IRAN: TUMEDUNGUA MAKOMBORA YAO YOTE|ULINZI WETU WA ANGA NI IMARA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 245

  • @ramadhanjuma610
    @ramadhanjuma610 8 часов назад +7

    Safi sana iran Allah awaongoze zaidi Amina

  • @BakalyamoloKambale
    @BakalyamoloKambale 14 часов назад +20

    Naipenda sana Iran na mungu ailinde Iran bila mwisho, mimi ni congomani

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw 15 часов назад +38

    Ongera sana kwa ulinzi wa anga wa Iran...

    • @JosephChrisant
      @JosephChrisant 11 часов назад

      Iran ni nchi ya kidekteta hakuna chombo cha habari nnchini humo kinaweza kusema kweli.

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka 15 часов назад +37

    Iran ni mwanaumee

    • @ShekhMufyd-mn9zn
      @ShekhMufyd-mn9zn 12 часов назад +1

      Wa shoka😄😄

    • @TeloAwor
      @TeloAwor 7 часов назад

      Subirini rais Raisi yuko wapi? Walisema Israel haitaweza subirini Hamas inaaendeleaje?sinhwar na Ishmael? Acha wanaume wapambane. Msishabikie msiyojua jengeni Tz

  • @ShabaniNuru-o1y
    @ShabaniNuru-o1y 15 часов назад +34

    Shambulio Hilo ni sawa na fataki za mwaka mpya tu

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 14 часов назад +28

    Mungu mola ilinde Iran kwa lolote.baya toka kwa makelbu

  • @fadhilmanja9209
    @fadhilmanja9209 13 часов назад +17

    Dunia nzima inasifu mfumo wa iran

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 часов назад

      Imekuwaje wamepoteza wanajeshi wawili

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 7 часов назад

      ​@@josephwilliam5813mabaki ya makombora ndio chanzo Cha kifo

  • @Saum-o1w
    @Saum-o1w 6 часов назад +3

    Hii ni hbr nzuri sana kwangu❤

  • @RashidBusanya
    @RashidBusanya 3 часа назад +1

    Mungu ibariki Iran aendelee kua mtetezi wa wanyonge

  • @mudighurayra
    @mudighurayra 15 часов назад +24

    Ndio watu wengi wanao ishi Iran wanasema wamesikia sauti tu ngoma haijapita ata moja

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 14 часов назад +1

      Na aljazeera wameonyesha yaliyotua chin

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 14 часов назад +1

      ​@@leonardjohnson2058yamedunguliwa chuma kinatua chini

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 14 часов назад +2

      @@leonardjohnson2058 hahaha labda aljazeera ya India iyo

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 14 часов назад

      @@mudighurayra upo zako kijiwen alf wabish a ingia hata sasa hiv

    • @RegarnMboka
      @RegarnMboka 13 часов назад

      Han band l kutazama live​@@leonardjohnson2058

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 14 часов назад +17

    HAYO MASHIRIKA YA HABARI YA MAGHARIBI MENGI YANAUPENDELEO WA HABARI LAKINI KWA MUNGU HAKUNA KUBWA

    • @AbdallaJabal-jj1sm
      @AbdallaJabal-jj1sm 14 часов назад +1

      MashaaAllah barakaAllah fykum 🌹💐🌹❤

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 часов назад

      LKN Iran imethibitisha vifo vya wanajeshi WA IRGC

  • @TheTruth10071
    @TheTruth10071 14 часов назад +15

    Allahu akbar,Allahu akbaru,Allahu akbar may Allah strengthen and give more powefull to iran

  • @Goshi-ov2wy
    @Goshi-ov2wy 9 часов назад +2

    Shukran ziende kwa urusi aliyempa hizo rada

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 14 часов назад +10

    Alhamdulilah

  • @ezekiakiwovele7794
    @ezekiakiwovele7794 15 часов назад +13

    Yes tumeona

  • @mustafamasudi8093
    @mustafamasudi8093 14 часов назад +8

    Hiyo nd mifumo ya ulinzi ya Urusi SU-360 imefanya kazi yale marekani byebye imekufa kifo cha mende

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 15 часов назад +26

    Yap,sio kujitamba tumeona video IMEZUIA KARIBIA MAKOMBORA YOTE

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 14 часов назад +1

      So yamepita

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 14 часов назад +1

      ​@@leonardjohnson20581 moja tu limepiga ukuta wa nyumba ya mwenda wazimu.

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 14 часов назад +5

      @@leonardjohnson2058 Iran wame yapangua karibia makombora yote kwa mujibu wa video zilizo naswa

    • @zahornassor5420
      @zahornassor5420 14 часов назад +1

      ​@@leonardjohnson2058Acha ushabiki kaka kushabikia mashoga

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 14 часов назад

      @@zahornassor5420 hiv kunawatu mashoga km waarabu au wajitoa akili

  • @shebyiddy-sd3wv
    @shebyiddy-sd3wv 14 часов назад +10

    Iran oyeeeeeee

    • @AbdallaJabal-jj1sm
      @AbdallaJabal-jj1sm 14 часов назад +1

      MashaaAllah barakaAllah fykum Iran ❤

    • @shebyiddy-sd3wv
      @shebyiddy-sd3wv 14 часов назад

      @@AbdallaJabal-jj1sm Allah bless IRAN🫱🏻‍🫲🏼

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 14 часов назад +8

    mnaweka mambo kishabiki sana,vita si kitu cha kushabikia mnaonyesha uwezo mdogo wa kujua mambo.Maisha ya mu Iran mmoja na muisraeli mmoja na mpalestina yanathamani sana,mbele za Mungu vita havina mshindsi,dawa ni kusimamisha vita vyote hivi.

    • @rashidiiddi2433
      @rashidiiddi2433 14 часов назад

      unajua chanzo chavita hii Israel na watu wamaghalibi pamoja namarekani wanataka kuiondoa Palestina ili watawale wao kituambacho Irani hawezi kukivumilia anaungana na lebanoni pamoja nayemeni kuwazuia mazalimu Hawa kuuwa watu hovyo dini ya kiislamu imekataza kuuwana hovyo ispokua auliwe alieuwa bila sababu

    • @rashidiiddi2433
      @rashidiiddi2433 14 часов назад

      Inatakiwa ufahamu marekani na watu wamaghalibi hawataki mashariki yakati kutawalike maana nihatalikwao wanamasilahi Yao halamu naislaer akiwa kama mlizi wamasilahi Yao ndomana wanamsapoti kuuwawatu hovyo

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 13 часов назад

      @@rashidiiddi2433 hawana maslahi yeyote mmepewa elimu fake,wale sio wayahudi wa kweli walioandikwa katika biblia na pale sio Israel ni nchi ya palestina ya waarabu.Lile ni freemason nation,waisrael wa kweli walikuwa watu weusi,wala hapana nabii katika biblia alikuwa mweupe,mfano wewe muislam bwana Mtu katika hadithi sahihi alisema Musa alikuwa mtu wa rangi gani?ni jambo la wazi kabisa mweusi tii msudan,Israel ya kweli ni chin ya misri sudan ethiopia kenya uganda tz mapaka msumbiji wamebadili histroria leo wanauwa watu wasio na hatia.Shida tumepewa elimu ya bandia.Hazina yote ya utajiri na akili ya dunia wameiba afrika leo wanatutawala

    • @AmiriMtei
      @AmiriMtei 10 часов назад

      Bado hujasema

    • @mustwafathabiti2978
      @mustwafathabiti2978 2 часа назад

      waambie waache vita

  • @AhmedAlly-wc7li
    @AhmedAlly-wc7li 14 часов назад +9

    Waisraili wa ongo kazi yawo kujitamba 2 wakati ule walisema wameyanasa makombara yawo takiribani asilimiya 90 mwisho wa siku tukaona uharibifu mkubwa leyo wanatwambiya asilimiya 90 yamakombora ya israili yamepiga Irani lakini tumeangaliya kila linalokuja linanaswa

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 часов назад

      LKN Iran imethibitisha wanajeshi WA IRGC wawili wamekufa KWA shambulio ilo

  • @IsmailKajembe-w7l
    @IsmailKajembe-w7l 5 часов назад +1

    Vzr sana, lakn mjuwe hivi vita vikiisha irani wakipata ushindi basi mjuwe kiyama kitasimama

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 часа назад

      Kwahiyo waache wapigwetu wafe kisa nini kilichotapiliwa na ndivyo itakavyokua bihidhinillah

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 15 часов назад +11

    Tumeona hakuna kombora lililotuwa

  • @saifalyazeedy8351
    @saifalyazeedy8351 11 часов назад +4

    Mungu azidi kuilinda Iran 🇮🇷

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 14 часов назад +9

    Irani mwanaume izrael mashoga wanalindwa na mashoga wenzao, ukifatilia mambo utagundua iran anapigana na mataifa mawili. Sasa mashambulizi yao hayajafuwa dafu, tofauti ni wao walivyo shambuliwa.

    • @saidijafari2812
      @saidijafari2812 14 часов назад +1

      Si mawili tu uingereza ujeruman wapo

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 часов назад

      HAO unaowaita mashoga unaitumia mitandao ya BILA software ZAO iyo smartphone YAKO ni kopo

    • @Baharia92
      @Baharia92 9 часов назад

      ​@@josephwilliam5813kwani tunatumia bure au

    • @Baharia92
      @Baharia92 8 часов назад

      ​@@josephwilliam5813alafu we mtumwa kumbuka hayo madini wanayotumia kutengenezea hzo simu wanachukua kwenye bara letu nchini Kongo

    • @bakaribakari6444
      @bakaribakari6444 7 часов назад

      Hata kama lkn ni mashoga😂😂😂@josephwilliam5813

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester 11 часов назад +1

    Adam Hussein, wewe ni muamba katika kuhabarisha habar, asante kwa kwa taarifa iliyonyooka

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 11 часов назад +3

    Irani tuko na nyinyi na tunawaombea kwamungu umeze kumshinda hadui

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 11 часов назад +3

    😂😂😂😂😂😂 yaani shambulio la leo nmecheka saana naona bora irani akaushe tu mambo yasiwe mengi izraeli wanatia huruma

    • @AmbreenNaufal
      @AmbreenNaufal 10 часов назад +1

      Hahaha Wacha tutambeee wao c wanajidai wako imara Wacha tuwazalilishe

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 часов назад +1

      LKN Iran imethibitisha vifo vya askari WA IRGC

    • @shaameshaame2837
      @shaameshaame2837 7 часов назад +1

      Acha wanyooshwe walijigamba wao ni taifa la Mungu sasa watajua kua mungu ni wa wote 😂😂😂😂😂

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 15 часов назад +9

    Hahahahah iran hatari

  • @allyatom2076
    @allyatom2076 14 часов назад +5

    tatizo wamagharibi wanaleta udini

  • @IbrahimOmarhamadIbrahimhamad
    @IbrahimOmarhamadIbrahimhamad 2 часа назад

    Mashaa Allah ngoja ngoja wapate kichapo zamu yao sasa mashetani hao izrael

  • @SalumMasengwa-b9s
    @SalumMasengwa-b9s 15 часов назад +6

    Sisi tumeshazoea propaganda za Israel na bwana wake Marekani
    From Uroa school Zanzibar

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 14 часов назад +6

    Safi sana Irani iko imara

  • @iddikibwana9185
    @iddikibwana9185 10 часов назад +2

    Nilichoona ni fataki tu za mwaka mpya

  • @hanifahassan-sf1gg
    @hanifahassan-sf1gg 9 часов назад +1

    Swadakta to iran allaahu akbar rudisha feedback to israhell mijikafiri Hio satanyau

  • @mirajiramadhani8128
    @mirajiramadhani8128 11 часов назад +1

    Mr Boxer from zanzibar ❤❤lran

  • @IddyKaundundwa
    @IddyKaundundwa 15 часов назад +2

    Mtangazaji unababaika nini huo ndio ubabe wa mwajemi😅

  • @mressahassan6832
    @mressahassan6832 13 часов назад +1

    Ninandg yang anaishi iran sehem iitwayo asfehn anasema kua hakuna hta tone moja lakombora lililo dondoka ktk ardhi ya iran watu wote waliendelea nashughli zao km kawaida2 😂 wakt sk ile 1october izrail nikm nchi nzima ilikua likizo kote ving'ora had hospital zilifungwa🤣🤣 myahudi muoga sna ndomaana anapigana nawatoto nakina mama badala apigane nawanaume wenzake km iran🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🕋🕋🕋🕋🕋

  • @KolamuWabene
    @KolamuWabene 14 часов назад +4

    BBC,VOA,RFI,DWswahli hizo ndo radio zao,zinasemaje?

  • @AmaniMathod
    @AmaniMathod 11 часов назад +1

    Mashambulizo kwa vyombo vya Iran asaiv ni hatari......mrussi alimpa vyombo vyakuzuia mabomu..

  • @MahamuduMgongolwa-rw6ep
    @MahamuduMgongolwa-rw6ep 11 часов назад +1

    Iran ni hatari sana

  • @PatrickMbaji-o2p
    @PatrickMbaji-o2p 11 часов назад +1

    Iran kidume bhn anga yke salama kbsa Russia hongera mkinge rafiki yko kwa dhati

  • @RamadhanRamdhan-i2c
    @RamadhanRamdhan-i2c 13 часов назад +1

    Hongera Iran kwa kulinda anga lako

  • @shabaniseif9901
    @shabaniseif9901 9 часов назад

    Safi sana

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz 15 часов назад +4

    Nilijua tu mashoga waoga wanapiga wanyonge tu

  • @Mtumakini
    @Mtumakini 30 минут назад

    Hii channel bhana 😂😂😂😂 imeegemea sana kwa wa Irani

  • @JustinMwanzeni
    @JustinMwanzeni 10 часов назад

    Shukran Kwa taharifa Iran oyeeee mashoga ziiiiiiii

  • @HappinessNoor
    @HappinessNoor 10 часов назад +1

    Kabisa Iran imejipanga

  • @JafariNyallu
    @JafariNyallu 8 часов назад

    msijisifu sana huenda wamefanya ivyo makusud, be carefully iran

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Час назад

    Ongera saaaaaaaaaana Iran .........majigambo ya Israel yamegeuka aybuuuu

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 14 часов назад +3

    Duu!!!! Kama kweli irani wana mifumo mizuri hivo,,, basi wakafunge Lebanon na Gaza,, shida ss wabongo hatuna vyombo vya habari kutuletea ripoti za uhakika,, tumebaku kupepetwa km dagaa.

    • @maxomari3542
      @maxomari3542 14 часов назад

      Sio km ni kweli ndio ilivyokua

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 14 часов назад +1

      @@maxomari3542 hata wewe umeaminishwa km mimi nisivo amini,, maana hatuna ripota kule iran na Israel,, mfano vyombo vyote vya habari vinavoegemea upande wa magharibi haviruhusiwi kuwepo Iran.

    • @remigiusnyoni7195
      @remigiusnyoni7195 14 часов назад

      Unazungumzia vyombo vya bongo? TBC au? kama hapa ndani tu vyombo vyote vimekuwa Praise team ya chama fulani, huko nje vikafuate nini? Wako busy ku-report uchaguzi wa serikali za mitaa

    • @elmiaxmed6870
      @elmiaxmed6870 13 часов назад

      Ww matako kweli kuna kumbora iliyo gusa ardhi ya iran? Hata moja

    • @bonifacesembuche2295
      @bonifacesembuche2295 12 часов назад

      Hiyo mifuko ya ulinzi haifungwi hovyo tuu,Kwa kuogopa kuibiwa techinologia yake

  • @SaumHaji-l1r
    @SaumHaji-l1r 7 часов назад

    Irani super power

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 9 часов назад

    IRAN SHIKAMOOO!!!!,

  • @RUKIARUKIA-b9r
    @RUKIARUKIA-b9r 14 часов назад +2

    izreal imeisha ss n wakati wake

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 8 часов назад

    Aibu kwa iran

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 5 часов назад

    Iran imetisha

  • @iddikibwana9185
    @iddikibwana9185 10 часов назад

    Iran ni kiboko ya mashoga

  • @SultanAlly-nz4mz
    @SultanAlly-nz4mz 14 часов назад +1

    Marekani imepata aibu inazuga kuwa haikuhusika na Mashambuliz hayo😂

  • @MarckMasaki
    @MarckMasaki 10 часов назад

    Ngoja tusikie mashoga wanasemaje

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 15 часов назад +1

    Islaer imeiogopa iran

  • @zuberihussein5761
    @zuberihussein5761 Час назад

    Sasa hapa kisasi kinachokuja ndo tutajua kwanini Urusi aliondoa raia wake Israel

  • @HappyChuwa-gs8bw
    @HappyChuwa-gs8bw 9 часов назад

    Jambo Zuri🎉😊

  • @RojaRojas-o7g
    @RojaRojas-o7g 14 часов назад +1

    IRANI AITA RUDISHA MAJIBU MENGINE SABABU HAKUNA UWALIBIFU MKUBWA KAMA MNAKUMBUKA ISRAEL ILILIPIZA KISASI CHA HOVYO IRANI IKATULIA ISRAEL BADO DOGO AMTEGEMEA MAREKANI

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 часов назад

      JE HAO wanajeshi WA Iran waliokufa sio uharibifu Iran wamethibitisha

  • @RamadhanMgeni-gt1tu
    @RamadhanMgeni-gt1tu 8 часов назад

    Naam adam

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 14 часов назад

    IRan ni hatari sana ana mifumo hatari sana

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud1577 14 часов назад

    Waalakasalam

  • @selasboy3966
    @selasboy3966 13 часов назад

    Wayahudi walitest mtambo umekuta iran wapo good air defence hatar sana ile asee😂😂

  • @RamadhanMgeni-gt1tu
    @RamadhanMgeni-gt1tu 8 часов назад

    Leta paka atakoma mwakauu

  • @JohnValle-xn1dx
    @JohnValle-xn1dx 14 часов назад +1

    Kuweni watulivu madhara mutayasikia kesho

  • @zainulabidiendhulfikar7398
    @zainulabidiendhulfikar7398 13 часов назад

    Hahahhahaha aibu kwa Israel

  • @shebishabani-um4gw
    @shebishabani-um4gw 10 часов назад

    mm nipo irani na hakuna chochote mtangazaj achauongo unalipwa na na ni ww marekan au ao mazayuni

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 часов назад

      Iran wamethibitisha vifo viwili WA IRGC KWA shambulio la Israel JE unapingana na wairan?

  • @ronaldmatimbo9691
    @ronaldmatimbo9691 10 часов назад

    Kawaida Iran haikubali😂😂

  • @bakarimwangazy9126
    @bakarimwangazy9126 14 часов назад +1

    apo kwenye majibu ya iran dhidi ya izrail ndio pana kizaazaa... 😂

  • @TeddyDickson-w5p
    @TeddyDickson-w5p 13 часов назад

    Hivyo tayari kaifuta Iran kwenye ramani ya Dunia ?

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 14 часов назад

    Hao wajemi ni mabingwa wa sayansi duniani juu ya mabeberu wa kimagharibi juu ya kuwabana kwa vikwazo vyote kwa miaka mingi sana lakini wako makini sana

  • @AftinWarsame-w8c
    @AftinWarsame-w8c 12 часов назад

    Israel haitaweza kamwe kupmbna n iran🇦🇪🇹🇷🇨🇳🇵🇰🇮🇷🇮🇷

  • @mudighurayra
    @mudighurayra 15 часов назад +1

    Sasa mifumo ya urusi na Iran itanunuliwa sana ni asilimia 100% intercepted halikupita hata kombora 1

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 часов назад

      Haikupita HATA MOJA LKN Iran imeripoti vifo viwili vya wanajeshi wawili WA IRGC vp HAPO?

    • @Baharia92
      @Baharia92 8 часов назад

      ​@@josephwilliam5813imeripoti au wewe Ndo unalipoti

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 8 часов назад

    Wakichapwa utasikia wanasema Israeli inaua watoto

  • @YourMoor-px1rd
    @YourMoor-px1rd 4 часа назад

    WAIESRAIL HAWANA CHOCHOTE

  • @suleymaniswalehe7614
    @suleymaniswalehe7614 8 часов назад

    😂😂😂😂😂😂Irani hana jambo dogo

  • @SultanAlly-nz4mz
    @SultanAlly-nz4mz 14 часов назад

    Jaman jaribuni leo nagawa notinoti

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn 12 часов назад

    Mpongezeni mrusi mifumo yake sio poa

  • @MikeSairo
    @MikeSairo 13 часов назад

    Russia sio Mchezo

  • @mohamedikinu9502
    @mohamedikinu9502 11 часов назад

    Israel ni kama mbwa koko 2

  • @IddyHussein-n2y
    @IddyHussein-n2y 13 часов назад

    Ndo mfahamu kuwa Israeli ni nchi ya kubumbwa na WA magharibi na Marikani

  • @NassorBinSalum
    @NassorBinSalum 14 часов назад

    Tatizo la wabongo wanahisi kwamba mayahudi ni wakristo kumbe mayudi hata wakristo hawapendwi na mayahudi huko Israel na ukristo sio dini ya Israel ni dini ya Italy

  • @Kambari-j4m
    @Kambari-j4m 11 часов назад

    Munguwa israeri akotayari halali usingizi kamwe

  • @muhitira
    @muhitira 14 часов назад

    Jamani,hizo ndio nguvu zote za israel na marekani?? Eti watashambulia kwa nguvu zao zote,amakweli tayari inaonekana bado wapo katika myaka yazamani hawana jipya😅😅

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi 12 часов назад

    Una oja ndugu mtangazaji kk israel imejibu naimewatia asara Washia washia Co waislamu washia niwahabudu makaburi tu

  • @MokiwaKaskaz
    @MokiwaKaskaz 14 часов назад

    Tukutane Gaza, Ukraine na Lebanon

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 14 часов назад

      Na unapoishi ww kama mazuri.

    • @MokiwaKaskaz
      @MokiwaKaskaz 13 часов назад

      @@awadhsalim2680 Si mazuri, hakuna mtu mwenye huruma na mwenye kuchukia dhulma anaefurahia kinachofanywa na IDF, tutashiriki kupambambana nao kwa namna moja au nyengine. Tunawajua ni wabinafsi na wabaguzi, wakifanikiwa mission yao huko watakuja Afrika.

  • @BarakaLuka-u1h
    @BarakaLuka-u1h 15 часов назад +1

    ,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eliudpayovela0593
    @eliudpayovela0593 14 часов назад

    Israel walikuwa wanawazuga irani subiri uone kitakachotokea

  • @TeddyDickson-w5p
    @TeddyDickson-w5p 13 часов назад

    Huo mfumo ni wa kirusi ?kuzuia kombora zote si mchezo

  • @michaelkavavila7371
    @michaelkavavila7371 9 часов назад

    Vita ni propaganda...hata israel huwa hasemi athari...ni chi yoyote duniani..huwezi funua athari na udhaifu kwa adui...hubaki kuwa siri ya kabineti ya jeshi.

  • @farufaru2489
    @farufaru2489 14 часов назад

    Iran inauwezo mkubwa kijeshi,kudunguliwa kwa makombora yote ya Israel ni pigo kubwa kwa Israel na nchi za maghari Hili shambuliz ndyo waziri wa Ulinzi wa Israel Bw. Gallant alikuwa akijitapa litakuw nikilio kwa Iran Hakika Israel ndyo ita Lay down its Arms

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 часов назад

      Lkn Iran imeripoti vifo vya wanajeshi wawili huoni HAPO kunakitu Iran imetuficha

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 13 часов назад

    Wasijibu watakufa

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi 12 часов назад

    Mumeamin kuwa israel nimwamba nimwamba kbs

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 14 часов назад

    Watu wengi wanaamini BBC inaegemea upande mmoja.

    • @NassorBinSalum
      @NassorBinSalum 14 часов назад

      Kwani uongo?

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 14 часов назад

      ​@@NassorBinSalum hivyo vyombo vyote vya habari kutoka Russia, china, Iran, uturuki nk, vipo u.s, kwanini wao Iran huzuiya bbc, dw, na vingi vya magharibi visiwepo ndani ya iran,, km una akili sawa jiulize!, madhara yapo makubwa,, dunia haina siri, tutasikia.

  • @emmanuelsegeche7197
    @emmanuelsegeche7197 14 часов назад

    Israel imeisha kiri kua ilifanya hio tukio

  • @shebyiddy-sd3wv
    @shebyiddy-sd3wv 14 часов назад

    😂😂😂 Nani mkweli sasa kati yao

    • @azizmiraji2610
      @azizmiraji2610 14 часов назад

      Ilo tumuachie mungu atathibisha

    • @shebyiddy-sd3wv
      @shebyiddy-sd3wv 14 часов назад

      @@azizmiraji2610 sema nimechek aljazeera apa naona mifumo ya ulinz ya iran ikidungua nadhan ni ndege za muisrael km sio mabomu,,ipo vzr sana mifumo yao

  • @mohamedsaidalhabsi7862
    @mohamedsaidalhabsi7862 13 часов назад

    Kawaida isiraeli kusema ongo

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 часов назад

      Iran na ni waongo wanasema wamepoteza wanajeshi wawili WAKATI SISI tumeona hakuna madhara 😂😂😂you