Kijitonyama Uinjilisti Choir | BADO LIPO TUMAINI | Official Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Wimbo: Bado Lipo Tumaini
    Artist: Kijitonyama Uinjilisti Choir
    Katika wakati huu na nyakati zingine zenye changamoto za maisha kwa wanaadamu kiasi cha kupoteza matumaini. Pale ambapo Akili zetu, Sayansi, Utaalam, Elimu na Mamlaka zinapoteza matumaini.
    Neno la Mungu linasema BADO LIPO TUMAINI kwa kila aaminiye. Kwake Yesu Kuna Tumaini.
    / kijitonyamauinjilistic...
    / kijitonyamauinjilisti

Комментарии • 244

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 4 года назад +20

    Watu wako bize na akina Diamondi na Alikiba wakati kwa Mungu kuna mziki mzuri km huu! Daaa what a song!! Mbarikiwe sana waimbaji

    • @kimsamespa8490
      @kimsamespa8490 Год назад +1

      Hata hawajui kuimba dakika Tano wimbo umeisha

  • @justinbonto.3291
    @justinbonto.3291 4 года назад +8

    Daaaahhh,mimi binafsi nawaambieni,hii kazi ina mkono wa Mungu mwenyewe na sio binadamu,hawa wanaoimba kwaajili ya binadamu waacheni wafanye hivyo wamsshapokea thawabu yao,ila Uinjilisti mmemtukuza MUNGU aishiye Mbinguni,sina chakuwapa kwa hii baraka na uponyaji wa Roho yangu,MUNGU wa mbinguni aliyewapa haya mafunuo awalipe sawasawa na mahitaji yenu.

  • @georgemkumbo496
    @georgemkumbo496 4 года назад +9

    WOOW... daah my Favaourable song jamaan.. Niliisikia hii wakiwa WASAFI FM.. Gongo like hapa

  • @stevana.ally.
    @stevana.ally. 4 года назад +22

    Amen mungu Ni mungu tu kama unajuwa hiyo nipe like hapo

  • @charlzysaul3257
    @charlzysaul3257 3 года назад +3

    Ongera Dr umeimba vizuri Sana

  • @sabogakalokile5426
    @sabogakalokile5426 4 года назад +3

    Hakika lipo Tumaini Kwakila anaemwamini Mungu mbarikiwe sn kwa huduma ya uimbaji.

  • @mosesmanyiga1021
    @mosesmanyiga1021 4 года назад +13

    Wonderful msg,, vyombo vimetulia,,muziki umepangiliwa vilivyo na umeendana na sauti za waimbaji!,,Nawapenda

  • @lilianboimanda7443
    @lilianboimanda7443 4 года назад +17

    Haleluyaaaaaa BADO LIKO TUMAINI💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤na corona itapita.....na hali ngumu.itapitaaaaaa......BADO TUMAINI.....KWA KILA AAMINIYE...YESU KRISTOOO NDIYE TUMAINI😊😊😊😊😊

  • @alexkadiva722
    @alexkadiva722 4 года назад +7

    Hakika lipo Tumaini @kijitonyamauinjilistichoir Mmejua kutuimarisha hasa kwenye kipindi hiki kigumu dunia nzima tunachopitia wengine wanapozidi kutupa wasiwasi nyie mmefanya jukumu lenu Mungu azidi kuwabariki

  • @cynthiaprince277
    @cynthiaprince277 4 года назад +3

    Mungu azidi kuwainua watu wa Mungu

  • @shukrankifyasi1500
    @shukrankifyasi1500 4 года назад +1

    Kwaya nzuri sana kila saaa nasikiliza hiiituui

  • @dontweve5259
    @dontweve5259 3 года назад +1

    Majila haya mungu baba umesimamasha dunia midomo imefungwa lakini wewe hulali Wala husinzii.sayansi kamwe haviwezi kushinda na wewe uhimidiwe baba lakini bado lipo tumaini kwa kila atumainiye kwako baba hatubanduki🤲🤲🤲🤲

  • @ushirikaeleraichoirarusha6582
    @ushirikaeleraichoirarusha6582 4 года назад +3

    Safi sana

  • @christinamwakibolwa3000
    @christinamwakibolwa3000 4 года назад +2

    Amina hakika bado lipo tumaini

  • @obeth.e.mwasabwite4444
    @obeth.e.mwasabwite4444 4 года назад +2

    Mungu yupo kila siku na tumaini pekee katika maisha ya Mwanadamu. Hongerani kwa utumishi wenu.
    Hakika Mungu aliwavusha Wanaizrael pale walipo kosa tumaini. Tuangalie tumaini letu lilipo ili tuvuke katika majira haya.

  • @gadielketto5171
    @gadielketto5171 4 года назад +24

    Wimbo mzuri, ujumbe mzuri, video nzuri, hapa narudia rudia tu kuangalia na kusikiliza. Mbarikiwe sana wapendwa.

  • @nicksonkibona8966
    @nicksonkibona8966 3 года назад +1

    Aisee ii nyimbo Kali cjawai ona ni balaa

  • @esthersemfuko9344
    @esthersemfuko9344 3 года назад +1

    Nimependa sana,Bado lipo tumaini kwa kila aminiye Yesu,

  • @rodmaster12
    @rodmaster12 4 года назад +3

    Nasubiria tumaini

  • @fredyjames7019
    @fredyjames7019 3 месяца назад

    Huu wimbo ulikuwa ukinipa matumaini makubwa sana kipindi kile cha corrona #bado lipo tumaini.

  • @nyambabazichantal3231
    @nyambabazichantal3231 4 года назад +4

    Nice song can’t wait

  • @happymushi1907
    @happymushi1907 4 года назад +5

    Aisee hii nyimbo ni balaa. video haichoshi kutizama. hongereni sana wapendwa. kweli kwa Yesu lipo tumaini

  • @shukrankifyasi1500
    @shukrankifyasi1500 4 года назад +3

    Nyimbo nzuri

  • @ivanmatalu4028
    @ivanmatalu4028 4 года назад +4

    Kazi nzuri ya Mungu. Ahsante kwa kutubariki. Mbarikiwe watu wa Mungu.

  • @richardemanuel4617
    @richardemanuel4617 Год назад

    Mungu kweli wewe ni Mungu mwenye wivu na hakina uliko tutoa kwa akili zetu tusingeliweza kufanya kitu chochote Nakurudishia sifa na Utukufu katika kiti chako cha Enzi

  • @davidit3695
    @davidit3695 2 года назад +1

    receive my congratulation from the church of Christ Church Nakasongola South Sudan-A.I.C Juba.
    We really enjoy all you preaching through the Gospel Music. May God bless each one of you

  • @epiphaniamichael6058
    @epiphaniamichael6058 4 года назад +9

    Hongereni watumishi wa BWANA kwa kazi njema, mmekuwa faraja kwa mataifa, MUNGU wa mbinguni akawinue na kuwatumia zaidi ktk huduma yake, utukukufu wa YESU. LOVE YOUUU

  • @mujunikyaruzi9462
    @mujunikyaruzi9462 4 года назад +4

    Mungu awabariki KIJITO kwa ibada hii njema kwa Yehova, katika kipindi hiki kigumu. Tunaabudu pamoja nanyi.

  • @HealingWorshipTeam
    @HealingWorshipTeam 3 года назад +1

    amen ndugu katika kristo wimbo mzuri sana

  • @philemonmweleka4767
    @philemonmweleka4767 4 года назад +3

    Oyooooooooo.. mbarikiwe sanaaaaaa kijitooooooo

  • @edwinjohn1852
    @edwinjohn1852 4 года назад +3

    #Badolipotunaini🙏🙏🙏🙏

    • @neemawinyael8944
      @neemawinyael8944 4 года назад

      Yesu aendelee kuwashika kwa mkono wake wa kuume

    • @irenemwakyami641
      @irenemwakyami641 4 года назад

      My all time favourite choir💚nabarikiwa sana na hii nyimbo na hii video nimeisubiri leo aki iko poa

  • @emanuelmurumbi6946
    @emanuelmurumbi6946 Год назад +1

    I can hardly get enough of this tremendous song...EMANUEL MURUMBI from kiteto Manyara TZ.......!!!!

  • @everlight6
    @everlight6 4 года назад +5

    #badolikotumaini kwa Yesu. Utukufu ubaki kuwa wako peke yako Yesu uliyewezesha kazi hii. Mungu awabariki watumishi. Kila atakayesikia akabarikiwe na wimbo huu na ukamvushe

  • @chrisspere6147
    @chrisspere6147 4 года назад +2

    Wimbo mzuri sana unampa mtu tumaini ya kwamba Mungu wetu huwa anaingia kazini pale binadamu mnapo karibia kukata tamaa kutokana na jaribu lililo mbele yenu.

  • @shukrankifyasi1500
    @shukrankifyasi1500 4 года назад +3

    napenda hawa Jama balaa

  • @pendaelomari704
    @pendaelomari704 4 года назад +2

    Amen.Kama Mungu aishivyo.Barikiweni

  • @annakweka9614
    @annakweka9614 4 года назад +6

    Mungu Awabariki sana Watumishi wa Mungu Kijitonyama Uinjilisti Choir kwa kazi nzuri ya kuhubiri kwa njia ya uimbaji..Mpewe hatua moja zaidi na Mungu katika Utumishi wenu.Amen🙏🏻

  • @elkanamtangoo9768
    @elkanamtangoo9768 4 года назад +4

    Hongereni sana

  • @emmanuellyatuu4103
    @emmanuellyatuu4103 4 года назад +3

    “Wewe hulali, wala husinzii.Unaujua mwanzo wetu hata mwisho wetu.”!
    🙏🏿🙏🏿🙏🏿🎸🎺🎷

    • @Nelsonjulio858
      @Nelsonjulio858 2 года назад

      May you translate please, I love the song but I can't understand Swahili

  • @muriithipaul8559
    @muriithipaul8559 3 года назад +1

    AMINA mbarikiwe sana tena sana ,,kwa ujumbe mziri,, nani kama yaweh!!!bado tumaini lipo,AAAAmEeeeen

  • @boniphace1
    @boniphace1 4 года назад +3

    Hallelujah Hallelujah...MUNGU amewatunza. Niliwapenda nikiwa mdogo na kuweka alama moyoni mwangu hata sasa

  • @nyambabazichantal3231
    @nyambabazichantal3231 4 года назад +4

    Good job i will waiting the song

  • @festojames2922
    @festojames2922 2 года назад +1

    MUNGU wa mbingun awatunze!!!!!

  • @evapoul4297
    @evapoul4297 4 года назад +1

    Amen,liko tumaini kubwa kwa yesu

  • @undulemwalukasa7061
    @undulemwalukasa7061 4 года назад +1

    Asante Kijitonyama huwa nabarikiwa sana na uimbaji wenu

  • @robertmodestmushema1297
    @robertmodestmushema1297 4 года назад +2

    Daah.. wimbo mzuri sana, vyombo vimepangiliwa vizuri, masoloist wamejaa vizuri. Broo Morgan sauti kali vile vile.
    HUDUMA YENU NI NJEMA SANA

  • @levinamachui9293
    @levinamachui9293 4 года назад +5

    Mungu aendelee kuwatumia atakavyo Kijitonyama uinjilisti kwaya.

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 2 года назад

    Kwakweli Mungu awabariki sana kwa kutia moyo nawapenda yangu nilipowajua hamjawahi kuchuja na Mungu awakumbuke kila moja kwa hitaji lake maana mmejitoa kwake

  • @dativapeter1204
    @dativapeter1204 3 года назад +1

    Nawapenda kijitonyama choir mnaimba vizuri toka zamani Mungu awabariki sana haipiti siku sijasikiliza nyimbo zenu ❤️❤️❤️

  • @renithaluzabico7622
    @renithaluzabico7622 4 года назад +3

    waaao.nilikuwa nasubiria

  • @saulmunisy6176
    @saulmunisy6176 4 года назад +3

    Shikamooo the kijitonyama.. Nyiye Yesu yumo ndani yenu kwelii

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 4 года назад +4

    Mmm!! Mbona mnanitamanisha jamani. Naisubiri kwa hamu hii kazi.

  • @emmanuelkyando8799
    @emmanuelkyando8799 4 года назад +2

    Amina

  • @geraldnyawehe7421
    @geraldnyawehe7421 3 года назад

    Mungu awape moyowakumtumikiya mungu kwani anaweza mbarikiwesana

  • @nyemosawasawa901
    @nyemosawasawa901 Год назад

    Wimbo huu unanifikirisha sana . Utabaki kuwa Mungu tu daima.

  • @emmanuelmungatta7928
    @emmanuelmungatta7928 4 года назад +1

    Hakika bado Lipo Tumaini kwake aaminiye...Mungu awabariki

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 4 года назад +3

    Nice song,nice video.👏🏻👏🏻👏🏻

  • @esthermchome9122
    @esthermchome9122 4 года назад +3

    Mbarikiwe sana wapendwa nice msg . nimebarikwaa Sana'a. Mungu azidi kuwatunza mzidi kufanya uinjilisti mwemaa

  • @michaelemanuel42
    @michaelemanuel42 4 года назад +1

    Mungu mkubwa kila wkt mbarikiwe

  • @eliufoosimonchuri4160
    @eliufoosimonchuri4160 Месяц назад

    Huwa tunasahau, lakini Bwana alituvusha sana. Hakika ni neema, hakikuwa kipindi rahisi.

  • @leahkyusa6732
    @leahkyusa6732 4 года назад +4

    Bado lipo Tumaini kwa Yesu. Twasubiri

    • @janethsteven7123
      @janethsteven7123 3 года назад +1

      Waooooooo ni wimbo wenye ujumbe muhimu sanaaaaa

  • @user-td2hj1ol2u
    @user-td2hj1ol2u 11 месяцев назад

    Kweli Mungu nimbilio letu hakika wimbo huu unanibariki sana

  • @adamchambo12
    @adamchambo12 3 года назад +1

    Nawaona hongera Sana waimbaji hawa,uimbaji huu sio uimbaji wakitoto,Bali ni wakiutuuzima,nyimbo nzuri Sana,vyombo vimetulia,waimbaji hawamezi maneno yanasikika vyema,ujumbe Nani ya nyimbo mungu awabariki

  • @TumpeLaghton
    @TumpeLaghton 10 месяцев назад

    Nafarijika sana pia najisikia kupona Asante Yesu

  • @missio-deitv.786
    @missio-deitv.786 4 года назад +3

    Hongereni sana wapendwa watumishi wa Mungu. Hakika bado lipo tumaini.

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 4 года назад +3

    Shikamoo Kijitonyama. 🙌🙌🔥🔥🔥👌👌

  • @martinesiaffu2152
    @martinesiaffu2152 3 года назад

    Huu ni wimbo wa Mwaka Kijito mbarikiwe sana.

  • @rachelmulonda6648
    @rachelmulonda6648 4 года назад +1

    Nawapenda saana

  • @tudovagephilemon8673
    @tudovagephilemon8673 4 года назад +2

    Wazeee wa viwango🙌🙌

  • @geraldnyawehe7421
    @geraldnyawehe7421 3 года назад

    Piya ikimpendeza mungu anayetupa pumzi tunawamba mjemtutiye hamasakwakututiya moyo kwaniusharika wetu ndiyounanza king'anzi a mtaa wasegerea

    • @UinjilistiKijito
      @UinjilistiKijito  3 года назад

      Amina mpendwa Mungu akitupa kibali tutashiriki nanyi ibada ,
      Hivyo basi mnaweza kuwasiliana na uongozi wa kwaya kupitia Email ya.. kijitochoir@gmail.com

  • @undulemwalukasa7061
    @undulemwalukasa7061 4 года назад +1

    Asante kijito Mungu awabariki kwa uimbaji mzuri mnanibariki sana.🙏

  • @ericknampesya8835
    @ericknampesya8835 Год назад

    Mungu azidi kuwabariki Sana Kijitonyama.

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 3 года назад

    Bado lipo tumani 2021 Mungu awabariki sana watumishi🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @joekalole1407
    @joekalole1407 3 года назад

    Kazi nzr sana hakika nmebarikiwa

  • @maikobalack6789
    @maikobalack6789 2 года назад

    Huu wimbo ndo uliyo nifungua na kunipa amani

  • @blessednassary8432
    @blessednassary8432 Год назад

    Mbarikiwe mnoo Kijitonyama Singers

  • @johntee7016
    @johntee7016 2 месяца назад

    Am so much blessed from Kenya.

  • @zeldamambosho6862
    @zeldamambosho6862 4 года назад +3

    #Badolipotumaini 🔥

  • @martinesiaffu2152
    @martinesiaffu2152 3 года назад

    Hakika Lipo Tumaini Hongera Kijito.

  • @pendomboya4381
    @pendomboya4381 Год назад

    Jmn nyimbo ni nzuri sana zimejaa na nguvu ya Mungu sana MUNGU IBARIKI KWAYA YANGU PEDWA.

  • @marthachite5572
    @marthachite5572 4 года назад

    Mungu awatunze kwa utumishi wenu nilbarkiwa mlpokuja Kimara,karibuni Tenaaa ,nawapendaaaa

  • @amanikillo5529
    @amanikillo5529 Год назад

    Huu wimbo ni mtamu sana kuusikiliza... Pia wimbo huu umejaa Tumaini... Barikiweni wanakwaya wote...

  • @danielmlwafu4380
    @danielmlwafu4380 10 месяцев назад

    Wimbo mzuri sana, vijana tujue hili maana wanapenda bongo fleva.....
    🌱 🌲 🎄 🍇

  • @charlesaketch3264
    @charlesaketch3264 4 года назад

    Jamani mungu ambariki ndugu Cosmas chidumule ametumia mema kipaji chake vyema huu wimbo nimmeusikia leo ebenezer nikiwa Dublin Ireland barikiwa watoto wangu wapenda sana simba wayuda japo ni kingereza ndicho wanajuwa karibu nataraji mungu akipenda siku moja utakutanao

    • @Gwaselya
      @Gwaselya 4 года назад

      Huyo si Chidumule ni Modest Morgan ni muimbaji mkongwe wa kwaya hii

  • @danielkilua9581
    @danielkilua9581 3 года назад

    Nafurahia kwaya nzuri

  • @annasengenge4285
    @annasengenge4285 Год назад

    Sololist umeweza aiseee

  • @newtonmichael4599
    @newtonmichael4599 3 года назад

    Unabii juu ya uponyaji wa Corona Tanzania, mbarikiwe

  • @isacklwechungura6067
    @isacklwechungura6067 3 года назад +1

    Hamjawahi niangusha aisee BARIKIWA SANA 👏💖💯

  • @festojames2922
    @festojames2922 2 года назад +1

    MUNGU wa mbinguni awtunze

  • @nasibumganda7693
    @nasibumganda7693 4 года назад +2

    Whata Sound!!🔥🔥 My Favourite Since Way Baaaaack🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bishoplucasmbedulejudah9348
    @bishoplucasmbedulejudah9348 4 года назад +2

    Nice choir ,I love it

  • @upendomwalupogo462
    @upendomwalupogo462 4 года назад

    Ameni ni kimbilio langu

  • @NyotaBalolane.
    @NyotaBalolane. 4 года назад

    Muku kwetu ni kimbiliyo kweli sana aliye ni towa chini ya gari Asante baba wa mbinguni "nyakati" song by rose shilanda ukiandika tu ROSE SHILANDA

  • @ngasamjwauzi6277
    @ngasamjwauzi6277 4 года назад +1

    fire fireeeeeee

  • @azizizabron7792
    @azizizabron7792 5 месяцев назад

    Bado lipo tumaini kwa Yesu

  • @florickathurima5964
    @florickathurima5964 4 года назад +4

    Thank you very much for this Uplifting Gospel Song that is much needed this times We are living in. Indeed there's still Great Hope in Jesus Christ. This my favorite Gospel Choir for many years .May God continue using You in The Ministry. God bless you All. Thanks again for the Great Message.

  • @hildayona852
    @hildayona852 Год назад

    Amen tunabariki mno

  • @simonsonelo1467
    @simonsonelo1467 4 года назад +3

    Amen!

  • @penieltarimo4611
    @penieltarimo4611 4 года назад

    Ahsanteni na utumishi wenu leo Kimara K.K.KT hakika tumebarikiwa, MALEGENDARI

  • @esterghuliku4393
    @esterghuliku4393 3 года назад

    Mungu aliye juu awainue kwenye huduma yenu hii.....mkajawe kila aina ya baraka