Kijitonyama Uinjilisti Choir | BADO LIPO TUMAINI | Official Video
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Wimbo: Bado Lipo Tumaini
Artist: Kijitonyama Uinjilisti Choir
Katika wakati huu na nyakati zingine zenye changamoto za maisha kwa wanaadamu kiasi cha kupoteza matumaini. Pale ambapo Akili zetu, Sayansi, Utaalam, Elimu na Mamlaka zinapoteza matumaini.
Neno la Mungu linasema BADO LIPO TUMAINI kwa kila aaminiye. Kwake Yesu Kuna Tumaini.
/ kijitonyamauinjilistic...
/ kijitonyamauinjilisti
Watu wako bize na akina Diamondi na Alikiba wakati kwa Mungu kuna mziki mzuri km huu! Daaa what a song!! Mbarikiwe sana waimbaji
Hata hawajui kuimba dakika Tano wimbo umeisha
Daaaahhh,mimi binafsi nawaambieni,hii kazi ina mkono wa Mungu mwenyewe na sio binadamu,hawa wanaoimba kwaajili ya binadamu waacheni wafanye hivyo wamsshapokea thawabu yao,ila Uinjilisti mmemtukuza MUNGU aishiye Mbinguni,sina chakuwapa kwa hii baraka na uponyaji wa Roho yangu,MUNGU wa mbinguni aliyewapa haya mafunuo awalipe sawasawa na mahitaji yenu.
WOOW... daah my Favaourable song jamaan.. Niliisikia hii wakiwa WASAFI FM.. Gongo like hapa
Amen mungu Ni mungu tu kama unajuwa hiyo nipe like hapo
Mungu ni mungu tu
Ongera Dr umeimba vizuri Sana
Hakika lipo Tumaini Kwakila anaemwamini Mungu mbarikiwe sn kwa huduma ya uimbaji.
Wonderful msg,, vyombo vimetulia,,muziki umepangiliwa vilivyo na umeendana na sauti za waimbaji!,,Nawapenda
Haleluyaaaaaa BADO LIKO TUMAINI💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤na corona itapita.....na hali ngumu.itapitaaaaaa......BADO TUMAINI.....KWA KILA AAMINIYE...YESU KRISTOOO NDIYE TUMAINI😊😊😊😊😊
Hakika lipo Tumaini @kijitonyamauinjilistichoir Mmejua kutuimarisha hasa kwenye kipindi hiki kigumu dunia nzima tunachopitia wengine wanapozidi kutupa wasiwasi nyie mmefanya jukumu lenu Mungu azidi kuwabariki
Mungu azidi kuwainua watu wa Mungu
Kwaya nzuri sana kila saaa nasikiliza hiiituui
Majila haya mungu baba umesimamasha dunia midomo imefungwa lakini wewe hulali Wala husinzii.sayansi kamwe haviwezi kushinda na wewe uhimidiwe baba lakini bado lipo tumaini kwa kila atumainiye kwako baba hatubanduki🤲🤲🤲🤲
Safi sana
Amina hakika bado lipo tumaini
Mungu yupo kila siku na tumaini pekee katika maisha ya Mwanadamu. Hongerani kwa utumishi wenu.
Hakika Mungu aliwavusha Wanaizrael pale walipo kosa tumaini. Tuangalie tumaini letu lilipo ili tuvuke katika majira haya.
Wimbo mzuri, ujumbe mzuri, video nzuri, hapa narudia rudia tu kuangalia na kusikiliza. Mbarikiwe sana wapendwa.
Mie hivohivo
Bado lipo Tumaini. ..Mungu wetu hata sasa ametusaidia. ..
Aisee ii nyimbo Kali cjawai ona ni balaa
Nimependa sana,Bado lipo tumaini kwa kila aminiye Yesu,
Nasubiria tumaini
Huu wimbo ulikuwa ukinipa matumaini makubwa sana kipindi kile cha corrona #bado lipo tumaini.
Nice song can’t wait
Nipo tayari kuipokea
Aisee hii nyimbo ni balaa. video haichoshi kutizama. hongereni sana wapendwa. kweli kwa Yesu lipo tumaini
Nyimbo nzuri
Kazi nzuri ya Mungu. Ahsante kwa kutubariki. Mbarikiwe watu wa Mungu.
Mungu kweli wewe ni Mungu mwenye wivu na hakina uliko tutoa kwa akili zetu tusingeliweza kufanya kitu chochote Nakurudishia sifa na Utukufu katika kiti chako cha Enzi
receive my congratulation from the church of Christ Church Nakasongola South Sudan-A.I.C Juba.
We really enjoy all you preaching through the Gospel Music. May God bless each one of you
Hongereni watumishi wa BWANA kwa kazi njema, mmekuwa faraja kwa mataifa, MUNGU wa mbinguni akawinue na kuwatumia zaidi ktk huduma yake, utukukufu wa YESU. LOVE YOUUU
Kweli lipo tumaini
Mungu awabariki KIJITO kwa ibada hii njema kwa Yehova, katika kipindi hiki kigumu. Tunaabudu pamoja nanyi.
Kwangu lipo tumaini
amen ndugu katika kristo wimbo mzuri sana
Oyooooooooo.. mbarikiwe sanaaaaaa kijitooooooo
#Badolipotunaini🙏🙏🙏🙏
Yesu aendelee kuwashika kwa mkono wake wa kuume
My all time favourite choir💚nabarikiwa sana na hii nyimbo na hii video nimeisubiri leo aki iko poa
I can hardly get enough of this tremendous song...EMANUEL MURUMBI from kiteto Manyara TZ.......!!!!
#badolikotumaini kwa Yesu. Utukufu ubaki kuwa wako peke yako Yesu uliyewezesha kazi hii. Mungu awabariki watumishi. Kila atakayesikia akabarikiwe na wimbo huu na ukamvushe
Wimbo mzuri sana unampa mtu tumaini ya kwamba Mungu wetu huwa anaingia kazini pale binadamu mnapo karibia kukata tamaa kutokana na jaribu lililo mbele yenu.
napenda hawa Jama balaa
Amen.Kama Mungu aishivyo.Barikiweni
Mungu Awabariki sana Watumishi wa Mungu Kijitonyama Uinjilisti Choir kwa kazi nzuri ya kuhubiri kwa njia ya uimbaji..Mpewe hatua moja zaidi na Mungu katika Utumishi wenu.Amen🙏🏻
Hongereni sana
“Wewe hulali, wala husinzii.Unaujua mwanzo wetu hata mwisho wetu.”!
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🎸🎺🎷
May you translate please, I love the song but I can't understand Swahili
AMINA mbarikiwe sana tena sana ,,kwa ujumbe mziri,, nani kama yaweh!!!bado tumaini lipo,AAAAmEeeeen
Hallelujah Hallelujah...MUNGU amewatunza. Niliwapenda nikiwa mdogo na kuweka alama moyoni mwangu hata sasa
Good job i will waiting the song
MUNGU wa mbingun awatunze!!!!!
Amen,liko tumaini kubwa kwa yesu
Asante Kijitonyama huwa nabarikiwa sana na uimbaji wenu
Daah.. wimbo mzuri sana, vyombo vimepangiliwa vizuri, masoloist wamejaa vizuri. Broo Morgan sauti kali vile vile.
HUDUMA YENU NI NJEMA SANA
Mungu aendelee kuwatumia atakavyo Kijitonyama uinjilisti kwaya.
Kwakweli Mungu awabariki sana kwa kutia moyo nawapenda yangu nilipowajua hamjawahi kuchuja na Mungu awakumbuke kila moja kwa hitaji lake maana mmejitoa kwake
Nawapenda kijitonyama choir mnaimba vizuri toka zamani Mungu awabariki sana haipiti siku sijasikiliza nyimbo zenu ❤️❤️❤️
Amina Dativa. Sifa na Utukufu kwa Mungu
waaao.nilikuwa nasubiria
Shikamooo the kijitonyama.. Nyiye Yesu yumo ndani yenu kwelii
Mmm!! Mbona mnanitamanisha jamani. Naisubiri kwa hamu hii kazi.
Sanaaa
Amina
Mungu awape moyowakumtumikiya mungu kwani anaweza mbarikiwesana
Wimbo huu unanifikirisha sana . Utabaki kuwa Mungu tu daima.
Hakika bado Lipo Tumaini kwake aaminiye...Mungu awabariki
Nice song,nice video.👏🏻👏🏻👏🏻
Mbarikiwe sana wapendwa nice msg . nimebarikwaa Sana'a. Mungu azidi kuwatunza mzidi kufanya uinjilisti mwemaa
Mungu mkubwa kila wkt mbarikiwe
Huwa tunasahau, lakini Bwana alituvusha sana. Hakika ni neema, hakikuwa kipindi rahisi.
Bado lipo Tumaini kwa Yesu. Twasubiri
Waooooooo ni wimbo wenye ujumbe muhimu sanaaaaa
Kweli Mungu nimbilio letu hakika wimbo huu unanibariki sana
Nawaona hongera Sana waimbaji hawa,uimbaji huu sio uimbaji wakitoto,Bali ni wakiutuuzima,nyimbo nzuri Sana,vyombo vimetulia,waimbaji hawamezi maneno yanasikika vyema,ujumbe Nani ya nyimbo mungu awabariki
Nafarijika sana pia najisikia kupona Asante Yesu
Hongereni sana wapendwa watumishi wa Mungu. Hakika bado lipo tumaini.
Shikamoo Kijitonyama. 🙌🙌🔥🔥🔥👌👌
Huu ni wimbo wa Mwaka Kijito mbarikiwe sana.
Nawapenda saana
Wazeee wa viwango🙌🙌
Piya ikimpendeza mungu anayetupa pumzi tunawamba mjemtutiye hamasakwakututiya moyo kwaniusharika wetu ndiyounanza king'anzi a mtaa wasegerea
Amina mpendwa Mungu akitupa kibali tutashiriki nanyi ibada ,
Hivyo basi mnaweza kuwasiliana na uongozi wa kwaya kupitia Email ya.. kijitochoir@gmail.com
Asante kijito Mungu awabariki kwa uimbaji mzuri mnanibariki sana.🙏
Mungu azidi kuwabariki Sana Kijitonyama.
Bado lipo tumani 2021 Mungu awabariki sana watumishi🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi nzr sana hakika nmebarikiwa
Huu wimbo ndo uliyo nifungua na kunipa amani
Mbarikiwe mnoo Kijitonyama Singers
Am so much blessed from Kenya.
#Badolipotumaini 🔥
Hakika Lipo Tumaini Hongera Kijito.
Amen mpendwa! Bado lipo tumaini
Jmn nyimbo ni nzuri sana zimejaa na nguvu ya Mungu sana MUNGU IBARIKI KWAYA YANGU PEDWA.
Mungu awatunze kwa utumishi wenu nilbarkiwa mlpokuja Kimara,karibuni Tenaaa ,nawapendaaaa
Huu wimbo ni mtamu sana kuusikiliza... Pia wimbo huu umejaa Tumaini... Barikiweni wanakwaya wote...
Wimbo mzuri sana, vijana tujue hili maana wanapenda bongo fleva.....
🌱 🌲 🎄 🍇
Jamani mungu ambariki ndugu Cosmas chidumule ametumia mema kipaji chake vyema huu wimbo nimmeusikia leo ebenezer nikiwa Dublin Ireland barikiwa watoto wangu wapenda sana simba wayuda japo ni kingereza ndicho wanajuwa karibu nataraji mungu akipenda siku moja utakutanao
Huyo si Chidumule ni Modest Morgan ni muimbaji mkongwe wa kwaya hii
Nafurahia kwaya nzuri
Sololist umeweza aiseee
Unabii juu ya uponyaji wa Corona Tanzania, mbarikiwe
Hamjawahi niangusha aisee BARIKIWA SANA 👏💖💯
MUNGU wa mbinguni awtunze
Whata Sound!!🔥🔥 My Favourite Since Way Baaaaack🔥🔥🔥🔥🔥
Nice choir ,I love it
Ameni ni kimbilio langu
Muku kwetu ni kimbiliyo kweli sana aliye ni towa chini ya gari Asante baba wa mbinguni "nyakati" song by rose shilanda ukiandika tu ROSE SHILANDA
fire fireeeeeee
Bado lipo tumaini kwa Yesu
Thank you very much for this Uplifting Gospel Song that is much needed this times We are living in. Indeed there's still Great Hope in Jesus Christ. This my favorite Gospel Choir for many years .May God continue using You in The Ministry. God bless you All. Thanks again for the Great Message.
Amen tunabariki mno
Amen!
Ubarikiwe kwa huduma kijitonyama
Ahsanteni na utumishi wenu leo Kimara K.K.KT hakika tumebarikiwa, MALEGENDARI
Mungu aliye juu awainue kwenye huduma yenu hii.....mkajawe kila aina ya baraka