Daaah hiii kitambo sana,nilikuwepo Ila nilikuwa mdogo sana,uyo shekhe Muhammad nassoro ndio amenipa jina la Mohamed ,ewe mwenyezi mungu mpumzishe mahali pemapepon shekhe wetu wa msikitin wa dhaywan
Mustafa Abdull,muda si mreefu utaona kama hiyo dhikri ni ngoma za sheitani au za Jinni. Subiria kidoogo,in shaa Allaah kwa uwezo wake Allaah,jibu yeye Allaah ndie atakayekupa.
Mashaallah....kwa mnaowafahamu hawa mabwana naomba mnifahamishe....khalifa/sheikh aliyeanzisha tawwasul anaitwa nani? na makhalifa waliojipanga pembeni yake ni nani na nani?
Natamani namimi ningekuwepo ktk hii dhikri iliyopigwa Mburahati siku hiyo .Wakazi wangu wote walikuwa watu wa twariqa alqadiria ninawamiss sana nikisikia dhikri kama hii,rip my mom and dad.
Daaah hiii kitambo sana,nilikuwepo Ila nilikuwa mdogo sana,uyo shekhe Muhammad nassoro ndio amenipa jina la Mohamed ,ewe mwenyezi mungu mpumzishe mahali pemapepon shekhe wetu wa msikitin wa dhaywan
Allah amuhifadhi sheikh wetu wa twarikal qadiriyya sheikh Mohammed bin nassoro
Subhaanallaaah!! Dhikri halafu unasema ni ngoma za shetani!! Wallaahi kama hukupata jawabu ya hilo hapa Duniani basi kesho Akhera utalipata.
Unajua maana ya dhikri
@@jabirmaulidi3420unajua maana ya ngoma
Alhabib Shekhe Muhammad alikua akiwapenda sana Murid wake.
Mustafa Abdull,muda si mreefu utaona kama hiyo dhikri ni ngoma za sheitani au za Jinni. Subiria kidoogo,in shaa Allaah kwa uwezo wake Allaah,jibu yeye Allaah ndie atakayekupa.
HUWANIKISKILIZA, nakufanya HII dhikr naskia roho ina hama kabisa mwill wote unasisimka
Hizo ni ngoma za mashetani usiite dhikri.mtume hajafundisha upuuzi huo
Ata ww poa n walii wa alla
Alhabib sheikh Muhammad Nassor R.A
Mashaallah .... nasi pia mungu atupe siri zao inshaallah
Allah sheikh uwesu huyo MPAKA RAHA.
Hapana shaka kuwa ni walii asiye na mfano na hakika ameacha miongozo isiyo na shaka ndani yake
Muridi tusibishane na mawahabi
Mashallah Mashallah Mashallah
Ma sha Allah
Mashaallah....kwa mnaowafahamu hawa mabwana naomba mnifahamishe....khalifa/sheikh aliyeanzisha tawwasul anaitwa nani? na makhalifa waliojipanga pembeni yake ni nani na nani?
Haipitwi na wakati,tamuuu
mashaAllah
Mashallah
Tumtegemee Allah
Allahumma ameen
Vitu hivyoooo
masha Allah sheikh Muhammad bin Nassor RA
Alhabib Shekh Muhammad Nassor alikuwa Shekh was ukweli na Allah alimjaalia kipawa cha uongozi ndani ya Twariqa
sio mafunzo ya uislamu. wala mtume Muhammad (SAW) hajatufunza. hii ni shirki
We mwenyewe shirki
Allah Akbar
Natamani namimi ningekuwepo ktk hii dhikri iliyopigwa Mburahati siku hiyo .Wakazi wangu wote walikuwa watu wa twariqa alqadiria ninawamiss sana nikisikia dhikri kama hii,rip my mom and dad.
Machallah
سهل مرادنا بجاه أحمد
Kasome ili ujue nini ushirikina
Mshirikina ndo ww na kizazi chako chote
Huyu nimtu waprponi muhamadi nasro
Ushirikina huo.mtume muhammad (s.a.w)hajatufundisha upuuzi huo
mpuuzi ni ww na babako
Sikulaumu najua kama ww una uchache wa ilmu
Nenda ukasome tena bado hujasoma
Mpuuzi ni wewe usieijua dini ,
Wewe ni kama bimbilisa mavi
Upuz m2pu....
Acha upuuz rud ukasome tena kisha ndo ujue kama ni upuuz au sio
sumu ya mawahab hyo
Hili pumbavu
Allah akusamehe
kama huu ni upuzi dini ni ipi
Mashallah
Allah akbar