Amma kitu apo 😅😅😅 urus inajitaid ila mambo ni magumu Israel inawez kutandika wote kwa wakati mmoja 😅😅 nimesubili marabu ya buza kweny comments yanayo itaji mafuta ya p ddy ili niyafanyie masaji😅😅😅
Mnaopinga so muanzishe channel yenu ! Kilichozungumnzwa ndio kilicholezwa ktk mkutano was Bricks Sasa wapingaji aidha wanna wivu au mtizamo pofu Anzisheni channel yenuu shwainii😠
SnS mpo very professional alaf vijana smart mimi ni mfuasi wa information is power na uchambuzi wa dunia ya wakati wetu.
South to South cooperation is on track. I am attracted to this as a Tanzanian
Thanks much Ali masubi
KUINGIA BRECS TZ BADO SANA WAPO KAMA SIGARA KALI
Ethiopia na India sio wakuwaamini ktk muungano huu
Sababu za kutowaamini?
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uncle John magufuli angekuwepo tungejiunga
Aisee daaah. Hapo ndo Mwamba anapokumbukwa
@@allykwaya 😭
DJ smaaaa huyu timiti maji mtoeni GPS...
Mzee mbona kimya kuhusu sakata la lil durk
Kwan hamna brics ya machawa? Huku tunaendeleza nchi kwa uchawa
Happy bro hujamnukuu putin!! Hawezi kuongea kuhusu dola.. Matango pori wazeshe wajinga
Amma kitu apo 😅😅😅 urus inajitaid ila mambo ni magumu Israel inawez kutandika wote kwa wakati mmoja 😅😅 nimesubili marabu ya buza kweny comments yanayo itaji mafuta ya p ddy ili niyafanyie masaji😅😅😅
Israel uwezi fananisha na Urusi
Nenda shule ukajifunze elimu ushamba ukuondoke akilini 😂😂😂
Mnaopinga so muanzishe channel yenu ! Kilichozungumnzwa ndio kilicholezwa ktk mkutano was Bricks Sasa wapingaji aidha wanna wivu au mtizamo pofu
Anzisheni channel yenuu shwainii😠