NJIANI HUNIONGOZA - THE YONAZI FAMILY CHOIR
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Wimbo huu ni moja ya nymbo maalumu sana katika Familia hii. Ni wimbo ambao, Mama Naamini Yonazi Salehe, Mama na Bibi wa Familia hii, aliupenda sana katika maisha yake. Alipenda kuishirikisha familia kuuimba kila wakati wa maombi. Ni hakika, ni wimbo uliompa tumaini na furaha. Pamoja na kumbukumbu hii, familia pia inaupenda na kuuimba inapokutana.
Wimbo huu umeimbwa wakati wa Mkutano Mkuu wa Familia ya Yonazi, 25 December 2022 (Hija2022). Waimbaji waliomo humu wote ni ndugu na wanafurahia kuwa pamoja kwa upendo na umoja.
Rafiki na Classmate wangu Pauline, hongereni sana kwa jambo hili jema mlilofanya la kukutana kama familia na kumsifu Mungu as ONE BIG FAMILY UNIT, the YONAZI CHOIR. Sisi pia "" THE GILBERTS""we all drive back home during Christmas-New Year Season with our children and children of our children from wherever we are. We stay together in our old homestead, cook together & eat together but most important of all is attending church services in our village church and donate whatever we've been blessed with. These are our days to remember. However our friends you've gone far ahead of us you've the gracious "YONAZI CHOIR". We've learned from you & we'll walk on your path. Pray for us. .
Am seeing kaka John, Charles, kaka wa MaliAsili and our son, Katibu Mkuu the Choir Master
Yours HarriethRose Gilbert Marisa
Habari za miaka Pauline. Tulisoma wote jangwani
Kwaya nzuri sana. Ubarikiwe Daktari Yonazi
Bwana awape wepesi wa mambo yote makuu
Kwaya safi sana rafiki yetu Dr Yonazi. Mungu azidi kuwabariki familia nzima. Amen
Huu wimbo wangu na wa maisha yangu. Mungu awabariki.
Ameeeen Barakhallah
Very nice ❤
May God continue blessing you abundantly!
Safi sana
Murungu avafwie mbonea. Mbarikiwe sana.
Is this choir from Tanzania?? Sisi wakenya tunawapongeza.....let's embrace our hymns...they are old but new every morning....hizi nyimbo tunazitunga siku hizi hazinipendezi...the way we march imekuwa dancing......so let's go back to our roots
Wow! What a family harmony!
My God blessings abound.
Mungu awabariki Sana 👏👏
God bless you. I enjoy
Amen
Amen 🙏
Mpaka ni mekumbuka bibi
❤❤❤❤❤
Glory to God for this family Choir. Mungu awabariki Sana Sana Yesu ATUKUZWE daima🙏🔥💯🎸🎼
Amen. God bless you sister @Lilian Naman.