Tokea niumbwe sijawahi ulizwa swali kama hili | Mazinge

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 335

  • @ibrahimhassani6288
    @ibrahimhassani6288 19 дней назад +2

    Allah akulinde sheikh Mazinge. Nilikutambua Tanguy nikikua kitoko kidogo nikua Nairobi Kenya kalifonia na kiwanjacha cha kamkunji (Nairobi)
    mihadhara ikikua sai Alhamdulillah nishakua MTU mzima lakini bado Nakurambua Sana Kwa sababu ya kzi ya daaaawa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @princedonnelakimana2775
    @princedonnelakimana2775 5 месяцев назад +2

    Inshallah mungu akupe Maisha marefuu usthadh mazinge

  • @kamaugitau5610
    @kamaugitau5610 Год назад +49

    mimi ni mkristu lakini nampenda mazinge bure....natamani kuslimu kwa sababu nahisi uislamu ndio dini ya haki

    • @mahmoudabdi7162
      @mahmoudabdi7162 Год назад +5

      Inbox me bro nikuongoze kwa hilo InshAallah

    • @godsonishengoma5378
      @godsonishengoma5378 Год назад +4

      Ukristo sio dini bali ni ukomboz!Kabla ya Yesu Kristo kuja zlkuwapo dini,kwa nn Kristo alkja dnian? N kwa ajli ya krdisha mahsiano yalokua yamepotea kat ya Mungu na mwanadam.. sote twaish kwa neema 7b ya huyo Kristo.. kla knywa ktakiri na kila jcho ltanwona kwmb yeye ndye mwana wa kwel wa Mungu!

    • @kamaugitau5610
      @kamaugitau5610 Год назад +1

      @@mahmoudabdi7162 nitakupata vipi

    • @jasminswedi1573
      @jasminswedi1573 Год назад +1

      Karibu saan kweny dini ya nuru

    • @erickbruno569
      @erickbruno569 Год назад

      msenge kweli wew

  • @kenya870
    @kenya870 Год назад +4

    Allhmdhllh najivunia kuwa misilamu na ninaipenda ndini yangu

  • @barakamugiraneza7774
    @barakamugiraneza7774 5 месяцев назад +3

    Tunakuombea mungu akupe maisha malefu na akupe pepo yake

  • @fatmajuma2940
    @fatmajuma2940 Год назад +5

    Allah akupe umri mrefu wenye kheri na uendeleee kuipigania dini ya Allah tuko pamoja tunakupenda pia

  • @al-aminalihamad1431
    @al-aminalihamad1431 Год назад +4

    Natuma Salamu Kwako Sheikh Mazinge Na Familia Yako. Namuomba Mwenyeezi Mungu Akupe kila la kheri Duniani Na Akhera.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Год назад +7

    🤔You are a joy to watch Mazinge. Unafurahisha kabisa tena kwa ushahidi sio maneno matupu. Asante 🤝

  • @mohamedrokaz5272
    @mohamedrokaz5272 Год назад +6

    We love you most ustad mazinge as kenyans

  • @alibwanaheri6493
    @alibwanaheri6493 Год назад +9

    MaShaAllah sheikh Mazinge,Allah akjaalie kheri na umri mrefu uzidi kuifanya kazi ya Allah In Sha Allah

  • @user-rl3ts2kr2t
    @user-rl3ts2kr2t 2 года назад +6

    Inshallah Allah akupe afya njema kweli dawaa imefika mbali Allahuakbar Allahuakbar Allahuakbar Walillahilhamdu .Allah akuhifadhi shk mazinge unafanya kz ya manabii

    • @saidiomary9070
      @saidiomary9070 2 года назад

      Mwenyezi mungu akupe wepesi mazinge kwakweli unafanya kazi ya mwenyezi mungu akupe ulinzi na kesho akhera akupe pepo

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 2 года назад +7

    MashAllah!! Sheikh mazinge Allah akulinde kutokana na kila Aina ya Shari hapa duniani na kesho akhera . nampenda Sana sheikh Huyu Kwa juhudi zake katika uislam.

    • @malikshafii8431
      @malikshafii8431 Год назад

      Mzee huna la kuongea nyamaza kimya kuma mamako

    • @ashrafsharif8699
      @ashrafsharif8699 Год назад

      Aaaamin

    • @sghdrdhidf7603
      @sghdrdhidf7603 Год назад

      @@malikshafii8431 kwann unamtujana nn kakukosea ivi wajua mandiko au unasoma kweri unamuongopa mungu wewe

  • @godblessmasiganijohn
    @godblessmasiganijohn 9 месяцев назад +2

    Yesu alikuwa mwana wa Mungu kazaliwa na mwanadamu mwenye character na vigezo vyote vya kibinadamu, alisikia
    Maumivu, alijaribiwa, alisikia njaa, alilala yote haya yalifanywa makusudi ili amkomboe mwanadamu, na huyo mwanadamu asipate kisingizio kuwa aliyoyafanya kayafanya kwa kuwa yeye ni tofauti na sisi. Alivaa mwili wa kibinadamu ili njia aliyopita nasi tuifuate

    • @Omrankasiga
      @Omrankasiga 2 месяца назад

      Wacha uongo mungu habadilisha nafisiki yake

  • @FrankMyenjwa-ms5fr
    @FrankMyenjwa-ms5fr 9 месяцев назад +1

    Mungu akujalie

  • @GordienNdizeye-sf3jt
    @GordienNdizeye-sf3jt 9 месяцев назад +1

    Sheikh wetu nakupenda Sana natamani kukuona ishaallahu Mungu akipenda tutaonana n'a kupenda sana

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 года назад +5

    Pongezi saana Sh,Mazinge Mungu akulinde,akupe afya daima

  • @fatimafff3065
    @fatimafff3065 11 месяцев назад +2

    Lailaha illallaahu Muhammed rasulullah

  • @nathanichemelako7983
    @nathanichemelako7983 2 года назад +1

    Mazinge na hao wachungaji wote ni wapotoshaji yesu siyo Mungu na Mazinge kuhusu yesu anawapotosha

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo4379 2 года назад +12

    Masha Allah sheikh Mazinge Allah akulipe janatul firdaus

    • @erastisamsoni3162
      @erastisamsoni3162 Год назад

      Allah huwapa waongo Pepo? mtu muongo kama mazinge aingie peponi labda atubu ampokee Yesu.

  • @mengishabani8061
    @mengishabani8061 Год назад +3

    Mungu akuzidishie maisha malefu

  • @isakwisamwaipopo6860
    @isakwisamwaipopo6860 2 года назад +4

    Yeye yesu alikuwa akipima Iman yao

    • @mandinezawakoabayo9569
      @mandinezawakoabayo9569 2 года назад

      Umesoma eapi nasi tukasome

    • @simonkinunda5591
      @simonkinunda5591 Год назад

      Ostazi una mjua alakweli au unaropoka tu kutafuta pesa ushawahi onamchungaji anaesema kua Yesu kamuumba mwenyez Mungu au unatamka tu kamampumbavu unamfaham isa bin mariam huyondie mtume wamwisho kutoka kwa alla hata mtume muhamadi mwenyewe anashuhudia kwenye hadidhi yake ya sabubohari vizuri kurwaan sura ya tulli mariamu anamzungumzia isa vizurisana acha wehu ww nakutukana wa chungaji.

  • @ambakachogo598
    @ambakachogo598 Год назад +4

    In Sha Allah sote twakuombea Dua kutoka kwa Allah.

  • @hustlershuffler978
    @hustlershuffler978 2 года назад +3

    Ustadh Professa Mazinge Allah akuhifadhi ulipo akujalie miaka mingi ya kufanya kazi zake In Shaa Allah...akupe siha kamili na akuruzuku kila la kheri akulipe Jannat al Firdausi In Shaa Allah...chapa kazi Baba..Kidume cha Allah

    • @iptisamshaher6849
      @iptisamshaher6849 2 года назад

      Mashaallah tabaarakallah, Allah sw akupe umri wenye kheir,akulipe kwa Kila khatuwa unayopitiya, kwa kweli tunajivuniya mazinge Allah akuhifadhi

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 2 года назад +4

    MashaAllah mashaAllah Allah barik. Shekh mazinge Allah akuhifadhi nakupenda sana wallahi kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤👌👌👌👌

  • @kuruthumabubakar3951
    @kuruthumabubakar3951 2 года назад +2

    Shekh mazinge mungu akupe umri mref uzidi kussidia wasiokuw na din naitwa kulthum abbakari Toka cngida

  • @bicheatijafaqui6817
    @bicheatijafaqui6817 7 месяцев назад +1

    Sheik Professor Massingue god blessyou

  • @AllyGrefier-ee2yq
    @AllyGrefier-ee2yq 10 месяцев назад +1

    Pole sana muzazi wangu pigania dini ya mwenzimungu utalipwa mbinguni

  • @user-xq5ml6id9y
    @user-xq5ml6id9y 7 месяцев назад

    Inshallah mungu hakupe umri mlefu mwalim

  • @abuibra
    @abuibra 2 года назад +3

    Masheikh wetu tafadhalini sana mjichunge sana Mnavyo zisoma Aya za quran, wengi huwasikia kukosea bila ya kujijua.

    • @abdulmalikpandu1989
      @abdulmalikpandu1989 2 года назад +1

      Ni binaadamu nae, anasifa ya kukosea n kusahau...

    • @hassanmohammed3421
      @hassanmohammed3421 2 года назад

      Dunia matamshi au lafifh huwa tofauti kutokana na maenono mengine hawayapati vizruri lakini wana ufahamu mzuri wa kutasiri na waneelewa nini quran inasema.......inawezekana kuwa wewe una soma vizuri matamshi ya quran...lakini ukawa hujui mana yake kwa kiswahili..
      Unajua tuu kusoma kwa kiarab

    • @hassanmohammed3421
      @hassanmohammed3421 2 года назад

      Kwa mfano marehem shekhe imani petro hawezi kutamka quran vizuri kwa kiarab lakini amehifadhi maandiko yote kwa kiswahili..na alisilimu baada ya kuyasikoia kwa kiswahi maana kwa kiarab hajui hasa

    • @abuibra
      @abuibra Год назад

      @@hassanmohammed3421 :ndugu yangu sivyo unavyo fikiri,hebu chukua Msahafu alafu fungua katika Ayat'Kursy msikilize alivyo isoma shaikh kunamahali kakosea,kama huta paona alipo kosea nijibu nikufahamishe.

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 2 года назад +3

    Allah akupe mri mlefu sheikh wangu mazinge

  • @amirikhamisi9295
    @amirikhamisi9295 2 года назад +3

    Allah akulipe jannah Shekh mazinge

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 2 года назад +10

    professor Mazinge we love you for the sake of Allah swt.love from Lusaka zambia

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 2 года назад +2

    Mashaallah Mungu akuhifadhi yaraabbi akupe umri mwema akujazi kheri inshaallah..khadija said Nahdi mld kenya

  • @fearless......2651
    @fearless......2651 2 года назад +7

    Allâhu lâ ilâha illâ huwal Hayyul-Qayyum, lâ ta'khuzuhû sinatun walâ nawm.
    Hakuna lata'budu sinatun ......umekosea.

    • @omarysaidy5524
      @omarysaidy5524 2 года назад +1

      Kukosea ni kawaida

    • @Cambarada
      @Cambarada 2 года назад +2

      Pia amekosea amesema ni Aya ya 252 badala aseme Aya ya 255

    • @uqairsande7320
      @uqairsande7320 2 года назад +1

      Mazinge ujui kusoma quraan kaachini usome kwanza maana ukisoma tu ndo utata unaanza apo

    • @mohamedathuman4646
      @mohamedathuman4646 Год назад +1

      Ni 1 moja kati 99 aliopata.... pongeza kwa aliopata...kwani sote siwakamilifu

    • @fearless......2651
      @fearless......2651 Год назад

      Alhamdullillah ALLAH atuongoze sote..hakuna alie mkamilifu na makosa ni kawaida..wabillahi towfiq..

  • @Musasaidi-ts1eo
    @Musasaidi-ts1eo Год назад +1

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu sheikh

  • @AnnaKishaluli-ux7wj
    @AnnaKishaluli-ux7wj Год назад +1

    Watu wote ni wa Mungu acheni kampen za kushawishi wanadam wawaamini ninyi kwa neema na rehema zinatoka kwa Mungu mwenyewe hivyo acheni kujitapa na mapokeo ya dini zenu

  • @AbubakariDenis-zj2mg
    @AbubakariDenis-zj2mg 10 месяцев назад

    Allah azidi kukulinda kukupa afya njema sheik Wetu mazinge

  • @nurdinibrahimu7312
    @nurdinibrahimu7312 9 месяцев назад +1

    Khamsinan alfasanah kisimamo hicho Cha siku ya kiama kuulizwa matendo ya kila mmoja na kupimwa kwenye mizani nk 🕴️🕴️🕴️🕴️🕴️😭😭😭🙏 Mungu tumuabudu ipasavyo🙏

  • @maimunaally8092
    @maimunaally8092 Год назад +2

    Allah akujaliye umri mrefu wenye mafanikio na baraka tele aamiinaaa

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 Год назад +1

    Masai gan hao,ni watu ambao wamepigwa na maisha ukimwonga tu anakubali

  • @FatmaJuma-h3i
    @FatmaJuma-h3i Месяц назад +1

    Allah akuhifadhi

  • @amourkarenzo9713
    @amourkarenzo9713 2 года назад +1

    Safi sana allah amjilie professa mazinge mwisho mwema.

  • @husseinfunga3272
    @husseinfunga3272 2 года назад +3

    Allah akupe umri mrefu wenye manufaa KWA dunia yako na akhera pia

  • @adreanokasim7134
    @adreanokasim7134 6 месяцев назад

    Nakubali sana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salumuhamza3920
    @salumuhamza3920 2 года назад +3

    والله وبالله بارك الله فيك يا حبيبي عثمان

  • @RahmySaid-y7r
    @RahmySaid-y7r 27 дней назад +1

    Masha Allah

  • @milakauli
    @milakauli 10 месяцев назад +1

    Allah akupe maisha marefu

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 2 года назад +4

    Masha Allah , Na Mungu Akubarik Mazinge , Masha Allah Lakuta Illa Billa

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 2 года назад +1

    Maa Shaa Allah, Allah akuhifadhi shekh na kazi ya dawa iendelee

  • @AziaraYusufu
    @AziaraYusufu 6 месяцев назад +1

    Sawa mazinge tangaza dini ya allah

  • @jilanimartin1620
    @jilanimartin1620 5 месяцев назад +1

    Hapo umepatia sukari bure.haukujibu kitu.bado sanaa wapotosha watu

  • @johnsonkibadeni5053
    @johnsonkibadeni5053 2 года назад +1

    Huyo mchungaji aliyekuambia yesu kamuumba Mungu sidhan kama anajua alichokiongea labda kama ni mchungaji muislam tatizo mazinge muongo sanaaaa aisee unapenda sifa and we know you

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 года назад

      Kwani nyinyi si ndo mnasema kua yesu ni mungu au,na kazi ya mungu c ni kuumba au hujui halafu eti mungu wenu alikufa na alitajiriwa na alilala.duh kweli akili ni nywele

  • @zahorabdisafisanangedere2521
    @zahorabdisafisanangedere2521 Год назад +1

    Mungu akubarik shekhe

  • @felixnkanda9064
    @felixnkanda9064 2 года назад +1

    Mwenyezi mungu akulinde sheikh wangu

  • @twahamdaki7508
    @twahamdaki7508 Год назад +2

    Salute to ue sheikh

  • @shamimibrahim1089
    @shamimibrahim1089 2 года назад +3

    UKWELI Tanzania mmepata mtu insha'Allah Allah atoe mmoja katika kizazi chake kaa yeye mazinge

  • @user-nt4qc4zg7y
    @user-nt4qc4zg7y 10 месяцев назад +1

    Allah akupe nguvu na uzima ushinde kil khatuwa

  • @mollyzyad778
    @mollyzyad778 Год назад

    Mwenyezi Mungu akuzidishie

  • @seifsuleiman3979
    @seifsuleiman3979 2 года назад +1

    Maasha Allah. Allah atuajalie mwisho mwema Insha Allah

  • @hassanussein1817
    @hassanussein1817 10 месяцев назад +1

    Allah Ummah ameen

  • @aishaayoub305
    @aishaayoub305 2 года назад +2

    Mashaallah shekhe mazinge Allah akupe umli mrefu uzidi kuelimisha jamii. Allah akupe mwisho mwema shekhe

  • @IbrahimLuqman-sc8cw
    @IbrahimLuqman-sc8cw 9 месяцев назад +1

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,shk wewe ni kiboko aunampinganizi

  • @mhgpatientfeedback7037
    @mhgpatientfeedback7037 9 месяцев назад +1

    Bado bado...mtaelewa tu Q72

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 2 года назад +1

    Allah akujalie umri wenye afya njema sheikh mazinge

  • @IbrahimLuqman-sc8cw
    @IbrahimLuqman-sc8cw 9 месяцев назад +1

    Twashukuru

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Год назад +1

    Sema unajiinua sana,hunishawishi,jishushe basi MUNGU atakwinua

  • @abuukhairat7738
    @abuukhairat7738 Год назад +1

    Mazinge kwanz jifunze kusoma qur an
    Ayatul kursiyyu yasomwa hivo

  • @dancun217
    @dancun217 2 года назад +1

    HuyU Jamaa mnayakyusa🤣🤣🤣

  • @gabrielwendeline8464
    @gabrielwendeline8464 Год назад +1

    Mazinge ww hujielewi ..utaelewa je ukristo..hata huo uislamu wenyewe huuelewii..coz unazani unajua kumbe ni mjinga tu..

  • @DastanBeda-mz9em
    @DastanBeda-mz9em Год назад

    Mbona kama vile Mazinge unawafanya wenzio watoto mimi ni mkristo na sio mchungaji ila najua Yesu ameumbwa na Mungu wewe huyo mchungaji aliekuulza kama unayo ushahidi hembu weka tuone mana mambo yote niutandawaz acha kutudanganya tena upo kwenye memba unakua muongo da!

  • @bostonic
    @bostonic Год назад +2

    Huyu Shee anashangaza. Badala kupatia Mungu utukufu anajipatia yeye mwenyewe. Kiburi.

  • @charlesjanuary1798
    @charlesjanuary1798 2 года назад +3

    Mazinge hamna kitu Anajinadi akiwa kwenye misikiti

  • @MuhammadRamadhani-to7gk
    @MuhammadRamadhani-to7gk 3 месяца назад +1

    AllahuAkibar

  • @danyanthony3582
    @danyanthony3582 Год назад +2

    Huyu jamaa anajivuna sana sana..hii kitu ndiyo itampeleka jehannam

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j 9 месяцев назад +1

    ❤❤❤amiiin ❤❤

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Год назад +1

    Marshallah

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Год назад +1

    Huyo sio Masai acha uongo

  • @Philippe3Lukole
    @Philippe3Lukole Месяц назад +1

    Tunashukuru kwa majifunzo

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j 9 месяцев назад +1

    Mung akulipe kila la her

  • @mwinyimkuu9589
    @mwinyimkuu9589 2 года назад +2

    mazinge we acha uongo, tatatizo shule ndogo......... kasome tena, kwani uliishia la ngapi.........

  • @jacksonkilonzo1439
    @jacksonkilonzo1439 Год назад +1

    UNAULIZA SWALI KISHA UNANZA KUJIGANGAMBA YAN MAZINGE NI WA MBWE MBWE TU NDO MANA AKIPATANA NA NDACHA ANANYOROSHWA

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 9 месяцев назад +1

    Dah, hilo jibu la hakuna mtume alorogwa km Mohammad ndio jibu dume

  • @adammasunga5363
    @adammasunga5363 2 года назад +2

    Wewe ni Muongo sana

    • @Tawazone
      @Tawazone 5 месяцев назад

      Mungu atakufungua tu kijana nakuombea huko uliko siko

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 2 года назад +1

    Mashallah jazakallah kheyr

  • @AbubakarMaamun-pj9bm
    @AbubakarMaamun-pj9bm 3 месяца назад +1

    Mashallah

  • @kanakamama4496
    @kanakamama4496 Год назад +2

    Shehe mazinge naomba msanda wa dua kwako Kuna mama jirani ikifikia siku tukakosana. Wazee wakamua kuyatatua. Kujua amesamehewa kila mtu yuko radhi akamua kurudia hilo, hilo kosa. Mm ni msilamu anajua mtu akishakukosea haina budu kumsamehe, Nilipo sai mm nayeye siwezi msamehe bali ni kumuomba dua ya kumwadhibu. Je,Nihaki mwisilamu kumuombea dua mtu aliomiza nausi yake

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 2 года назад +2

    Mazinge utawapata waisio na akili, Kwa sifa zako hizi, Mungu siyo wa hivyo

  • @senathakizimana8231
    @senathakizimana8231 2 года назад +2

    Aacha uongo wew,nani mu christo kasema#Yesu kaumba#Mungu eeh

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 2 года назад

      Kwaio ni yesu ni mutu?

    • @senathakizimana8231
      @senathakizimana8231 2 года назад +1

      @@muksinsaidi4892 siwezi ni kabisha na muislam ajili nyinyi na dini muko mu ignorance mumesha poteya#Yesu huwezi mupimanisha na kitu cocote kiko apa duniani hakuna#ata mohamad ameleta just islam nothing special 4 him,kwa Jina la Yesu#Magonjwa yana pona#sida cancel diabète majini yanakimbia wat abt mohamad neva...najua utapinga ajili umeshapotea na yeye ndo njia yakufika mbiguni..

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 2 года назад

      Ni hayo tu kumuhusu yesu wa wakristo au kuna mengine?

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 2 года назад

      Wewe kufa kwenye ukristo namimi nitakufa na uislam, huna point kwangu, mimi siko apa kwa ajili ya kushindana au kukemeana na majini, uchaWi,mapepo kama nyie, nikimwamin mungu mmoja mtume wake tu bas inatosha sitopatwa na uchaw wala mapepo,

  • @HusseinNuru-zd3bf
    @HusseinNuru-zd3bf Час назад

    Allah akulipe jannatul firdous

  • @charlskallaghe6607
    @charlskallaghe6607 Год назад +1

    Itakuwa jambo la kher ukisilimu utapata fazila na mwezi huu mtukufu

  • @siahmwendwa9070
    @siahmwendwa9070 2 года назад +1

    Kwenda zako wewe hubiri huo upuuzi wako lakin msema kweli ni ile sikuku akayorudi Yesu

  • @joshuaimbugwa4866
    @joshuaimbugwa4866 Год назад +2

    SALUTE TO UE SHEIKH

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 года назад +1

    Quran Mazinge bado sana..hujui

  • @massoudsuleiman-xv7hy
    @massoudsuleiman-xv7hy Год назад +1

    Asalamu aleykumu waislamu wenzangu na shee wangu nina shida na wewe nakupataje

  • @user-ny5ug4qo6c
    @user-ny5ug4qo6c 8 месяцев назад +1

    Uongo mtupu.acha kudanganya watu .muogope Mungu ww .Kuna hukumu badala ya hapa

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 9 месяцев назад +1

    Adamu ajawahi kua Nabii

  • @GordienNdizeye-sf3jt
    @GordienNdizeye-sf3jt 9 месяцев назад +1

    Sheikh wambie !

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli618 2 года назад +2

    Allahu Akbr

  • @josephnkwamino6509
    @josephnkwamino6509 Год назад +1

    Yesu yupo karbu kukuokoa mazinge watu hawataamini siku hiyo

    • @massoudsuleiman-xv7hy
      @massoudsuleiman-xv7hy Год назад

      Nabii issa ataludi ikiwa nyie mludi au jamaluddin na hamjui kwakufika

  • @adamumwantende7073
    @adamumwantende7073 Год назад +1

    Muongo hakuna mkristo yoyote anaesema Yesu kamuumba Mungu umbea kwa coment hii fungua mstari wa biblia,domo tu mizani ya dini unayo wewe au Mungu et professar.