DR.SULLE SAFARI YA MTUME MUHAMMAD S.A.W (SEHEMU YA 2)2024 ISRAA NA MIRAJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #drsulle #tanzania #islaamic #health

Комментарии • 23

  • @hassanfrint-ke591
    @hassanfrint-ke591 4 месяца назад +1

    Allah akuzidishie mema Sheikh wetu.

  • @ngatendanassibu9881
    @ngatendanassibu9881 8 месяцев назад +3

    Mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu tupate endelea kujifunza 🙏🙏

  • @imani2870
    @imani2870 8 месяцев назад +4

    Shukran sheikh wetu Mungu akubariki sana

  • @RamadhaniSufiani-ms8yb
    @RamadhaniSufiani-ms8yb 4 месяца назад +1

    Allah akbar

  • @BacarMapahiee
    @BacarMapahiee 8 месяцев назад +2

    Nakupenda Sasa, Dr sulle wew upo mlango wa 3 katika nafsy yangu.tulete hutamu wanyenyekevu

  • @breneyork9653
    @breneyork9653 8 месяцев назад +1

    Dr Sule nakuombea saana Duwa Allah s.w azidi kukuongoza

  • @aminahkimwana109
    @aminahkimwana109 7 месяцев назад +1

    Shukrani

  • @moureenkamau8697
    @moureenkamau8697 8 месяцев назад +2

    Kwajili Allah ❤❤❤❤

  • @nurumasha
    @nurumasha 8 месяцев назад +3

    Uzuri wa dk sule anachambua mada mpaka raha

  • @ErickInfo-gs4tv
    @ErickInfo-gs4tv 8 месяцев назад +2

    Huwa najifunza saana kwako shekhee

  • @mwersirgor8251veroni
    @mwersirgor8251veroni 8 месяцев назад +2

    Kwani mbna sijaelewa vizuri ivi mwezi wa RAJAB ni wa kumi au wa saba katika kalenda

  • @generalchumongafricanboy
    @generalchumongafricanboy 8 месяцев назад +4

    Achia mzigo

  • @breneyork9653
    @breneyork9653 8 месяцев назад +2

    Hichi kisa nakifatilia kwa umakini saaana kwani Dr Sulle anakielezea kwa ufasaha na kisayansi

  • @generalchumongafricanboy
    @generalchumongafricanboy 8 месяцев назад +5

    😂😂

  • @mgejadldm1
    @mgejadldm1 8 месяцев назад +1

    Uongo huo , utawadanganya tu waislamu wenzako

  • @AyubuMungii
    @AyubuMungii 7 месяцев назад +1

    Hapa sheikh ana reference ya Quran tukufu na co hadith za juma na uled,kwa ww usije jua bak na unachokiamin,no research no right to speak

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 8 месяцев назад +1

    Sasa Jerusalem ni ya waisilamu

    • @adamnasibu5931
      @adamnasibu5931 8 месяцев назад +1

      Wapi umeona inaongelewa jerusalem hapo

    • @jumajabiri-zv8dy
      @jumajabiri-zv8dy 7 месяцев назад +1

      Ache Kudic dini yetu ya kislamu ndyo dini pekee duniani kitabu chake na Aya zake haziwezi badilika.

  • @mgejadldm1
    @mgejadldm1 8 месяцев назад +1

    Uongo huo acha kudanganya ndugu yangu acha uongo hekalu la wayahudi mnaliita msikiti yaani nyie

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 8 месяцев назад +1

    Toa haya Ibrahim kama alukuwa muisilamu😂😂😂😂 wewe unafundasha ukristo au uisilamu

  • @saidamur5747
    @saidamur5747 6 месяцев назад

    Hujui.tuachie.ss.tunejua.anachokisem.unakurubuka.tu.kuwa.niuongo.haya.tuambie.ww.unacho.kijua.