SHEIKH WA TWARIQA DEDES AVUNJA UKIMNYA ASEMA ARAFA LAZIMA TUFUATE MAKKA || 25/6/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 121

  • @NasibuJuma-e6u
    @NasibuJuma-e6u Год назад +2

    Niko bujumbura sheik dede kwahilo tu nimekupenda alla akulinnde shukran

  • @JamalAbdallah-m1o
    @JamalAbdallah-m1o Год назад +1

    Hijja imeteuliwa sehemu moja, Swaumu haikuteuliwa sehemu unatakiwa waislaam Dunia nzima tufunge

  • @selasboy3966
    @selasboy3966 Год назад +4

    Mashalaaaa😂😂 ukweli ukubalike na allah atie nguvu ...hapa ndipo waislamu huwa wamoja...anakataa kuhusu ramadhani atakubali tu inshallah ipo siku

  • @ashamaggimba1459
    @ashamaggimba1459 Год назад

    Asante kwa mafundisho muhimu

  • @mssellemamin5360
    @mssellemamin5360 7 месяцев назад

    SHEIKH UMETEREZA HAPO TENA SANA

  • @chemicalalli9291
    @chemicalalli9291 Год назад +3

    Allaah atuongoze zaidi

  • @Abuassma360
    @Abuassma360 Год назад +1

    Allah atuongoze na sisi yarab

  • @MrNoNonsenseYes
    @MrNoNonsenseYes Год назад +4

    Siku zote ukweli uwa unajibaini, alhamdulillah mzee wetu amelikubali hili, tumuombee na mengine aje kuyakubali, ndo dua yetu kwa wazee wetu. Allah awahifadhi in sha Allah

    • @idrisamara6510
      @idrisamara6510 Год назад

      Dua nzuri, mashaallah, tuwaonbee wajaaliwe kuingia kwenye Sunnah iliyo safi na ufahamu Bora was wema waliotangulia

  • @mohambovu-qm8iz
    @mohambovu-qm8iz Год назад +1

    Alhamdulillah. Wataona haqi pole pole

  • @allyl-nas954
    @allyl-nas954 Год назад

    InshaAllah Shukran kwa ujumbe

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Год назад +1

    Ashapewa pesa na waarabu ashanunuliwa kama wenzake, mche Allah

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 Год назад +6

    Sheikh dedes mfundishe mbaraka aweso naye afahamu in shaa Allah

    • @abdallahmnyanga5019
      @abdallahmnyanga5019 Год назад +1

      Mzee anaharibikia ukubwani we badala ya kumuhurumia unamtia ujinga hiyo hadithi aliyoitoa inamkosoa yeye mwenyewe ndo ujue haqi hata uipige vita vipi itadhihiri tu mama Aisha apo anasema arafa ni ile siku siku aliyotangaza imamu anayoitangaza imamu na anamwambia hivyo wakiwa madinna sio maka

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 7 месяцев назад

      Mwambie atoe hoja kama mbaraka awes anavo sema na hukutajia na ushahidi

  • @saidali5964
    @saidali5964 Год назад

    Mashaallah jazakallah haki husemwa

  • @jumpjumpin1477
    @jumpjumpin1477 Год назад

    Naam... Masha Allah... Allah atuongoze njia ya haki na kuufwata

  • @gadonassir4261
    @gadonassir4261 Год назад +4

    Taraaatib watafahamu tuu In shaa Allah moja baada moja

    • @ommarallyhamad7435
      @ommarallyhamad7435 Год назад

      'Ilmu ni pana sana na kila msomi ana maono yake, suluhisho ni kufata miandamo ya mwezi ndio dira ya kufanikisha ibada zote zinazotegea kalenda
      Ni bahati mbaya sana wale wanaoshawishi kufata Makkah hawajui kwamba Makkah hawatafuti wala hawategemei muandamo wa mwezi bali wanafuata kalenda ya Hijria iliyoandaliwa maksudi kuendeshea ibada za Hijjah huko Makkah Daudi Arabia .
      Ni mkanganyiko mkubwa ulioruhusu bid'a hii ikubalike na kuwafanya wasomi wetu washindwe kutupa njia sahihi ya kuifata
      Jee, tufuate hii bid'a ya kalenda tusitafute mwezi twende kinyume na hadithi ya Mtume(SAW) au, tufuate muandamo wa mwezi kumfata Mtume( SAW)..iwe Sunnah sahihiii???

    • @allydaud117
      @allydaud117 Год назад +2

      ​@@ommarallyhamad7435Akhy usiongee mambo usio yajuwa mm ni mkoja wap kati watu waliop Gulf Countries. Ni kwel kalenda zipo ila so kwel km saudi hawaangalii mwez bali ni sumu tu tunopeana. Mfano mdog nakupa muandamo wa mwez wa ramdhan wa marahii calenda zote za nchi za gulf ziliandika nwez utaandama 29 kalini mwez haukuandama tukakamilisha 30 na ilipoanza ramadhan wakatow kalenda ramadhan itakuwa siku 30 na nwezi 29 ukaandama ndani ya saudi na tukafunguwa. Ni kwel kalend zipo ila ukiziangalia kwa umakini kila mwez hubadilika kutokana na muandamo wa mwezi na kama utakuwa mfuatiliaji kila ukionekana mwez taarifa za mambo ya dini ndo zinatolewa kauli lini zitakuwa

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Год назад +2

      Hapo sheikh kanukuu hadithi ya Bi Aisha nimejifunza kitu hapo kwanza huyo Masruk kamwabia Bi Aisha sijafunga kwasababu kuna watu wanadai waliuona mwezi kumbe hawakuuona. Bi Aisha akamjibu Masruk ya kua Arafa ni siku ambayo ametangaza Imam. Mi nnachojua Imam ni Kiongozi wa dini (suala la kusema ni Imam wa Makka ni yeye mwenyewe Sheikh Dedes Katuchomekea) kwa sababu Bi Aisha hakutaja Makka wala hakutaja Mahujaji. Kama ni kweli Imam wa Makka? basi Sheikh atuambie Bi Aisha kipindi hicho alikua akiishi Madina au Makka? Kama bado alikua anaishi Madina bila shaka hapa Imam aliyekusudiwa ni Kiongozi wa dini awe Sheikh wa Mji au Sheikh wa Kijiji alimuradi ni Kiongozi. Na sio Imam wa Makka kama alivotuchomekea Sheikh Dedes kwa sababu kwa kipindi hicho Bi Aisha bado alikua akiishi Madina na Hijja inafanyika Makka hivo huyo kiongozi alikua ni wa Madina na amewatangazia Arafa kulingana na muandamo wa mwezi. Na hii inatufundisha kua kumbe Arafa inategemea mwezi sababu Kiongozi hutangaza Arafa pale tu anapothibitisha Muandamo wa mwezi iwe waliouona wamekosea au hawakukosea maadam kiongozi kathibitisha basi siku hiyo itakua Arafa.
      Sasa katika hiyo hadithi hakuna neno Mahujaji wala Makka issue ya Makka Sheikh Dedes katuchomekea.

    • @machinjashabani
      @machinjashabani Год назад

      Wewe ambaye hujuwi hukumu
      za lugha ya kiarabu utaona ni sawa anacho sema!

    • @JamalAbdallah-m1o
      @JamalAbdallah-m1o Год назад

      ​@@allydaud117Toka Dunia imeubwa Saudia haijafuata mwezi wa popote ht jirani zao Yemen, wao wanafuata mwandamo wao tu kw kuwa wameielewa hadithi ya Kurayb na ndio msisitizo wao kuwa Kila nchi ifuate mwandamo wao, Shida IPO kw mawahabi uchwara wanaolazimisha mwezi wa kimataifa Bid'a kubwa ambayo haikuwepo ktk karne bora 3 zilizopita na ht ktk zama za nyuma

  • @AliSaid-fk3be
    @AliSaid-fk3be Год назад +3

    Kwa iyo mwalimu wangu ikitikezea dharura hijja isifanyike itakuwa watu hawafung arafa nakama wanafunga watufungaje na hijja haipo tunaomba majibu Isha allah

    • @abdulhamidhaji5056
      @abdulhamidhaji5056 Год назад

      Ndio haijatokea eti

    • @sesanyisesanyi-mh7ug
      @sesanyisesanyi-mh7ug Год назад +1

      Ikitokea DHARULA,
      katika uislamu dharura huwa ina hukumu zake.
      Hapo hatuzungumzii DHARURA

    • @JamalAbdallah-m1o
      @JamalAbdallah-m1o Год назад

      @@مبغضالبدع-ع9ص 2019,2020,2021, hakukuwa na hijja je hatukufunga Arafa? Au ulikuwa hujazaliwa?

  • @mwalimuhatibu6607
    @mwalimuhatibu6607 Год назад

    Allah akuongoze

  • @saidislam9096
    @saidislam9096 Год назад

    SAID I.ALI(AJAY) ALLAH AZIDI KUKUPA HIDAYA YA KUWEZA KUTAMBUA HAKI AMEEN

  • @Abuassma360
    @Abuassma360 Год назад +1

    Sheikh Allh amjazi kheri ameiyona haki

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Год назад +1

    Huyu sheikh haña Elimu haiwezekani Dunia nzima ikàfunga siku moja

  • @almarwazyahaythamy4905
    @almarwazyahaythamy4905 Год назад +3

    Hii ni
    وشهد شاهد من اهلها....

  • @saeedqaseem1283
    @saeedqaseem1283 Год назад

    Allah atuongoze sote..........Faridi amtafute Dedes Sasa ampe ile hoja yake ya mipaka ya kiisiasa

  • @lillaahilhamdutv5383
    @lillaahilhamdutv5383 Год назад +2

    وجاء الحق وزهق الباطل، إن الباطل كان زهوقا

  • @khamisamoursaleh6630
    @khamisamoursaleh6630 Год назад

    Tunaomba atutajie masheikh wa watangulizi wa Zanzibar wenye msimamo huo kama kweli kasema Kwa hao masheikh

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 Год назад

    Daah kwel kila mmoja anamaon yake chamsingi ni kushikamana na sunnah na quruan

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад

    Maashaallah. Idi jumaatano lnshaallah

  • @swalehjamal4867
    @swalehjamal4867 Год назад +2

    Msomi mwenye hikma ndivo anavotakikaniwa awe hvi…ikiwa ni haki basi asimame na haki na ikiwa ni baatwil afaa pia aipinge na iwe funzo kwa kila mtu

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Год назад

    Sh mku wa Saudia alisema kwa sauti kwamba kila nchi wafate muandamo wanchi yao

  • @BestBest-rx3sb
    @BestBest-rx3sb Год назад +1

    Sheikh dedes mimi nakuuliza wale kwao usiku wafunge lini

  • @BinAli-m8e
    @BinAli-m8e Год назад

    Shekh dedes hajui alisemalo na wala hana elimu nalo

  • @hajikomora703
    @hajikomora703 Год назад +1

    Swadakta na hiyo ndio haki.

  • @swalehjamal4867
    @swalehjamal4867 Год назад

    Yusuf Diwani yupo

  • @DawsonKiwia-qt6zf
    @DawsonKiwia-qt6zf Год назад

    Alhamdulillahi anayeukubali ukweli akaudhihirisha hastaili lawama wala bughuza.

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 Год назад

    Kweli kabisa sheikh

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Год назад

    Abuu hatimy namuona hapo 😂😂😂😂aalikwe meza kuu ya Niqashi Tanga. Tumchangie nauli awe msikilizaji tu

  • @maherzain989
    @maherzain989 Год назад

    Tatizo lilianzia Hapa tulipoambiwa tufate Qur'an na Sunna kuna watu wakaelewa kwamba tufate Qur'an na Saudia

  • @maulanashirazy608
    @maulanashirazy608 Год назад

    Akuna ibada YAKUANGALIA watu ibada zote Zina fuata mwezi na nyua

  • @user412
    @user412 Год назад

    Sheikh farid nae kasemaje????

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Год назад

    Umechelewa saana shekhe hakuna utaratibu wa kufuata makka hata ashuke malaika kusema hvyo bdo haiwezekani....dunia haiendi pamoja,makinika utakufa kibudu

    • @ramadhanihamisi3977
      @ramadhanihamisi3977 28 дней назад

      Huu sasa ni ushabiki ktk dini na hautakiwi alichokisema shekh nikitu Cha dini sio chake ww unasema hata ashuke malaika hamuwezi kufuata makka akhi mche allah na hii ni dini na marejeo ni kwa allah achamaneno hayo

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 Год назад

    Hili la kusema Imam wa Makka Sheikh Dedes Katuchomekea kama ni kweli atuambie Bi Aisha alikua akiishi wapi kama ni Madina Habari za Makka alizipata vipi?

  • @saidessry9942
    @saidessry9942 Год назад

    Shekhe musijitolee fatwa tu hii ni nafasi ya watu maalum

  • @khamisamoursaleh6630
    @khamisamoursaleh6630 Год назад

    Huo ni msimamo wake alioupokea kutoka Kwa Sheikh wake mohd nassour wa kadiria na msimamo huo wanao zamani ila walikua hawajidhihirishi walikua wanajificha dedes kamuua kumfunga paka kengele

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 Год назад +2

    Sasa mpaka hapa bado watu watabisha? Ukweli ndio huo lazima Dunia nzima kama watu watakua Arafat jumanne basi lazima kila Kona ya Dunia waipate jumanne iwe ni kabla au baada,sasa watu walikua wanabishana bure Tu ukweli sheikh Letu Kijana wetu Ndugu yetu Ameshafafanua na mzee hapa ameweka conclusion, Allah Awalipe kila la Kheri na Awahifadhi Katika kila Shari.

  • @almarwazyahaythamy4905
    @almarwazyahaythamy4905 Год назад +2

    .mbaruku awesu ! Njoon huku kuna ujumbe wenu! Hamuchelew kusema kua audio ime editiwa au mzee kazeekaa

  • @alisimba4089
    @alisimba4089 Год назад

    Je watu wa Amerika,Australia na Japani wao funga hii ya Arafa haiwahusu?

    • @isihakaselemani5727
      @isihakaselemani5727 Год назад

      arafa ina wahusu tukiangalia hizo nchi zote hakuna tulipotofautiana zaidi ya masaa 12 hii ndio siku siku inaisha magharibi hapa n kuangalia tu na sio kupishana pia yapaswa huo mwez wawe wanatupa ushahidi maana ramadhan tulikuwa tofaut wakasema mwez na shawwal tukawa sawa wakasema mwez na dhulhijja tupo tofaut kuwa muandamo hapa kuna janja janja wanatupotosha tu kwa ajili ya njaa zao zinatusumbua sisi.

  • @RamadhanOmar-ow1ki
    @RamadhanOmar-ow1ki Год назад

    Swali dogo tu kwahiyo hao waliofunga siku za nyuma wakati kulikuwa hakuna mawasiliano hawakupata harafa hivi kweli kwa wanazuoni wote waliopita hawakuliona hilo

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Год назад +3

    Wajuwa sikama masufi hwa elewi haki bc tu huamua tu wenye wao kufuata matamanio ya nafsi zao kupitia clip hii allah waongoze masufi na wengine wote ambao hwapo ktk usawa ammin

    • @maherzain989
      @maherzain989 Год назад

      Tatizo lilianzia Hapa tulipoambiwa tufate Qur'an na Sunna kuna watu wakaelewa kwamba tufate Qur'an na Saudia

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Год назад

      Acha ujinga

  • @tanzaniaonmzamiloon8627
    @tanzaniaonmzamiloon8627 Год назад

    Rudi darasani tene katwali kwenye hili

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 Год назад +3

    Hapo sheikh kanukuu hadithi ya Bi Aisha nimejifunza kitu hapo kwanza huyo Masruk kamwabia Bi Aisha sijafunga kwasababu kuna watu wanadai waliuona mwezi kumbe hawakuuona. Bi Aisha akamjibu Masruk ya kua Arafa ni siku ambayo ametangaza Imam. Mi nnachojua Imam ni Kiongozi wa dini (suala la kusema ni Imam wa Makka ni yeye mwenyewe Sheikh Dedes Katuchomekea) kwa sababu Bi Aisha hakutaja Makka wala hakutaja Mahujaji. Kama ni kweli Imam wa Makka? basi Sheikh atuambie Bi Aisha kipindi hicho alikua akiishi Madina au Makka? Kama bado alikua anaishi Madina bila shaka hapa Imam aliyekusudiwa ni Kiongozi wa dini awe Sheikh wa Mji au Sheikh wa Kijiji alimuradi ni Kiongozi. Na sio Imam wa Makka kama alivotuchomekea Sheikh Dedes kwa sababu kwa kipindi hicho Bi Aisha bado alikua akiishi Madina na Hijja inafanyika Makka hivo huyo kiongozi alikua ni wa Madina na amewatangazia Arafa kulingana na muandamo wa mwezi. Na hii inatufundisha kua kumbe Arafa inategemea mwezi sababu Kiongozi hutangaza Arafa pale tu anapothibitisha Muandamo wa mwezi iwe waliouona wamekosea au hawakukosea maadam kiongozi kathibitisha basi siku hiyo itakua Arafa.
    Sasa katika hiyo hadithi hakuna neno Mahujaji wala Makka issue ya Makka Sheikh Dedes katuchomekea.

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Год назад

      Ndugu kwanza nikupe pole maana hata akili umeshindwa kutumia vizuri akili yako sijui ndo ipo kwa masufi wanaifanyia kazi na umebaki kama bendera kufata upepo wa masufi.
      Mama Aisha kamuuliza masruk kwani hujafunga leo mama aisha alikua akiuliza siku gani.
      Bila shaka ilikua Arafa.
      Masruki aliposema Watu wamekosea mwezi hauja onekana hiyo ni tarehe ngapi masruki aliitakidi Kwake ilikua tarehe nane kwa mahesabu yake.
      Na mama Aisha aliposema Arafa ni siku ambayo Ataitambua imamu kua ni siku ya Arafa ni Imamu yupi kakusudia hapo.
      Kwahiyo lau ungetumia akili vizuri ungeangalia kua masruki alikua anaishi wapi ndo akaja kwa mama Aisha.
      Na kama mama aisha Alikua anaishi Madina Maana yake mama Aisha Alifunga kufuata mwezi wa wawapi.
      Tayari unatatua kinacho kusumbua.

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Год назад

      @giltaemi4017 mama Aisha alikua anaishi madina haya hili la sheikh dedes kusema Imam wa Makka limetoka wapi? Je kwenye hiyo hadithi ametajwa Imam wa makka? Au ametajwa Imam tu? Kipi ndo sijaelewa unieleweshe?

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Год назад

      @@mybabyarchive2104
      Soma vema Comment yangu.
      Shida hapo sio dedes shida ni kua mazingira ya sms ushayaelewa.............??????

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Год назад

      @@giltaemi4017 kaka comment yako inatakiwa ijibu huyo imama ni Imam wa makka au Imam kiongozi tu kwa jinsi ulivoielewa hiyo hadithi. Pili twajua Bi Aisha alikua Madina sasa tuambie kwani hadithi imesema Masruk alitoka wapi? Mbona wewe ndo hujaelewa?

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Год назад

      @@mybabyarchive2104
      Tufanye hivi kaka.
      Tuchukulie imamu huyo ni Imamu wa madina sawa.
      Swali linakuja je kuna Dalili yeyote inayo tilia nguvu maneno hayo kua imamu yeyote.
      na je wakati mtume Anasema swaumu ya siku ya arafa inafuta madhambi ya miaka miwili ulikua wakati gani. Maana tunacho ng'ang'ani sisi ni tarehe tisa Ndo arafa je kuna ushahidi huo hata kwa bahati mbaya miongoni mwa wanazuoni alisema.
      Na kama hamna basi nikutumie link uangalie ushahidi wa wanachuoni wanasemaje kuhusu funga ya Arafa. tusiwe washabiki bali tuelimike kwa dalkli na sio maneno ya watu tuuuu.

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 Год назад +5

    Hizi siku 9 mtazipataje pasipo kuutafuta muandamo wa mweziii
    Makka wao wanatumia kalenda ya Hijria sijui aliiandaa Nani
    Kalenda hii tayari imeandaliwa Hadi miaka 20 ijayo inajulikana matendo yake yoote ya kila mwaka yaani, funga na eidi yake ya ramadhani na vivyo hivyo shughuli za hijja ikiwemo Arafa.
    Kwa kufuata kalenda hii daima hatutafuata hadithi ya Mtume (SAW)ya kwamba Fungeni na fungueni kwa kuuona mwezi.
    Kalenda hii haitoi tena mwanya wala haja ya kutafuta mwandamo wa mwezi.
    Kama ilikuwepo kabla ya kufaradhishwa Hijjah, Nani aliyeifuta , kwa hadithi sahihi au kwa rai za wanazuoni tuuu.
    Tutafuteni mwandamo ya miezi tuachane na hii calenda

    • @jumamahmoud9271
      @jumamahmoud9271 Год назад +1

      Kalenda ipo na mwezi wanatizama na ikitokea tofauti wanabadilisha huu ndio ukweli na mm nimeshuhudia mwenyewe.

    • @HarunaSaidy-rd8rs
      @HarunaSaidy-rd8rs Год назад

      Maashallah

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc Год назад

      Muogope allaah sw kwan wew mtanzania hutumiii kalenda mbona tuziona za mwaka mzima misjttn

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Год назад +1

      Hapo sheikh kanukuu hadithi ya Bi Aisha nimejifunza kitu hapo kwanza huyo Masruk kamwabia Bi Aisha sijafunga kwasababu kuna watu wanadai waliuona mwezi kumbe hawakuuona. Bi Aisha akamjibu Masruk ya kua Arafa ni siku ambayo ametangaza Imam. Mi nnachojua Imam ni Kiongozi wa dini (suala la kusema ni Imam wa Makka ni yeye mwenyewe Sheikh Dedes Katuchomekea) kwa sababu Bi Aisha hakutaja Makka wala hakutaja Mahujaji. Kama ni kweli Imam wa Makka? basi Sheikh atuambie Bi Aisha kipindi hicho alikua akiishi Madina au Makka? Kama bado alikua anaishi Madina bila shaka hapa Imam aliyekusudiwa ni Kiongozi wa dini awe Sheikh wa Mji au Sheikh wa Kijiji alimuradi ni Kiongozi. Na sio Imam wa Makka kama alivotuchomekea Sheikh Dedes kwa sababu kwa kipindi hicho Bi Aisha bado alikua akiishi Madina na Hijja inafanyika Makka hivo huyo kiongozi alikua ni wa Madina na amewatangazia Arafa kulingana na muandamo wa mwezi. Na hii inatufundisha kua kumbe Arafa inategemea mwezi sababu Kiongozi hutangaza Arafa pale tu anapothibitisha Muandamo wa mwezi iwe waliouona wamekosea au hawakukosea maadam kiongozi kathibitisha basi siku hiyo itakua Arafa.
      Sasa katika hiyo hadithi hakuna neno Mahujaji wala Makka issue ya Makka Sheikh Dedes katuchomekea.

    • @jumamahmoud9271
      @jumamahmoud9271 Год назад

      @@mybabyarchive2104 rejea kumsikiliza tena sheikh dedes hujamfahamu.

  • @AlhashimiyAlquraishiy
    @AlhashimiyAlquraishiy Год назад

    weye dedes Tunakujua hujasoma.hujasoma..kwa hivo bora ukae kimya usijitukanishe...taaluma zako ni za uchumi...tunakujuw vizuuri....Ushehe umeuanza juzi

  • @mzulwa2006
    @mzulwa2006 Год назад

    Usiwalaumu ndivyo walivyofundishwa

  • @babaawena
    @babaawena Год назад

    Sioni comment naona leo🤣🤣🤣🤣

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Год назад

      Comment hii hapa chini

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Год назад

      Hapo sheikh kanukuu hadithi ya Bi Aisha nimejifunza kitu hapo kwanza huyo Masruk kamwabia Bi Aisha sijafunga kwasababu kuna watu wanadai waliuona mwezi kumbe hawakuuona. Bi Aisha akamjibu Masruk ya kua Arafa ni siku ambayo ametangaza Imam. Mi nnachojua Imam ni Kiongozi wa dini (suala la kusema ni Imam wa Makka ni yeye mwenyewe Sheikh Dedes Katuchomekea) kwa sababu Bi Aisha hakutaja Makka wala hakutaja Mahujaji. Kama ni kweli Imam wa Makka? basi Sheikh atuambie Bi Aisha kipindi hicho alikua akiishi Madina au Makka? Kama bado alikua anaishi Madina bila shaka hapa Imam aliyekusudiwa ni Kiongozi wa dini awe Sheikh wa Mji au Sheikh wa Kijiji alimuradi ni Kiongozi. Na sio Imam wa Makka kama alivotuchomekea Sheikh Dedes kwa sababu kwa kipindi hicho Bi Aisha bado alikua akiishi Madina na Hijja inafanyika Makka hivo huyo kiongozi alikua ni wa Madina na amewatangazia Arafa kulingana na muandamo wa mwezi. Na hii inatufundisha kua kumbe Arafa inategemea mwezi sababu Kiongozi hutangaza Arafa pale tu anapothibitisha Muandamo wa mwezi iwe waliouona wamekosea au hawakukosea maadam kiongozi kathibitisha basi siku hiyo itakua Arafa.
      Sasa katika hiyo hadithi hakuna neno Mahujaji wala Makka issue ya Makka Sheikh Dedes katuchomekea.

  • @ShuraymIshaq
    @ShuraymIshaq Год назад

    Allah atuonyeshe hakki tuifuate,naatuonyeshe batili tuiepuke ruclips.net/video/-FGBJ3gRbuk/видео.html

  • @abdallahmnyanga5019
    @abdallahmnyanga5019 Год назад +1

    Masikini mzee anaharibikia ukubwani

    • @ramadhanihamisi3977
      @ramadhanihamisi3977 28 дней назад

      Alichokisema huyu shekh ndicho sahihi na hii inatulazim sisi kusoma vitabu maana haya mambo ya kufunga siku ya araf yako wazi ktk vitabu shida yetu ni kutosoma tu vitabu twasubiri kusomeawa kama wakristo makanisani

  • @machinjashabani
    @machinjashabani Год назад

    Shehe umejitahidi sana. Na hivyo ndivyo ulivyo elewa.
    Lakini hadithi uliyoitoa haiendani na Arafa liuguf!

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Год назад

    Huyu shekhe sio wa kitwarika ni propaganda tuu...!!!!

  • @almarwazyahaythamy4905
    @almarwazyahaythamy4905 Год назад

    Hahhaha.mzee dedes..nakumbuka mnaqasha wako na abulfadhli