MR PIMBI AMVAA HARMONIZE "RUDISHA GARI" MWENYENAZO ANATAKA GARI ZAKE,,,TAZAMA HAPA FULL VIDEO....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @jaickokifyasi9663
    @jaickokifyasi9663 2 года назад +8

    🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🙏BONGO NIME NYOO SHA 🙏🙏

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 2 года назад +1

    Mr. Pimbi minakukubali sana bro.. nko 254 kenyari🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @innocentvicent7001
    @innocentvicent7001 2 года назад +18

    Afu pimbi hiyo range nyeusi huwez kuweka yellow number plate kama haijalipiwa ushuru..kalipa ushuru na amelipia jina,,
    Hiyo range nyeupe akiuliwa bei kubwa maana haina ushuru ni mil 60 na hiyo kilimo nyeupe akiuziwa bei juu bila kodi mil 80 so rafu hamo hizo gar katumia kama 200 milion its possible coz anafanya kaz hata kama anadaiwa bas range moja hiyo sio kesi amenunua na amelipa cash.

    • @eliusmasha5065
      @eliusmasha5065 2 года назад +2

      Miss pimbi na ww unatafuta umaarufu kupitia jina la harmonize fala sana

    • @Mpogozi
      @Mpogozi 2 года назад

      Pimbi ni miyeyusho hapo ni kweli sim kapiga lakini jamaa aliyepigiwa namjua maana mi nipo kwenye showroom ya manyanya inaitwa star autos huyo jamaa ni darali na nimpemba 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mbalintshejauza3456
    @mbalintshejauza3456 2 года назад +1

    Plate number ya GP iyo imetoka South Africa pimbi naijua sana iyo rang sio yauyo mtu unae mzungumzia unaropoka usiyo yajua kwakutafuta umarufu

  • @sospetermussa4955
    @sospetermussa4955 2 года назад +2

    Mr. Pimbi huwa namwelewa sana hataki uongo ongo ananyoosha maelezo Mimi mwenyewe nilijiuliza sana hivi uhonge gali tatu zote aina moja kivipi sasa,

    • @nasiburamadhan9170
      @nasiburamadhan9170 2 года назад

      Ww hunaa akili izo Gali zime nunuliwa na jeshii mbona hazijatangazwa kama nizabiashala acha upimbi

  • @basilchambo9285
    @basilchambo9285 2 года назад +1

    Ndiyomaana wakamuita pimbi

  • @Emergency_guy
    @Emergency_guy 2 года назад

    Wamesha pangana huko walipotoka wapigiyane masimu ili wamuabiishe harmonize

  • @edwindavid7037
    @edwindavid7037 2 года назад +1

    Mwezi umepita Sasa na range bado zipo kwa Konde

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 2 года назад +4

    Interview ya kupanga hii haifanani na ukweli hamna tajiri wa aina hii.....ambaye anaweza kuongea ujinga kama uo

    • @shytv369
      @shytv369 2 года назад

      Itakuwa tajiri mwenye njaaa

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 2 года назад +10

    Hakuna dalili ya kukabidhiwa hizo gari mda mrefu sasa, huenda kuna ukweli. Wala hatumuoni akiziendesha hata Kwa kudanganyia watu naona kweli kuna makubaliano flani na mwenye gari.

  • @o.ballek.e4265
    @o.ballek.e4265 2 года назад

    Nani atakuamini na ww unaishi uswahilini mbwaaa hayakuusu ayo pimbi zuzu kafala kafupi

  • @eliasedes1225
    @eliasedes1225 2 года назад

    Pimbi kweli pimbi iwe kweli au uongo inakuhusu niniiiii

  • @eliahjulius1964
    @eliahjulius1964 2 года назад

    Duh mwana pimbi noma sana aisee , chibu bado hana mpingamzi ,WCB 4 life 🧬🧬

  • @yustinomchopa3478
    @yustinomchopa3478 2 года назад +1

    Tumeona mpaka card za magari hiyo ni mipango

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 2 года назад +2

    Sasa haka nako, yanakahusu nini maisha ya watu... Kameshindwa maisha au nini?

    • @maryammaryam1560
      @maryammaryam1560 2 года назад

      😀😀😀😀pimbi kweli unaniuwa uku mie nikiwa omani maskati nakufata sana wewe

  • @peejaybay8618
    @peejaybay8618 2 года назад +1

    Mr pimbi ako fine

  • @lastbornsteve
    @lastbornsteve 2 года назад

    tajir wa mchongo huyo hamna boss anaye ongea kichoko hvo we boya

  • @yisufaboubakar8349
    @yisufaboubakar8349 2 года назад +18

    Hizo Rang Rover harmoniz kaingia nazo kweny boda hizo Rang Rover Amezinunulia South Africa coko wew

  • @barakantale1370
    @barakantale1370 2 года назад +20

    Hili ufike mjini lazima umseme harmonize

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 2 года назад

      Harmonazi bila kiki hatrend mtandaoni 😃😃

    • @pappe9481
      @pappe9481 2 года назад

      hatokua wakwanza diamond tushamzoea ata yeye haendi mjini bila kiki

  • @lewiskombole2917
    @lewiskombole2917 2 года назад +2

    But somehow it sounds like a bullshit call. Tajiri haongei hivyo kama kapangwa. Neno kuuza sura si kwa mtu mwenye biashara kkama hiyo. But pimbi u pulled off a silver scand

  • @shabanihamisi9537
    @shabanihamisi9537 2 года назад +18

    Kweli nimeamin ww nipimbi wa mwisho

  • @stephenmwatela8370
    @stephenmwatela8370 2 года назад +11

    The phone call is all scripted. The so called Athman went direct to the point without being asked. Clout chasing

  • @amoswankara3863
    @amoswankara3863 2 года назад +11

    Athumani wa mchongo hamna TAJIRI wa hivyo na kama harmonize yupo nje ya makubaliano mbona hachukui hizo gari

  • @filvobrownbrowntv6053
    @filvobrownbrowntv6053 2 года назад +48

    kama umeona maneno alio ogea Mr pimbi ya na ukweli moyo wake umerizia lazima ubadili mtazamowako hawa wasani wanao jita wakubwa sio kweli wengi wao waongo wanapeyana mikataba promotion bishara magari

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад +5

      Hawa wasanii kweli yani feki kila kitu

    • @dargfurnituretz4178
      @dargfurnituretz4178 2 года назад +2

      mmmmmmmmmh kumbeeeee

    • @athumanimhanga2053
      @athumanimhanga2053 2 года назад +3

      Hata mm najua hivyoo

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 2 года назад +3

      Kwani yy pmbi si ni msanii mbona asiwe na hivyo vitu kazi za Harmonize zinaonekana kwa hiyo unaweza kukubali ila kuna wasanii kweli wanafeki Pimbi hawataji kwa vile sio content. Kupata kusikilizwa ni kumtaja Harmonize that's it

    • @geoufo2858
      @geoufo2858 2 года назад

      😁😁😁

  • @joycenicodemus.2232
    @joycenicodemus.2232 2 года назад +7

    Boss wa magari analazimisha sauti iwe nzito Kama yakiboss🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamani Mbavu zangu mie😂😂😂😂

  • @benedictfabian4209
    @benedictfabian4209 2 года назад +4

    Fanya maisha yako dogo. Nyie ndio wanafiki na wachawi wa maisha ya watu. Wewe ni mshenzi kama washenzi wengine. Acheni kufuatilia maisha ya watu wakati yako yamekushinda.

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 2 года назад +5

    Pimbi inatosha bana nikweli hata dudubaya aliisha sema wasanii wanakopi maisha maishayao halisi wanayaficha

  • @kapangamwaka4365
    @kapangamwaka4365 2 года назад +5

    Kweli pimbi unajuwa kutafuta ugali pambana hiyo ndio faida ya elim ulio soma,

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 2 года назад +4

    Siku zote kumchukia Alie fanikiwa ni kujiumiza tu konde gang 4 every body

  • @johnsonomari8561
    @johnsonomari8561 2 года назад +6

    The phone call was stage planned

  • @_Wayiva_mukuta_jean
    @_Wayiva_mukuta_jean 6 месяцев назад +1

    hapa Afrika tuna hadithi, huko DRC 🇨🇩 kama huko Ivory Coast, Ivory Coast kama Nigeria🇳🇬 Nigeria kama Tanzania 🇹🇿

  • @dasilvanm1788
    @dasilvanm1788 2 года назад +6

    Hii Ngedere Nyundo ya Kidume haiezi koma kmchamba Harmonize???🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪,,,Hiki Ni kijibwa Cha mtu Kimkundu firimbi Cha mtu

    • @jacksongeorge3964
      @jacksongeorge3964 2 года назад

      🤣🤣🤣 wa KE mkoo na maneno

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 2 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sultanmarji6491
    @sultanmarji6491 2 года назад +9

    Nice one Mr Pimbi bwaga busara zako usiogope mtu ,masifa masifa hatutaki mjini ,fake life ya nn, regesha magari ya mwenyewe mmakonde

    • @pappe9481
      @pappe9481 2 года назад

      how do u know harmonise faking

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 2 года назад

      Mbona mwenye gari tusimsikie tumsikie pimbi kila siku. Watu wengine akili zenu mnashikiwa na nani eti

  • @shabanihamisi9537
    @shabanihamisi9537 2 года назад +16

    Lakin ww jamaa mbona huna hata akili acha kutudanganya ww yan ukiwa masikin hata akili yako nayo itakuwa yakimasikin kabisa

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 2 года назад +4

    Uyo athuman ni mwanao umempanga ili mtuzingue

  • @mathanikibuti6676
    @mathanikibuti6676 2 года назад +1

    Tusha wajua mnataka channel yenu ikuwe Kwa kutafuta ma kirikikiki,Achenni hizo buana ROHO MBAYA FITINA AZIJENGI KUDADADADEKI ZENYU🤮🤮

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 2 года назад +16

    akili za Mr pimbi na zangu ziko Sawa hata Mimi nilijua gari sio zake 🤣🤣🤣

  • @djkombo3752
    @djkombo3752 2 года назад +2

    Kumbe ufupi wa mwili unaweza kufupisha na akili 🤣

    • @kaldasben9156
      @kaldasben9156 Год назад +1

      Haki ya mungu ndugu yangu , yaani mtu mfupi kama chupa ya dabo kikiiii , hana lolote, njaa inamuuma tu ... mbwa yeye ,

  • @elizabethsjoberg5734
    @elizabethsjoberg5734 2 года назад +7

    wape wape vidonge range tatu kwa mpigo 😂😅 hata Elon mask hamfikii tembo 😊

    • @geofreykalo6599
      @geofreykalo6599 2 года назад

      We pimbi tumekutana mwananyamala unabishana Bei na bodaboda Leo unajiona wa mjiiini choko wewe Fanya yako harmo ndio habari ya mjini

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 2 года назад

      @@geofreykalo6599 ww tumia akili pesa hana anategemea kik

    • @tabiamohamedi2659
      @tabiamohamedi2659 2 года назад

      Pimbi unawivu

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 2 года назад +1

    Wewe amekuhzia ngapi?
    Acha kiki dogo,Na wewe nenda wakupe bure.
    Ishi naro
    Mungu alie Mupa yeye ndo aliye kunyima wewe.penda kuzungumzia maisha ya kwako.maana ukifa ufi na mtu wala zambi zake Badilika dogo.

  • @lucasmzungu2614
    @lucasmzungu2614 2 года назад +4

    Shukukran sana Mr pimbi kwa kututowa taka za masikio. Nipo Kenya nawafatilia

  • @kaldasben9156
    @kaldasben9156 Год назад +1

    Hamna lolote, njaa inakuuma Mpumbavu wewe , uwivu tu na maisha ya mwenzako , kuma tupu wewe 🤧🤧🤧🤧 unatuona kwamba hatuna akili dogo wewe , ufanya mpango na assumani wako huyo , huna lolote kifupiiii , chukulika na maisha yako kama wewe nimwanaume uache ukike

  • @mnaipessa6578
    @mnaipessa6578 2 года назад +7

    Da kweli binadamu shida ukiwa nayo wataongea na kama una ivoivo wataongea pole kwa majungu😀😀😀😀

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 2 года назад

      Namuunga mkono uyu bwana izo n kiki izo gar cyo zake

  • @safarisafari7388
    @safarisafari7388 Год назад +1

    Anaemkana pimbi nisawa na kusema kusiwe na gazeti ama wanahabari,hivi bila watu kama hawa unaeza jua chochote?tungekua tunadanganywa tu....endelea mr pimbi ukosawa ila maadui niwengi kaa chonjo

  • @share-love
    @share-love 2 года назад +7

    Tafuta njia zako za kupata hela wewe Pimbi, wachana na wenye bidii yao.Jipe shughuli! Harmonize ni mchapa kazi, udaku achia wanawake.

    • @Othmansheby
      @Othmansheby 2 года назад +1

      Pimbi wewe mkweli kabisa acha tuone

    • @sadashabani9445
      @sadashabani9445 2 года назад +1

      Tatzo hamtak kuambiwa ukwl

    • @tausikiyabo6302
      @tausikiyabo6302 2 года назад

      Na nyumba walisema anadaiwa kodi hawei kilipa lkn yupo mpk leo aliweza kulipa 500m jmn kama kwli inasikitisha ila siamini

  • @israelvibs6486
    @israelvibs6486 2 года назад +1

    Wewe pimbi acha mambo yako, hata ukimzalilisha Harmo sisi bado tunampenda tu cause yeye anajaribu kuendesha maisha yake ss ww yakwako unaendesha vp kaachini tafakari endesha maisha yako acha kujiwekea nuksi

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 2 года назад +18

    Yawezekana kua kweli Kwa sababu hatuoni akikabidhiwa funguo au kuendesha muda mrefu sasa. Hakuna dalili ya kukabidhiwa hizo simu

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 года назад

      Kweli kabisa kwani magari watu si wanakodi tu

    • @RobbyDejan1234
      @RobbyDejan1234 2 года назад +1

      Hizo gari zimenunuliwa South Africa usiwe mvivu wakufikilia.

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 года назад +2

      @@RobbyDejan1234 Ndio South Africa lakini mmiliki was hizo gari za biashara Mr Pimbi amemtaja . Swali kwa nini gari mbili za aina moja anunuliwe MTU mmoja Kwa wakati mmoja? Na imepita miezi toka tuanze kuzisikia mbona hakabidhiwi muhusika labda na yeye agawe moja? Hapo kuna jambo.

    • @RobbyDejan1234
      @RobbyDejan1234 2 года назад

      Gari zimetoka SOUTH AFRICA huyo pimbi mwehu tu kwani kumtaja mtu tatizo au kumpigia simu hizo gari za Rajabu zimenunuliwa South Africa na jina la kajala limewekwa gari ikiwa South Africa kwenye pleti namba nyeupe sasa pimbi anaesema zimeazimwa kinondoni kwenye showroom ya athumani .

  • @joshuayoile6149
    @joshuayoile6149 2 года назад +1

    Mr pimbi fara kbxaa, yaan yeye na hyo boss wkr hyo wa magari, walikuw washaseti mipango tyr, yaan mtu mwny show room awe na range 3 tu,,,ety nkakumbka una range kma tatu hvi, pumbu kbxaa

  • @abdulyhakim3559
    @abdulyhakim3559 2 года назад +6

    you are a real spit fire so why not put your life in jeopardy and work to keep track of the people you do not have in the city to get back to you.

  • @edwinfredrickzakaria4782
    @edwinfredrickzakaria4782 2 года назад +1

    Pimbi fala mkubwa kufatilia Maisha yawatu inakuhusu nini kwanza mtangazaj nae hajielewi inakuaje upige sim haraf akwambie kwamba et Harmonaizy anatumia gari vibaya huioni nimchongo mmechonga mbon kakimbilia kusema mabaya unayosema wewe huo niongo tu

  • @dijohbanks4312
    @dijohbanks4312 2 года назад +8

    Mimi sio shabiki wa harmonize Ila Huyu Ni pimbi kweli

  • @waziriomar1414
    @waziriomar1414 2 года назад +1

    Kweli umbea dili hapa mjini kwahiyo amempanga othmani kuwa apokee sim kuwa ndio mwenye magari kweli nimeamini watu wafupi hata akili zao Ni fupi Ila cyo wote yeye mwenyewe nguo ananunuliwa 😂😂

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 2 года назад +9

    Kweli huyu ni Pimbi kweli kweli!

  • @wishjrtz
    @wishjrtz 2 года назад +1

    Kweli we pimbiiiiiii🤣🤣🤣🤣 na sifa pimbiiii co ufup t maan wafup ni wengi zipo za ndaaaani za kipimbi kam anazozifany kweny interview hii maan network cku zingin zeroooo km

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 2 года назад +4

    Inawezekana hata wewe na huyo uliyeongea naye wote mmepangwa tu hakuna boss Wala nini iwe yake iwe siyo yake haituhusu tueleze maisha yako wewe

    • @kamanda007
      @kamanda007 2 года назад +1

      Hana maisha zaidi ya umbeya tuu wa buku saba

    • @lilnizoea370
      @lilnizoea370 2 года назад

      Sio kwamba gan maishaaa niiu boyaaa Hana ishuuy namkutaga uhamiaji kashuka kweny bajaji na raba zake kutok karume boys kweli

  • @danielphilemon5691
    @danielphilemon5691 2 года назад +1

    Atashtakiwa huyo chalii kwa hapo maana hata kama n kweli lkn brand n nguvu ya msanii, sasa pimbi na nyie mnalilafta la kutafta, afu angalieni mbele mnajenga mnabomoa??

  • @christiansamwel681
    @christiansamwel681 2 года назад +4

    Kwa hiyo kajala analiwa Kwa gari za mkopo😂😂😂😂😂

  • @nasoroadamu247
    @nasoroadamu247 2 года назад +1

    Pimbi bhn ni pimbi TU, umejuaje unapataje tym kamfatilia msanii mwenzako hiyo kazi y wanahabar,omba omba TU pimbi ww

  • @ibramasterzuk1803
    @ibramasterzuk1803 2 года назад +4

    Ahahahahah nimecheka Sana mr pimbi nimegundua anatakiwa kupimwa akili huyo alivyo mtaja tuu rayvany

  • @edwinemanuel9082
    @edwinemanuel9082 2 года назад +1

    Hormonize anawkimbiza kweli jeshi pimbi humuwezi konde na hata utmwe nahuyo paka anae jiita chui,mmegusa pabaya mbwa nyie

  • @saidibigirimana5777
    @saidibigirimana5777 2 года назад +3

    Yeah kiukweli mr pimbi yupo sahihi anaongea kitu kina ukweri ndani yake wache ku fake life vinginevyo mungu akiwa amekuandalia riziki utapata

  • @Mpogozi
    @Mpogozi 2 года назад +1

    Mr pimbi acha uongo huyo uliyempigia namjua ni mpemba tena ni darali na haitwi athumani🤣🤣🤣haakiyamungu hii bongo ni balaaa

  • @antonymurirthi8802
    @antonymurirthi8802 2 года назад +9

    That the fact , ndo maana wasanii wake hawaonekani kisa competition na Simba.

  • @mao9622
    @mao9622 2 года назад +1

    Nyie nawaambieni msowaamini wasanii HAWANA HELA kabisa.Ofcourse wanazo ila za kawaida kama sisi tu

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 2 года назад +11

    Mr pimbi I love you 😍 ❤️ mr pimbi is the best 👌 👍 😍 🥰 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @immanuelmollely2916
    @immanuelmollely2916 Год назад +1

    Uo ni uongo pimbi kamset uyo jamaa aseme hvo mbn kam analazimisha Achen kumpa skendo mbya Harmo sio poa uyo anabif nae tu

  • @Emergency_guy
    @Emergency_guy 2 года назад +3

    Wallah niongo nikama hata wewe unaweza kutunga vitu unaongea namutu tufanye interview wewe utanioji Ala wewe nitakupigiya sim kama Tajili ili tumupatishe aibu harmonize

  • @davidmgaya4385
    @davidmgaya4385 2 года назад +1

    Wivu tuuu et bos Athuman kashenzi haka

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 2 года назад +1

    We mbwa utakuwa unatumwa na WCB kumchafua Ticher !!
    Ndo maana mfupi kama mtungi wa gesi.!!

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 2 года назад +5

    Mungu aliokufanya ufupi alijua kua wewe mnafiki mkubwa na umetumwa.ndio amekuibisha tayari

  • @manrizoke9541
    @manrizoke9541 2 года назад +1

    Mr Pimbi is just a hater..wewe Pimbi unatafuta kiki ukuze jina acha ujinga kuharibia ma star jina fanya kazi utengeneze jina

  • @paulinastephano236
    @paulinastephano236 2 года назад +9

    Nikweli kabisa 😂😂😂😂

  • @NoraNora-dq6yt
    @NoraNora-dq6yt 2 года назад +1

    Hiyo sauti ya kinasa msukuma na ulimpanga haiwezekani kumpigia tu aanze kusema habari za harmonize 😂😂😂😂

  • @petermunanka3827
    @petermunanka3827 2 года назад +15

    Kweli nimeamini mtu mfupi akili nazo nifupi wewe endelea kusuka umepanga nahuyo jamaa ili umdhalilishe hamo humuwezi hata kwa robo

  • @monicafedrick9
    @monicafedrick9 2 года назад +1

    Acha uongo raivan mwenyewe alituambia kanunua nyumba faima akaja kujichanganga tulipangisha unafikili tunasahau acha kujifanya unajua sana

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 года назад +4

    Mbilikimo uyo anamaneno sana kanajifanya kujua kila kitu

  • @harithali5680
    @harithali5680 2 года назад +1

    Hapan bana v8 na range v8 bei ghali kuliko range acheni ushamba raisi hatembelei range instead anatembelea v8

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад +6

    Kweli duniani kuna FITINA sana.

  • @eagle_839
    @eagle_839 2 года назад +1

    Aisee bro kupata Nafasi ya kipindi kwenye Channel Yenu Utaratibu ukoje?

  • @blackangelzm
    @blackangelzm 2 года назад +8

    I Love Harmonize🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤪🤪🤪🤐🤐🤐🤐🤐

  • @hudsonongala6572
    @hudsonongala6572 2 года назад +1

    Huo ni uongo brother pimbi muongo mtu msomi ataelewa tu, tena boss sio mtu wa kudanganya pimbi wacha uongo

  • @mamamzury1369
    @mamamzury1369 2 года назад +30

    Mnamzarau Pimbi lakin anaongea ukweli.wasanii ni waongo sana.

  • @nassoroahmada7066
    @nassoroahmada7066 2 года назад +1

    Hawa jamaa kwakutengeneza content ,et bos athuman ,washampanga hoya wao ,ili wapate umaharufu

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 2 года назад +3

    Maneno ya pimbi ni ya chuki,msiamini chochote....!!

    • @magangakiyabo3429
      @magangakiyabo3429 2 года назад

      Mbona mpaka leo bado wanatumia atupe tarehe yakupokonywa basi 🤣🤣🤣

  • @shafiilsmaili3212
    @shafiilsmaili3212 2 года назад +1

    Tatzo la wa tanzania wanapenda kudanganywa kuliko ukweli ndo tatzo iv ww, unaweza kumuonga demu l phone wakat ww unatumia tecno f one

  • @davidkokomushagalusa6566
    @davidkokomushagalusa6566 2 года назад +58

    Harmonize is really a star 💫 hateful speech 🎤 is making him famous more…Harmonize is doing good in the industry

    • @mwatanomotee6516
      @mwatanomotee6516 2 года назад +2

      Ni kweli kabisa wasanii wetu waache kufeki life

    • @missykalele5520
      @missykalele5520 2 года назад +2

      @@mwatanomotee6516 hata hujaelewa dada alafu una comment tu

    • @lucky9285
      @lucky9285 2 года назад +1

      The issue is Range Rovers everyone know H is a good artist

    • @eunicewaithera3549
      @eunicewaithera3549 2 года назад

      Kabisaaaaaaa✌️

    • @samzungue2027
      @samzungue2027 2 года назад +1

      HATA KAMA ANAFANYA VIZURI UWEZI JIULIZA MAMA YAKE MZAZI HANA RANGE HATA MOJA, NIKWELI WANA AZIMA.

  • @michaelnkamba9872
    @michaelnkamba9872 2 года назад +2

    Asilimia kubwa ya watu wafupi huwa hawasemagi uwongo 🙄😃😃😃

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 года назад +16

    MR PIMBI FUKUWA MAKABURI THE 👍👍👍👍👍

  • @musasamwel5544
    @musasamwel5544 Год назад +1

    Fala wew fanya mambo yako mbwa wew, au kama vp nenda na wew kwa athuman akakukopeshe kama utapewa mbwa wew, kweli wew ni pimbi

  • @matiasmpoyo8311
    @matiasmpoyo8311 2 года назад +19

    The only one true pimbi

  • @heryfonda7060
    @heryfonda7060 2 года назад +1

    wewe. muandishi nae mchicha mwiba unaona kaipiga sim lwa mtu alie mpanga wachen kufuata maisha ya watu machoko stick
    nga

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 года назад +4

    Harmonize wakalie kimyaaaaa endelea kuwauwaaaaaaa watakoma roho inawaumaaaaaaa Mungu awajalie,yaani umbea kazi nayo???!!!!

  • @officialpaxjtz9455
    @officialpaxjtz9455 2 года назад +1

    Hhhh nlitak nisainiwe konde gang kumbe kuna matatizo hivi siend ng'oooo 🤣🤣

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 2 года назад +14

    Nakukubali Sana Mr pimbi ..Niko south Africa nakufatiliha Sana from Cape town

    • @fredrickkajuna74
      @fredrickkajuna74 2 года назад

      Mozeee ni wewe au ni yupi? Shouts nying enzi za Mysore

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 2 года назад

      Swala la uko South linahusu nini sasa? Wabongo muache ushamba

  • @yogwemwakulola1634
    @yogwemwakulola1634 2 года назад +1

    Hahahahahaha wajinga kweli nyinyi sasa kama yuko na yard ya magari mbona gari niizo tatu tu mafala kweli nyie

  • @ministerdelanzo_ke
    @ministerdelanzo_ke 2 года назад +3

    Haka kajamaa hehehe 😂😂😂😂wembamba wa reli

  • @ruthkasumba7739
    @ruthkasumba7739 2 года назад +1

    Uswahili mtupu hmn kitu mtu hawez kujieleza kiasi ichoooo km hajapangwaaaaaa🙌🏿

  • @wakalijr7319
    @wakalijr7319 2 года назад +3

    uongo huwo pimbi mmejipanga kumchafua harmoneze, yani mnasumbuka sana harmoneze yupu juu tu mtaongea sana mwenzenu anasonga mbele

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 года назад

      Hayo magari tumeyasikia siku nyingi hasa ile ya kwanza lakini hatujaona akikabidhiwa funguo za gari au hata kuendesha tu. Sasa nani ananunue magari mawili Kwa mpigo yanayofanana wakidai ni mapya halafu ampe MTU mmoja na tusione akimiliki hata moja ni plate namba tu ambazo MTU anaweza kuzitengeneza . Sio kila kitu kuamini tu jaribu kutumia na mawazo yako ukajiuliza

    • @stelajoramu5298
      @stelajoramu5298 2 года назад

      Pimbi tuonyeshe gari yako na gari ya mama yako au baiskeli ya mkeo yaaniwatanzania wivuuuuuu utafikiri sio wasanii wenzii basi na wewe wakakuazime nyoko Sana wewe

    • @stelajoramu5298
      @stelajoramu5298 2 года назад

      Ok atayarudisha baada ya harusi

  • @samsonwaanda7568
    @samsonwaanda7568 2 года назад +1

    Tutaaminije kuwa umempigia Athumani. Siyo kuwa huyo ni Athumani fake!!?

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 2 года назад +5

    Wabongo kwa wivu nimeeanyooshea mikono

    • @fuadshell5188
      @fuadshell5188 2 года назад

      True man

    • @joezeno8
      @joezeno8 2 года назад

      Mr Pimbi Anampigia simu Rayvanny 😂😂😂