DR SULLE HANA UWEZO WA KUITA MAJINI PETE HAIWEZI KUKUPA MALI SIRI NZTO YAFICHULIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2024

Комментарии • 27

  • @user13375
    @user13375 Месяц назад +2

    Waislam mnazidi kutuchanganya 😢😢😢

  • @SaidShemkieti
    @SaidShemkieti Месяц назад

    Hamjui tu Allah anawazihirisha washirikina wote mliojificha kwenye kivuli cha dini yetu ya uislam

  • @allykk1459
    @allykk1459 Месяц назад

    Ingia hapa you tube ujifunze ukweli uache kutapeliwa

  • @FarhanFarhan-js1ei
    @FarhanFarhan-js1ei Месяц назад +2

    Na ww ni mshirikina

  • @allykk1459
    @allykk1459 Месяц назад

    Allykk 📺

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336 Месяц назад

    Hawa wshirikina cikuhzi wamekua kama samki walopigwa bomu baharni.. ALLAHU atuhifazi nahawa wasaka tonge.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 26 дней назад

    wote n wahirikina tu
    ukimpeleka mtoto wako kusoma madrasa kwa watu kama gawa tarajia baadae atakuwa mgangaa!!!

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Месяц назад

    YIYI WATU WA ( BONGO TOUCH ) NIWAPUMBAVU WAKUBWA KILAMNAPOKUTANA NA WATALAM MNAULIZA KUHUSU KUPATA UTAJIRI KWANINI MSIWAULIZE KUHUSU TIBA ZAO WANAZOFAYA KUHUSU WAGOJWA KUNA MAGOJWA SUGU MUWAULIZIEWATU MAMBO YA MUHIMU WAPATE KUJUWA WAKAJISAIDIE KIMATIBAU YIYI NIKUPOTOSHA WATU NA VIJANA

  • @ShukriGufu-ec3gk
    @ShukriGufu-ec3gk Месяц назад

    Sina sababu ingne yoyote ya kuvaa pete isipokua kufuatilia sunnah ya rasul,,bahati sijui ulinzi yote ushirikina

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s Месяц назад

    Jamani Pete imekua inshu

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s Месяц назад

    Ivi mbn hatuwaelew uyo nar katoka wapi

  • @ShukriGufu-ec3gk
    @ShukriGufu-ec3gk Месяц назад

    Any interaction Between a human and jinn is forbidden and a great sin

  • @FikiriSaki
    @FikiriSaki Месяц назад

    Akiliyakua mbiwa. Changanya nayako

  • @husseinmongolare3417
    @husseinmongolare3417 Месяц назад +1

    Tumogope Allah ayo yote ni ushirikina

  • @Ramadhan12623
    @Ramadhan12623 Месяц назад

    Docter sule ajasema pete inakupa utajil

  • @ShukriGufu-ec3gk
    @ShukriGufu-ec3gk Месяц назад

    Sulle apenda sana kupeana mfano n mtume Suleiman hivi nauliza ye Suleiman ama,,,tunayoyaamini ni quraani n sunnah hizo zingne zote ni porojo na manipulation kutoka kwa mashwetani wenyu wapuzi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Месяц назад

    ndiyo wanadamu wanauwezo wa kuwamiliki na kuwaita majini!!
    wewe unayekataa huna elimu ya kutosha!ila njia hizo za kuyamiliki majini ni za KISHIRINA NA KUFRU!!

  • @bobsalim4285
    @bobsalim4285 Месяц назад

    Nabii Suleiman alkiwa mwanadamu na alkuwa akiwatumia majini.
    Hyu bado ,alikimbia mafunzo.

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Месяц назад

    Muongo huyo anatafuta kiki tu majini viumbe wako niviumbe hai

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Месяц назад

    Alliy mtalamu wa ????

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Месяц назад

    Pete yoyote ni ushirkina na ni uchawi tu! Kila anaevaa pete anadai inaendana na jina lake na ina murinda! Wote ni washirikina watupu, unarindwa na pete afu mungu afanye kazi gani?

    • @danimark3300
      @danimark3300 Месяц назад

      Kwahiyo unapopatwa na matatizo Mungu wako anakuwa amelala?

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o Месяц назад

    Hauna utofauti wowote na sule, utofauti sule nimganga wavitabu wewe nimganga kizungu wote mashirikina

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 Месяц назад

    HUYU NDIO WALE WALE,..KAA KUSHOTO

  • @Sabakimotors001
    @Sabakimotors001 5 дней назад

    Mastory !