Afu pimbi hiyo range nyeusi huwez kuweka yellow number plate kama haijalipiwa ushuru..kalipa ushuru na amelipia jina,, Hiyo range nyeupe akiuliwa bei kubwa maana haina ushuru ni mil 60 na hiyo kilimo nyeupe akiuziwa bei juu bila kodi mil 80 so rafu hamo hizo gar katumia kama 200 milion its possible coz anafanya kaz hata kama anadaiwa bas range moja hiyo sio kesi amenunua na amelipa cash.
Pimbi ni miyeyusho hapo ni kweli sim kapiga lakini jamaa aliyepigiwa namjua maana mi nipo kwenye showroom ya manyanya inaitwa star autos huyo jamaa ni darali na nimpemba 🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna dalili ya kukabidhiwa hizo gari mda mrefu sasa, huenda kuna ukweli. Wala hatumuoni akiziendesha hata Kwa kudanganyia watu naona kweli kuna makubaliano flani na mwenye gari.
But somehow it sounds like a bullshit call. Tajiri haongei hivyo kama kapangwa. Neno kuuza sura si kwa mtu mwenye biashara kkama hiyo. But pimbi u pulled off a silver scand
kama umeona maneno alio ogea Mr pimbi ya na ukweli moyo wake umerizia lazima ubadili mtazamowako hawa wasani wanao jita wakubwa sio kweli wengi wao waongo wanapeyana mikataba promotion bishara magari
Kwani yy pmbi si ni msanii mbona asiwe na hivyo vitu kazi za Harmonize zinaonekana kwa hiyo unaweza kukubali ila kuna wasanii kweli wanafeki Pimbi hawataji kwa vile sio content. Kupata kusikilizwa ni kumtaja Harmonize that's it
Fanya maisha yako dogo. Nyie ndio wanafiki na wachawi wa maisha ya watu. Wewe ni mshenzi kama washenzi wengine. Acheni kufuatilia maisha ya watu wakati yako yamekushinda.
Wewe amekuhzia ngapi? Acha kiki dogo,Na wewe nenda wakupe bure. Ishi naro Mungu alie Mupa yeye ndo aliye kunyima wewe.penda kuzungumzia maisha ya kwako.maana ukifa ufi na mtu wala zambi zake Badilika dogo.
Hamna lolote, njaa inakuuma Mpumbavu wewe , uwivu tu na maisha ya mwenzako , kuma tupu wewe 🤧🤧🤧🤧 unatuona kwamba hatuna akili dogo wewe , ufanya mpango na assumani wako huyo , huna lolote kifupiiii , chukulika na maisha yako kama wewe nimwanaume uache ukike
Anaemkana pimbi nisawa na kusema kusiwe na gazeti ama wanahabari,hivi bila watu kama hawa unaeza jua chochote?tungekua tunadanganywa tu....endelea mr pimbi ukosawa ila maadui niwengi kaa chonjo
Wewe pimbi acha mambo yako, hata ukimzalilisha Harmo sisi bado tunampenda tu cause yeye anajaribu kuendesha maisha yake ss ww yakwako unaendesha vp kaachini tafakari endesha maisha yako acha kujiwekea nuksi
@@RobbyDejan1234 Ndio South Africa lakini mmiliki was hizo gari za biashara Mr Pimbi amemtaja . Swali kwa nini gari mbili za aina moja anunuliwe MTU mmoja Kwa wakati mmoja? Na imepita miezi toka tuanze kuzisikia mbona hakabidhiwi muhusika labda na yeye agawe moja? Hapo kuna jambo.
Gari zimetoka SOUTH AFRICA huyo pimbi mwehu tu kwani kumtaja mtu tatizo au kumpigia simu hizo gari za Rajabu zimenunuliwa South Africa na jina la kajala limewekwa gari ikiwa South Africa kwenye pleti namba nyeupe sasa pimbi anaesema zimeazimwa kinondoni kwenye showroom ya athumani .
Mr pimbi fara kbxaa, yaan yeye na hyo boss wkr hyo wa magari, walikuw washaseti mipango tyr, yaan mtu mwny show room awe na range 3 tu,,,ety nkakumbka una range kma tatu hvi, pumbu kbxaa
Pimbi fala mkubwa kufatilia Maisha yawatu inakuhusu nini kwanza mtangazaj nae hajielewi inakuaje upige sim haraf akwambie kwamba et Harmonaizy anatumia gari vibaya huioni nimchongo mmechonga mbon kakimbilia kusema mabaya unayosema wewe huo niongo tu
Kweli umbea dili hapa mjini kwahiyo amempanga othmani kuwa apokee sim kuwa ndio mwenye magari kweli nimeamini watu wafupi hata akili zao Ni fupi Ila cyo wote yeye mwenyewe nguo ananunuliwa 😂😂
Kweli we pimbiiiiiii🤣🤣🤣🤣 na sifa pimbiiii co ufup t maan wafup ni wengi zipo za ndaaaani za kipimbi kam anazozifany kweny interview hii maan network cku zingin zeroooo km
Atashtakiwa huyo chalii kwa hapo maana hata kama n kweli lkn brand n nguvu ya msanii, sasa pimbi na nyie mnalilafta la kutafta, afu angalieni mbele mnajenga mnabomoa??
Hayo magari tumeyasikia siku nyingi hasa ile ya kwanza lakini hatujaona akikabidhiwa funguo za gari au hata kuendesha tu. Sasa nani ananunue magari mawili Kwa mpigo yanayofanana wakidai ni mapya halafu ampe MTU mmoja na tusione akimiliki hata moja ni plate namba tu ambazo MTU anaweza kuzitengeneza . Sio kila kitu kuamini tu jaribu kutumia na mawazo yako ukajiuliza
Pimbi tuonyeshe gari yako na gari ya mama yako au baiskeli ya mkeo yaaniwatanzania wivuuuuuu utafikiri sio wasanii wenzii basi na wewe wakakuazime nyoko Sana wewe
🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🙏BONGO NIME NYOO SHA 🙏🙏
Mr. Pimbi minakukubali sana bro.. nko 254 kenyari🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Afu pimbi hiyo range nyeusi huwez kuweka yellow number plate kama haijalipiwa ushuru..kalipa ushuru na amelipia jina,,
Hiyo range nyeupe akiuliwa bei kubwa maana haina ushuru ni mil 60 na hiyo kilimo nyeupe akiuziwa bei juu bila kodi mil 80 so rafu hamo hizo gar katumia kama 200 milion its possible coz anafanya kaz hata kama anadaiwa bas range moja hiyo sio kesi amenunua na amelipa cash.
Miss pimbi na ww unatafuta umaarufu kupitia jina la harmonize fala sana
Pimbi ni miyeyusho hapo ni kweli sim kapiga lakini jamaa aliyepigiwa namjua maana mi nipo kwenye showroom ya manyanya inaitwa star autos huyo jamaa ni darali na nimpemba 🤣🤣🤣🤣🤣
Plate number ya GP iyo imetoka South Africa pimbi naijua sana iyo rang sio yauyo mtu unae mzungumzia unaropoka usiyo yajua kwakutafuta umarufu
Mr. Pimbi huwa namwelewa sana hataki uongo ongo ananyoosha maelezo Mimi mwenyewe nilijiuliza sana hivi uhonge gali tatu zote aina moja kivipi sasa,
Ww hunaa akili izo Gali zime nunuliwa na jeshii mbona hazijatangazwa kama nizabiashala acha upimbi
Ndiyomaana wakamuita pimbi
Wamesha pangana huko walipotoka wapigiyane masimu ili wamuabiishe harmonize
Mwezi umepita Sasa na range bado zipo kwa Konde
Interview ya kupanga hii haifanani na ukweli hamna tajiri wa aina hii.....ambaye anaweza kuongea ujinga kama uo
Itakuwa tajiri mwenye njaaa
Hakuna dalili ya kukabidhiwa hizo gari mda mrefu sasa, huenda kuna ukweli. Wala hatumuoni akiziendesha hata Kwa kudanganyia watu naona kweli kuna makubaliano flani na mwenye gari.
Nani atakuamini na ww unaishi uswahilini mbwaaa hayakuusu ayo pimbi zuzu kafala kafupi
Pimbi kweli pimbi iwe kweli au uongo inakuhusu niniiiii
Duh mwana pimbi noma sana aisee , chibu bado hana mpingamzi ,WCB 4 life 🧬🧬
Tumeona mpaka card za magari hiyo ni mipango
Sasa haka nako, yanakahusu nini maisha ya watu... Kameshindwa maisha au nini?
😀😀😀😀pimbi kweli unaniuwa uku mie nikiwa omani maskati nakufata sana wewe
Mr pimbi ako fine
tajir wa mchongo huyo hamna boss anaye ongea kichoko hvo we boya
Hizo Rang Rover harmoniz kaingia nazo kweny boda hizo Rang Rover Amezinunulia South Africa coko wew
💯
Wewe Yisuf huelewi kitu
@@petermwacha9909 Aelewi Ninn Wakat Uyoo Pimbi Iyo Simu Nia Mchongo
Hili ufike mjini lazima umseme harmonize
Harmonazi bila kiki hatrend mtandaoni 😃😃
hatokua wakwanza diamond tushamzoea ata yeye haendi mjini bila kiki
But somehow it sounds like a bullshit call. Tajiri haongei hivyo kama kapangwa. Neno kuuza sura si kwa mtu mwenye biashara kkama hiyo. But pimbi u pulled off a silver scand
Kweli nimeamin ww nipimbi wa mwisho
😂😂😂😂🤣🤣
The phone call is all scripted. The so called Athman went direct to the point without being asked. Clout chasing
That all about deal
Athumani wa mchongo hamna TAJIRI wa hivyo na kama harmonize yupo nje ya makubaliano mbona hachukui hizo gari
Kwel angechukua hyo gal alimpang hyo mtu kujifany asuman
Ameomba ameazima Inakuhusu kakaaaa?????
Ndo Apo xx
kama umeona maneno alio ogea Mr pimbi ya na ukweli moyo wake umerizia lazima ubadili mtazamowako hawa wasani wanao jita wakubwa sio kweli wengi wao waongo wanapeyana mikataba promotion bishara magari
Hawa wasanii kweli yani feki kila kitu
mmmmmmmmmh kumbeeeee
Hata mm najua hivyoo
Kwani yy pmbi si ni msanii mbona asiwe na hivyo vitu kazi za Harmonize zinaonekana kwa hiyo unaweza kukubali ila kuna wasanii kweli wanafeki Pimbi hawataji kwa vile sio content. Kupata kusikilizwa ni kumtaja Harmonize that's it
😁😁😁
Boss wa magari analazimisha sauti iwe nzito Kama yakiboss🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamani Mbavu zangu mie😂😂😂😂
🤣🤣🇧🇮
😄😄
Fanya maisha yako dogo. Nyie ndio wanafiki na wachawi wa maisha ya watu. Wewe ni mshenzi kama washenzi wengine. Acheni kufuatilia maisha ya watu wakati yako yamekushinda.
Pimbi inatosha bana nikweli hata dudubaya aliisha sema wasanii wanakopi maisha maishayao halisi wanayaficha
Kweli pimbi unajuwa kutafuta ugali pambana hiyo ndio faida ya elim ulio soma,
Siku zote kumchukia Alie fanikiwa ni kujiumiza tu konde gang 4 every body
The phone call was stage planned
hapa Afrika tuna hadithi, huko DRC 🇨🇩 kama huko Ivory Coast, Ivory Coast kama Nigeria🇳🇬 Nigeria kama Tanzania 🇹🇿
Hii Ngedere Nyundo ya Kidume haiezi koma kmchamba Harmonize???🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪,,,Hiki Ni kijibwa Cha mtu Kimkundu firimbi Cha mtu
🤣🤣🤣 wa KE mkoo na maneno
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nice one Mr Pimbi bwaga busara zako usiogope mtu ,masifa masifa hatutaki mjini ,fake life ya nn, regesha magari ya mwenyewe mmakonde
how do u know harmonise faking
Mbona mwenye gari tusimsikie tumsikie pimbi kila siku. Watu wengine akili zenu mnashikiwa na nani eti
Lakin ww jamaa mbona huna hata akili acha kutudanganya ww yan ukiwa masikin hata akili yako nayo itakuwa yakimasikin kabisa
Kawaida ya watu wa fupi..
Uyo athuman ni mwanao umempanga ili mtuzingue
Hakika
Tusha wajua mnataka channel yenu ikuwe Kwa kutafuta ma kirikikiki,Achenni hizo buana ROHO MBAYA FITINA AZIJENGI KUDADADADEKI ZENYU🤮🤮
akili za Mr pimbi na zangu ziko Sawa hata Mimi nilijua gari sio zake 🤣🤣🤣
Umejuaj
kweli kabisa bro,hizo gari sio zake kweli
@@omaryhajji1393 hamo nijambazi wa mitandaoni 😀😀
Kumbe ufupi wa mwili unaweza kufupisha na akili 🤣
Haki ya mungu ndugu yangu , yaani mtu mfupi kama chupa ya dabo kikiiii , hana lolote, njaa inamuuma tu ... mbwa yeye ,
wape wape vidonge range tatu kwa mpigo 😂😅 hata Elon mask hamfikii tembo 😊
We pimbi tumekutana mwananyamala unabishana Bei na bodaboda Leo unajiona wa mjiiini choko wewe Fanya yako harmo ndio habari ya mjini
@@geofreykalo6599 ww tumia akili pesa hana anategemea kik
Pimbi unawivu
Wewe amekuhzia ngapi?
Acha kiki dogo,Na wewe nenda wakupe bure.
Ishi naro
Mungu alie Mupa yeye ndo aliye kunyima wewe.penda kuzungumzia maisha ya kwako.maana ukifa ufi na mtu wala zambi zake Badilika dogo.
Shukukran sana Mr pimbi kwa kututowa taka za masikio. Nipo Kenya nawafatilia
Hamna lolote, njaa inakuuma Mpumbavu wewe , uwivu tu na maisha ya mwenzako , kuma tupu wewe 🤧🤧🤧🤧 unatuona kwamba hatuna akili dogo wewe , ufanya mpango na assumani wako huyo , huna lolote kifupiiii , chukulika na maisha yako kama wewe nimwanaume uache ukike
Da kweli binadamu shida ukiwa nayo wataongea na kama una ivoivo wataongea pole kwa majungu😀😀😀😀
Namuunga mkono uyu bwana izo n kiki izo gar cyo zake
Anaemkana pimbi nisawa na kusema kusiwe na gazeti ama wanahabari,hivi bila watu kama hawa unaeza jua chochote?tungekua tunadanganywa tu....endelea mr pimbi ukosawa ila maadui niwengi kaa chonjo
Tafuta njia zako za kupata hela wewe Pimbi, wachana na wenye bidii yao.Jipe shughuli! Harmonize ni mchapa kazi, udaku achia wanawake.
Pimbi wewe mkweli kabisa acha tuone
Tatzo hamtak kuambiwa ukwl
Na nyumba walisema anadaiwa kodi hawei kilipa lkn yupo mpk leo aliweza kulipa 500m jmn kama kwli inasikitisha ila siamini
Wewe pimbi acha mambo yako, hata ukimzalilisha Harmo sisi bado tunampenda tu cause yeye anajaribu kuendesha maisha yake ss ww yakwako unaendesha vp kaachini tafakari endesha maisha yako acha kujiwekea nuksi
Yawezekana kua kweli Kwa sababu hatuoni akikabidhiwa funguo au kuendesha muda mrefu sasa. Hakuna dalili ya kukabidhiwa hizo simu
Kweli kabisa kwani magari watu si wanakodi tu
Hizo gari zimenunuliwa South Africa usiwe mvivu wakufikilia.
@@RobbyDejan1234 Ndio South Africa lakini mmiliki was hizo gari za biashara Mr Pimbi amemtaja . Swali kwa nini gari mbili za aina moja anunuliwe MTU mmoja Kwa wakati mmoja? Na imepita miezi toka tuanze kuzisikia mbona hakabidhiwi muhusika labda na yeye agawe moja? Hapo kuna jambo.
Gari zimetoka SOUTH AFRICA huyo pimbi mwehu tu kwani kumtaja mtu tatizo au kumpigia simu hizo gari za Rajabu zimenunuliwa South Africa na jina la kajala limewekwa gari ikiwa South Africa kwenye pleti namba nyeupe sasa pimbi anaesema zimeazimwa kinondoni kwenye showroom ya athumani .
Mr pimbi fara kbxaa, yaan yeye na hyo boss wkr hyo wa magari, walikuw washaseti mipango tyr, yaan mtu mwny show room awe na range 3 tu,,,ety nkakumbka una range kma tatu hvi, pumbu kbxaa
you are a real spit fire so why not put your life in jeopardy and work to keep track of the people you do not have in the city to get back to you.
Pimbi fala mkubwa kufatilia Maisha yawatu inakuhusu nini kwanza mtangazaj nae hajielewi inakuaje upige sim haraf akwambie kwamba et Harmonaizy anatumia gari vibaya huioni nimchongo mmechonga mbon kakimbilia kusema mabaya unayosema wewe huo niongo tu
Mimi sio shabiki wa harmonize Ila Huyu Ni pimbi kweli
Ww ni kenge pia
Kweli umbea dili hapa mjini kwahiyo amempanga othmani kuwa apokee sim kuwa ndio mwenye magari kweli nimeamini watu wafupi hata akili zao Ni fupi Ila cyo wote yeye mwenyewe nguo ananunuliwa 😂😂
Kweli huyu ni Pimbi kweli kweli!
Kweli we pimbiiiiiii🤣🤣🤣🤣 na sifa pimbiiii co ufup t maan wafup ni wengi zipo za ndaaaani za kipimbi kam anazozifany kweny interview hii maan network cku zingin zeroooo km
Inawezekana hata wewe na huyo uliyeongea naye wote mmepangwa tu hakuna boss Wala nini iwe yake iwe siyo yake haituhusu tueleze maisha yako wewe
Hana maisha zaidi ya umbeya tuu wa buku saba
Sio kwamba gan maishaaa niiu boyaaa Hana ishuuy namkutaga uhamiaji kashuka kweny bajaji na raba zake kutok karume boys kweli
Atashtakiwa huyo chalii kwa hapo maana hata kama n kweli lkn brand n nguvu ya msanii, sasa pimbi na nyie mnalilafta la kutafta, afu angalieni mbele mnajenga mnabomoa??
Kwa hiyo kajala analiwa Kwa gari za mkopo😂😂😂😂😂
Harmo mahesabu yake yamefaulu
Pimbi bhn ni pimbi TU, umejuaje unapataje tym kamfatilia msanii mwenzako hiyo kazi y wanahabar,omba omba TU pimbi ww
Ahahahahah nimecheka Sana mr pimbi nimegundua anatakiwa kupimwa akili huyo alivyo mtaja tuu rayvany
Hormonize anawkimbiza kweli jeshi pimbi humuwezi konde na hata utmwe nahuyo paka anae jiita chui,mmegusa pabaya mbwa nyie
Yeah kiukweli mr pimbi yupo sahihi anaongea kitu kina ukweri ndani yake wache ku fake life vinginevyo mungu akiwa amekuandalia riziki utapata
Mr pimbi acha uongo huyo uliyempigia namjua ni mpemba tena ni darali na haitwi athumani🤣🤣🤣haakiyamungu hii bongo ni balaaa
That the fact , ndo maana wasanii wake hawaonekani kisa competition na Simba.
Nyie nawaambieni msowaamini wasanii HAWANA HELA kabisa.Ofcourse wanazo ila za kawaida kama sisi tu
Mr pimbi I love you 😍 ❤️ mr pimbi is the best 👌 👍 😍 🥰 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uo ni uongo pimbi kamset uyo jamaa aseme hvo mbn kam analazimisha Achen kumpa skendo mbya Harmo sio poa uyo anabif nae tu
Wallah niongo nikama hata wewe unaweza kutunga vitu unaongea namutu tufanye interview wewe utanioji Ala wewe nitakupigiya sim kama Tajili ili tumupatishe aibu harmonize
Wivu tuuu et bos Athuman kashenzi haka
We mbwa utakuwa unatumwa na WCB kumchafua Ticher !!
Ndo maana mfupi kama mtungi wa gesi.!!
Mungu aliokufanya ufupi alijua kua wewe mnafiki mkubwa na umetumwa.ndio amekuibisha tayari
Ukweli unauma habari ndio hiyo 😀😀👍
Mr Pimbi is just a hater..wewe Pimbi unatafuta kiki ukuze jina acha ujinga kuharibia ma star jina fanya kazi utengeneze jina
Nikweli kabisa 😂😂😂😂
Hiyo sauti ya kinasa msukuma na ulimpanga haiwezekani kumpigia tu aanze kusema habari za harmonize 😂😂😂😂
Kweli nimeamini mtu mfupi akili nazo nifupi wewe endelea kusuka umepanga nahuyo jamaa ili umdhalilishe hamo humuwezi hata kwa robo
Uyu Yuko sawa wewe acha ubishi
wenawe pumba
pimbi yukosawa
Acha makasiliko wewe uyu Yuko sahii wewe
Wangekuwa na akili fupi wachina wasingekulea simu zakucoment hapa 🤣🤣🤣
Acha uongo raivan mwenyewe alituambia kanunua nyumba faima akaja kujichanganga tulipangisha unafikili tunasahau acha kujifanya unajua sana
Mbilikimo uyo anamaneno sana kanajifanya kujua kila kitu
Hapan bana v8 na range v8 bei ghali kuliko range acheni ushamba raisi hatembelei range instead anatembelea v8
Kweli duniani kuna FITINA sana.
Sanaa
Aisee bro kupata Nafasi ya kipindi kwenye Channel Yenu Utaratibu ukoje?
I Love Harmonize🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤪🤪🤪🤐🤐🤐🤐🤐
Huo ni uongo brother pimbi muongo mtu msomi ataelewa tu, tena boss sio mtu wa kudanganya pimbi wacha uongo
Mnamzarau Pimbi lakin anaongea ukweli.wasanii ni waongo sana.
Ukweli mtupu kuhusu Mr pimbi
Hawa jamaa kwakutengeneza content ,et bos athuman ,washampanga hoya wao ,ili wapate umaharufu
Maneno ya pimbi ni ya chuki,msiamini chochote....!!
Mbona mpaka leo bado wanatumia atupe tarehe yakupokonywa basi 🤣🤣🤣
Tatzo la wa tanzania wanapenda kudanganywa kuliko ukweli ndo tatzo iv ww, unaweza kumuonga demu l phone wakat ww unatumia tecno f one
Harmonize is really a star 💫 hateful speech 🎤 is making him famous more…Harmonize is doing good in the industry
Ni kweli kabisa wasanii wetu waache kufeki life
@@mwatanomotee6516 hata hujaelewa dada alafu una comment tu
The issue is Range Rovers everyone know H is a good artist
Kabisaaaaaaa✌️
HATA KAMA ANAFANYA VIZURI UWEZI JIULIZA MAMA YAKE MZAZI HANA RANGE HATA MOJA, NIKWELI WANA AZIMA.
Asilimia kubwa ya watu wafupi huwa hawasemagi uwongo 🙄😃😃😃
MR PIMBI FUKUWA MAKABURI THE 👍👍👍👍👍
Fala wew fanya mambo yako mbwa wew, au kama vp nenda na wew kwa athuman akakukopeshe kama utapewa mbwa wew, kweli wew ni pimbi
The only one true pimbi
wewe. muandishi nae mchicha mwiba unaona kaipiga sim lwa mtu alie mpanga wachen kufuata maisha ya watu machoko stick
nga
Harmonize wakalie kimyaaaaa endelea kuwauwaaaaaaa watakoma roho inawaumaaaaaaa Mungu awajalie,yaani umbea kazi nayo???!!!!
#ww kweri Mmbw Sasa unajua uongo
Hhhh nlitak nisainiwe konde gang kumbe kuna matatizo hivi siend ng'oooo 🤣🤣
Nakukubali Sana Mr pimbi ..Niko south Africa nakufatiliha Sana from Cape town
Mozeee ni wewe au ni yupi? Shouts nying enzi za Mysore
Swala la uko South linahusu nini sasa? Wabongo muache ushamba
Hahahahahaha wajinga kweli nyinyi sasa kama yuko na yard ya magari mbona gari niizo tatu tu mafala kweli nyie
Haka kajamaa hehehe 😂😂😂😂wembamba wa reli
Uswahili mtupu hmn kitu mtu hawez kujieleza kiasi ichoooo km hajapangwaaaaaa🙌🏿
uongo huwo pimbi mmejipanga kumchafua harmoneze, yani mnasumbuka sana harmoneze yupu juu tu mtaongea sana mwenzenu anasonga mbele
Hayo magari tumeyasikia siku nyingi hasa ile ya kwanza lakini hatujaona akikabidhiwa funguo za gari au hata kuendesha tu. Sasa nani ananunue magari mawili Kwa mpigo yanayofanana wakidai ni mapya halafu ampe MTU mmoja na tusione akimiliki hata moja ni plate namba tu ambazo MTU anaweza kuzitengeneza . Sio kila kitu kuamini tu jaribu kutumia na mawazo yako ukajiuliza
Pimbi tuonyeshe gari yako na gari ya mama yako au baiskeli ya mkeo yaaniwatanzania wivuuuuuu utafikiri sio wasanii wenzii basi na wewe wakakuazime nyoko Sana wewe
Ok atayarudisha baada ya harusi
Tutaaminije kuwa umempigia Athumani. Siyo kuwa huyo ni Athumani fake!!?
Wabongo kwa wivu nimeeanyooshea mikono
True man
Mr Pimbi Anampigia simu Rayvanny 😂😂😂