HAUWEZI KUWA NA DHAMBI ASIKUDANGANYE MTU/Mzee wa neema

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 34

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 8 месяцев назад +1

    Pingeni Kwa hoja,huyu mtumishi yupo sawasawa Kwa maandiko anayosoma,we are free in new covenant

  • @happyelias4220
    @happyelias4220 Год назад +1

    Wewe nibaraka sana

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 2 года назад +2

    Wewe mwenyewe dishi lako haliko vizuri

  • @felicianlicheula409
    @felicianlicheula409 Год назад +1

    wale wanaoishi katika agano jipya watakuelewa.

  • @emmanuelsanga7363
    @emmanuelsanga7363 Год назад +1

    YESU ni mjumbe wa agano jipya hakuja kutengua torati

  • @rensonmwawughanga5819
    @rensonmwawughanga5819 Год назад +1

    Haya mwengine ndio huyu,,,,kuonesha hata ukiuwa sio dhambi jamani waelekeza watu wapi,, nia yako yakuhubiri haya mahubiri ni gani?

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Год назад +2

    Huyu ni chizi wakala wa shetani

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 9 месяцев назад

    Kiazi kweli wakala wa Shetani ushindwe..

  • @kamwirasalmon5009
    @kamwirasalmon5009 2 года назад +1

    Bwana Yesu asifiwe mutumishi,, aksante sana kwa mahubiri,, naweza kukuona je ?

  • @melisamasawe4565
    @melisamasawe4565 Год назад +2

    Zumaridi wa pili

  • @robertkatole3910
    @robertkatole3910 Год назад +3

    Kwanini MUNGU aliluhusu manabii hawa watokee duniani? Ee Mungu tuhurumie

    • @yesutuatosha1460
      @yesutuatosha1460 Год назад

      Ameruhusu hawa wawepo kwa sababu;
      1. Ili neno lake lipate kutimia math:24:3-20
      2. Ili kuhakikisha anachuja kuwa pata watakatifu.Hakuna kinyonge kitakacho ingia katika ufalme wake.
      3. Ili udhibitishe wingi wa neema zake.

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Год назад

      @@yesutuatosha1460 asante

    • @yesutuatosha1460
      @yesutuatosha1460 Год назад

      @@leahmgunda4154
      Hatuna budi kutiana moyo Katika nyakati hizi za uovu,lakini neema ya Mungu Ni kubwa mno.

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison289 2 года назад +1

    Aisee ukitenda dhambi inakutoa kwa Mungu, ndio maana Yesu mara zote alikuwa akimponya mtu anamwambia ( usitende dhambi tena) yasije yakakuluta makubwa kuliko haya. Kwa sababu anajua dhambi inakutenga na Mungu, naikishakutenga unapigwa na adui.

    • @elishadauson8341
      @elishadauson8341 2 года назад

      Inakutoa kwasababu unajua ni dhambi kwako, ila usingekuwa unajua haiwezi kukutoa kwa Mungu, na ndo kinachotakiwa

    • @elishadauson8341
      @elishadauson8341 2 года назад

      Na unajua ni dhambi kwasababu umeambiwa na Sheria ya Musa, ambayo Kristo aliigongomea msalabani

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Год назад

      @@elishadauson8341 nawe dishi liko negative

    • @fransisconyalema6802
      @fransisconyalema6802 Год назад

      Kujua au kutokujua sio kinga ya uhalisia,,mfano ukigusa waya wa umeme ukijua au usipojua ukigusa shoti unayo hakika

  • @jorobency4407
    @jorobency4407 2 года назад

    Kazi ipo

    • @elizabethjeremiah8323
      @elizabethjeremiah8323 2 года назад

      Mmmh we baba muogopen mungu

    • @emmanuelsanga7363
      @emmanuelsanga7363 Год назад

      Mshahara wa dhambi ni mauti biblia inasema hakuna mjadala .afanyaye ndambi afanya uasi kwa kuwa dhambi ni uasi

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Год назад

    Hawa ndio wanaokuja kuwaambia watu wafunge mpaka kufa

  • @emmanuelsanga7363
    @emmanuelsanga7363 Год назад +2

    Mshahara wa dhambi ni mauti acha kudanganya watu biblia inasema afanyaye dhambi afanya uasi.Yesu hakuna kutengua torati ndiyo maana matokeo ya dhambi yapo Hadi Leo

    • @mwl.enocktuza
      @mwl.enocktuza Год назад

      Vipodozi vimekupa pesa hadi shetani amekupata.

    • @yesutuatosha1460
      @yesutuatosha1460 Год назад +1

      @@mwl.enocktuza
      Huyo huyo ndiye aliye mpa jina la kuwa hivyo vipodozi ilikuwa geresha.
      Alianza kujisalimisha ndipo akapewa jina na ujanja wa mjini sasa kwanini hasimpigie kampani. Na wajinga wote wa neno la Mungu atawapata wengi.

    • @yesutuatosha1460
      @yesutuatosha1460 Год назад +1

      Lakini wacha atimize unabii wa siku za mwisho 1Thim:4:1,2
      Mdo:20:26-29
      2Thim:3:1-10

  • @willyduwange-er5ii
    @willyduwange-er5ii Год назад

    Hakika utawapata was size yako maana utawata wako wengi

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa Год назад

    Afu natamani huyu mjinga atokewe kama walivyotokewa blaziri nahayo mafuta yao yakunuka

  • @milley7185
    @milley7185 2 года назад

    Kweli hekalu hamna mama samia picha zake zinatumika vibaya sanaaa mitandaoni yani mtu kkaweka picha ya rais huku picha za ngono kwa page mpaka mbooo

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa Год назад

    Watu sasa wanataka maubili yanayoponya. Sasa wewe unatoa jasho bule kumwambia mtu kuwa kutenda dhambi c kosa huo so uponyaji mwisho anabaki nadhambi yake na akaendelea nahumu yadhambi

    • @yesutuatosha1460
      @yesutuatosha1460 Год назад

      Siyo wajibu wa shetani kukumbusha kutubu aisee, Kazi yake Ni kukufanya upumbazike kwa kujiinua kwake ili siku ya mwisho ahukumiwe na wengi katika Jehanamu ya milele.
      Kuwa macho ndugu yangu
      1Them:3:1-3