HARMONIZE Alivyowakabidhi MAGARI IBRAAH na COUNTRY BOY mbele ya KILLY na CHEED/ IBRAAH Apiga MAGOTI
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2020
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#HARMONIZE #IBRAAH #COUNTRYBOY - Развлечения
Only future billionaires can like this comment!
Safi sana konde boy endelea na moyo huo na mungu pamoja naww utazidi kusimama imara katika lebo yako na majukukumu yako.
Ongera sana ibra napia ongera sana kwa jeshi mungu azidi kukupa maisha maref uzid kusaidiya wangine
Masha Allah harmonize God blesse you more l'm happy for you bro 😘😘😘🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯🙏🙏🙏
Dah kwl maisha ayana mwenyewe 🙏konde Allah azid kukupa lidhk na moyo uo uo kha ww ni Wa kipekee
Lakini asante mungu kumleta jeshi hivi nani angewashika mkono hawa dogo konde live long bro
🔥🔥🔥I love the humility of tiz chinga boy ibrah
Hongera sana chinga boy 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Mungu aweke mkono ktkt safari yenu,Inshallah 🤲🙏
Cha mana wanachokifanya nn, mpaka huseme insha,Allah. Halafu mnajiita waislamu, hatari.
@@khalfaniyesu8912 sawa 🙏🙏
Mungu awazidishi nenma muendelee vizuri inshaallah
What I like about Ibraa, he handles interviews with maturity and articulates issues with sober mind.
I agree bro he is very smart and humble artist and he know how to handle the media
I totally second that bro
Ibraaah kasema "Boss ukienda kwenye kampeni, naenda na hili"
Respect konde boy i'm really like your spirits kweli wasiokupenda kazi wanayo
Konde boy mungu azidi kukubariki nakukuinua Zaid Hadi ushangaze dunia unamoyo wa kuwasaidia . Hicho ulivyofanya mungu anaenda kukubariki mpaka utashangaa .
Hongera sana.Wote mmushukuru Diamond ,maana nyie ni wajukuu wa mondi aliemzaa harmo kimziki
Hahaahha
Aaaaah wap
Mondi alimzaa hawa wa ntareje
Kwedraaaaaaaa
Hongera sana konde kuwa na moyo huohuo Mungu akuhifadhi from kenya
Kuna tofauti ya kutoa kutoka moyoni na kutoa kwasababu ya show off au kiki au ukiwa na sababu flani itakayo kufaidisha wewe zaidi ....all in all congrats to ibra and the other guy
Wivu huo
@@peterelisha1828 mie mwenyew sijamuelewa alicho maana nisha huyo aliye sema kiki au show of
@@peterelisha1828 hujamuelewa wenda yani nusu anamkubali sasa sijui anamsema diamond au harmonize hapo ndiyo tumuulize
Unamaanisha harmonize katoa kiki au show off au tumekuunga bila kujua unacho maanisha
😂😂😂za mondo ni za moyoni za wengine ni kiki 😂😂😂😂Binadamu jamani
Woow big brother mungu akuzidishie🙏🙏🙏
One love kwa Konde boy, maneno ya kejeli yanageuka kuwa baraka kwako kwa hyo shukuru wanapokukejeli wanakubariki
Amina
Woow!!!! Big brother
Nakubal jeshi 🐘 🐘🔥 🔥
Kondee wataka nilza jamnii 😪😪....Aisee sitokuacha 😍😍
Kwani amekupa wew 😁
@@World_Of_Fashion257 Yn sielewii mimi kwanin hvii 😪😭😭😭
Konde njoo kahama,,unapendwa sanaaaaa
Oyooo❤🔥
Sanaaaaaaaaaaa
Amazing Good Heart MUNGU AMubariki
Fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥☁️☁️☁️🔥
🥰🥰🥰🥰🥰 thank you harmonize umefanya kitu kizuli saana
YANI IBRAH ANAFURAHA UNAMUHIS KABISA MUNGU AZIDI KUMBARIKI IBRAH NA MPENDA HUYU DOGO MPOLE MSTARABU NA ANAIZAMU KUNYE KUONGEA HAPAYUKI OVYOO
Unachosema nikweli yote isemayo anayo Mimi mwenyewe nampenda Sana Dogo alafu Hana majivuno wote sisi masikini kugawana riziki kawaida.
@@julihanjosephyjs6361 👍
Mungu aamkuze cz kiba atawatukana wote kisa n ibrah kutwaa king
@@zenamadhan2517 KUMBE NDO AKASEMA KING NI MOJA TU HAKUNA MWENGINE MPAKA AFE NILIKUWA SIJAJUWA KINACHOENDELEA HANA MPYA NAE KIBA UMRI UMEENDA ATULIZE MSHONO AACHIE WENGINE NAONA KWENYE INTYVUU YA CLOUD POVU LIMEMTOKA
Ibrah nakupendagaaaa
Hongera sana ,sana kazaneni jaman pongez kwa conde boy
Ssnaaa
Asante
@@gangmedad1011 moto
Kabisa
Duh Mambo gani ya kulazimishana kulia hayo. Huo ni Umama wa kupitiliza Kulia siyo heshima Heshima ipo moyoni
mbona povuu mzee
pamoja bro 🤝🤝🇰🇪🇰🇪
Woow, makofii ya konde gang
Ooooh
Realy
@@makkahsaidi125 mmh
@@edwardngongi705 o
Katriwiiiiizeeeeeeeeeeeeeeeee
KONDE GANG for EVERY BODY
Harmonize anaroha Safi kbs jamani namtakia long life
Mungu akubarik kwa moyo wa upendo my brother
Captain mjeshi konde boy..mwenyezi mungu akujalie moyo wa imani .hao akina ibra bado wadogo xana zidi kuwaongoza vizuri na mwenyezi mungu atakulipa mbele ya haki.......
jimmy hapa conde la mkunya newala
Big up konde💪💪
Can’t wait for their collaboration🥰😍
Me too
@@walisbon7860 me 3
Huyu Konde boy baraa IBRA Now anamiliki Ndinga
Konde nom
Noma sanaaaaaaa
Ongera sana konde boy nawapenda wote pamoja na wageni wetu, usijari maneno yao eti ooo imeiga kwa mondi achana nao midomo Mali yao,inasemwa mimba aijulikani kama atazaliwa MTU au panya, baba pambana tena pambana uwaonyeshe Mungu awajaalie kila la kheri, piga kelele kwa konde boy pamoja Chinga boy pamoja na timu nzima ,weweeeeeeeeeeeeee kazi njema nawapenda woteeeeee
Noma sana
TEMBO MJESHIII SALUTI SANA
So emotional ibraah-tz umeniliza
Nimelia kwaajili ya Ibraah 🥺😭 god bless you konde
Safi kijana mwenzangu huo ndio uungwana kusaidia vijana wenzako mungu atakujalia kwa hayo unayofanya
IBRA nakapenda Yaani kapole sana🙏🏼
Kombe wangu Pamoja sana wakati wote na salamu kwa wifi yangu Sarah💞😍🙏🏼👍
Asante sana wapendwa Pamoja sana kwa Harmonize na mwanawe IBRA🙏🏼😍
amazing and loving it
Happy 4 ibraah
❤️ hongera sana ibraah
Unalia kwa kuambiwa maigizo
Inapendezaa broo waunge mkono GOD bless you (kondeboy)
Safi bro mm kwanza Tim kiba ila napenda ushindani umetisha wafanye vijana wafike mbali xana
God bless you, my brother 🙏
Konde unamoyo Wa utuu nakuombea uzid fanikiwa ili mzikiwetu ukue zaid asante
You did something amazing bro
Daah mbona utamu jaman
Ibraah miaka 20 na anamiliki gari tayari
Umejuaje
@@princesstatiana1016 harmonize kasema yuko na miaka ishirini
@@janetwawira5673 ndiyo mana hata ajui kudrive
@@princesstatiana1016 atajua tu polepole hakuna MTU uzaliwa akijua kila kitu
Good answers
Nice saying bro hongera sana
That's so nice and brilliant✌
Y prince RUclips Brand music for life
Ibrahim Allah awe nawe
Umbarikiwe Sasa na mungu
Hongera sana harmonize mola akujalie uzidi kutamba
Naomba Mungu msikosane please tena🙏
Konde mungu akuongezee najua utafika mbali
Kiukweli konde boy ni mtu mwema mungu amubaraki sana
Much congrants harmonize nyieeee mnaocoment ujinga mkalalee😂😂😂
kila m2 anawazo lake ucforce kufanan cha msing heshim wazo la mwenzak
Good music
Upendo ndiyo silaha wadogo zangu kazeni mwendo mvune vitu vitamu naamin palipo wawili au watatu Mungu anasikiliza maombi yenu ❤🔥🤲
Good bless me and konde geng🔥🔥🔥
Ameen
Baraaah
Woooow 👏👏👏 congratulations konde boy
Konde boy Mungu akuongeze zaidi kwa moyo mzuri ulio nao
Sifaaaaa mbayaaaa sanaaaa
Wivu utakuuwa
Wivu huo
Noooo ipo day utakumbuka usemi wangu
@@judiththobias3234 mungu akusamehe acha roho mbaya pengine ww una ata boda ili upate acha wivu kinacho kuhuma wamepata kukuzidi
Si anaekeza hpo nd mana itamlipa chid na kill kuimb wanajua
Hongera sana jeshii
Respect konde geng one yes
Sema ibraa unazinguwa ukajuwa zawad ya ubwabwa na marage
Barikiwa sana konde boy aiiiii. Amah
Hongera ibra nakupenda
Jeshii mozambique tiamo por ter bom coraçao de adjuodar
mungu mjalie konde boy
Hata SIMBA uko aliko akiona izi video za KONDE bila shaka anasema " Huyu kijana ana mbwembwe mno".😀
Kiukweli🤣🤣🤣
😂🖐️sanaaa
anashindana kwa nguvu
Hayo mawazo yetu wabongo ila mzazi mzuri ni yule anaezaa mtoto na kumlea vizuri na kumfundisha vzr na baadae ayaendeleze hivyo hata konde boy anayaendeleza Yale mema aliyofundishwa na daimond kwaiyo Kama mbwembwe alizianzisha bond konde anamalizia
Kazi nzuriii
So much love
Big up sana ila towa kwa moyo siyo kushindana na baba yako
Umetisha mwamba
🔥🔥🔥🔥👏
Mtachonga sana huyo ndio jeshi hakuna ubishi
Congratulations
Safi sana inapendeza
Nakukubali sana tembo
Hongera
Big up kwenu
Kondeboyi Mungu amubarikisana
Big up broo
Nakubali sana
Respect full kond gang
Nakubali wazee wakaziiii
These young boys are being ushered into the world of occultism I pity them.
Gud never gv up
Uyu kaka pic kal yani Konde boy amejishikia zake kajui tu ungemkuta Daimond hapo angekuwa anavuta mishisha kuwapulizia watu dah😀😀😀😆
Good work
Jeshiiiiiiii nomaaaaa
Et wanasema konde boy anamisifa mi napenda jins anavyonesha kuwajal watu wake big mzee fanya yko acha waongeee
💥💥💥💓Ibraah 😍
Pamoja sana
Sasa Uyo country boy yaani miaka yote iyi Hana usafiri
Boss 🙏