr. Sulley nakukubali sn ktk maandiko uko vzr mno lkn wengi wanalalamika juu ya kuzurumiwa ivo punguza kupenda pesa kupitiliza inazid kukuharibia shekh wetu
Allah humsitiri mja wake jwa yake anayoyaficha. Lkn akiauwa humdhirishia mabaya yake kwa watu, kwa wkt wowote. Mfano ndio huu tunaona. Tumuombe Allah atujaalie mwisho mwema
Mbona hata nyie muko mitandaoni?Kwa nini Yeye tu kila siku?je hizo tuhuma mnazompa nyie munayo Elimu ya kumukosoa?Inawezekana anayo mapungufu mengi ndiyo lakini nyie mapungufu Yenu ni yapi?au nyie ni wasafi kama malaika?Kitendo cha kusema madhambi ya watu kwenye vinywa vyenu kila wakati ,kitendo hicho kinatafuna mema yenu;muone ni kwa jinsi gani hata elimu hamuitendei haki,Uislamu unakataza kutaja taja madhambi ya Waislamu wenzenu labda kwa kumfuata pembeni kumpa mawaidha kwa kumuifadhi hiyo inaruhusiwa;unamchungaje Muislamu Mwenzako wazi wazi wakati na wewe ni kiumbe ambaye unaweza kuteleza muda wowote ndiyo maana Masheikh wanapokuwa wanatukanya huwa wanaanza kujisihii nafsi zao kwanza kabla ya hao wanaowahutubia.Dini hii ya Uislamu ni dini ya kufundisha watu kwa hekima na busara,kama mutabishi nitakuleteeni hadithi ya Mtume inayothibitisha maneno yangu haya na Quran inakataza mambo ya kulazimishana kwenye dini na ayah hipo nitakupa hapa pindi utakapobishi!
Jini aliokupa wewe nikwajili ya ALLAH ndiyo aliyekupa lakini usisrme jini anatusaidiya ALLAH ndiye ametusaidiya bila msaaada ya jini astaghfirullah alhamduliillah uh mekufuru sana ndufu wa kiislamu from 254 kenya
Wewe unaesema nitapeli je amewahi kukutapeli wewe au nduguyako achenizana nachuki mungu hapendi
Mimi ni mchristo hua najiuliza mbona wanaojiita mitume. Manabii baadhi ya wachungaji.manavaa macheni mapete ma wengine hawana hata ndoa, lakini pesa wanazo.nimatajili,kumbe..ndo ilivyo.piga kazi shehe..tupe elimu.na mpango wa Mungu sio tutaabike hapa duniani,,mali zetu majini wanazo..
Mfano mim nikitaka hiyooo Pete yaabuu yakuniongoza Moshe zangu
Kadanganye Waislamu wapumbabu na masifa zako
Moja ya waislam wenye akili nyingi , sule pokea🎉🎉🎉🎉 yako!😂😂
Umepiga sanaaaaaa pesa za michango za kujidai ety mihadhara miaka ya elf mbili kule munakuja Pele unguja Lumumba ety munaomba gari ya daghwah, waliowaita matapeli hatukuwaekewa Leo nauona ule utapeli hhhhh. Haya buana
Asilimia kubwa pesa imetawaliwa na shetani ingawa ni moja ya neema, lkn kwa hakika pesa inawafelisha wengi ktk imani
⁰
Lumbukeni Mchawi tu huyu atumia majini.
Nilimuheshimu kumbe bure kabisa khurafii ndio kazi zao
Pesa ya kutapeli watu na hichi kiduku naona mie tuu
Mbona huweleweki ulisema unatumia majini kupata hela sasa umesema Mungu ndiye amekupa hela watu washike lipi
WEWE SHEIKH JIESHIMU MAMBO MENGI NAKUSIKILIZA KATIKA MITANDAO UNAPENDA SANA KUJISIFIA KUJIONA WEWE BOLA KUPITA WENGINE UFYATI MANDIKO YA DINI MNAFKI WEWE SHEIKH PESA UMEWEKA MBELE 😢KULIKO UTU
Acha wivu kijana sasa apo uongo waje uk wap unataka asijisifie wewe mazaif yako unayaweka hadhalan acha roho ya kimaskin wewe
huyu si sheikh ni mshirikina
Sasa kama unaona mnafiki kwa nn unamfuatilia mitandaoni??
Mbona unawiivu kaka. Iyo no cuuki
Kabisa aiseee@@st.alvincollege6184
mganga wa kienyeji ile inajificha
huyo sio ni mganga wa kicheji
watu weusi wengi wao ni mahasadi sana! wengi wanaumia kumsikia jamaa anajipata,african bwana 😮
Naam hapa umesema ukweli mtupu. wengi wao hawapendi kabisa kuona mwingine anafanikiwa. hasa watu wa dini huwa hawapendi wafanikiwe yaani wakiwa na maisha mazuri tu basi shida. ataambiwa ana hili ana lile. yaani utadhani masheikh na Maustadh ndo wameumbiwa shida tuuuu basi mwanzo mwisho. Dini haijasema ivo. mtu kupata hali nzuri ya maisha au hata utajili ni haki ya kila mtu awe muislamu au dini nyingine kikubwa tu iwe ni ya Halali basi.
Broo acha maringo kujiinua ni bure kabisa
Unasalia majini wako
Fungua bank wasaidie waislam toa mkopo bila riba
Kwapesa ya majini hahaha
Dr Sule unakosea intenation school na masomo ya dini Yuko hata mtoto wako aliehifadhi Quran
kanyoa fanki
Wewe unaesema nitapeli je amewahi kukutapeli wewe au nduguyako achenizana nachuki mungu hapendi
Mambo vp
Kutu mkenya, Max mendia or Max Media
Watu hamn dogo jmn hahahahahah
Mtume ,s,a,w, anasema hivi mtu akivaa cheo au akipewa cheo ambacho SI ,stahiki yake ,ipo siku atakivua Kwa mikono yake au Kwa mdomo wake ,sule watu walimuheshimu saaana kumbe la Sasa anavua heshima
Pesa za Majini of course.
Dr. Sulley nakukubali sn ktk maandiko uko vzr mno lkn wengi wanalalamika juu ya kuzurumiwa ivo punguza kupenda pesa kupitiliza inazid kukuharibia shekh wetu
Msikilize apo kweda kazi masaa mengi kuludi nusu saa MNAFKI MUONGO huyu sheikh 😂😂
Dr nashukuru unatutoa tongotongo, akili zilifungwa,,kumbe wachache wanakula bata..wengi tunasweti hatutoboi,, kumbe dawa ipo , ahsante
Doctor tunakupataje nikuone uso Kwa uso Nina shida nyingi
Doctor tunakupataje nikuone uso Kwa uso Nina shida nyingi
Napenda jinsi unavyomshukuru Allah ombi mbona hujachukua yatima hata mmoja
Allah humsitiri mja wake jwa yake anayoyaficha.
Lkn akiauwa humdhirishia mabaya yake kwa watu, kwa wkt wowote.
Mfano ndio huu tunaona.
Tumuombe Allah atujaalie mwisho mwema
Kwani uislam mtume alikuwa ana tumia uchawe katika liziki Allah atupe mwesho mwema maana hadi walimu si wakuamini
Kilichokuponza shekhe wangu unasifia majini sana na sisi waislam timekatazwa kujihusisha na majini na waganga ila umeponyokwa haina neno sana
amewaibia watu pesa kwa utapeli
Unaishi wapi Dk?
Kazi yenu choyo tu msiingilie maisha yake
Sadaka izo umeanza kibri. Wapumbavu sie
Jamani Dr. sule mwizi na muongo sana
Walafu imekufuru mngu akusamehe
Kakupa unaibia watu
MUNGU akuhitaji ww ndyo unamhitaji😢hyu sheikh hapana bro
Kwa Hy Mungu aliumba kiumbe ambaye hakihitaji????
Hivi hamjui haifai kusengenya na kusema watu
Pesa bana saivi atafutwa kila siku
Maashaalh sure boy
Nakusikia shekh .
A lot of red flags
Sule bhaana😂😂😂😂
Kwahiyo kila mda wa swala unatubu au unaswali hivyohivyo ukiwa mchawi?
Haha 😂 umenifurahisha sana mchawi anaswali ,huyo muongo na ni mnafiki na mshirikina,
@@hafidhseif9638 mtihan sana
Nasi tumekuchoka na hizo pesa zako za majini
Kama umechoka hachakumfatilia utakonda bule😊
@@jamesgasper6764 shikana naye mkachumbe hiyo mijizambi kwa pamoja 🤪
Huyu angejitoa kujiingiza kwa mitandao kila wakati ma interview, sije akaharibikiwa, mmh haya
Allah anamzihirisha madudu yake ili tumjue vzr
Nyie wote hamna upeo
Acheni kuhukumu mambo msiyoyajua tafuteni elimu
Mbona hata nyie muko mitandaoni?Kwa nini Yeye tu kila siku?je hizo tuhuma mnazompa nyie munayo Elimu ya kumukosoa?Inawezekana anayo mapungufu mengi ndiyo lakini nyie mapungufu Yenu ni yapi?au nyie ni wasafi kama malaika?Kitendo cha kusema madhambi ya watu kwenye vinywa vyenu kila wakati ,kitendo hicho kinatafuna mema yenu;muone ni kwa jinsi gani hata elimu hamuitendei haki,Uislamu unakataza kutaja taja madhambi ya Waislamu wenzenu labda kwa kumfuata pembeni kumpa mawaidha kwa kumuifadhi hiyo inaruhusiwa;unamchungaje Muislamu Mwenzako wazi wazi wakati na wewe ni kiumbe ambaye unaweza kuteleza muda wowote ndiyo maana Masheikh wanapokuwa wanatukanya huwa wanaanza kujisihii nafsi zao kwanza kabla ya hao wanaowahutubia.Dini hii ya Uislamu ni dini ya kufundisha watu kwa hekima na busara,kama mutabishi nitakuleteeni hadithi ya Mtume inayothibitisha maneno yangu haya na Quran inakataza mambo ya kulazimishana kwenye dini na ayah hipo nitakupa hapa pindi utakapobishi!
Jaman. Huyu ni binadamu cyo mtume udhaifu tumeumbiwa binadamu.
Doctor nataka tuongee