Subirini rais Raisi yuko wapi? Walisema Israel haitaweza subirini Hamas inaaendeleaje?sinhwar na Ishmael? Acha wanaume wapambane. Msishabikie msiyojua jengeni Tz
mnaweka mambo kishabiki sana,vita si kitu cha kushabikia mnaonyesha uwezo mdogo wa kujua mambo.Maisha ya mu Iran mmoja na muisraeli mmoja na mpalestina yanathamani sana,mbele za Mungu vita havina mshindsi,dawa ni kusimamisha vita vyote hivi.
unajua chanzo chavita hii Israel na watu wamaghalibi pamoja namarekani wanataka kuiondoa Palestina ili watawale wao kituambacho Irani hawezi kukivumilia anaungana na lebanoni pamoja nayemeni kuwazuia mazalimu Hawa kuuwa watu hovyo dini ya kiislamu imekataza kuuwana hovyo ispokua auliwe alieuwa bila sababu
Inatakiwa ufahamu marekani na watu wamaghalibi hawataki mashariki yakati kutawalike maana nihatalikwao wanamasilahi Yao halamu naislaer akiwa kama mlizi wamasilahi Yao ndomana wanamsapoti kuuwawatu hovyo
@@rashidiiddi2433 hawana maslahi yeyote mmepewa elimu fake,wale sio wayahudi wa kweli walioandikwa katika biblia na pale sio Israel ni nchi ya palestina ya waarabu.Lile ni freemason nation,waisrael wa kweli walikuwa watu weusi,wala hapana nabii katika biblia alikuwa mweupe,mfano wewe muislam bwana Mtu katika hadithi sahihi alisema Musa alikuwa mtu wa rangi gani?ni jambo la wazi kabisa mweusi tii msudan,Israel ya kweli ni chin ya misri sudan ethiopia kenya uganda tz mapaka msumbiji wamebadili histroria leo wanauwa watu wasio na hatia.Shida tumepewa elimu ya bandia.Hazina yote ya utajiri na akili ya dunia wameiba afrika leo wanatutawala
Waisraili wa ongo kazi yawo kujitamba 2 wakati ule walisema wameyanasa makombara yawo takiribani asilimiya 90 mwisho wa siku tukaona uharibifu mkubwa leyo wanatwambiya asilimiya 90 yamakombora ya israili yamepiga Irani lakini tumeangaliya kila linalokuja linanaswa
Irani mwanaume izrael mashoga wanalindwa na mashoga wenzao, ukifatilia mambo utagundua iran anapigana na mataifa mawili. Sasa mashambulizi yao hayajafuwa dafu, tofauti ni wao walivyo shambuliwa.
Ninandg yang anaishi iran sehem iitwayo asfehn anasema kua hakuna hta tone moja lakombora lililo dondoka ktk ardhi ya iran watu wote waliendelea nashughli zao km kawaida2 😂 wakt sk ile 1october izrail nikm nchi nzima ilikua likizo kote ving'ora had hospital zilifungwa🤣🤣 myahudi muoga sna ndomaana anapigana nawatoto nakina mama badala apigane nawanaume wenzake km iran🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🕋🕋🕋🕋🕋
Duu!!!! Kama kweli irani wana mifumo mizuri hivo,,, basi wakafunge Lebanon na Gaza,, shida ss wabongo hatuna vyombo vya habari kutuletea ripoti za uhakika,, tumebaku kupepetwa km dagaa.
@@maxomari3542 hata wewe umeaminishwa km mimi nisivo amini,, maana hatuna ripota kule iran na Israel,, mfano vyombo vyote vya habari vinavoegemea upande wa magharibi haviruhusiwi kuwepo Iran.
Unazungumzia vyombo vya bongo? TBC au? kama hapa ndani tu vyombo vyote vimekuwa Praise team ya chama fulani, huko nje vikafuate nini? Wako busy ku-report uchaguzi wa serikali za mitaa
IRANI AITA RUDISHA MAJIBU MENGINE SABABU HAKUNA UWALIBIFU MKUBWA KAMA MNAKUMBUKA ISRAEL ILILIPIZA KISASI CHA HOVYO IRANI IKATULIA ISRAEL BADO DOGO AMTEGEMEA MAREKANI
Hao wajemi ni mabingwa wa sayansi duniani juu ya mabeberu wa kimagharibi juu ya kuwabana kwa vikwazo vyote kwa miaka mingi sana lakini wako makini sana
Tatizo la wabongo wanahisi kwamba mayahudi ni wakristo kumbe mayudi hata wakristo hawapendwi na mayahudi huko Israel na ukristo sio dini ya Israel ni dini ya Italy
Jamani,hizo ndio nguvu zote za israel na marekani?? Eti watashambulia kwa nguvu zao zote,amakweli tayari inaonekana bado wapo katika myaka yazamani hawana jipya😅😅
@@awadhsalim2680 Si mazuri, hakuna mtu mwenye huruma na mwenye kuchukia dhulma anaefurahia kinachofanywa na IDF, tutashiriki kupambambana nao kwa namna moja au nyengine. Tunawajua ni wabinafsi na wabaguzi, wakifanikiwa mission yao huko watakuja Afrika.
Vita ni propaganda...hata israel huwa hasemi athari...ni chi yoyote duniani..huwezi funua athari na udhaifu kwa adui...hubaki kuwa siri ya kabineti ya jeshi.
Iran inauwezo mkubwa kijeshi,kudunguliwa kwa makombora yote ya Israel ni pigo kubwa kwa Israel na nchi za maghari Hili shambuliz ndyo waziri wa Ulinzi wa Israel Bw. Gallant alikuwa akijitapa litakuw nikilio kwa Iran Hakika Israel ndyo ita Lay down its Arms
@@NassorBinSalum hivyo vyombo vyote vya habari kutoka Russia, china, Iran, uturuki nk, vipo u.s, kwanini wao Iran huzuiya bbc, dw, na vingi vya magharibi visiwepo ndani ya iran,, km una akili sawa jiulize!, madhara yapo makubwa,, dunia haina siri, tutasikia.
@@azizmiraji2610 sema nimechek aljazeera apa naona mifumo ya ulinz ya iran ikidungua nadhan ni ndege za muisrael km sio mabomu,,ipo vzr sana mifumo yao
Safi sana iran Allah awaongoze zaidi Amina
Naipenda sana Iran na mungu ailinde Iran bila mwisho, mimi ni congomani
Very much for you
Amina Amina
Ongera sana kwa ulinzi wa anga wa Iran...
Iran ni nchi ya kidekteta hakuna chombo cha habari nnchini humo kinaweza kusema kweli.
Iran ni mwanaumee
Wa shoka😄😄
Subirini rais Raisi yuko wapi? Walisema Israel haitaweza subirini Hamas inaaendeleaje?sinhwar na Ishmael? Acha wanaume wapambane. Msishabikie msiyojua jengeni Tz
Shambulio Hilo ni sawa na fataki za mwaka mpya tu
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂 Alhamdu lilallah
😂😂😂😂😂😂😂😂👍
Mungu mola ilinde Iran kwa lolote.baya toka kwa makelbu
Ameeen InshaaAllah 🤲🤲🤲
Amiin ya rabby
Ameen
Aaamin yaarabil aalamin
Amina
Dunia nzima inasifu mfumo wa iran
Imekuwaje wamepoteza wanajeshi wawili
@@josephwilliam5813mabaki ya makombora ndio chanzo Cha kifo
Hii ni hbr nzuri sana kwangu❤
Mungu ibariki Iran aendelee kua mtetezi wa wanyonge
Ndio watu wengi wanao ishi Iran wanasema wamesikia sauti tu ngoma haijapita ata moja
Na aljazeera wameonyesha yaliyotua chin
@@leonardjohnson2058yamedunguliwa chuma kinatua chini
@@leonardjohnson2058 hahaha labda aljazeera ya India iyo
@@mudighurayra upo zako kijiwen alf wabish a ingia hata sasa hiv
Han band l kutazama live@@leonardjohnson2058
HAYO MASHIRIKA YA HABARI YA MAGHARIBI MENGI YANAUPENDELEO WA HABARI LAKINI KWA MUNGU HAKUNA KUBWA
MashaaAllah barakaAllah fykum 🌹💐🌹❤
LKN Iran imethibitisha vifo vya wanajeshi WA IRGC
Allahu akbar,Allahu akbaru,Allahu akbar may Allah strengthen and give more powefull to iran
Shukran ziende kwa urusi aliyempa hizo rada
Ata Zikienda kw MAMAAKO N saw 2!😂
Alhamdulilah
Yes tumeona
Hiyo nd mifumo ya ulinzi ya Urusi SU-360 imefanya kazi yale marekani byebye imekufa kifo cha mende
Yap,sio kujitamba tumeona video IMEZUIA KARIBIA MAKOMBORA YOTE
So yamepita
@@leonardjohnson20581 moja tu limepiga ukuta wa nyumba ya mwenda wazimu.
@@leonardjohnson2058 Iran wame yapangua karibia makombora yote kwa mujibu wa video zilizo naswa
@@leonardjohnson2058Acha ushabiki kaka kushabikia mashoga
@@zahornassor5420 hiv kunawatu mashoga km waarabu au wajitoa akili
Iran oyeeeeeee
MashaaAllah barakaAllah fykum Iran ❤
@@AbdallaJabal-jj1sm Allah bless IRAN🫱🏻🫲🏼
mnaweka mambo kishabiki sana,vita si kitu cha kushabikia mnaonyesha uwezo mdogo wa kujua mambo.Maisha ya mu Iran mmoja na muisraeli mmoja na mpalestina yanathamani sana,mbele za Mungu vita havina mshindsi,dawa ni kusimamisha vita vyote hivi.
unajua chanzo chavita hii Israel na watu wamaghalibi pamoja namarekani wanataka kuiondoa Palestina ili watawale wao kituambacho Irani hawezi kukivumilia anaungana na lebanoni pamoja nayemeni kuwazuia mazalimu Hawa kuuwa watu hovyo dini ya kiislamu imekataza kuuwana hovyo ispokua auliwe alieuwa bila sababu
Inatakiwa ufahamu marekani na watu wamaghalibi hawataki mashariki yakati kutawalike maana nihatalikwao wanamasilahi Yao halamu naislaer akiwa kama mlizi wamasilahi Yao ndomana wanamsapoti kuuwawatu hovyo
@@rashidiiddi2433 hawana maslahi yeyote mmepewa elimu fake,wale sio wayahudi wa kweli walioandikwa katika biblia na pale sio Israel ni nchi ya palestina ya waarabu.Lile ni freemason nation,waisrael wa kweli walikuwa watu weusi,wala hapana nabii katika biblia alikuwa mweupe,mfano wewe muislam bwana Mtu katika hadithi sahihi alisema Musa alikuwa mtu wa rangi gani?ni jambo la wazi kabisa mweusi tii msudan,Israel ya kweli ni chin ya misri sudan ethiopia kenya uganda tz mapaka msumbiji wamebadili histroria leo wanauwa watu wasio na hatia.Shida tumepewa elimu ya bandia.Hazina yote ya utajiri na akili ya dunia wameiba afrika leo wanatutawala
Bado hujasema
waambie waache vita
Waisraili wa ongo kazi yawo kujitamba 2 wakati ule walisema wameyanasa makombara yawo takiribani asilimiya 90 mwisho wa siku tukaona uharibifu mkubwa leyo wanatwambiya asilimiya 90 yamakombora ya israili yamepiga Irani lakini tumeangaliya kila linalokuja linanaswa
LKN Iran imethibitisha wanajeshi WA IRGC wawili wamekufa KWA shambulio ilo
Vzr sana, lakn mjuwe hivi vita vikiisha irani wakipata ushindi basi mjuwe kiyama kitasimama
Kwahiyo waache wapigwetu wafe kisa nini kilichotapiliwa na ndivyo itakavyokua bihidhinillah
Tumeona hakuna kombora lililotuwa
Lkn wanajeshi wawili wamekufa WA iran
Mungu azidi kuilinda Iran 🇮🇷
Aamin Aamin ndg yng
Irani mwanaume izrael mashoga wanalindwa na mashoga wenzao, ukifatilia mambo utagundua iran anapigana na mataifa mawili. Sasa mashambulizi yao hayajafuwa dafu, tofauti ni wao walivyo shambuliwa.
Si mawili tu uingereza ujeruman wapo
HAO unaowaita mashoga unaitumia mitandao ya BILA software ZAO iyo smartphone YAKO ni kopo
@@josephwilliam5813kwani tunatumia bure au
@@josephwilliam5813alafu we mtumwa kumbuka hayo madini wanayotumia kutengenezea hzo simu wanachukua kwenye bara letu nchini Kongo
Hata kama lkn ni mashoga😂😂😂@josephwilliam5813
Adam Hussein, wewe ni muamba katika kuhabarisha habar, asante kwa kwa taarifa iliyonyooka
Irani tuko na nyinyi na tunawaombea kwamungu umeze kumshinda hadui
😂😂😂😂😂😂 yaani shambulio la leo nmecheka saana naona bora irani akaushe tu mambo yasiwe mengi izraeli wanatia huruma
Hahaha Wacha tutambeee wao c wanajidai wako imara Wacha tuwazalilishe
LKN Iran imethibitisha vifo vya askari WA IRGC
Acha wanyooshwe walijigamba wao ni taifa la Mungu sasa watajua kua mungu ni wa wote 😂😂😂😂😂
Hahahahah iran hatari
MashaaAllah barakaAllah fykum 🌹💐🌺
tatizo wamagharibi wanaleta udini
Mashaa Allah ngoja ngoja wapate kichapo zamu yao sasa mashetani hao izrael
Sisi tumeshazoea propaganda za Israel na bwana wake Marekani
From Uroa school Zanzibar
Dikoni
Safi sana Irani iko imara
Nilichoona ni fataki tu za mwaka mpya
Swadakta to iran allaahu akbar rudisha feedback to israhell mijikafiri Hio satanyau
Mr Boxer from zanzibar ❤❤lran
Mtangazaji unababaika nini huo ndio ubabe wa mwajemi😅
Ninandg yang anaishi iran sehem iitwayo asfehn anasema kua hakuna hta tone moja lakombora lililo dondoka ktk ardhi ya iran watu wote waliendelea nashughli zao km kawaida2 😂 wakt sk ile 1october izrail nikm nchi nzima ilikua likizo kote ving'ora had hospital zilifungwa🤣🤣 myahudi muoga sna ndomaana anapigana nawatoto nakina mama badala apigane nawanaume wenzake km iran🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🕋🕋🕋🕋🕋
Imekuwaje wamepoteza wanajeshi wawili?
BBC,VOA,RFI,DWswahli hizo ndo radio zao,zinasemaje?
Mashambulizo kwa vyombo vya Iran asaiv ni hatari......mrussi alimpa vyombo vyakuzuia mabomu..
Iran ni hatari sana
Iran kidume bhn anga yke salama kbsa Russia hongera mkinge rafiki yko kwa dhati
Hongera Iran kwa kulinda anga lako
Safi sana
Nilijua tu mashoga waoga wanapiga wanyonge tu
Hii channel bhana 😂😂😂😂 imeegemea sana kwa wa Irani
Shukran Kwa taharifa Iran oyeeee mashoga ziiiiiiii
Kabisa Iran imejipanga
msijisifu sana huenda wamefanya ivyo makusud, be carefully iran
Ongera saaaaaaaaaana Iran .........majigambo ya Israel yamegeuka aybuuuu
Duu!!!! Kama kweli irani wana mifumo mizuri hivo,,, basi wakafunge Lebanon na Gaza,, shida ss wabongo hatuna vyombo vya habari kutuletea ripoti za uhakika,, tumebaku kupepetwa km dagaa.
Sio km ni kweli ndio ilivyokua
@@maxomari3542 hata wewe umeaminishwa km mimi nisivo amini,, maana hatuna ripota kule iran na Israel,, mfano vyombo vyote vya habari vinavoegemea upande wa magharibi haviruhusiwi kuwepo Iran.
Unazungumzia vyombo vya bongo? TBC au? kama hapa ndani tu vyombo vyote vimekuwa Praise team ya chama fulani, huko nje vikafuate nini? Wako busy ku-report uchaguzi wa serikali za mitaa
Ww matako kweli kuna kumbora iliyo gusa ardhi ya iran? Hata moja
Hiyo mifuko ya ulinzi haifungwi hovyo tuu,Kwa kuogopa kuibiwa techinologia yake
Irani super power
IRAN SHIKAMOOO!!!!,
izreal imeisha ss n wakati wake
Aibu kwa iran
Iran imetisha
Iran ni kiboko ya mashoga
Marekani imepata aibu inazuga kuwa haikuhusika na Mashambuliz hayo😂
Ngoja tusikie mashoga wanasemaje
Islaer imeiogopa iran
Sasa hapa kisasi kinachokuja ndo tutajua kwanini Urusi aliondoa raia wake Israel
Jambo Zuri🎉😊
IRANI AITA RUDISHA MAJIBU MENGINE SABABU HAKUNA UWALIBIFU MKUBWA KAMA MNAKUMBUKA ISRAEL ILILIPIZA KISASI CHA HOVYO IRANI IKATULIA ISRAEL BADO DOGO AMTEGEMEA MAREKANI
JE HAO wanajeshi WA Iran waliokufa sio uharibifu Iran wamethibitisha
Naam adam
IRan ni hatari sana ana mifumo hatari sana
Waalakasalam
Wayahudi walitest mtambo umekuta iran wapo good air defence hatar sana ile asee😂😂
Leta paka atakoma mwakauu
Kuweni watulivu madhara mutayasikia kesho
Hahahhahaha aibu kwa Israel
mm nipo irani na hakuna chochote mtangazaj achauongo unalipwa na na ni ww marekan au ao mazayuni
Iran wamethibitisha vifo viwili WA IRGC KWA shambulio la Israel JE unapingana na wairan?
Kawaida Iran haikubali😂😂
apo kwenye majibu ya iran dhidi ya izrail ndio pana kizaazaa... 😂
Hivyo tayari kaifuta Iran kwenye ramani ya Dunia ?
Hao wajemi ni mabingwa wa sayansi duniani juu ya mabeberu wa kimagharibi juu ya kuwabana kwa vikwazo vyote kwa miaka mingi sana lakini wako makini sana
Israel haitaweza kamwe kupmbna n iran🇦🇪🇹🇷🇨🇳🇵🇰🇮🇷🇮🇷
Sasa mifumo ya urusi na Iran itanunuliwa sana ni asilimia 100% intercepted halikupita hata kombora 1
Haikupita HATA MOJA LKN Iran imeripoti vifo viwili vya wanajeshi wawili WA IRGC vp HAPO?
@@josephwilliam5813imeripoti au wewe Ndo unalipoti
Wakichapwa utasikia wanasema Israeli inaua watoto
WAIESRAIL HAWANA CHOCHOTE
😂😂😂😂😂😂Irani hana jambo dogo
Jaman jaribuni leo nagawa notinoti
Mpongezeni mrusi mifumo yake sio poa
Russia sio Mchezo
Israel ni kama mbwa koko 2
Mbwa Koko anawachakaza UKO
Ndo mfahamu kuwa Israeli ni nchi ya kubumbwa na WA magharibi na Marikani
Kaiondoeni
Tatizo la wabongo wanahisi kwamba mayahudi ni wakristo kumbe mayudi hata wakristo hawapendwi na mayahudi huko Israel na ukristo sio dini ya Israel ni dini ya Italy
Ila washia ni waislam si NDIO?
Munguwa israeri akotayari halali usingizi kamwe
Jamani,hizo ndio nguvu zote za israel na marekani?? Eti watashambulia kwa nguvu zao zote,amakweli tayari inaonekana bado wapo katika myaka yazamani hawana jipya😅😅
Unajua wanaepusha NINI?
Una oja ndugu mtangazaji kk israel imejibu naimewatia asara Washia washia Co waislamu washia niwahabudu makaburi tu
Tukutane Gaza, Ukraine na Lebanon
Na unapoishi ww kama mazuri.
@@awadhsalim2680 Si mazuri, hakuna mtu mwenye huruma na mwenye kuchukia dhulma anaefurahia kinachofanywa na IDF, tutashiriki kupambambana nao kwa namna moja au nyengine. Tunawajua ni wabinafsi na wabaguzi, wakifanikiwa mission yao huko watakuja Afrika.
,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Israel walikuwa wanawazuga irani subiri uone kitakachotokea
Huo mfumo ni wa kirusi ?kuzuia kombora zote si mchezo
Unasema kweli kabisa
Vita ni propaganda...hata israel huwa hasemi athari...ni chi yoyote duniani..huwezi funua athari na udhaifu kwa adui...hubaki kuwa siri ya kabineti ya jeshi.
Iran inauwezo mkubwa kijeshi,kudunguliwa kwa makombora yote ya Israel ni pigo kubwa kwa Israel na nchi za maghari Hili shambuliz ndyo waziri wa Ulinzi wa Israel Bw. Gallant alikuwa akijitapa litakuw nikilio kwa Iran Hakika Israel ndyo ita Lay down its Arms
Lkn Iran imeripoti vifo vya wanajeshi wawili huoni HAPO kunakitu Iran imetuficha
Wasijibu watakufa
Mumeamin kuwa israel nimwamba nimwamba kbs
Mwamba wanini wabaharini au
Watu wengi wanaamini BBC inaegemea upande mmoja.
Kwani uongo?
@@NassorBinSalum hivyo vyombo vyote vya habari kutoka Russia, china, Iran, uturuki nk, vipo u.s, kwanini wao Iran huzuiya bbc, dw, na vingi vya magharibi visiwepo ndani ya iran,, km una akili sawa jiulize!, madhara yapo makubwa,, dunia haina siri, tutasikia.
Israel imeisha kiri kua ilifanya hio tukio
😂😂😂 Nani mkweli sasa kati yao
Ilo tumuachie mungu atathibisha
@@azizmiraji2610 sema nimechek aljazeera apa naona mifumo ya ulinz ya iran ikidungua nadhan ni ndege za muisrael km sio mabomu,,ipo vzr sana mifumo yao
Kawaida isiraeli kusema ongo
Iran na ni waongo wanasema wamepoteza wanajeshi wawili WAKATI SISI tumeona hakuna madhara 😂😂😂you